Wakati mvua zikiendelea kuutesa mkoa Dar, mkumbuke maji yanarudi mahala pake tu Serikali haina makosa

Wakati mvua zikiendelea kuutesa mkoa Dar, mkumbuke maji yanarudi mahala pake tu Serikali haina makosa

Ile mikocheni mzee si bahari kabisa lakini sasa hivi mijengo ya kufa mtu
Upo sawa, Mikocheni, Msasani na Mbezi Beach, yale maeneo wayback yalikuwa ni Majaruba ya kulimia Mpunga, baadaye wakawanalima michicha
 
Back
Top Bottom