Wakati mchina anafanya majaribio ya ndege za jet, USA yuko mbioni kutuletea super sonic planes

Wakati mchina anafanya majaribio ya ndege za jet, USA yuko mbioni kutuletea super sonic planes

Usisahau pia Tanzania ina miaka 63 tangu ipate uhuru wakati USA ana miaka 200+
Kwani Afrika kusini walipata uhuru mwaka gani 🤔🤔 tena sisi ndio tulikua vihere here kuwasaidia lakini Leo hii uchumi wao na wetu ukoje 🤔🤔 umaskini na uchumi wa kuunga unga wa Tanzania sababu sio tulipata uhuru lini lakini ni utawala wa kipumbavu na wakishetani kabisa wa ccm
 
Kuna kitu humu mbeleni anataka kukifanya USA kwenye usafiri wa anga

Shirika la anga la NASA limezindua ndege aina ya supersonic engine X59 na ni ya, abiria

Hii ndege Ina speed zaidi ya sauti.
Ni maboresho ya ndege aina ya Concorde zilizokuwa zinatumika huko nyuma.

Hii ndege Ina uwezo mkubwa Sana wa kusafiri muda mfupi kutoka sehemu moja hadi nyingine.

Kwasasahivi Ipo kwenye majaribio na shirika la anga la MAREKANI
( NASA).
View attachment 2910126


View attachment 2910125
We nae toka umepata bwana wa Kimarekani basi hatupumui
Screenshot_20240217-053841~2.jpg
Screenshot_20240217-053826~2.jpg
Screenshot_20240220-195000.jpg
2910430[/ATTACH]
 

Attachments

  • Screenshot_20240220-195053.jpg
    Screenshot_20240220-195053.jpg
    28.9 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240220-195000~2.jpg
    Screenshot_20240220-195000~2.jpg
    63.2 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240220-195053~2.jpg
    Screenshot_20240220-195053~2.jpg
    60.6 KB · Views: 2
Hamna usafiriki wa spidi hiyo. Shekhe Omari anasema usafiri wa haraka wa kichawi ni kukalia fimbo na ufagio ambapo kutoka Dar hadi Comoro wanatumia dakika 45. Hivyo, kutoka DAR -USA bila shaka itachukua masaa kadhaa.
Uchawi upo WA aina na fani tofauti tofauti.Ipo jet ya kichawi inauzwa bilioni 900 inatumia damu kama mafuta.
 
Kuna kitu humu mbeleni anataka kukifanya USA kwenye usafiri wa anga

Shirika la anga la NASA limezindua ndege aina ya supersonic engine X59 na ni ya, abiria

Hii ndege Ina speed zaidi ya sauti.
Ni maboresho ya ndege aina ya Concorde zilizokuwa zinatumika huko nyuma.

Hii ndege Ina uwezo mkubwa Sana wa kusafiri muda mfupi kutoka sehemu moja hadi nyingine.

Kwasasahivi Ipo kwenye majaribio na shirika la anga la MAREKANI
( NASA).
View attachment 2910126


View attachment 2910125
Labda ziwe za kivita tu, ila kubeba abiria mtihani kweli kweli.

T14 Armata
 
Kuna kitu humu mbeleni anataka kukifanya USA kwenye usafiri wa anga

Shirika la anga la NASA limezindua ndege aina ya supersonic engine X59 na ni ya, abiria

Hii ndege Ina speed zaidi ya sauti.
Ni maboresho ya ndege aina ya Concorde zilizokuwa zinatumika huko nyuma.

Hii ndege Ina uwezo mkubwa Sana wa kusafiri muda mfupi kutoka sehemu moja hadi nyingine.

Kwasasahivi Ipo kwenye majaribio na shirika la anga la MAREKANI
( NASA).
View attachment 2910126


View attachment 2910125
Hiyo sio ndege ya abiria. Ni demonstration au experimental jet. Ukiona ndege ya Marekani imeanza na X- ujue ni experimental. NASA wanazo X- nyingi tu na kila ikimaliza kazi wanaweka museum na wanatoa idea kwa jeshi au kwa civilian aviation.
 
Supersonic plane mbona zilikuwepo toka miaka ya 70 huko warusi walikuwa nazo,wafaransa walikuwa na concord siyo jambo geni mkuu

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Kuna kitu humu mbeleni anataka kukifanya USA kwenye usafiri wa anga

Shirika la anga la NASA limezindua ndege aina ya supersonic engine X59 na ni ya, abiria

Hii ndege Ina speed zaidi ya sauti.
Ni maboresho ya ndege aina ya Concorde zilizokuwa zinatumika huko nyuma.

Hii ndege Ina uwezo mkubwa Sana wa kusafiri muda mfupi kutoka sehemu moja hadi nyingine.

Kwasasahivi Ipo kwenye majaribio na shirika la anga la MAREKANI
( NASA).
View attachment 2910126


View attachment 2910125
Mtoa taarifa umeitoa taafira kiubinafsi Sana ila siyo mbaya ila kumbuka mafanikio ya China kwenye nyanja zote za kiuchumi,kiteknolojia yanaishtua sana Marekani si ivyo tu China na japani wapo mbali sana kwenye tafiti za bullet train na si miaka mingi wataanza kuileta kwenye matumizi ya kijamii
 
Uku Tanzania umeme,sugar,maji ni matatizo ya miaka na miaka kila raisi ayawezi kuyatatua ayo matati wengine mpaka tutakufa atutayaona yakitatuliwa ayo matatizo.
 
Mkuu kwani USA ndo kaanza?
Mbona concord imefanya kazi sana miaka hiyo mpaka walipoamua kuiground? Alikuwa mwingereza na mfaransa.
And by the way hufuatilii hata mchina ana project ya supersonic jet kwa ajili ya kusafirisha raia. Tafuta utapata maana unlike US, habari nyingi za wachina wabongo zimetuacha.
Mkuu nadhani kulikuwa na Tu-144 ya Soviets ndo ilikuwa ya kwanza. Ila kinachonishangaza ni kuwa tech nyingi zilizowezekana miaka ya 60-80s leo haziwezekani eti mpaka zinatengewa mabilioni ya pesa kufanyiwa utafiti mfano ni kumpeleka tena binadam mwezini.
 
Back
Top Bottom