Wakati mgumu kwa machawa wa siasa

Wakati mgumu kwa machawa wa siasa

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Kuna viongozi wengi walikuwa wanategemea mgawanyiko na ugomvi wa Magufuli na upinzani.

Hawa ni machawa wa usalama, Polisi na wanasiasa wanaotafuta nafasi.

Hawa ni wale watu ambao kiundani hawajali Tanzania bali matumbo yao zaidi.

Sasa Rais Samia anaongea na upinzani moja kwa moja bila wapambe kujua yote waliyo ongea inaleta hasira nyingi kwa hawa machawa ambao sasa hawajui Rais anafikiria nini.

Mfano wa chawa mkubwa sana ni IGP sirro na wenzake, Dkt. Slaa naye anajaribu kuwa chawa bila mafanikio.

Namshukuru Mama kwa kutusikiliza sisi ambao ni team Tanzania 🇹🇿

Jamaa naye kasema kuhusu hili

 
Wachumia tumbo kutoka polis task force na usalama wa taifa, walikua wanafaidi kwa kuandikiana perdm za kuwinda wanaokosoa serikali nchi nzima. Bila kujali Uhuru unaotolewa na katiba wa kujieleza.

Wanasiasa wachumia tumbo walitumia mifarakano ile kuanzisha figisu upinzani waliko na kuhamia ccm.
 
Kuna viongozi wengi walikuwa wanategemea mgawanyiko na ugomvi wa Magufuli na upinzani. Hawa ni machawa wa usalama, Polisi na wanasiasa wanaotafuta nafasi. Hawa ni wale watu ambao kiundani hawajali Tanzania bali matumbo yao zaidi. Sasa Raisi Samia anaongea na upinzani moja kwa moja bila wapambe kujua yote waliyo ongea inaleta hasira nyingi kwa hawa machawa ambao sasa hawajui Rais anafikiria nini. Mfano wa chawa mkubwa sana ni IGP sirro na wenzake, Dr Slaa naye anajaribu kuwa chawa bila mafanikio.

Namshukuru Mama kwa kutusikiliza sisi ambao ni team Tanzania 🇹🇿

IMG_20220305_151655_415.jpg
 
Kuna viongozi wengi walikuwa wanategemea mgawanyiko na ugomvi wa Magufuli na upinzani. Hawa ni machawa wa usalama, Polisi na wanasiasa wanaotafuta nafasi. Hawa ni wale watu ambao kiundani hawajali Tanzania bali matumbo yao zaidi. Sasa Raisi Samia anaongea na upinzani moja kwa moja bila wapambe kujua yote waliyo ongea inaleta hasira nyingi kwa hawa machawa ambao sasa hawajui Rais anafikiria nini. Mfano wa chawa mkubwa sana ni IGP sirro na wenzake, Dr Slaa naye anajaribu kuwa chawa bila mafanikio.

Namshukuru Mama kwa kutusikiliza sisi ambao ni team Tanzania 🇹🇿
kwahiyo nimwendo wakupiga pasi tu!
 
Pale Chadema wanapoweka mategemeo kwa mwenyekiti wa CCM.

Halafu hawa hawa wanategemea mambo tofauti.

Aisee.
 
Wachumia tumbo kutoka polis task force na usalama wa taifa, walikua wanafaidi kwa kuandikiana perdm za kuwinda wanaokosoa serikali nchi nzima. Bila kujali Uhuru unaotolewa na katiba wa kujieleza.

Wanasiasa wachumia tumbo walitumia mifarakano ile kuanzisha figisu upinzani waliko na kuhamia ccm.
Musiba alipewa gazeti na Polisi wa kumlinda kwa kazi hiyo, mtu kama huyo hawezi acha kumtukana Samia
 
Mfano wa chawa mkubwa sana ni IGP sirro na wenzake, Dr Slaa naye anajaribu kuwa chawa bila mafanikio.
Chawa nao wamegawanyika makundi mawili
  1. Chawa wa kwenye nywele
  2. Chawa wa kwenye nguo
Nawasilisha
 
Back
Top Bottom