Kuna viongozi wengi walikuwa wanategemea mgawanyiko na ugomvi wa Magufuli na upinzani. Hawa ni machawa wa usalama, Polisi na wanasiasa wanaotafuta nafasi. Hawa ni wale watu ambao kiundani hawajali Tanzania bali matumbo yao zaidi. Sasa Raisi Samia anaongea na upinzani moja kwa moja bila wapambe kujua yote waliyo ongea inaleta hasira nyingi kwa hawa machawa ambao sasa hawajui Rais anafikiria nini. Mfano wa chawa mkubwa sana ni IGP sirro na wenzake, Dr Slaa naye anajaribu kuwa chawa bila mafanikio.
Namshukuru Mama kwa kutusikiliza sisi ambao ni team Tanzania 🇹🇿
kwahiyo nimwendo wakupiga pasi tu!Kuna viongozi wengi walikuwa wanategemea mgawanyiko na ugomvi wa Magufuli na upinzani. Hawa ni machawa wa usalama, Polisi na wanasiasa wanaotafuta nafasi. Hawa ni wale watu ambao kiundani hawajali Tanzania bali matumbo yao zaidi. Sasa Raisi Samia anaongea na upinzani moja kwa moja bila wapambe kujua yote waliyo ongea inaleta hasira nyingi kwa hawa machawa ambao sasa hawajui Rais anafikiria nini. Mfano wa chawa mkubwa sana ni IGP sirro na wenzake, Dr Slaa naye anajaribu kuwa chawa bila mafanikio.
Namshukuru Mama kwa kutusikiliza sisi ambao ni team Tanzania 🇹🇿
Chawa Hakuna KuvimbaMuda wetu...... muda wetuuuuuuu........ Tunafukuza chawaaa
Musiba alipewa gazeti na Polisi wa kumlinda kwa kazi hiyo, mtu kama huyo hawezi acha kumtukana SamiaWachumia tumbo kutoka polis task force na usalama wa taifa, walikua wanafaidi kwa kuandikiana perdm za kuwinda wanaokosoa serikali nchi nzima. Bila kujali Uhuru unaotolewa na katiba wa kujieleza.
Wanasiasa wachumia tumbo walitumia mifarakano ile kuanzisha figisu upinzani waliko na kuhamia ccm.
Chawa nao wamegawanyika makundi mawiliMfano wa chawa mkubwa sana ni IGP sirro na wenzake, Dr Slaa naye anajaribu kuwa chawa bila mafanikio.
Wewe huwa sio shoga, bali huwa mpumbavu.Endeleeni kuwadondoeshea vitu vizito mataga wakiongozwa humu jamvini na Kinuju Kiturilo Nyani Ngabu Crimea mjingamimi Kamanda Asiyechoka zandrano Stroke comte et al