SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,919
Sheriff how is Arizona!!?, i respect you sir [emoji3]
[emoji3] yes sir , am eagly waiting for that, and THE WALL of courseAZ is fine mkuu
Ya'll need to get ready for the massive deportations once Donald Trump reports to work at 1600 Pennsylvania Avenue on January 20th 2017
Yes, hata awa nao wata isha cku mojaHizi ligi zinaenda in circles. Great teams come in circles as well.
Mnakumbuka Serie A ya 1980s na 1990s ilivyotesa? Leo hii nani anaangalia Serie A?
Mnazikumbuka Ajax na AC Milan zilivyotesa na kunyanyasa Europe enzi hizo ambapo Barcelona alikuwa kibonde tu. Leo hii hata Barca fans nao wanaongea huku wale wa Ajax na AC Milan amebaki Gang Chomba tu
Mkuu, tatizo hapa ni ile methali isemayo 'kipofu akiona tembo basi kila kitu atafananisha na tembo'. Wanaoshabikia EPL ni bora kwa sasa ni sawa na upofu tu. Ukweli ndo huo watu waliokuwa wakiona soka bila ya kutegemea DSTV.Hizi ligi zinaenda in circles. Great teams come in circles as well.
Mnakumbuka Serie A ya 1980s na 1990s ilivyotesa? Leo hii nani anaangalia Serie A?
Mnazikumbuka Ajax na AC Milan zilivyotesa na kunyanyasa Europe enzi hizo ambapo Barcelona alikuwa kibonde tu. Leo hii hata Barca fans nao wanaongea huku wale wa Ajax na AC Milan amebaki Gang Chomba tu
Haya nimeyasikia jana Clouds FM toka kwa mchangiaji mmoja nadhani anaitwa Edgar. Hivi hapa nchini tumezowea Simba na Yanga kuwa ndo mabingwa wa ligi yetu mara kwa mara ukiacha Azam tu siku hizi. Alitoa mfano wa timu ya Leicester City kuchukua kombe mwaka huu eti ndo kielelezo cha ubora wa EPL! Ajabu sana, hivi hapa kwetu itokee mwaka timu ya Coastal, mfano, ichukue ubingwa ndo tuseme ligi yetu itakuwa imepiga hatua kiubora?Ubora ni neno subjective sasa inategemeana una tumia vipimo gani kusema la liga ndo ligi bora, ila mi si hisi kama iko na ubora ki hivo
La liga ni timu tatu tuu hushindania ubingwa, uingereza hata leicester kabeba this year
Barca alifungwa mech tatu mfululizo ila bado ana ongoza ligi, fanya hivo EPL, uone moto, totenham ka droo mech mbili tuu hana ubingwa now
Wakat suarez, modric na bale wanao fanya vizur mda huu spain walitoka vilabu vya kawaida kabsa pale England, haiko hivo kwa wachezaj wengi wa hispania ambao wengi hutoka just kwenye vilabu vile vi kuu, na ni wachahce sana hufanya vizur kwa mda mref kwenye lig ya england
Huko ulaya mnako srma wana mafanikio ni vilabu viwili tuu ndo vina wabebea barca na real, ukienda europa ndo hao sevilla, hata hiyo fainali mnayo ipigia kelele wanacheza atletico na real, wana rudia ya mwaka juz c tim mpyao hzo
Kuna timu chache spain ni nzur sana ila hyo haifanyi la liga kuwa ndo lig bora
Tupo pamoja katika hili kila kitabu na zama zake kuna kipindi inter,AC na juve zilitawala mpira wa ulaya baadae zikaja man u liverpool na Chelsea ikawa hauzikosi nusu fainali mpaka final so hiki ni kipindi cha la liga sioni kama ni ajabu.Hizi ligi zinaenda in circles. Great teams come in circles as well.
Mnakumbuka Serie A ya 1980s na 1990s ilivyotesa? Leo hii nani anaangalia Serie A?
Mnazikumbuka Ajax na AC Milan zilivyotesa na kunyanyasa Europe enzi hizo ambapo Barcelona alikuwa kibonde tu. Leo hii hata Barca fans nao wanaongea huku wale wa Ajax na AC Milan amebaki Gang Chomba tu
Baada ya jana Real Madrid kuwafurusha Man City kwenye michuano ya Klabu Bingwa Barani Ulaya,maarufu kama UCL,Real Madrid wamepanga miadi na wanajiji wenzao wa Atletico Madrid kupambana kwenye mchezo wa fainali ya UCL.
Fainali itapigwa mwezi huu kwenye uwanja wa kipekee wa Giusseppe Meazza,Italia. Fainali hiyo itakuwa marudio ya fainali ya timu hizohizo na kwenye michuano hiyohiyo ya mwaka 2014. Mwaka huo,Real Madrid chini ya Ancelotti walitwaa ubingwa wa UCL.
Mwaka 2015, wana La Liga wengine Barcelona chini ya Luis Enrique walitwaa ubingwa wa UCL wakiwashinda Juventus wa Massimiliano Allegri. Hadi hapo na kwa matokeo ya jana,La Liga powerhouses wako njiani kutwaa UCL kwa mara tatu mfululizo.
Kimsingi,La Liga imetawala soka la Ulaya. Lakini,wanazi hawakosekani. Wataendelea kudai kuwa Ligi Kuu ya Uingereza maarufu kama EPL ndiyo ligi bora duniani. Yaani ligi ya rugby iwe bora kwenye soka?!? La Liga wanapiga kimyakimya.
Huo ndo ukweli mkuuTakwimu za uefa za ligi bora ni:
-la liga
-bundesliga
-epl
-seria A
-ligi ya Portugal
-le championat
Hii ni kutokana na mfumo wa coefficient wa jinsi timu za ligi hizi zinavyoshiriki michuano ya ECL na Europa league na jinsi zinavyofika hatua za mbele na hata kuchukua kombe.
LA LIGA NDO LIGI BORA, haina ubishi! Ni kwamba haipati promo ya kutosha!
Basi mkuu yameisha, endelea kuamini unachoamini. Naona unataka kuleta mabishano yasiyo na tija, kwa kitu ambacho kipo wazi kabisa, na mpaka takwimu za uefa wenyewe zinasema wazi kua ligi bora ni la liga na ya pili ni bundesliga. Kama hiyo mizani unayotumia ni bora zaidi ya kipimo cha coefficients wanachotumia uefa hongera zakoinategemea huo ubora unapimwa kwenye mizania ipi.
mathalani naweza kusema VPL (Tz) ni bora kuliko La Liga na EPL kwa mizania niliyoichagua mimi.
suarez na ronaldo wanatoka wapi?..huko walikotoka walikua wanafunga kama huko la liga?..kama hapana,kwa nin?Kwanini watu mnakuwa wagumu kukubali la liga ndio ligi bora kwa sasa!! Wachezaji bora duniani wanapatikana huko, wafungaji bora duniani wanapatikana huko na klabu bora duniani zinapatikana huko, Kwanini isiwe ligi bora ukilinganisha na zingine. EPL ni maarufu na inawatazamaji wengi lakini sio bora.
siku zote uefa ya platin imekua ikpenda la liga ionekane bora kuliko epl,we unaamini bundesliga ni bora kuliko epl?!!Takwimu za uefa za ligi bora ni:
-la liga
-bundesliga
-epl
-seria A
-ligi ya Portugal
-le championat
Hii ni kutokana na mfumo wa coefficient wa jinsi timu za ligi hizi zinavyoshiriki michuano ya ECL na Europa league na jinsi zinavyofika hatua za mbele na hata kuchukua kombe.
LA LIGA NDO LIGI BORA, haina ubishi! Ni kwamba haipati promo ya kutosha!
kamsome cruyfMpira ni magoli tuuuu
huwezi kupima ubora wa ligi kwa timu mbili,ligi inakusanya timu nyingi,barce na madrid wanatumia pesa nying kununua wachezaj wazur ili washindane uefa na si la liga,la liga kwao ni mazoezi kwa ajil ya uefaKwanini watu mnakuwa wagumu kukubali la liga ndio ligi bora kwa sasa!! Wachezaji bora duniani wanapatikana huko, wafungaji bora duniani wanapatikana huko na klabu bora duniani zinapatikana huko, Kwanini isiwe ligi bora ukilinganisha na zingine. EPL ni maarufu na inawatazamaji wengi lakini sio bora.
Ligi bora unaipata unapopbanisha timu husika toka hizo ligi na kuangalia ndani ya miaka kadhaa ni timu za ligi ipi zimechukua ubingwa au kufika mbali mara nyingi.siku zote uefa ya platin imekua ikpenda la liga ionekane bora kuliko epl,we unaamini bundesliga ni bora kuliko epl?!!
Sasa kama sehemu wanayopigia tizi wakija ulaya wanasumbua basi umekubali kuwa ni ligi bora! Espanyol nina uhakika ikicheza na everton, everton watautafuta kwa tochi!huwezi kupima ubora wa ligi kwa timu mbili,ligi inakusanya timu nyingi,barce na madrid wanatumia pesa nying kununua wachezaj wazur ili washindane uefa na si la liga,la liga kwao ni mazoezi kwa ajil ya uefa