barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Kweli kabisa, na siku hizi la liga inapoelekea zimekuwa big 3 na villareal na seville wanapanda taratibu.lazima tukubali kwa sasa ligi yao ni bora may be mbelen kidogo kuna ligi nyingne itasumbua,
EPL watu hawapigi hatrick kila cku kwakuwa hamna mtu mwenye level za kina ronaldo ama messi kwan ulishawah ckia griezman kapiga hatrick kule mkuu?Huko kwe UEFA ndo wanaume toka ligi zote za ulaya wanakutana mkuu halafu timu za EPL zikifika angalau nusu ndo zinakua zmejitahidi lakin kila cku tushazoea kina barcelona na madrid wakipotea msimu huu ujue msimu ujao wanabeba ndoo yaan hio ndo formula,utatokwa povu lakin la liga hakuna ligi mule,itakua unajilazimisha tu kutazama,ronaldo anapga hatrick usiku na mchana,mtu kta mwaka anafunga magoli mia,suarez anafunga hovyo tu,mbona hawakufanya hvo epl?!..epl wanakaba mpira,mtu na nafasi,la liga timu 3 tu,zingne zmeoza unakuja kuleta porojo za uefa hapa
Sio vigezo vyangu mimi, ni coefficients za UEFA. Au mwenzangu unatumia vigezo gani?? Au kwa nini unafikiri epl haiwezi kuwa chini ya bundesliga??Kama hadi bayernliga ime izid EPL vigezo vyako nashndwa kuvielewa
EPL na Laliga naweza kuifananisha na form2 A na Form2 B.Laliga iliyotawaliwa na team 2 kama sio 3 ufananishe na ushindani wa EPL????? epl hakuna cha "underdogs" unafungwa na team yoyote ile, sasa laliga ikicheza "levante vs barca/madrid" unajua kabisa levante atakul 8+.
UEFA wana tumia kigezo kimoja tuu, matokeo ya mashindano yao, hasa hyo haina maana yyte, halaf EPL ni ya pili hata kwenye hzo coefficients ulzo semaSio vigezo vyangu mimi, ni coefficients za UEFA. Au mwenzangu unatumia vigezo gani?? Au kwa nini unafikiri epl haiwezi kuwa chini ya bundesliga??
Google mfumo wa coefficients, ingia reliable source yeyote, ingia website ya uefa!
kwani ronaldo na suarez wametoka wapi?EPL watu hawapigi hatrick kila cku kwakuwa hamna mtu mwenye level za kina ronaldo ama messi kwan ulishawah ckia griezman kapiga hatrick kule mkuu?Huko kwe UEFA ndo wanaume toka ligi zote za ulaya wanakutana mkuu halafu timu za EPL zikifika angalau nusu ndo zinakua zmejitahidi lakin kila cku tushazoea kina barcelona na madrid wakipotea msimu huu ujue msimu ujao wanabeba ndoo yaan hio ndo formula,
afadhali ya barcelona,madrid hakuna timu,labda kama hujui maana ya timu,manake wapenda la liga muna matatizo ya misamiati,mnachanganya timu na ligihuo ulikua mtazamo wake yaan madrid au barcelona ikamalize chini ya leicester c ndoto hiyo
taahira mama yako,aliemlazimisha baba yako amtie mimba uzaliweKumbe ni TAAHIRA, haya baki na mtazamo wako, watu wanabeba ndoo za ulaya kila kukicha!
Wenye akili humu wameshajua nani ni taahira.taahira mama yako,aliemlazimisha baba yako amtie mimba uzaliwe
Kwa hiyo big four ya epl kwa nini wao hawaibebi epl michuano ya UCL kama zifanyavyo barca, r.madrid na a.madrid??UEFA wana tumia kigezo kimoja tuu, matokeo ya mashindano yao, hasa hyo haina maana yyte, halaf EPL ni ya pili hata kwenye hzo coefficients ulzo sema
La liga ina saidiwa sana na Barcelona ambaye ana shnda almost daily, madrid ana fuatia, na sevilla Europa
PSG ina isaidia ufaransa vile vile kwani ina uwezo wa kizfunga tim nygne
Lakin hko ni kigezo chao wenyewe na ni kimoja tuu, yaan bayernliga hata kuangalia hauwez kama siyo mjerumani, mshindi ananajulikana kabla hata ligi haija anza asa ndo ligi gan hyo!!
Spain bingwa huwa barca piga ua , labda ateleze tuu, hamna kitu apo
yeah ni kweli washajua,unadhan mgonjwa akil huwa anajijua kama hamnazo!!?..yeye anaona sawa tuWenye akili humu wameshajua nani ni taahira.
mkuu unammanisha barcelona ni ligi?mkuu ulichokiandika we mwenyew unakielewa kweli?afadhali ya barcelona,madrid hakuna timu,labda kama hujui maana ya timu,manake wapenda la liga muna matatizo ya misamiati,mnachanganya timu na ligi
Kwa sabab wao hata wakienda EPL wanaeza kushindana nao, barcelona na madrid ni tm bora dunian hlo halina ubsih lakin hazko kwnye lig compentativeKwa hiyo big four ya epl kwa nini wao hawaibebi epl michuano ya UCL kama zifanyavyo barca, r.madrid na a.madrid??
Au spurs, everton, southampton kwa nini haziibebi epl kama zifanyavyo atletico bilbao, seville, villareal ktk europa??
Alafu kwako, ligi bora unatumia vigezo gani?? Vigezo vya ON PITCH au vigezo vya OFF PITCH??
Epl ni ligi bora OFF THE PITCH, on pitch ambayo ndo football tunayotaka, ligi bora ni la liga.
EPL ni ligi PENDWA sio ligi bora bhana,Kwa hiyo big four ya epl kwa nini wao hawaibebi epl michuano ya UCL kama zifanyavyo barca, r.madrid na a.madrid??
Au spurs, everton, southampton kwa nini haziibebi epl kama zifanyavyo atletico bilbao, seville, villareal ktk europa??
Alafu kwako, ligi bora unatumia vigezo gani?? Vigezo vya ON PITCH au vigezo vya OFF PITCH??
Epl ni ligi bora OFF THE PITCH, on pitch ambayo ndo football tunayotaka, ligi bora ni la liga.
Haya bhana, huu mjadala tumeamua tu kuufanya mrefu, ila kiuhalisia ni mfupi kabisa!Kwa sabab wao hata wakienda EPL wanaeza kushindana nao, barcelona na madrid ni tm bora dunian hlo halina ubsih lakin hazko kwnye lig compentative
Wkat suarez anafunga mabao nane kwa mechi mbili pale hispania, hawez kufanya hvo england, kwa maana tim znanushindani mkubwa mtu wa kwanza na wa pili hawa pishani sana, na hyo ni table nzima iko hvo
Pia kumbuka engaland wana ratiba ngum, wana mashindano mengi na hawapati muda wa kupumzoka krismas kama wenzao wengine, so ikifika michuano ya ulaya wana kuwa na less fitness kulko wenzao
Sevilla huwa kwao hashindanii chchcte kwny la liga ana focus europa tuu, ila tot kila mwaka ana hangaika aingie top four had cku ya mwisho, hawez kuwa na attention sawa na sevilla ambay mpaka sasa kapitwa na alo nafas ya tatu kwa point 26, so sevila hushinda kimahesab tuu kwan hawawez kufanya llte kwenye lig yao
nyi watu wa la liga mna shida sana,kwa hyo ndo ulivonielewa hvyo?!mkuu unammanisha barcelona ni ligi?mkuu ulichokiandika we mwenyew unakielewa kweli?
mnalinganisha timu au ligi?..kwani mwanafunzi wa saint kayumba hawezi mzidi ufaulu wa fezza?EPL na Laliga naweza kuifananisha na form2 A na Form2 B.
Wa kwanza A anaweza kupata wastan wa 65 na wa kwanza B akapata 90,huyo wa kwanza wa A kwenye overall ya And utakuta amekuwa wa 10 ingawa kule kwao wamepishana marks chache sana na wenzake.
Sasa kwa hzo league mbili tuchukulie overall hapo ni UCL nani anafanya vzuri sasahiv kati ya Laliga na EPL?
Umeongea la maana, na hao kina sevilla wana fanya frsh Europa kwa kuw kwenye lig yao hawana la kupoteza wana waachia wale wakubwa, wana focus kweny Europa na hata liver kafanya hvo mwaka huu ame win, manbo ya lig kaachana nayoTATIZO HLO LI LIG LA UHISPANIA N LA TIMU TATU TU ujanishawish!