Wakati majirani wanasheherekea ndege yao ya kwanza, huku raisi atakua abiria wa kwanza kwenye ndege yetu ya kwenda US

Wakati majirani wanasheherekea ndege yao ya kwanza, huku raisi atakua abiria wa kwanza kwenye ndege yetu ya kwenda US

mtu anaogelea kwenye bwawa la grisi huku akimkejeli anayeogelea kwenye bwawa la tope.
Tanzania na kenya umasikini tunapishana kidogo sana. wote ni masikini wa kutupwa.

Mkuu ukipata muda safiri safiri, jaribu kwenda hapo Nairobi tu kwanza alafu urudi uangalie post yako. Labda tanzania tujilinganishe na Malawi sio Kenya. Kenya iko next level from us.
 
Jana majirani wamesheherekea nchi yote kupokea ndege, sisi kwa kweli hatufai kuwabeza maana kila mtu anafuraha kulingana na mafanikio ya level yake, maana wao moja hiyo ilhali sisi tunazo 37 kama hizo.
Rais Uhuru anajiandaa kuwa abiria wa kwanza kwenye uzinduzi wa safari za kwenda Marekani, kwa yeye kufanya hivyo ni jambo muhimu maana atakua anaupigia debe huo mkondo na kusababisha ufahamike kote kote.

Rubani wa hiyo ndege atakua dada yetu Irene Koki ambaye ni mjuzi sana kwenye urubani.
------------------------------------------------------------

1781633.jpg


An undated photo of Captain Irene Koki, who will fly President Uhuru Kenyatta to New York on KQ's maiden Kenya-US flight. /COURTESY

Africa's first female Dreamliner captain, Irene Koki, will fly President Uhuru Kenyatta to New York on KQ's inaugural flight to the US.

The Kenya Airways pilot became one of the most popular captains in Africa after landing at Nairobi's Jomo Kenyatta International Airport in the airline's fourth Dreamliner

Uhuru will depart in business class from the Nairobi airport at 11.25 pm on October 28. He will land at the John F Kennedy International Airport in New York at 6.25 am the next day.

KQ has started selling tickets for its maiden direct flight to New York, for which economy class fliers will pay Sh89,000 both ways.
In January, KQ CEO Sebastian Mikosz announced that that business class customers will pay Sh257,634 both ways and that the tickets will be subject to government approval.

Kenya Airways said the timings were set to allow connections to and from 40 African destinations.

"The move will cut the flight time between the two cities by more than seven hours," he said, noting it will take 15 hours eastbound and 14 hours westbound.

Economy fliers on Qatar Airways will pay Sh93,000 from Nairobi to New York but they will stop at Doha for two and a half hours and the trip will take 22 hours and 30 minutes long.

The KQ planes will carry 234 passengers, with 30 at the premium world class and 204 in the economy section. They will have four pilots, 12 flight attendants and 85 tonnes of fuel loaded one way.
Captain Irene Koki to fly Uhuru on KQ's maiden US flight
Sawa jirani! Rubani mkenya anaongoza ndege ikiwa na rais kwenda USA, huku kwetu, engineer mtanzania aliyeko kampuni ya Boeing anashiriki kuunda ndege ya tz!

Ila hiyo route ya USA ni kama mmechelewa! Mlisubiri nini mda wote huo?
 
Hongera Jirani kwa kupata Ndege ya kwanza in so many years. I hope this will look up and ATCL will create a niche for itself in the sky industry
 
Mkuu ukipata muda safiri safiri, jaribu kwenda hapo Nairobi tu kwanza alafu urudi uangalie post yako. Labda tanzania tujilinganishe na Malawi sio Kenya. Kenya iko next level from us.
Njoo huku Turkana uione Kenya vizuri.
 
Mkuu ukipata muda safiri safiri, jaribu kwenda hapo Nairobi tu kwanza alafu urudi uangalie post yako. Labda tanzania tujilinganishe na Malawi sio Kenya. Kenya iko next level from us.
Umasikini haupimwi kwa macho bali takwimu.
Poorest countries in the world – ranked | Atlas & Boots
Kenya inaizidi Tanzania kiasi kidogo ambacho haina sababu ya kujivuna kama inajitambua.
wote tuko kwenye mkwamo.

Waafrika tukomae tujikwamue.
 
Hongera Jirani kwa kupata Ndege ya kwanza in so many years. I hope this will look up and ATCL will create a niche for itself in the sky industry


Asante sana, muda wetu wa ku-shine umefika sasa, ndo tumeanza kupanda hivyo breki ya kwanza Mawingu!
DhlmpS5X0AIBFjV.jpg
 
Mbona simuamini huyu rubani? Hii ndege akipaa nayo kama haitatumbukia Ziwa Victoria basi lazima itaharibika kabyureta ikiwa angani. Badala ya 'emergency tunakufa' utasikia 'ebanaeee hapa kazi tu!' 😀
Mzee anapiga kazi zote, PhD aliyonayo sio ya makaratasi[emoji1]
 
hehe maajabu ya musa...kutua kwa ndege kunaifanya nchi nzima isimame watu washerehekee kwanza
emoji1.png
emoji1.png
ndio tofauti ya ldc na middle income
 
Sawa jirani! Rubani mkenya anaongoza ndege ikiwa na rais kwenda USA, huku kwetu, engineer mtanzania aliyeko kampuni ya Boeing anashiriki kuunda ndege ya tz!

Ila hiyo route ya USA ni kama mmechelewa! Mlisubiri nini mda wote huo?

Marekani tangu kipigo cha 911 huwa hapaingiwi kiholela, hadi wao wenyewe wakuruhusu kwanza.
Walikuja wakafanya kaguzi za kila aina na kuweka JKIA kwenye level waitakayo wao.

kawaida huwa wanataka ndege yako ipitie UK na kwengine kabla ya kwenda kwao, ili kama una madude ya kulipuka uwalipukie hao kwanza.
 
Jana majirani wamesheherekea nchi yote kupokea ndege, sisi kwa kweli hatufai kuwabeza maana kila mtu anafuraha kulingana na mafanikio ya level yake, maana wao moja hiyo ilhali sisi tunazo 37 kama hizo.
Rais Uhuru anajiandaa kuwa abiria wa kwanza kwenye uzinduzi wa safari za kwenda Marekani, kwa yeye kufanya hivyo ni jambo muhimu maana atakua anaupigia debe huo mkondo na kusababisha ufahamike kote kote.

Rubani wa hiyo ndege atakua dada yetu Irene Koki ambaye ni mjuzi sana kwenye urubani.
------------------------------------------------------------

1781633.jpg


An undated photo of Captain Irene Koki, who will fly President Uhuru Kenyatta to New York on KQ's maiden Kenya-US flight. /COURTESY

Africa's first female Dreamliner captain, Irene Koki, will fly President Uhuru Kenyatta to New York on KQ's inaugural flight to the US.

The Kenya Airways pilot became one of the most popular captains in Africa after landing at Nairobi's Jomo Kenyatta International Airport in the airline's fourth Dreamliner

Uhuru will depart in business class from the Nairobi airport at 11.25 pm on October 28. He will land at the John F Kennedy International Airport in New York at 6.25 am the next day.

KQ has started selling tickets for its maiden direct flight to New York, for which economy class fliers will pay Sh89,000 both ways.
In January, KQ CEO Sebastian Mikosz announced that that business class customers will pay Sh257,634 both ways and that the tickets will be subject to government approval.

Kenya Airways said the timings were set to allow connections to and from 40 African destinations.

"The move will cut the flight time between the two cities by more than seven hours," he said, noting it will take 15 hours eastbound and 14 hours westbound.

Economy fliers on Qatar Airways will pay Sh93,000 from Nairobi to New York but they will stop at Doha for two and a half hours and the trip will take 22 hours and 30 minutes long.

The KQ planes will carry 234 passengers, with 30 at the premium world class and 204 in the economy section. They will have four pilots, 12 flight attendants and 85 tonnes of fuel loaded one way.
Captain Irene Koki to fly Uhuru on KQ's maiden US flight
Africa 'll develop only when Africans 'll start to mind their own problems... bado siamini kama mtu mwenye akili zake timam anaweza akapoteza his precious time kuandika upuuzi kama huo mbele za watu.. shame on you..!
 
Back
Top Bottom