Wakati kocha wa Yanga anasingizia ligi ya Tanzania haina ushindani baada ya kutolewa makundi, Simba yupo Nafasi ya sita CAF Ranking,

Kama mpo nafasi ya sita basi itabidi tukufungeni sita Ili Idadi ya magoli ilingane na nafasi yenu huko CAF
 
Huyo kocha kama kweli hajui mchezo unaofanyika basi awaulize viongozi wake wamuambie ukweli, ligi haina ushindani wakati mnahonga timu ili muachiwe au mpangiwe vikosi b mradi tu mfunge magoli mengi muwapite simba, tuliwaambia sisi kipimo cha ubora wenu ni klabu bingwa huko hakuna kuhonga timu yani ninyi malengo yenu huwa ni kufikia rekodi za simba tu basi
 
Jamani ikumbukwe hapo ni kabla mechi za makundi hazijaisha kwa sasa Nyuma mwiko hiyo nafasi yupo Alhilal...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…