Kwani Afrika kusini walipata uhuru mwaka gani π€π€ tena sisi ndio tulikua vihere here kuwasaidia lakini Leo hii uchumi wao na wetu ukoje π€π€ umaskini na uchumi wa kuunga unga wa Tanzania sababu sio tulipata uhuru lini lakini ni utawala wa kipumbavu na wakishetani kabisa wa ccmUsisahau pia Tanzania ina miaka 63 tangu ipate uhuru wakati USA ana miaka 200+
We nae toka umepata bwana wa Kimarekani basi hatupumuiKuna kitu humu mbeleni anataka kukifanya USA kwenye usafiri wa anga
Shirika la anga la NASA limezindua ndege aina ya supersonic engine X59 na ni ya, abiria
Hii ndege Ina speed zaidi ya sauti.
Ni maboresho ya ndege aina ya Concorde zilizokuwa zinatumika huko nyuma.
Hii ndege Ina uwezo mkubwa Sana wa kusafiri muda mfupi kutoka sehemu moja hadi nyingine.
Kwasasahivi Ipo kwenye majaribio na shirika la anga la MAREKANI
( NASA).
View attachment 2910126
View attachment 2910125
Uchawi upo WA aina na fani tofauti tofauti.Ipo jet ya kichawi inauzwa bilioni 900 inatumia damu kama mafuta.Hamna usafiriki wa spidi hiyo. Shekhe Omari anasema usafiri wa haraka wa kichawi ni kukalia fimbo na ufagio ambapo kutoka Dar hadi Comoro wanatumia dakika 45. Hivyo, kutoka DAR -USA bila shaka itachukua masaa kadhaa.
Akili yote iko kwenye kukimbiza mwenge wakati shule nyingi hata vyoo tu hazina na bado umeme ambao serikali imelazimisha mgao ilimradi tu ccm wapate pesa za kuja kutumia kuhujumu uchaguzi. Bure kabisa.Wakati huo huo Tanzania bado umeme na sukari ni tatizo kuu la taifa
Sukari, umeme, uhaba wa dola!Wakati huo huo Tanzania bado umeme na sukari ni tatizo kuu la taifa
Kuna misafara mirefu ya VX V8 kueneza sera.Akili yote iko kwenye kukimbiza mwenge wakati shule nyingi hata vyoo tu hazina na bado umeme ambao serikali imelazimisha mgao ilimradi tu ccm wapate pesa za kuja kutumia kuhujumu uchaguzi. Bure kabisa.
Labda ziwe za kivita tu, ila kubeba abiria mtihani kweli kweli.Kuna kitu humu mbeleni anataka kukifanya USA kwenye usafiri wa anga
Shirika la anga la NASA limezindua ndege aina ya supersonic engine X59 na ni ya, abiria
Hii ndege Ina speed zaidi ya sauti.
Ni maboresho ya ndege aina ya Concorde zilizokuwa zinatumika huko nyuma.
Hii ndege Ina uwezo mkubwa Sana wa kusafiri muda mfupi kutoka sehemu moja hadi nyingine.
Kwasasahivi Ipo kwenye majaribio na shirika la anga la MAREKANI
( NASA).
View attachment 2910126
View attachment 2910125
Ikisimama huko angani Kwa ajili ya kuchimba dawa ndo dakika 20 zitafika vinginevyo sikumbukihiyo tz haitatumika kwenye safari za ndani bila shaka, manake si ukute ikatumia dakika hata 20 kwenda mwanza to dsm. just curious, kama ina mwendo kuliko sauti?
Hiyo sio ndege ya abiria. Ni demonstration au experimental jet. Ukiona ndege ya Marekani imeanza na X- ujue ni experimental. NASA wanazo X- nyingi tu na kila ikimaliza kazi wanaweka museum na wanatoa idea kwa jeshi au kwa civilian aviation.Kuna kitu humu mbeleni anataka kukifanya USA kwenye usafiri wa anga
Shirika la anga la NASA limezindua ndege aina ya supersonic engine X59 na ni ya, abiria
Hii ndege Ina speed zaidi ya sauti.
Ni maboresho ya ndege aina ya Concorde zilizokuwa zinatumika huko nyuma.
Hii ndege Ina uwezo mkubwa Sana wa kusafiri muda mfupi kutoka sehemu moja hadi nyingine.
Kwasasahivi Ipo kwenye majaribio na shirika la anga la MAREKANI
( NASA).
View attachment 2910126
View attachment 2910125
kwamba HongKong ilipata uhuru mwaka 1776 au mwaka 1997 ?maana nyie Tz mmepata uhuru mwaka 2000Usisahau pia Tanzania ina miaka 63 tangu ipate uhuru wakati USA ana miaka 200+
Huu ndio upumbavu unaoturudisha nyuma....vipi kuhusu South Africa na Tanzania?Usisahau pia Tanzania ina miaka 63 tangu ipate uhuru wakati USA ana miaka 200+
Mtoa taarifa umeitoa taafira kiubinafsi Sana ila siyo mbaya ila kumbuka mafanikio ya China kwenye nyanja zote za kiuchumi,kiteknolojia yanaishtua sana Marekani si ivyo tu China na japani wapo mbali sana kwenye tafiti za bullet train na si miaka mingi wataanza kuileta kwenye matumizi ya kijamiiKuna kitu humu mbeleni anataka kukifanya USA kwenye usafiri wa anga
Shirika la anga la NASA limezindua ndege aina ya supersonic engine X59 na ni ya, abiria
Hii ndege Ina speed zaidi ya sauti.
Ni maboresho ya ndege aina ya Concorde zilizokuwa zinatumika huko nyuma.
Hii ndege Ina uwezo mkubwa Sana wa kusafiri muda mfupi kutoka sehemu moja hadi nyingine.
Kwasasahivi Ipo kwenye majaribio na shirika la anga la MAREKANI
( NASA).
View attachment 2910126
View attachment 2910125
Kwa hyo bado kama miaka 137 tutakuwa sawa na USA ilivyo sasa hivi? Na wao wakiwa na miaka 63 ya uhuru walikuwa kama sisi tulivyo sasa?Usisahau pia Tanzania ina miaka 63 tangu ipate uhuru wakati USA ana miaka 200+
Usisahau pia kuna nchi zilipata uhuru baada ya Tanzania na leo hii wametuacha mbali sana...Usisahau pia Tanzania ina miaka 63 tangu ipate uhuru wakati USA ana miaka 200+
Uafrika hasa utanzania ni laana.hicho siyo kigezo kwamba sisi bado ni watoto. Thailand, Indonesia, Malaysia etc tumepata nao uhuru. SEMA SISI WAAFRIKA NI WENDAWAZIMU NA NYANI WALIOENDELEA KIDOGO TU UKILINGANISHA NA WALE WA PORINI.
Mkuu nadhani kulikuwa na Tu-144 ya Soviets ndo ilikuwa ya kwanza. Ila kinachonishangaza ni kuwa tech nyingi zilizowezekana miaka ya 60-80s leo haziwezekani eti mpaka zinatengewa mabilioni ya pesa kufanyiwa utafiti mfano ni kumpeleka tena binadam mwezini.Mkuu kwani USA ndo kaanza?
Mbona concord imefanya kazi sana miaka hiyo mpaka walipoamua kuiground? Alikuwa mwingereza na mfaransa.
And by the way hufuatilii hata mchina ana project ya supersonic jet kwa ajili ya kusafirisha raia. Tafuta utapata maana unlike US, habari nyingi za wachina wabongo zimetuacha.