Wakati Mbowe anazunguka kusifia alivyolainishiwa maisha, Lissu anaongelea ugumu wa Maisha wa Masikini

Wakati Mbowe anazunguka kusifia alivyolainishiwa maisha, Lissu anaongelea ugumu wa Maisha wa Masikini

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Ni wazi Mbowe ameishiwa na hana cha kuongea. Anazungumzia sana jinsi ambavyo asubuhi alikuwa mfungwa jioni akawa ana kula kuku Ikulu. Na anashukuru sana. Yaani amesahau hata ni nani alimkamata na nani alimwachilia.

Akiwa anaongea unamwona tu kila dakika analamba asali anakuja tena kuongea jukwaani. Akiongea kidogo koo lilikauka anaenda tena kulamba asali.

Lissu anaongea koo likikauka anakunywa tu ya kuchemshwa. Mbowe akiwa jukwaani muda wote anajikuta anamponda tu Sukuma Gang na kusifiw Msoga Gang sisi Wananchi Gang hatuguswi kabisa.
 
Ngoja tumsikie kasulu anasemaje tulinganishe na hotuba za lissu tukumbuke mmoja anatumia chopa mwingine aridhini
 
Ni wazi Mbowe ameishiwa na hana cha kuongea. Anazungumzia sana jinsi ambavyo asubuhi alikuwa mfungwa jioni akawa ana kula kuku Ikulu. Na anashukuru sana. Yaani amesahau hata ni nani alimkamata na nani alimwachilia.

Akiwa anaongea unamwona tu kila dakika analamba asali anakuja tena kuongea jukwaani. Akiongea kidogo koo lilikauka anaenda tena kulamba asali.

Lissu anaongea koo likikauka anakunywa tu ya kuchemshwa. Mbowe akiwa jukwaani muda wote anajikuta anamponda tu Sukuma Gang na kusifiw Msoga Gang sisi Wananchi Gang hatuguswi kabisa.
STUPID
 
Maji na mafuta vitachangamana tu. Muda ni rafiki mzuri
 
Nipo Kasulu uwanja wa umoja nimemsikia bro Mbowe akihutubia wananchi hana jipya anapita mle mle kwa mama tu nadhani ni jambo jema.
 
Back
Top Bottom