Wakati mchina anafanya majaribio ya ndege za jet, USA yuko mbioni kutuletea super sonic planes

Wakati mchina anafanya majaribio ya ndege za jet, USA yuko mbioni kutuletea super sonic planes

Mkuu nadhani kulikuwa na Tu-144 ya Soviets ndo ilikuwa ya kwanza. Ila kinachonishangaza ni kuwa tech nyingi zilizowezekana miaka ya 60-80s leo haziwezekani eti mpaka zinatengewa mabilioni ya pesa kufanyiwa utafiti mfano ni kumpeleka tena binadam mwezini.
Hili la kumpeleka binadamu mwezini na mission kuchukua muda mrefu linanifanya nione wale wanaosema ile binadamu kuta mwezini miaka hiyo yalikuwa maigizo nione wana hoja
 
Back
Top Bottom