Jose Author
Senior Member
- Jun 21, 2022
- 113
- 251
- Thread starter
- #181
Tusikatishwe tamaa na mtunga Hadithi,wito ni ule ule nunua kadri uwezavyo[emoji16][emoji16][emoji16]
Hahahahhaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusikatishwe tamaa na mtunga Hadithi,wito ni ule ule nunua kadri uwezavyo[emoji16][emoji16][emoji16]
Tupe muendelezo mkuuHahahahhaha
hahahaNAKAZIA
Itaendelea?
WAKATI NAJIUZA NIILIWAFANYISHA WATU MAPENZI NA FISI BILA WAO KUJUA 13
“ Inawezekana.” Niliwajibu mawazo yangu yakiwa kwenye hela yao.
Waliingia ndani nami niliwafata kwa nyuma.
Bila kushangaa walitoa mashuka yao, nami nilitoa viwalo vyangu. Niliinama chini ya ktanda nikatoa box la salama na kuwapa.
“ Mmmmh!” Niliguna baada ya kuyaona maungo yao! Yalitisha. Hayakuwa yakawaida. Yalikuwa makubwa pia kwa mbele yalikuwa kama yamepinda hivi, pia yalijaa misuli kama mkono wa mbeba vyuma.
Nilikaa kitandani moyo ukinidunda sana. Niltamani hela zao lakini maumbile yao yalinitsiha, mbaya zaidi walikuwa wawili.
Badala ya kuzivaaa salama nilizowapa, waliztupa chini kisha wakanishika mkono.
“ Vaeni kondomu kwanza.” Niliwaambia.
‘ Elfu arobaini ni nyingi sana..hatuwezi kutumia hio pira.”
“ Aaaah! hapana. Bila salama haiwezekani..haiwezekani kabisaaaa…” Niliwaambia. Nilishika nguo zangu na kuzivaaa haraka haraka. Kwenye swala la salama nilikuwa serious. Sikuwa na masihara hata kidogo. Nliwataka wavae salama na kama hawataki waondoke.
Walinibemebeleza na kuniahidi kuniongezea hela.
Nilikataaa.
Kumbukumbu za mateso aliiyoyapata mama ilinijia kichwani. Nilikumbuka jinsi alivyoteseka na kuumia tukiwa hospitali. Nilijikuta najiapiza pale pale kuwa sitakuja kulala na mwanume yeyote pasipokutumia kiinga.
Niliushikiria msimamo wangu.
Tulibishana kwa dakika kadhaa mwishoe walikata tamaa. Walijifunika mshauka yao na kuondoka wakiwa wanatukana.
Sikuwajali.
…………..
Ili kuondoa malumbano, na kufanya kazi yangu kwa uhakika zaidi, niliweka bango dogo mlangoni kuwa ni lazima kutumia kondomu.
Siku mbil tatu niliwapata wateja wachache na kuwahudumia.
Siku zilivyozidi kwenda mbele wateja walikata kabisa kwangu. Wanaume wengi wa pale walikuwa wanataka hivi hivi, swala la kondomu liliwafukuzisha kabisa kwangu. Nilijaribu kukaa kimitego tego na kutumia mbinu nyingine mbali mbali lakini ilishindikana.
Nilidoda na kukosa kabisa wateja.
“ Lucy kama unataka kishi hapa hilo tangazo lako ungelitoa.. hapa ni kavu kavu, swala la kondomu sio muhimu hapa..” ALiniambia siwema. Kahaba aliyekuwa anajiuza chumba cha pili kutoka kwenye chumba changu.
…………………………….
Maneno ya siwema yalikuwa kama laana kwangu, ilikuwa ni kweli, sikuwa Napata wateja kabisaaa, yaani kwa siku nilikuwa naweza pata mtu mmoja au wawili, na wao walilipa hela ndogo sana kwakuwa walijua sina wateja hivyo nina njaaa.
Siku moja majira ya jioni, alinifata mbaba mmoja wa pale mtaani. Aliniambia anambinu anataka kunipa ambayo inaweza kunisaidia kwenye biashara yangu.
Yule mzee alikuwa anaitwa mzee Honde, toka nakaa pale na mama yule mzee alikuwa anasifa ya uganga na uchawi. Hivyo alivyonifata na kusema anataka kunisaidia, moja kwa moja nilijua anataka kunipa dawa za biashara.
Japo nilikuwa siamini lakini nilitamani nipate wateja wengi zaidi kwenye bashara yangu. Hivy nilikaa kwa umakini kumsikiliza.
“ Najua unaogopa sana UKIMWI ndio mana unatumia kondom, lakini kwa mazingira haya huwezi kufanya biashara hivyo.” Aliniambia.
“ Sasa nitafanyaje?”
“ chakufanya kipo! Ni rahisi sana. Twende huku kwanza.” Aliniambia. Nilisimama, lakini kabla sijapiga hatua, alinipaka dawa kwenye paji langu la uso kisha nae akajipaka.
“ Hii dawa itatusaidia sana! Tukiwa huko nje hakuna mtu atakayetuona, japo sisi tutawaona.’ ALiniambia. Tulitoka ndani, kama alivyosema. Nje tuliwaona watu lakini wao hawakutuona.
“ Tunaenda wapi?” Nilimuuliza.
“ Unamjua mama Mwajuma?” Aliniuliza.
“ Namjua .”
“ Si unajua anajiuza na mumewe anajua.”
“ Ndio, hio inashangaza sana. Inawezekana vipi mwanaume akaruhusu mkewe akajiuza pasipo matatizo?” Nilimuuliza.
“ Usijali. Leo nitakuonyesha wanachofanya.” ALiniambia. Tulifika kwenye chumba anayojiuzia Mama mwajuma. Kwa nje tulimkuta mume wake akiwa anaongea na mteja wa mkewe.
“ Unaniichelewesha bana..acha nikamkune mkeo..” ALiongea yule mteja. Mume wa Mama mwajuma alicheka na kumruhusu aingie ndani.
ALiingia.
Akiwa aningia sisi pia tuliingia pasipowao kutuona. Ndani tulimshuhudia Mama mwajuma akiwa kaka kitandani uchi na yule mwanaume akiwa anajiandaa aweze kumuingia. ALimshika mikono ili amuiingie, lakini ile anamuingia tu, pale pale Mama mwajuma alitoka akabaki mbwaa. Yule mtu pasipokujua alimwingia yule mbwa. Hayo yakifanyika Mama mwajuma alikuwa pembeni akitazama.
“ Njoo uone ninavyomfanya mkeo…we falaaa…si unataka hela zangu..njoo uone sasaaa ninavyomfanya mkeoo..” ALiongea yule jamaa akiwa anafanya kwa nguvu zote pasipokujua anafanya na mbwaaaaa.
Nakuja.
Aseee
Tunasonga
Hatari
Copy and Paste ✓
Tuma episode inayofuata mkuu acha kuchat wakat tuna arostoSijaelewa
Hahaaaa, mmods wamefanya yao tayari.Duh 😂😂😂 Sasa mleta simulizi kapigwa BAN itakuwaje sasa??