Ushindani siyo ubora wa ligi ,, epl timu zote hazina viwango na zinacheza mpira Mbovu usiokuwa na ufundi ndo maana wakienda uefa wanaonekana Kama wajinga flan hivi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...
Ligi bora ni wachezaji na mfumo wa uchezaji ..
Anayeitetea epl aniambie huko epl kuna messi, Ronaldo , iniesta , Neymar ??n.k ....?? .. Mchezaji bora wa epl ukimsimamisha na mchezaji bora wa Spain inakuwa vituko teh teh teh ..
Ligi bora ni wachezaji na mfumo wa uchezaji ..
Anayeitetea epl aniambie huko epl kuna messi, Ronaldo , iniesta , Neymar ??n.k ....?? .. Mchezaji bora wa epl ukimsimamisha na mchezaji bora wa Spain inakuwa vituko teh teh teh ..