Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Timu kama Sevilla. A. Madrid, A. Bilbao zipo kundi sawa na top four za EPL.
Sio Kweli Kama Timu Hizo ↑↑ Zipo Level Moja na Top Four Za EPL...
Na kama Upo Ukweli Basi Prove Hapa Tuone....
Tuambie Timu Hizo Zinapokutana Na Timu Kama Mancheter, Chelsea, Liverpool na Arsenal Zina Rekodi Gani???
Huezi Kuifananisha Bilbao Na Hata Spurs au Mancity....
Hizo labda Useme ni timu Za Europa League Ndiyo Nitakuelewa lakini Champuon Legue... Kule Hazifurukuti...
Kule Spain Timu Ni Mbili tu!!!
Tena Ubora Wa Hizo Timu unabebwa na Utajiri Wao Kwamba Wana uwezo wa Kumdaka Mchezaji Yeyote Kutoka Timu yoyote...