Wakati najiuza niliwafanyisha watu mapenzi na fisi bila ya wao kujua

Wakati najiuza niliwafanyisha watu mapenzi na fisi bila ya wao kujua

Lazima moderator akasirike kufanyishwa mapenzi na fisi.... Huyu mbwa mfungieni maisha. Maana hatujui wangapi humu mmefanyishwa na fisi
 
View attachment 2620003

Umewahi kununua kahaba? Kama jibu ndio basi kuna uwezekano umewahi kufanya mapenzi na wanyama kama mbwa au fisi bila ya wewe kujua! Unashangaaa? Usishangae na wala usibishe. Dunia inamambo ya ajabu sana ndugu yangu.

Uliyelala naye sio mwanamke uliyemnunua! Kuna uwezekano ulifanyiwa kiini macho ukalala na fisi au mbwa, nasema hayo kwakuwa binafsi niliwafanyia hivyo wateja wangu. Walijua wanafanya mapenzi na Mimi kumbe wanafanya mapenzi na fisi.

Ilkuwa balaa.. na wateja walinipenda! Niliuza kupita maelezo, walinisifu na kuniita Lucy mtamu! Eeeh! Waliniita lucy mtamu bila ya kujua utamu haukuwa wangu! Ulikuwa wa fisi, na mara nyingne ulkuwa wa mbwa.

Ila tafadhali msinichukie, maana sikufanya kwasababu napenda bali maisha, harakati za kutafuta riziki na kutaka kuonekana bora kwenye uso wa dunia zilinifanya nifanye hayo. Kabla sijaeleza kisa changu kwanza naomba mnisamehe , hasa kwa wale waliokuwa wateja wangu.

Wale wote waliowahi kuninunua na tukafanya mapenzi, nipo chin ya miguu yenu! Samahanini sana. Tena sana. Sikuwa najua madhara ya kumfanyisha mapenz mtu na fisi. Pia tamaaa na ujinga vilichangia.

Najua licha ya kutumia jina bandia, nina uhakika mliokuwa wateja wangu mtanijua, nawaomba sana msije kunidhuru kwa maana kama nlivyosema sikufanya kwakupenda, na pia msiogope sitawataja majina yenu halisi humu.

Natumai tumeelewana.

Acha nianze kuwasimulia kisa chenyewe.

Kwa majina naitwa Lucy Haule, nilizaliwa mwaka 1992 jijini dar es salaam. Mama yangu anaitwa Mage Haule, na baba yangu simfahamu.

Nikiwa na miaka kumi, niligundua Mama yangu anafanya kazi ya ukahaba, alikuwa anaendesha maisha yake kwa njia ya kujiuza. Na sio yeye tu, mtaa tuliokuwa tukiiishi wanawake wote walikuwa wanajiuza.

Mazingira tuliyoishi yalikaa kingono ngono, muda mwing watu walishiriki ngono, kama sio kufanya basi waliongelea ngono! Hii ilinifanya nione ngono ni jambo la kawaida.

Mara kadhaaa nilimkuta Mama akifanya mapenzi na wanaume tofauti tofauti. Alikuwa akifanya kwa uwazi pasipokujali wala kuwa na wasiwasi . Mfano, siku za jumamosi na jumapili ambazo sikuwa naenda shule, nilimshuhudia akifanya mapenzi na wanaume zaidi ya kumi kwa siku moja.

Alikuwa akitoka huyu anaingia huyu.

Licha ya kuyashuhudia hayo, mama alinionya nisijaribu kufanya. Aliniambia eti nisome kwa bidiii ili nije kuwa mfanyakazi wa serikali! Ah..ah..ah..ah. Uwa nacheka nikikumbuka malengo ya mama juu yangu.

Miaka yote niliyoishi na mama tuliishi vizuri sana, Hakukuwa na shida za kijinga jinga, kwa siku Mama alikuwa akiingiza zaidi ya elfu 50. Ukitoa pango na matumizi madogo madogo elfu 30 ilibaki ambayo alimtumia bibi kijijini kwetu Njombe.

Kupitia elfu 30 aliyokuwa anamtumia , bibi alijenga nyumba nzuri kijijini kiasi cha majirani kuzani mama anafanya kazi serikalini.

Baada ya nyumba kukamilika , mama alianza kucheza michezo ili apate hela anunue shamba la miti , Bibi alimwambia kama atanunua shamba la miti basi ndani ya miaka kadhaaa atakuwa tajiri.

Alijiunga kwenye vikundi zaidi ya kumi, kote huko kwa siku alikuwa anapeleka zaidi ya elfu kumi. Haikuchukua muda zamu yake ilifika, alichukua hela yake. Nakumbuka ilikuwa zaidi ya milioni 7, alimtumia bibi kijijini anunue shamba la miti yeye akaendelea kukomaa na kazi yake huku akipeleka hela kwenye vikundi.

Sasa baada ya kuchukua hela, pale mtaani walihamia mabinti watatu kutoka Bukoba ambao nao walikuwa wanajiuza,walikuwa wazuri balaaa. Uzuri wao ulifanya wateja wote wa pale mtaani wahamie kwao.

Mama na wenzake walidoda kwakukosa soko.

Muda wote kwenye vyumba vya wale mabinti wanaume walikuwa wamepanga mstari kusubir zamu zao! Yaani wakat mama na wenzake wamekosa soko! Kwao ilikuwa hakuna kupumzika! Anatoka huyu anaingia yule.

Mama na wenzake walijaribu kutumia mbinu mbali mbali lakini walishindwa. Wateja wote walilowea kwa wale mabinti! Na mbaya zaidi walikuwa wanawasifu kwa utamu.Ni kama waliweuka hivi.

“ Mmmh! hivi hawa mabinti majini au? Muda wote wanafanya tu? ….hawachoki?” Aliuliza nasra, shoga yake mama.

“ Hata sielewi shoga….sijui tutaishiji hivi.” Alijibu mama.

Biashara ya mama ilidoda kiasi kwamba hata hela ya kula tukawa tunakosa, mbaya zaidi mama alikuwa na michezo ambayo ilibidi apeleke hela. Ugumu wa biashara ulifanya ashindwe kabisa kupeleka.

Kushindwa kupeleka hela kulipelekea wenzie wamnyanganye vitu vyake! Walichukua kitanda changu na vitu vingine vya ndani. Ilikuwa fedhea sana, Licha ya wachache kuchukua, bado madeni yalikuwa mengi maana alikuwa anacheza vikundi vingi.

Siku moja majira ya saa mbili usiku tukiwa hatujala toka asubuhi alifika mzee mmoja ambaye alikuwa mteja wa mama. Mama aliinuka alipokaa kwa furaha na mahaba yote.

“ Karibu Ahmed….leo nitakuhudumia wewe tu! Nitakupa penzi ambalo hujawahi kulipata..” ALiongea mama kwa madaha yote.

Ahmed hakumjibu kitu, badala yake aliingiza mfukoni akatoa noti kadhaa za elfu kumi kumi. Aliziweka mezani, mama haraka haraka alizihesabu, ilikuwa ni laki moja na hamsin, Mama kwa mahaba yote alitabasamu na kumsogelea Ahmed.

Ahmed alimsukuma.

‘ Sikia mama lucy… leo mimi sijafika kwa ajili yako! Wewe nimeshakuchoka. Nataka kitu kipyaa.”

“ Kitu kipya?” ALiuliza Mama kwa mshangao.

‘ Ndio.. unajua maisha yangu yote sijawahi kumtoa mwanamke usichana .. naomba chukua hela kisha niruhusu nilale na mwanao..” Aliongea akiwa ananitazama kwa uchu

Nakuja
Uwongo wanaume wengine ni wanga ungekuwa umeshatenguliwa nyonga. Uwezi fanya kiini macho kwenye kundi la watu 50 wengine watakuona vizuri kama Ni fisi au binadamu hiyo Ni sayansi ya kawaida. Hiyo huwa wanawafanyia waume zao ambao hawajui na hawajazindikwa mume anaachwa na fisi wewe unaenda kuwanga, lakini kwenye kudanga utadakwa asubuhi tu.
 
Heh!!wamepita na shingo ya op[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Ahsante jamii forum kwa kunifungulia, naendelea na story [emoji120]
 
WAKATI NAJIUZA NILIWAFANYISHA WATU MAPENZI NA FISI BILA YA WAO KUJUA 16&17

‘ Ndio kachinjwaaa..’ Alinijibu mtu pembeni yangu! Niligeuka kumtazama yule mtu alikuwa Mama mwajuma.

Moyo ulinidunda! Gafla bin vuu hofu ya ajabu ilinishika. Sijui kwanini, lakini gafla tu nilijikuta namuogopa Mama mwajuma. Kwa hofu kubwa nilipiga hatua kurudi nyuma ,Mama Mwajuma hakuniacha niondoke, alinifata na kunishika mkono.

“ Niacheee…niacheeee..” Nilimwambia nikiwa natetemeka kwa woga.

“ Ni vyema ukawa mpole tukaongea.” ALiniambia. Nilijikuta nimekuwa mpole pasipokujielewa. Mama Mwajuma aliuacha mkono wangu kisha akaelekea mbele. Ajabu, pasipowoga, mimi mwenyewe nilipiga hatua kumfata. Ni kama alikuwa kaniroga hivi.

Nilitembea nyuma yake hadi mtaa wa mbele kabisa.

Giza lilikuwa limeaanza kuingia.

Pasipokumuuliza tunaenda wapi, pasipokujali dakika kadhaa nyuma nilikuwa kwenye hofu kubwa juu yake nilimfata. Tulitembea umbali mrefu, tuliziacha nyumba nyuma yetu tukatokea kwenye kichakaaaa.

Mama Mwajuma hakusimama, alitembea tu. Nami nilimfata.

………………..

Baada ya mwendo wa masaa kama matatu hivi tulitokea kwenye kibanda kidogo nje ya mji, tukiwa tunakikaribia kile kibanda, mlango ulifunguliwa akatokea Mume wa Mama mwajuma. Hakutuambia neno akaingia ndani.

Mama Mwajuma alisukuma mlango akaingia ndani.

Nami pia niliingia.

“ Kaaa hapa.” Aliniambia Mama mwajuma. Nilikaa kwenye kitambaa cheusi chini. Mwajuma na mumewe waliingia chumba cha pili kisha wakatoka wakiwa wamevaa mavazi ya ajabu , wote walikuwa wamejifunga kaniki na vitambaa vyekundu mikononi.

Ajabu, sikuwa na hofu hata kidogo. Niliwatazama tu.

Mama Mwajuma alikaaa kwenye ule mkeka na mumewe nae alikaaa mbele yangu.

Mumewe alinyosha mkono juu pale pale kilitokea chungu! Aliinyosha mkono tena juu ikatokea pembe ya ngombe ambayo kwa nyuma ilikuwa imeveshwa kitambaa chekundu. ALiingiza ile pembe kwenye kile chungu akachota kilichomo kisha akaitoa.

“ Kunywa hiii.” ALinipa.

Nilipokea.

Pasipokuuliza ni nini nilikunywa.

“ Safi.sasa unaweza kwenda..’ ALiniambia. Nilisimama na kutoka nje. Nikiwa mlangoni nilishuhudia mbwa wengi sana wakiwa wameizunguka ile nyumba. Mbwa wote kwenye maeneo yao ya siri kulikuwa kuna vuja maji yenye utelezi .

Yalikuwa ni maji ya ajabu sana!

“ Hiki nini?” Nilijiuliza moyoni.

“ Ni mbegu za kiume..” ALinijibu Mama mwajuma kwa nyuma yangu.

“ Wanaume wote wanaolala na hawa mbwa uwa hawatumii kinga! Hivyo mbegu zao zinabaki kwao, na zkibaki sisi uwa tunazichukua na kufanyia kazi zetu.” Aliongea mume wake Mama mwajuma.

“ Kazi zenu? Kazi gani hizo?” Niliuliza kwa shauku ya kujua.

“ Uwa tunaziuza kwa waganga wa kienyeji! Unajua kuna watu wengi wanashida ya kupata watoto! Kupitia hizi mbegu uwa waganga wanawapa watoto. Mwanamke kama ataenda kwa mganga na ikafahamika mumewe anashida, basi mbegu hizi zinatumika.” ALiniambia Mama Mwajuma.

Niliduwaaa.

“ Wakati unafika hukuwaona hawa mbwaaa..ila sasa umewaona kwakuwa nimekupa dawa.’

“ Biashara ya ukahaba uwa wanafanya hawa mbwaa na sio mimi! Kupitia hawa mbwa nauza mbegu za kiume kwa waganga na majini! Pia Napata hela nyingi sana .” ALiongea Mama mwajuma. Aliniweka mkono wake machoni kisha akautoa.

‘ Ona onaaaa.” ALiniambia.

Kitendo cha kuutoa mkono wake niliona nyumba mbili za kifahari sana! Nje ya hizo nyumba kulikuwa na magari mawili ya bei mbaya. Pia kulikuwa na wafanyakaz wanafanya usafi na watoto wanacheza kwenye bembea.

“ Hizo nyumba ni mali yetu! kupitia biashara ya ukahaba na kuuza mbegu tumeweza kujenga. Tunamali nyingi zaidi ya hizi..na tunapata hela nyingi sana kupitia hii kazi.” ALiongea Mama mwajuma. ALinifunga machoni tena kisha akaniachia.

Pale pale niliwaona watoto wawili wakisoma shule ya gharama sana nje ya nchi.

‘ Hapa ni nchini uingereza, wanangu wanasoma huko! Kupitia ile kazi nawalipia ada na kila kitu.” ALiongea Mama mwajuma.

Niliduwaa.

Sikutegemea kama kuna kahaba anaweza kufanya yale.

“ Unajua kwanni nimekuonyesha mali zangu na vitu vyangu?” ALiniuliza Mama mwajuma.

‘Sijui.’

“ ok , baby mwambie.” Mama Mwajuma alimwambia mumewe. Mumewe alinisogelea na kunitazama machoni.

“ Kwakushirikiana na mzee honde ulitaka kutufilisi! Mlitaka hizi mali zote zipoteee. Mlitaka tuishi maisha magumu.” ALiongea mume wa Mama mwajuma.

Aliendelea.

“ Kulinda kazi yetu na mali zetu tupo tayari kufanya lolote! Ikiwemo na kuua. Kama tulivyomuua mzee Honde nawe leo utakufaaa. Umefanya kosa kubwa sana kujaribu kuharibu biashara yetu.. haya yote tulikuonesha ili kabla hujafa ujue kwanini tunakuua” Aliniambia, pale pale alinyosha mkono wake juu kikatokea kisu mkononi pake.

Nikiwa natetemeka alinivutia kwake kisha akakiweka kisu chake shingoni pangu. Akifanya hivyo Mama Mwajuma alinyosha mikono juu kikatokea chungu. Walinipigisha magoti na kuniweka karibu na chungu, bila shaka walitaka damu zangu ziinge kwenye kile chungu.

Mume wa Mama mwajuma alitamka maneno ambayo sikuyafahamu kisha akaanza kunichinjaa.

WAKATI NAJIUZA NIIWAFANYISHA WATU MAPENZI NA FISI BILA YA WAO KUJUA 17

Mume wa Mama Mwajuma alitamka maneno ambayo sikuyafahamu kisha akaanza kunichinjaa.

Gafla! Upepo mkali sana ulivuma! Paaa la lile banda liliezuka, wale mbwa wa ajabu walipotea. Mama Mwajuma na mumewe nao niliwasikia wakilalamika. Hayo yakiendelea, kilitokea kitu ambacho hadi leo sikukielewa.

Kwanza nilipoteza fahamu.

………………………….

Nilizinduka masaa kadhaa mbele! Nilijikuta nipo chumbani kwangu, kwenye kile chumba tulichokuwa tunaishi na mama. Haraka nilijishika shingoni hakukuwa na alama yoyote ile. Nilitoka nje na kuangalia kushoto na kulia.

Majirani zangu walikuwepo kama kawaida, kila mmoja alikuwa akiendelea na shunguli zake. Wengi walikuwa kwenye milango ya vyumba vyao wakisubiri wateja.

“ Nini kimetokea?” Nilijiuliza. Nilivuta kumbukumbu ya nyuma. Nilikumbuka mambo yaliyotokea nyuma.

Nilikumbuka mara ya mwisho sehemu niliyokuwa.

“ Mama Mwajuma..” Nilijikuta nimetamka.

“ Hivi ilikuwaje nikawa nafanya wanachoniambia pasipokuhoji?” Nilijiuliza tena. Haraka nilitoka nje. Nje niliwakuta watu wengi wakiwa wanaelekea nyumbani kwa mzee honde. Niliwauliza wakaniambia mzee honde mwili wake umeshatoka polisi hivyo wanaenda kuzika.

“ Mzee honde kafa kweli? kumbe sio ndoto.” Nilijiambia.

‘ Sasa imekuwaje nipo nyumbani?” Nilijiuliza.

Ubongo wangu uliuma kwa maswali yasiyokuwa na majibu! Kila nilipofikiria kilichotokea nilikosa kabisa jibu. Sikuelewa ni jambo gani lilkuwa liimetokea.

Mguu mmoja ulitaka kwenda kwa mzee honde na mguu mwngne ulitaka kwenda nyumban kwa Mama mwajuma. Nilikuwa nja panda.

Mwishoe nilikata tamaaa! Niliamua kwenda nyumban wa Mama mwajuma.

Nilifika.

Tofaut na siku nyingine nlikuta papo kimya sana! Hakukuwa na mteja wala mtu yeyote yule. Niliusogelea mlango na kuugonga. Nilugonga mara kadhaa lakini hakuna aliyenjibu.

“ Inamaana hawa watu walitaka kunichinja kweli?’ Nilijiuliza.

“ Na imekuwjae nikawa nyumban?” Nilijuliza tena na tena.

Baaada ya kukaa pale muda mrefu pasipo ya Mama mwajuma wala mumewe kutokea nliamua kuondoka, lakn ile nageuka tu, nlkutana na Mama mwajuma akiwa na mumewe.

“ Umefata nini hapa?’ ALiniuliza kwa ukali.

‘ Naomba niambie jambo gani linaendelea? Ilikuwaje nikawa nafanya yake unayoniambia pasipokuwa na wasiwasi wowote ule?” Nilimuuliza.

Mama Mwajuma hakunijibu alinipita na kuingia ndani, mumewe pia alimfata kwa nyuma, tofauti na Mama mwajuma, mumewe hakuwa anatembea vizuri! Alikuwa akichechemea . Pia sura yake ilionesha katoka kwenye tatizo kubwa. Hakuwa kama vile nilivyozoea kumwona.

Sikutaka kuondoka bila ya kujua kilichotokea, hivyo niliwafata kwa nyuma hadi ndani kwao.

“ Eeeh! Wewe huogopi?’ ALiniuliza Mama mwajuma kwa mshangao.

‘ Niogope nini? au utaniua na mimi kama ulivyomuua mzee honde?”

“ Ndio. Nilitaka kukuchnja kama nlivyomchinja yeye! mshukuru bibi yako. Bila yeye ungekuwa marehemu sasa.” ALiongea Mama mwajuma akiwa ananiangalia kwa macho makali sana.

‘ Bibi?” Nilitamka kwa mshangao. Haikuniingia akilini bibi aliyekuwa njombe kunisaidia mimi niliyekuwa dar es salaam.

“ Bibi yako kajifanya mjuaji! Kaingilia vita isiyiokuwa yake, pamoja na kukuokoa wewe na kukurudisha nyumbani huko aliko hali yake mbaya..hana siku nyingi atakufaaa.” Aliniambia.

Kauli hii ilinitisha na kunishtua sana. Nilishindwa kuelewa, sikueendelea kuwauliza maswali, haraka sana muda ule ule niliondoka na kuelekea nyumbani. Nilitafuta simu na kumpigia bibi.

Hakupokea yeye! Alipokea jirani yetu na kunitaka niende njombe haraka sana.

“ Kuna nini?”

‘ Njoo haraka! Hali ya bibi yako mbaya , anakuhitaji..’ ALiniambia yule mtu na kukata simu. Nakuja
 
WAKATI NAJIUZA NILIWAFANYISHA WATU MAPENZI NA FISI BILA YA WAO KUJUA 20&21

“ Kuondoa usumbufu lucy angekufa tu..” Nilimsikia Stanley akiongea.

Kusikia hilo tu, yule mbaba alinipa ishara tukatoka nje. Moja kwa moja tulielekea nyumbani kwake, tulipita njiani lakini watu hawakutuona, nje ya nyumba yake tulimkuta mkewe na wanae wakicheza .

Tuliingia ndani.

Moja kwa moja tulienda kwenye chumba cha yule mbaba ambacho uwa anaingia yeye tu.

‘ Uchawi aliokupa bibi yako huu hapa.. nami nakuongezea wangu huu hapa… “ ALiniambia.

Aliendelea .

‘ Hauna muda! Inabidi ulipe ksasi haraka sana, la sivyo utakufa wewe.” ALiniambia.

‘ Nalipaje kisasi?”

“ Ua woteeee… lasivyo watakuua wewe.”

“ Wote?”

“ Ndio.. wale watu sio wazuri ata kidogo, licha ya bib yako kuwa mchawi walimsumbua sana,hivyo fanya haraka uwaue wote .. usipofanya hivyo utakufa wewe..”

“ Nitafanyaje na mimi sijui kitu?”

‘ Bibi yako hakukupa uchawi tu, alikupa na jinni litakalokuelekeza chakufanya, ukiliambiia lolote lile jinni litakueleza chakufanya . ukitaka kuua, ukitaka kuwanga ukitaka kufanya loote lile. Wewe sema tu na jinni atakueleza chakufanya.” Aliniambia.

ALichukua vitu ambavyo sikuwa navijua na kuviweka mbele yangu, kisha akanipa pembe ndogo, niliishika.

“ Sema unachotaka.” ALiniambia.

“ Nataka ndugu wote waondoke waniachie mali zangu.” Niliongea.

“ Hilo haliwezekani! Nja pekee ya kuwaondoa pale ni kuwauaaa.” ALiniambia. ALiongea maneno ambayo sikuwa nayajua vikatoea vioo vidogo vidogo vitatu, vyote ndani vilikuwa na picha za ndugu zangu.

‘ Hawa ndio chanzo cha yote.., waue kwakuwachoma kisu hapa.’ ALiniambia. ALinikabidhi ksu ili niweze kuwachoma. Sikuwa na nguvu wala ujasri wa kufanya vile alivyotaka. Nilimtazama tu.

“ Usiogope..choma hapa..’ ALinisistiza.

Baada ya dakika kadhaa kupita nilikubali kukishika kile kisu! Taratibu nilikipeleka kwenye kioo cha Stanley, nilijitutumua na kuchoma kile kiooo.

Hakikuvunjika! Ajabu zaidi Stanley aliyekuwa kwenye kile kioo alianza kucheka.

Nilishangaaa.

Yule mbaba nae alishangaaa. Alisimama na kurudi nyuma kwa hofu.

“ Imekuwaje?’ Nilimuuliza.

“ Wamejua..wamejuaaaaa….. wamejuaaaa..” ALiongea yule mbaba. Ni kama alikuwa kachanganyikiwa hivi! Alishika hiki na kukiacha, alishika kile pia na kukiacha. Sikuwa najua nifanye nini.

Stanley alizidi kucheka akiwa ndani ya kile kioo.

“ Ndiiiiiiiiiiiiiiiiiii.’ Kishindo kikubwa kilisikika juu ya bati.

“ inatakiwa uindoke haraka….ondoka hapa harakaaa.” ALiniambia yule mzee baaada ya kishondo kikubwa kusikika juu ya bati. Alinyosha mikono juu na kuongea maneno yasiyoeleweka akatokea fisi.

“ Mpande uondoke…ondoka..harakaaa..’ ALiniambia yule mbaba.

Aliendelea

“ Ukimpanda tu! Atakupeleka eneo ambalo wewe unalitaka..tena hauna haja ya kumwambia.anauwezo wa kuusoma moyo wako.” ALiniambia.

Nilimpanda.

Kufumba na kufumbua, nilijikuta nipo dar es salaam. Tena nipo kwenye kile chumba chetu.

WAKATI NAJIUZA NIWAFANYISHA WATU MAPENZI NA FISI BILA YA WAO KUJUA. 21

Kufumba na kufumbua, nilijikuta nipo dar es salaam. Tena nipo kwenye kile chumba chetu.

Nilishangaaa sana aiseee yalikuwa maajabu yaliyovuka uajabu! Toka nizaliwe sikuwahi kuona wala kushuhudia jambo kama lile. Nikiwa naangaza angaza kushoto na kulia, mlango wa chumba changu uligongwa.

Nilienda kufungua.

“ Eeeeh!’ Niliduwaaa.

Alikuwa ni Mama mwajuma.

“ Nimekusubiri sana hapa.” ALiniambia. Pasipokumruhusu aliusukuma mlango na kuingia ndani. ALikaaa kwenye kistuli kdogo kilichokuwa ndani na kunigeukia.

“ Nataka tuyamalize yaliyotokeaa… halikuwa lengo letu kufanya yale..naomba yaisheee..fanya mambo yako na sisi tutafanya mambo yetu! hakuna kuingiliana wala kufatana.” Aliniambia.

“ Sijakuelewa.”

“ Naomba fanya mambo yako na sisi tufanye ya kwetu! sio busara kushindana kichawi. Kila mmoja wetu atumie uchawi wake kujineemesha mwenyewe” Aliniambia.

Sikumwelewa. Ubongo wangu ulikuwa na maswali mazito yasikuwa na majibu!

“ Lakini mimi sio mchawi.”

“ Tusibishane katika hilo! Nina nguvu nyingi sana, najua bibi yako kakupa uchawi wake wote! Hata hapa umefika kwakutumia uchawi wa bibi yako. Na nimeona huko mbele utautumia uchawi wa bibi yako kufanya biashara ya ukahaba.” ALiniambia kisha akanisogelea na kunishika mkono.

“ Nisamehe kwa kifo cha bibi yako! Na kama nilivyokuambia kila mmoja afanye yake..”ALiniambia. Pasipikuongeza neno alifungua mlango na kutoka mle ndani. Nilibaki nimeduwaaaa. Niliangaza kushoto na kulia nikawa sielewi kitu.

Nikiwa sju nifanye nin, upande wangu wa kushoto kulkuwa na vitu nilivyopewa na bibi.

“ Eeeeh! Inamaana vinanfata?” Nilijiuliza.

Haraka nilivishika , Nilivifungua na kuviweka chini. Kumbuku mbuku ya jinsi yule mbaba mtewele alivyofanya ilinijia. Nami nilifanya vile vile na kuvitaka vinirudishe njombe

Kufumba na kufumba nilikuwa njombe, tena nilikuwa kwenye kile chumba cha yule mbaba Mtewele.

“ Lucy..” ALiniita kwa mshangao Mtewele.

Sikumjibu.

“ Amani hapa haipo! Ndugu zako wananguvu kukushinda wewe, nimegundua nao ni wachaw wakubwa sana… ukiendelea kubaki hapa watakuua. Japo nimefungishwa ndoa na wewe lakini sina jinsi ya kukusaida zaidi ya kukutaka uondoke..’ ALiniambia.

Nilimweleza wasiwasi wangu na tukakubaliana niondoke siku ya pil yake! Nilikaa kwenye chumba chake pasipo watoto wake wala mke wake kujua. ALinielekeza na kunifundisha mengi kuhusu uchawi.

Baadhi niliyafanyia mazoezi mle mle.

“ Muda wote nakueleza haya mambo akili yako iko kwenye biashara yako! Japokuwa hujawahi kuniambia ila najua ulikuwa unajiuzaa. Na sasa akili yako inawaza unawezaje kuutumia huu uchawi kwenye biashara yako ya kikahaba.”

“ Umejuaje?’

“ Mimi ni mtu mzima! Na ni mchawi mkubwa kuliko unavyofikiria, naelewa mengi, ulivyofka dar umekutana na Mama mwajuma. Yule kahaba aliyemjeruhi bbi yako. Naye yule ni mchawi anajiuza lakini pia anawauzia watu mbegu za kiume anazozichukua baada ya kuwafanyisha watu mapeniz na mbwaa.” Aliniambia.

Niliduwaa.

‘ Usiogope na usijali! Nitakusaidia, japo kwa sharti, kwenye ulimwengu wa kiroho wewe ni mke wangu, hivyo hutakiwi wala hupaswi kuolewa na mwanaume mwngine kiroho. Japo kwenye ulimwengu wa kawaida upo huru kuwa na yeyote yule.” Aliniambia.

Aliendelea.

“ Kwa huu uchawi aliokupa bibi yako, ili mambo yaende vizuri, wewe hutakwi kutumia mbwaaa. Inabidi uwe tofauti na Mama mwajuma. Wee yakupasa umtumie fisi..” ALiniambia.

‘ Fisi?’

“ Ndio fisi.” Alinijibu.

“ Kwenye vitu alivyokupa bibi yako kuna fisi… mtumie kwenye ngono, wateja wote wakao fika wafanyishe mapenzi na huyu fisi. Najinsi ya kufanya hivyo ni rahisi sana, nitakueleza kla ktu. Na kila mtu atakayefanya mapenzi na huyu fisi kama atafanya hivi hivi mbegu zake utazichukua na kuzileta kwangu. Mimi nitaziuza kwa waganga wa kienyeji ambao wao wanazitumia kutengeza dawa kwa ajil ya watu wanaotafuta watoto kwao.” ALiniambia.

Nlikubaliana nae.

ALinifundisha na kunieleza mengi zaidi kuhusu uchawi. Niliridhika kabisa, sasa nilikuwa na uwezo wa kuwafanyisha watu mapenzi na fisi bila ya wao kujua. Pia alinipa dawa ya kuongeza mvuto kwenye biashara yangu.

‘ Mtu akilala na fisi wako siku moja ataacha kamwe... kila siku atakuja..na ili biashara yako iende vizuri inabidi tununue fisi wengine wa kichawi.” ALiniambia.

Nilimkubalia.

……………………..

Siku ya pili yake nilisafiri kwa njia ya kawaida hadi dar es salaam.

Nilipumzika siku moja na siku ya tatu nilianza kazi, kama ilivyokuwa utaratibu nlikaa mlangoni na mavazi ya mitego! Haikuchukua muda nlipata mteja, alilipitiliza had ndani nami nikamfata. Nilimweleza dau langu akalipa kisha pale pale nilifanya mazingaombwe mmi nikapotea na akatokea fisi mwenye muonekano kama wangu.

Lakini tofauti na nilivyotegemea……………..
 
WAKATI NAJIUZA NILIWAFANYISHA WATU MAPENZI NA FISI BLA YA WAO KUJUA 22, 23 & 24 MWISHO

Lakini tofauti na nilivyotegemea yule jamaa hakumuingia fisi, badala yake alikuwa akigeuka geuka kuangalia kushoto na kulia! Ni kama fisi hakumuona hivi.

“ We dada…we dada..” Aliniita. Sura yake ilijaa hasira isivyo kawaida.

“ Nimeumbuka..” Nilijisemea moyoni.

“ Wewe dada kumbe mchawi sio…wewe dada….wewe dada ..’ ALiita kwa ukali.

Niliduwaa nikiwa sijui nifanye nini!

Kila kitu nilichotakiwa kukifanya nilikuwa nimekifanya, tena kwa usahihi. Sikujua imekuwaje akanshtukia. Fisi alikuwepo pale na umble la langu. Ajabu yule jamaa hakumuinga, aligeuka kushoto na kulia kunitafuta.

Nikiwa sielewi nifanye nini , gafla kwenye kona moja ya kile chumba alitokea mtewele akiwa na mkia wa ngombe. ALimpiga yule fisi na pale pale yule jamaa alimfata na kumuingia.

“ Kumbe ulikuwa hapa hapa halafu sikuwa nakuona..” ALiongea yule mtu. ALimshka fisi izuri sana na kumuingia pasipokutumia kinga.

Alihangaika nae na kugalazana nae kwa zaidi ya nusu saa kisha akafika mshindo.

‘ Toka nizaliwe sjawahi kukutana na mwanamke mtamu kama wewe! Asiee nakuongeza hela, shika hii.’ ALinipa hela nyingine kisha akaondoka.

Mtewela alisogea mbele yangu.

‘ Inabidi uwe makini sana! Kosa moja linaweza kukuharibia kila kitu. Ulichokosea hukumpiga na huu mkia ili aweze kuonekana kama mtu katka mazingira ya kibinadamu ili mteja wako aweze kumuingia.” Aliniambia.

Nilitikisa kichwa kukubaliana nae! Ilikuwa kweli, sikuwa nimefanya yote yanavyotakiwa. Mzee mtewela hakukaa sana, aliniaga na kuondoka muda ule ule.

Hakuchukua muda alifka mteja mwingine.

Kama wa mwanzo nilimweleza dau langu akalipa! Alfanya alchofanya kisha akaondoka pasipokujua kalala na fisi, kama ilivyokuwa kwa yule wa kwanza. Nae alinisifu na kunipongeza kuwa ni mtamu kuliko wanawake wote.

Sikushangaa yeye kunisifu vile, maana wote waliokuwa wakilala na mimi waliniita lucy mtamu.

“ wangejua wanalala na fisi wala wasingesema.” Nilijsemea moyoni.

…………………

Basi toka hapo ndo ulikua mchezo wangu! Kadri siku zilivyokuwa zinaenda wateja walizid kuongezeka. Kila aliyefika kwangu siku ya pili alirudi tena.

Ongezeko kubwa la wateja llinifanya niongeze dau ili kuwapunguza. Kutoka elfu 20 sasa nikaweke elfu 50! Pamoja na dau hilo bado wateja walikuwa wengi sana. Kwa muda mfupi nilikusanya hela nyingi sana. Nilifungua akunti benki na kuzifadhi.

Nilipanga ikifika milioni 50 niache ile kazi .

Nilipga hesabu na kugundua ndani ya miezi saba tu ninaweza kupata milioni 50, hii ni kutokana na kupata hela sehemu mbili. Nlipata hela kwa mtewele baada ya kumuuzia mbegu pa nilipata hela kwa wateja.

Siku moja majira ya jioni baada ya kufunga biashara nilipata ugeni wa binti ambaye n chotara wa kiarabu.

“ Samahni wewe ndio lucy?” ALiniuliza

‘ Ndio mmi ndio.” Nilimjibu.

“ Sawa.” ALiitikia, bila kumkaribisha alisukuma mlango na kuingia ndani.

Nilimfata.

“ Samahani dada!’ ALiniambia. Alitoa leso na kujifuta usoni.

“ Nakusikiliza.”

‘ Nimekuja nahitaji msada wako! Mume wangu amekuwa mlev wa penzi lako! Hela yote anayopata analeta kwako, mbya zaidi akija nyumbani ananitukana sana.. Naomba msaada wako niiokoe ndoa yangu.’ Aliniambia akiwa analia.

Nilishangaaa.

“ Tafadhali naomba nisaidieee…nisaidieeeee..mwenzio watoto wamefukuzwa shule… hela ya matumzi nyumbani haachi ni tabu juu ya tabu..nsaidie mwenzio..” ALiniambia yule binti akiwa analia.

“ Mume wako anaitwa nani?” Nilimuuliza.

‘ Obedi..” ALinitajia.

Obedi ni kweli alikuwa mteja wangu, tena yeye aliweka bila kabisa, kila mwezi alikuwa ananipa milioni moja ya kufanya nae. Alikuwa akija anaingia tu anashiriki na kuondoka. Niliwaza nitamsadia vip yule binti lakini sikuwa na namna.

Nilimpa pole na kumtaka aondoke! Nilmweleza nipo kazini na sina namna ya kumsaidia kwenye lile. Kishingo upande aliondoka.

…………….

Siku ya pili yake baada ya yule dada kuondoka biashara yangu iliendelea kama kawaida, niliwahudumia wateja wengi sana na kupata kipato kama ilivyokuwa kawaida, lakini majira ya saa kumi jioni, alikuja mteja ambae sura yake ilikuwa mpya kwangu! Alilipa hela kama ulivyotaratibu. Nilimwita visi kchawi na kumpa sura yangu.

Lakini tofauti na nilivyotegemea, yule mkaka hakumuingia yule fisi. ALinitazama kisha akawa anacheka..

WAKATI NAJIUZA NILIWAFANYISHA WATEJA MAPENZI NA FISI BILA YA WAO KUJUA 23

Lakini tofauti na nilivyotegemea, yule mkaka hakumuingia yule fisi. ALinitazama kisha akawa anacheka..

“ Wewe dada kumbe mshenzi sanaaaa..” ALiniambia.

“ Mbona tunatukanana broo.. sikia, kama hutak shika hela yako uondoke..” Nilimwambia huku nikimkabidhi fedha yake. Aliichukua ksha akaitupa chini. ALingiza mkono kwenye suruali yake na kutoa simu.

Alpiga na kuiweka sikioni.

“ Nilichokuwa nawaza ndio hicho hicho..mumeo anafanyishwa mapenz na fis ndio kama kaweukaaaaaa..’ ALiongea yule mkaka. Meneo yake yalinishtua na kuniacha mdomo wazi. ALikuwa kashaelewa kla ktu kuhusu biashara yangu.

Nililowa.

“ Njooo sasa hivi.” Yule kaka almwambia mtu ambae sikuwa namjua.

“ Unamwita nani?” Nilimuulza, badala ya kunijibu alisogea mlangoni na kufungua mlango akaingia yule dada aliyekuja kuniomba nikae mbali na mumewe.Ile kuingia tu, yule dada alivamia kwa vibao.

‘ Shenz wewe unamfanyisha mume wangu mapenzi na fis..shenzi..shenziiii..” ALbwata yule dada. Yule mkaka almtaka yule dada atulie. ALitulia.

Aligeukia mimi.

“ Dada ninauwezo wa kuwaonesha watu fis wako na kla ktu kinachofanyika humu ndani.”

“ Tafadhal usfanye hivyo.’

“ Sitafanya hivyo! Ila tumia mbinu unayoijua mume wa huyu dada asije tena hapa. Pia tunaomba uturudishie hela yote ambayo alikuwa anakupa.” Alniambia.

Nilitulia kutafakari.

Il kulnda kazi yangu na siri yangu nikubal kuwapa hela alizonipa yule mbaba, nilichukua simu yangu na kuhamisha hela kutoka benki had kwenye simu yao. Nliwatumia milioni moja na nusu cash.

Hawakuongea neno wakaondoka.

“ Uuuuh’ Nlihema kwa uchovu baada ya kubaki peke yangu. Niliweka vtu vyangu sawa. Nilivuta pumz na kuact kama hakuna jambo llilotokea.

………………….

Siku ya pili y niendelee na biashara.

Wanume wengi walifka. Niliwafanysha mapenzi na fsi pasipowao kujua. Raha ya fis iliwafanya wanipe hela nying! Wengi wao walilpa hela zaidi ya ile waliyotakiwa kunipa.

Na kadri muda ulivyokuwa ukienda wateja walikuwa wakiongezeka, yaan kla sku watu walikuwa wengi kulko jana yake.

Kwa upande wa yule mbaba ambae mke wake alfka kulalamika sikumuona tena!

Sikuya tatu mbele, majira ya usku baada ya kuwamamaliza wateja wote mzee mtewele alifika chumbani kwangu k kuchukua mbegu za wanaume waliolala na fisi. Kwakutumiia uchawi alimshika fisi na kuzitoa zile mbegu.

Akiwa anafanya hivyo, gafla tu, pasipokutarjia, mzee mtewele alizimwaga mbegu zote chin.

“ Kulikoni?” Nilmuuliza.

“ INabidi utafute fsi mwingine.” ALiniambia.

Aliendelea.

‘ Huyu kachoka sana! Maumble yake yameharbwa vbaya na pia kapata magonjwaaaa. Inabidi ununue fisi wengine wawili ili wawe wanapeana zamu, pia itabidi tuwakinge kichawi.”

“ Kwani huyu hukumkinga?”

“ Nilisahau.” ALijibu. ALiniambia bei ya fisi wengine nikamkubaliia. Nilimlipa hela usiku ule ule. Majra ya saa nane usiku akaja na fisi wawli wa kichawi. Tuliwafanyia dawa akaniambia wapo tayari kuendelea na kazi.

Nlimshukuru.

……………..

Siku ya pili yake asubuhi, kama ilvyo kawaida niliamshwa na wateja. Sikulaza damu. Nilkusanya hela zao na kuwafanyia mazingaombwe, kama siku zote walifanya mapenzi na fis wangu pasipokujua.

Majira ya saa nane, biashara ikiwa imechanganya katika hal isiyokuwa ya kawaida, nlimuona Mama mwajuma akija kwangu akiwa na mabaunsa pamoja na mumewe.

WAKATI NAJIUZA NLWAFANYSHA WATEJA MAPENZI NA FIIS BILA YA WAO KUJUA 24.

Majira ya saa nane, biashara ikiwa imechanganya katika hali isiyokuwa ya kawaida, nilimuona Mama mwajuma akija kwangu akiwa na mabaunsa pamoja na mumewe.

Tembea yao na maneno waliyokuwa wakiongea yaliwafanya watu weng sana wawafate kwa nyuma.

Walifika had mlangoni kwangu na kuingia ndani kwa nguvu.

“ Lucy…lucy….lucy….” ALiita kwa shari Mama mwajuma. Walipga vitu na kuvitupa hovyo. Wanaume waliokuwa kwenye foleni walishangaaa. Baadhi walwashka kuwatuliza lakni walizidiwa nguvu na mabaunsa wa Mama Mwajuma.

“ Kuna nini mbona unaniletea fujo?” Nilimuuliza.

“ Kama unataka kuendelea na biashara yako hama huu mji..” ALiniambia akiwa kanikazia macho.

“ Aaaah! wewe nani hadi uniamishe ?”

“ Kwahio uhami si ndio?” ALiniuliza.

“ Ndio..’ Nilimjibu.

Kwa hasira, Mama Mwajuma alitoka nje.

“ Wote mlikuwa mnaingia chumba hiki mlikuwa mnafanya mapenzi na fisi… Kati yenu hakuna alyewahi kulala na lucy hata siku moja.” ALiongea Mama mwajuma. Aaaaah. Watu walduwaaa. Kauli yake ilizua balaa pale nje.

Watu walipiga kelele na wengine walitaka kuingia ndani kumuona fisi.

“ Huyu mshenzi kaona nimemzid kibiashara kaamua kuniharibia.” Nilijisemea moyon kwa uchungu mzito.

Watu nje walipiga kelele na kumtaka Mama mwajuma awaoneshe fisi. Mama Mwajuma alichukua kopo dogo na kulifungua. Alijimwagia unga mkononi kisha akageuka na kuumwaga ndan kwangu, ile kuumwaga tu, fisi wangu wote watatu walionekana.

Aliwapisha watu wakaingia ndani.

Hakuna alyeamini! Wote walijiziba midomo kwa mshangao. Akili yangu ilifanya kaz haraka nikaona pale hapakuwa salama kwangu. Haraka nilichukua vitu muhimu kwangu na kujiweka tayari kwa lolote.

Wakiwa wameduwaa nilijipenyeza kati kat yao ili niweze kuondoka.

‘ Subiri..subiri…yaan wewe wakunifanyisha mmi mapenzi na fisi..’ Mmoja wa wateja wangu aliniambia. ALinishika mkono na kunivutia kwake. Puuh! Nilipigwa ngumi mgongon na mtu nisiyemjua.

Puuuh! Puuuh. Nilipigwa tena na tena.

Kipigo kikiwa hakijachanganya, vijana wengine walinisaidia.

Ilikuwa vita kubwa, ila nashukuru niliwafanikiwa kutolewa pale na kwenda kufungiwa kwenye chumba cha kahaba mwenzangu nyumba ya kumi kutoka pale.

Nikiwa ndani peke yangu,niliangala vtu vyangu muhmu nlivyovibeba. Vyote vilkuwepo. Lcha ya kipigo sikuviacha. Nilichukua ule mfuko wangu na kuongea maneno kadhaa wale fisi wakatokea mbele yangu! Niliongea tena wakapotea na kuingia kwenye ule mfuko wa dawa.

Uuuuh. Nilhema na kushukuru .

Nilifikir chakufanya baada ya lile tukio nikaona hamna namna nyngine zaidi ya kuacha ile kazi. Niliangalia hela iliyokuwa kwenye simu yangu ilikuwa inatosha kabisa mimi kuanza maisha mapya sehemu nyingine.

Wakat nawaza nitaenda kuishi wap na nitafanya shughuli gani, mlango wa kile chumba ulisukumwa wakaingia makahaba wenzangu kama sita hiv! Niijua wamekuja kunipiga au kunisuta kwa kle nlichofanya.

Haikuwa hivyo.

Walikuja kuniomba niwafundishe na wao wafanye kama nilivyokuwa nafanya mimi! Wote walitaka wapate fisi na wao wafanye biashara kama mimi.

“ Kwakuwa naacha hi kazi acha dawa niwape hawa. Tena watakuwa wananilipa.” Nilijiambia moyoni.

Niliwataka waniache peke yangu kwanza nifikirie.

Walikubali.

Haraka haraka nilimwita Mzee Mtewele akafka.

Nilimweleza klichotokea na mpango wangu wa kuacha kazi.

“ Kwakuwa mbegu zinakusadia sana bila shaka hawa wadada ukiwapa dawa na wao wakawa wanafanyisha mapenzi watu na fisi itakusadia.” Nilimwambia.

‘ Ni kweli, lakini ili ifanakiwe hawatakiwi kuwa sehemu moja, kla mmoja akae mbal na mwenzake..” ALiongea mzee mtewele.

Nilikubaliana nae.

Jioni baada mtewele kuondoka niliwaita wale makahaba na kuongea nao. Niliwaambia yote tuliyoongea na mzee mtewele.

Walikubali.

Siku ile ile nlianza kuwafundisha.

Japo moyo wangu ulikuwa hautaki ila niliwafundisha ili niweze kuachana kabisa nay ale maswala na pia mtewele asinisumbue.

……………….

Siku kadhaa mbele wote waliweza, kila mmoja alienda kwenye mji wake kuendeleza biashara. Binafsi nilihama mtaaa.Sikutaka tena kuwa karbu na wao wala mama mwajuma, nilihamia mbezi mwisho maeneo ya malamba mawili. Nilipanga na nikafungua biashara ya duka la nguo.

Mpka sasa linaendelea na ninaishi vizuri! Maswal ya ukahaba na uchaw nimesahau kabisa. Naishi kwa amani zote, na ninapata hela halal kupitia biashara yangu ya nguo

Nimeamua kusimulia kisa hiki ili kuwaonya watu wote wenye tabia ya kununua makahaba, sio nzuri, ni mbaya sana. Unachukua nuksi na mikosi kwa kulala na wanyama pasipowewe kujua. Pia kwa wale ambao mnaenda kwawaganga kutafuta watoto. Acheni. Ni hatari sana.

Mwisho.
Usisahau napatikana whatpp kwa namba hii 0768315707 pia unaweza jiunga na group la story kupitia hii linkk [emoji120][emoji1370][emoji1370][emoji1370]


BAADAE tunaanza na story Mpya[emoji120][emoji432][emoji120]
 
Uwongo wanaume wengine ni wanga ungekuwa umeshatenguliwa nyonga. Uwezi fanya kiini macho kwenye kundi la watu 50 wengine watakuona vizuri kama Ni fisi au binadamu hiyo Ni sayansi ya kawaida. Hiyo huwa wanawafanyia waume zao ambao hawajui na hawajazindikwa mume anaachwa na fisi wewe unaenda kuwanga, lakini kwenye kudanga utadakwa asubuhi tu.
Hahaaaa unataka kusema katika watu 10 basi 7 sio makolo wanaona gizani?
 
View attachment 2620003

Umewahi kununua kahaba? Kama jibu ndio basi kuna uwezekano umewahi kufanya mapenzi na wanyama kama mbwa au fisi bila ya wewe kujua! Unashangaaa? Usishangae na wala usibishe. Dunia inamambo ya ajabu sana ndugu yangu.

Uliyelala naye sio mwanamke uliyemnunua! Kuna uwezekano ulifanyiwa kiini macho ukalala na fisi au mbwa, nasema hayo kwakuwa binafsi niliwafanyia hivyo wateja wangu. Walijua wanafanya mapenzi na Mimi kumbe wanafanya mapenzi na fisi.

Ilkuwa balaa.. na wateja walinipenda! Niliuza kupita maelezo, walinisifu na kuniita Lucy mtamu! Eeeh! Waliniita lucy mtamu bila ya kujua utamu haukuwa wangu! Ulikuwa wa fisi, na mara nyingne ulkuwa wa mbwa.

Ila tafadhali msinichukie, maana sikufanya kwasababu napenda bali maisha, harakati za kutafuta riziki na kutaka kuonekana bora kwenye uso wa dunia zilinifanya nifanye hayo. Kabla sijaeleza kisa changu kwanza naomba mnisamehe , hasa kwa wale waliokuwa wateja wangu.

Wale wote waliowahi kuninunua na tukafanya mapenzi, nipo chin ya miguu yenu! Samahanini sana. Tena sana. Sikuwa najua madhara ya kumfanyisha mapenz mtu na fisi. Pia tamaaa na ujinga vilichangia.

Najua licha ya kutumia jina bandia, nina uhakika mliokuwa wateja wangu mtanijua, nawaomba sana msije kunidhuru kwa maana kama nlivyosema sikufanya kwakupenda, na pia msiogope sitawataja majina yenu halisi humu.

Natumai tumeelewana.

Acha nianze kuwasimulia kisa chenyewe.

Kwa majina naitwa Lucy Haule, nilizaliwa mwaka 1992 jijini dar es salaam. Mama yangu anaitwa Mage Haule, na baba yangu simfahamu.

Nikiwa na miaka kumi, niligundua Mama yangu anafanya kazi ya ukahaba, alikuwa anaendesha maisha yake kwa njia ya kujiuza. Na sio yeye tu, mtaa tuliokuwa tukiiishi wanawake wote walikuwa wanajiuza.

Mazingira tuliyoishi yalikaa kingono ngono, muda mwing watu walishiriki ngono, kama sio kufanya basi waliongelea ngono! Hii ilinifanya nione ngono ni jambo la kawaida.

Mara kadhaaa nilimkuta Mama akifanya mapenzi na wanaume tofauti tofauti. Alikuwa akifanya kwa uwazi pasipokujali wala kuwa na wasiwasi . Mfano, siku za jumamosi na jumapili ambazo sikuwa naenda shule, nilimshuhudia akifanya mapenzi na wanaume zaidi ya kumi kwa siku moja.

Alikuwa akitoka huyu anaingia huyu.

Licha ya kuyashuhudia hayo, mama alinionya nisijaribu kufanya. Aliniambia eti nisome kwa bidiii ili nije kuwa mfanyakazi wa serikali! Ah..ah..ah..ah. Uwa nacheka nikikumbuka malengo ya mama juu yangu.

Miaka yote niliyoishi na mama tuliishi vizuri sana, Hakukuwa na shida za kijinga jinga, kwa siku Mama alikuwa akiingiza zaidi ya elfu 50. Ukitoa pango na matumizi madogo madogo elfu 30 ilibaki ambayo alimtumia bibi kijijini kwetu Njombe.

Kupitia elfu 30 aliyokuwa anamtumia , bibi alijenga nyumba nzuri kijijini kiasi cha majirani kuzani mama anafanya kazi serikalini.

Baada ya nyumba kukamilika , mama alianza kucheza michezo ili apate hela anunue shamba la miti , Bibi alimwambia kama atanunua shamba la miti basi ndani ya miaka kadhaaa atakuwa tajiri.

Alijiunga kwenye vikundi zaidi ya kumi, kote huko kwa siku alikuwa anapeleka zaidi ya elfu kumi. Haikuchukua muda zamu yake ilifika, alichukua hela yake. Nakumbuka ilikuwa zaidi ya milioni 7, alimtumia bibi kijijini anunue shamba la miti yeye akaendelea kukomaa na kazi yake huku akipeleka hela kwenye vikundi.

Sasa baada ya kuchukua hela, pale mtaani walihamia mabinti watatu kutoka Bukoba ambao nao walikuwa wanajiuza,walikuwa wazuri balaaa. Uzuri wao ulifanya wateja wote wa pale mtaani wahamie kwao.

Mama na wenzake walidoda kwakukosa soko.

Muda wote kwenye vyumba vya wale mabinti wanaume walikuwa wamepanga mstari kusubir zamu zao! Yaani wakat mama na wenzake wamekosa soko! Kwao ilikuwa hakuna kupumzika! Anatoka huyu anaingia yule.

Mama na wenzake walijaribu kutumia mbinu mbali mbali lakini walishindwa. Wateja wote walilowea kwa wale mabinti! Na mbaya zaidi walikuwa wanawasifu kwa utamu.Ni kama waliweuka hivi.

“ Mmmh! hivi hawa mabinti majini au? Muda wote wanafanya tu? ….hawachoki?” Aliuliza nasra, shoga yake mama.

“ Hata sielewi shoga….sijui tutaishiji hivi.” Alijibu mama.

Biashara ya mama ilidoda kiasi kwamba hata hela ya kula tukawa tunakosa, mbaya zaidi mama alikuwa na michezo ambayo ilibidi apeleke hela. Ugumu wa biashara ulifanya ashindwe kabisa kupeleka.

Kushindwa kupeleka hela kulipelekea wenzie wamnyanganye vitu vyake! Walichukua kitanda changu na vitu vingine vya ndani. Ilikuwa fedhea sana, Licha ya wachache kuchukua, bado madeni yalikuwa mengi maana alikuwa anacheza vikundi vingi.

Siku moja majira ya saa mbili usiku tukiwa hatujala toka asubuhi alifika mzee mmoja ambaye alikuwa mteja wa mama. Mama aliinuka alipokaa kwa furaha na mahaba yote.

“ Karibu Ahmed….leo nitakuhudumia wewe tu! Nitakupa penzi ambalo hujawahi kulipata..” ALiongea mama kwa madaha yote.

Ahmed hakumjibu kitu, badala yake aliingiza mfukoni akatoa noti kadhaa za elfu kumi kumi. Aliziweka mezani, mama haraka haraka alizihesabu, ilikuwa ni laki moja na hamsin, Mama kwa mahaba yote alitabasamu na kumsogelea Ahmed.

Ahmed alimsukuma.

‘ Sikia mama lucy… leo mimi sijafika kwa ajili yako! Wewe nimeshakuchoka. Nataka kitu kipyaa.”

“ Kitu kipya?” ALiuliza Mama kwa mshangao.

‘ Ndio.. unajua maisha yangu yote sijawahi kumtoa mwanamke usichana .. naomba chukua hela kisha niruhusu nilale na mwanao..” Aliongea akiwa ananitazama kwa uchu

Nakuja
Kama walikojozwa, no problem
 
SITASAHAU NILIVYOFANYA KAZI YA KUNUNUA KONDOMU ZILIZOTUMIKA.
01
Umeshawahi kufanya mapenzi lodge kwakutumia kondomu kisha ukaitupa kwenye dustbin ? Umewahi kufanya mapenzi na kahaba halafu salama uliyotumia ukaiacha au kuitupa eneo mlilofanyia mapenzi?

Kama jibu ni ndio naomba soma kisa hiki ujifunze, maana mwenzio nilikuwa nazitafuta salama zilizotumika baada ya watu kufanya mapenz kwenye vichaka au lodge.

Kwa majina naitwa Richard Onesmo, mkazi wa Mbinga mkoa wa Ruvuma. Mwaka 2018 kaka yangu aishie marekani alinipa kazi ya kununua kondomu zilizotumika. Wakati ananiambia nilijua utani lakini baadae nikajua ni kweli haukuwa utani.

Kunithibitishia yuko serious alinitumia million kumi kwa ajili ya hio kazi. Pia aliniahidi kunilipa vizuri kama nitafanya kazi vizuri.

“ Kwahiyo bro kondomu moja iliyotumika tutainunua sh ngapi?” Nilimuuliza.

“ Kila kondomu moja tutanunua elfu 25.” Aliniambia.

Niliduwaa.

Elfu 25 kwangu ilikuwa nyingi sana kulipia salama iliyotumika. Niliona ni ufujaji wa fedha, maana paket ya kondomu yenye salama tatu ndan inauzwa elfu moja,Sasa kununua kondomu moja iliyotumika kwa elfu 25 sikuona kama ni sahihi.

“ Naomba nisikilize Richard! Nunua kwa bei hio hio niliyokuambia.” Alinisisitza kaka. Nilikubali. Muda ule ule alinitaka nianze kazi! Nami sikuvunga. Nijiweka sawa, niliita pikipiki nikaanza kuzunguka kwenye nyumba za kulala wageni yaani lodge na guest house.

Lodge ya kwanza kwenda ilikuwa inatwa Double M lodge.

“ Karibu kaka unataka chumba?” ALiniuliza muhudumu .

“ Hapana! Shida yangu sio chumba.” Nilimwambia. Nilisogea kwenye sofa lililokuwa pale mapokezii na kukaaa. Nilimtazama yule dada usoni kisha bila hofu nilimueleza shida yangu. Yule muhudumu hakunielewa, alihisi namfanyia utani usiokuwa na maana.

Kumuonesha nipo serious, nilingiza mkono mfukoni nikatoa laki moja, nilimkabidhi na kumtaka anipigie simu akipata kondomu nne zilizotumika.

“ Eeeh! Yaan kondomu nne zilizotumika ni laki moja?” ALiuliza kwa mshangao. Macho yalimtoka asiamini anachokiona.

“ Ndio, kwasababu kondomu moja ni elfu 25.” Nilimwambia. Macho yalizidi kumtoka yule dada. Alinitaka nisubiri. Alitoka mapokezi na kuelekea mlango wa nyuma, nusu saa mbele alikuja akiwa na mfuko, alinikabizi, kuutazama ndani ulikuwa umejaa kondomu zilizotumika.

“ Hizo ni kondomu walizotumia jana wateja wetu, nilikuwa nimezimwaga shimoni nizichome moto.” Aliniambia.

Nilimtazama kisha nikazitazama zile salama tena. Aliniletea ndoo nikazimwaga ndani ya ndooo zilikuwa kumi na 6.

“ Utanipa sh ngap kwa hizi zote?” ALiniulza.

“ Fanya 16 mara 25.” Nilimwambia. Wakati yeye akibonya bonya simu kupiga hesabu, mimi niliingia watsup na kumpigia watsup call kaka.

“ Nipo lodge hapa, kuna kondomu kama 16 hizi zimepatikana, ila nina mashaka nazo maana zilitupwa shimon.” Nilimwambia.

“ Usijali, la msingi hizo salama zilitumka, yaani mwanamke na mwanaume walizifanyia mapenzi.” Aliniambia.

Sawa .

Nilimjibu na kurudi ndani.

“ Umepata sh ngap baada ya kuzidisha 16 mara elfu 25?’ Nilimuulza muhudumu. Aliniambia kapata laki nne. Sikujali. Niliingiza mfukoni nikatoa laki tatu, na ile moja niliyompa ikawa laki nne. Nilimwachia namba yangu kisha nkaziweka zile salama vizur na kutoka nazo.

Nikiwa getini yule dada aliniwahi.

“ Hadi sasa sielew aiiseee! We salama zilizotumka unaenda kuzifanyia nni had unanipa hela nyingi hivi?” Aliniuliza.

“ Hilo halikuhusu dada, wateja wako wakitoka vyumbani ingia uchukue salama zote zilzotumka kisha nipigie simu.” Nilimwambia. Nilipanda kwenye pikipiki na kuondoka.

…………………

Masaaa matano mbele nilikuwa na furushi la kondomu zilizotumka! Lodge na guest house zote ninazozifahamu nilipita. Majira ya saa mbili usiku nikiwa chumban kwangu, nililifungua furushi lililojaa kondomu nikawa nazitazama.

“ Cheeeeeeeeeeeee……chiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii…” Harufu mbaya ya manii ilinifanya nipige chafyaaaa.

“triiiiiii..triiiiiiiiiiiiiii..” Simu yangu upande wa watsup iliita. Nilishika na kuitazama alikuwa kaka.

“ Afadhali kapiga… nataka anipe utaratibu wa hizi kondomu.. kukaa nazo ndani sio sawa.” Niliwaza huku nikipokea simu yake, lakini kaba sijasema lolote, kaka alinambia jambo lililonishtua sana.

“ Unasemaje?” Nilimuuliza kwa hamaki kana kwamba sijamsikia alichoongea.

Muendelezo ni tsh 1000. Lipia kwa namba 0754955424 jna julus shawa. Ukshalpia kumbuka kunitext watsup 0744408606.

SITASAHAU NILIVYOFANYA KAZI YA KUNUNUA KONDOMU ZILIZOTUMIKA 02

“ Unasemaje?” Nilimuuliza kwa hamaki kana kwamba sijamsikia alichoongea.

“ Acha kuniulza mara mbili mbili…fanya ulichokisikia..” Alinisisitiza.

“ Hapana kaka? Kwanin nifanye?”

“ Nahitaji salama nyngi sana. Hizo ulizokuwa nazo hazitoshi kitu.. nahitaj nyingi kupita maelezo..”

“ Hatakama unahitaji nying! Mimi siwezi fanya..kesho nitaendelea kukukusanyia mpaka zitimie unazozitaka.”

“ Rich naomba tusibishane! Naomba mpigie mchumba wako aje mfanye mapenzi … tena kila siku itabidi ufanya nae mapenzi ili uongeze idadi ya salama.”

“ Kaka mmi siwezi fanya mpaka uniambie hizi salama za nini? kukununulia nitakununulia, lakin swala la kufanya mapenz mimi haiwezekani.”

“ Kama hivyo kazi imekushinda! Nilipanga kukulipa milioni tatu kwa mwezi, ila kwakuwa hutaki basi, nitatafuta mtu mwingineee..” ALiniambia na kukata simu.

Nilijaribu kumpgia tena muda ule ule sikumpata.

“ Shiiit.” Niljikuta nimetamka. Toka naanza kazi sikuwa najua nitalipwa shilingi ngapi! Milioni tatu ilinishtua! Nilijikuta napanga mipango mingi sana. Kwa mshahara wa miloni tatu niliona kabisa maisha yangu yatabadilika.

“ Lakin nitafanyaje mapenzi na mpenzi sina ” Nilijiuliza pasipo majibu.

“ Piga ua, siwez kukubal miloni tatu inipoteee hvi hv. Nitafanya jambo.” Niliwaza. Niltoka nje usiku ule ule na kutega barabara ya kuelekea nyumbani kwakina ester! Ester alikuwa ni mpenzi wangu, ila tuliachana baada ya mimi kutaja jina la mschana mwngine tukiwa kwenye shughuli, yaani tukiwa tunafanya mapenzi badala ya kumtaje ester, nlimtaja mercy na kumsifia.

“ Muda huu Ester anaendaga kumsaida mama yake kufunga duka! Acha nitege hapa nitampata tu.” Niliwaza.

Nilisimama barabarani kwa masaa zaid ya mawil lakin ester hakutokea. Taratibu nilipiga hatua kuelekea nyumbani kwao. Nikiwa mita kadhaa kutoka kwao, nyuma ya choo chao nilihis ktu. Haraka kwa tahadhari kubwa nilienda kuangalia.

“ Eeeeh!’ Nilishtuka baada ya kufika.

Nilimkuta ester akiwa na Jerome, walikuwa wanashikana shikana na kubusiana mdomoni.

“ Unafanya nini ester? Hi ndio tabia gani?” Nilimuuliza . Kabla hajanijibu niliwavamia. Nilimshika Jerome na kumpiga ngumi za tumbo. Eeeeh! Jerome naye hakuwa boya, pale pale alinigeuzia kibano, kwakushirikiana na ester walinidunda hadi sio poa.

Waliniacha nikiwa hoi wakaondoka.

Nikiwa nahema kwa tabu sana! Simu yangu upande wa wastup iliita.

Alikuwa kaka.

‘ Ulinpigia?” ALiniulza.

“ Ndio! Nilitaka nkuambie nipo tayari kufanya mapenzi ila bahati mbaya mpenz wangu mwenyewe kanikataaa.” Nilimwambia.

“ Duuuh! Pole.”

“ Lakin si unaitaji salama ilyotumika! Si naweza ivaa salama kisha nikajichua?”

“ Mmmh! hapana. Ukjichua inakuwa haifai! Inabidi itumike kwa watu wawili. Chakufanya hapo naomba tafuta salama, kisha tafuta mende mzima. Ukivipata hivyo nipige nitakupa maelezo.” ALiniambia.

“Sawa.” Nilimjibu.

……………..

Saa moja mbele nilikuwa nyumbani, nilikuwa na salama paketi moja pamoja na Mende wazima wawili wakiwa kwenye kopo. Nilimpigia simu kaka ili anipe maelezo.

“ Sasa kama nilvyokuambia! Nahitajika salama iliyotumika. Lakini licha ya kutumika inabidi watu wawil wafanye mapenzi, ila kwakuwa wewe hauna mpenzi basi tutatumia nafsi ya huyo Mende. Utafanya mapenzi na huyo mende.” Aliniambia.

Niliduwaaa.

“ Usishtuke wala usishangae, ifungue salama moja kisha muweke Mende ndani ya hio salama.” ALiniamba.

“ Nikashamuweka nafanyaje?” Nilmuuliza.

“ Ukishamuweka vaa hio salama. Mende atakuwa ndani kwa mbele.” ALniambia.

“ Mmmh!’

“ Usigune fanya hivyo.” Aliniamba kwa ukali.

Sikuwa najinsi nilifungua salama moja na kumuweka Mende kisha nikaivaaaa kwenye uume wangu. Ajabu, ile nmeivaaa tu, Mende……………….

SITASAHAU NILIVYOFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILIZOTUMIKA 03

Sikuwa najinsi nilifungua salama moja na kumuweka Mende kisha nikaivaaaa kwenye uume wangu. Ajabu, ile nmeivaaa tu, Mende……………….

Ile nimeivaa tu, Mende alianza kuhangaika na kutaka kutoka, na kila alipokuwa anahangaika alikuwa anakitekenya kichwa cha naniliu yangu hali iliyopelekea nijisikie kiraha fulan hivi kisicho cha kawaida.

Kadri alivyokuwa anataka kutoka na kuchezesha miguu yake ndivyo alivyokuwa akinitekenya na kunipa raha isiyokuwa na mfano.

“ ooooo…oooooo..” Niljikuta napiga kelele pasipokujielewa.

Haikuchukuwa muda mrefu nilifika mwisho, lundo la manii liliinitoka na kujaza salama hali iliyopelekea Mende afe. Nilivua ile salama na kuiweka pembeni.

“ Uuuuuh!’ Nilhema nikiwa kwenye mtanziko wa maswali.

Raha niliyoisikia haikuwa ya kawaida.

“ Triiiiiiiiiiiii.” Simu yangu iliita.

Alikuwa kaka.

Niliipokea.

“ Umefanikiwa?” Aliiniuliza.

“ Ndio..aiseee kuna raha isiyokuwa ya kawaida. Raha niliyopata ni zaidi ya kufanya mapenzi na mwanamke au kujichua.”

“ Hongera..ila raha yako mimi sihitaj. Ninachotaka ni salama ilyotumika.” ALiniambia.

“ Sawa.” Niliimjibu.

“ Kesho ukiamka anza tena kuzunguka kwenye lodge na guest zote. Pia waambie viijana mtaani kuwa unanunua salama zilizotumika, ila sharti itumike kwa watu wawili au viumbe wawili. Yaani mwanaume na mwanamke wafanye mapenzi au mwanamme afanye mapenzi na kiumbe kingine chochote kile,mfano mende kama wewe ulivyofanya au hata mbwa.” ALiniambia.

Nilikubaliana nae.

…………………..

Asubuhi sana ya siku ya pil niliingia mtaani! Kama nlivyokubaliana na kaka nilianza kuzunguka kwenye lodge na guest house. Kila nilipopita nilikuta wamenihifadhia salama za watu ambao walizitumia usiku kuamkia ile siku.

Hadi inafika saa saba mchana nilikuwa nimemaliza lodge na guest house zote pale mtaani. Nilianza kuingia mtaani na kuwaeleza vijana mbali mbali juu ya vitu ninavyovitafuta.

“ Unasema kweli?” Wengi waliniuliza kwa mshangao. Ni kama hawakuamini kile nilichowaambia.

“ Niliwathibitishia.” Kuonesha nipo serious niliwaonesha picha ya salama nilizokwisha zinunua.

Waliniamini.

Kwa kasi ya ajabu! Kama moto nyikan taarifa zilisambaa mji mzima. Saa moja mbele watu walijazana nyumban kwangu wakiiwa na kondomu zilizotumika.

Nilinunua.

Ilikuwa hazipit dakika tatu mlango unagongwa. Nikienda kufungua nakutana na mtu akiwa na salama. Nami bila kusita niliwalipa na kuchukua zile salama.

Muda ulivyoenda kuna kitu nilikihisi. Baadhi ya watu walioleta salama walkuwa wanarudia tena kuleta. Nlihsi uenda wanapiga nyeto na kuzileta salama.

“ salama za nyeto hazitakiwi hapa.” Niliwaza. Niliamua kumpigia smu kaka kumuomba ushauri. Nilitaka kujua nawezaje kutofautisha. Zile zilizotokana na nyeto na zile za kawaida.

“ Kuzitofautisha kwa macho haiwezekani! La msingi hapo wewe watishie tu. Waambie wakileta salama za nyeto watakufa.. hivyo kila mmoja alete salama iliyotumka kwenye mapenzi na mwanamke au mnyama au mdudu.” Aliniambia.

“ Sawa.:” Nilimjibu na kukata simu! Muda huo huo, mlango uligongwa, haraka nlienda kuufungua.

“ Aaaah…Alfani, umeleta salama nyingine tena?” Nilimuuliza

“ Ndio.”

“ Mmh! Haraka haraka hivi wewe umezitoa wapi? Isije ikawa unaenda kupiga nyeto huko na kuleta hapa. Salama za nyeto hazitakwi, na kama umeleta za nyeto ni bora ukasema nizitoe, maana bila hivyo utakufa.” Nilimwambia.

“ Ni…ta..kufa?’

“ Kama umeleta ya nyeto utakufa ndio?”

“ hapana..mim sjaaleta ya nyeto..” ALinijibu akiwa na kgugumizi. Sikutaka kubshana nae. Nilimpa elfu 25 na kuichukua ile salama aliyoileta .

……………………

Ilipofika saa tatu usiku, nami nilichukua salama moja na kumweka Mende, kama ilvyokuwa jana yake, Mende alivyokuwa anataka kutoka alinitekenya na kunipa raha isiyokuwa ya kawaida. mwishoe nilifika mshindo.

Nilivua salama kisha nikampigia kaka kumpa taariifa.

Kaka alinipongeza na kunitaka nipumzike.

Majira ya saa tano usiku, nikiwa nmejipumzisha nilihisi kitu kisicho cha kawaida kwenye mfuko niliyowekea salama.Kwa mbali nilisikia sauti ya watoto wachanga wakilia ndani ya zle salama.

Haikuwa kawaida hata kidogo.

“ Ng’aaaa..ng’aaaaa…ng’aaaaa..ng’aaaa..” ilsikka saut ya watoto wachanga ndani ya zile roba. Ndiiii…ndiii..ndiii..Moyo wangu ulianza kudunda kwa hofu. Nilogopa na kutetemeka.Mguu ikiwa nacheza na moyo ukiwa unadunda nilisimama kitandani, lakini ile nimesimama tu…..

SITASAHAU NILIVYOFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILIZOTUMIKA 04

“ Ng’aaaa..ng’aaaaa…ng’aaaaa..ng’aaaa..” ilsikka saut ya watoto wachanga ndani ya zle roba. Ndiiii…ndiii..ndiii..Moyo wangu ulianza kudunda kwa hofu. Nilogopa na kutetemeka.Mguu ikiwa nacheza na moyo ukiwa unadunda nilisimama kitandani, lakini ile nimesimama tu…..

Lakini ile nimesimama tu, miguu yangu ilshikwa, haraka nlitazama chini.

Loooh! Yalikuwa maajabu. Watoto wachanga wawili walikuwa wamenishika miguu.

“ Unatupeleka wapi?” Waliniuliza.

Ndiiii.Moyo wangu uldunda kwa hofu kuuu, pale pale nilinyongonyea na kuanguka chini.

………………….

Nusu saa mbele nilizinduka.

Haraka haraka nilisimama. Niliangala kushoto na kulia hakukuwa na mtu wala wale watoto wa changa. Nililifata lile roba na kulitazama. Hakukuwa na watoto wachanga wala mtu yeyote yule. Nlizichambua zile salama lakini sikuona kitu.

“ Hivi nilikuwa naota au?” Nilijiuliza.

“ Hii sio kawaida! Sio kawaida kabisaaaa..” Nilijiamba hofu kubwa ikiwa imenitawala.

Niliyaangalia mazingira ya chumba changu nikajikuta sina amani kabisa!mmmh. Niliguna, haraka nilivaa sendo na kutoka.Nje ya mlango wangu, uso kwa uso nilkutana na ashura, mke wa Alex ambae aliniuza salama nyingi zilzotumika.

Hali yake na jnsi alivyoniangalia angalia hakuonesha kama kaja kwa usalama.

“ Kuna usalama shem?” Nilmuuliza.

“ Hivi rich! Mimi nina undugu na wewe?” Alnuliza.

“ Hapana! We ni shemeji yangu tu.”

“ Shemeji yako? Inamaana Alex ni kaka yako?”

“ MMMH! Mbona sikuelewi shem! Sku zote nimekuwa nakuita shem na wala hujawahi kuchukia. Kipi kilichokufanya uchukie leo?”

“ Unajua nimeolewa na alex kwa miaka mitatu sasa! Miaka miwil ya nyuma sikutaka kushika mimba kwakuwa hali yetu kiuchum haikuwa nzuri! Mwaka huu MUNGU katusaidia, mambo yameenda vzuri na nilpanga kushika mmba! Lakini imekuwa haiwezekani! Na leo nlienda kwa mganga akasema kamwe siwez kushka mimba.”

“ Sasa shem hayo yananihusu vpi mmi?”

“ Wewe ndo chanzo! Wewe ndo sababu ya mm kutoshika mmba! Mganga nliyemfata hakujui wewe, na wala hapa hajawah kufka, lakini kwakutuma uganga wake kasema wewe ndio chanzo, wewe ndo sababu ya mm kutoshika mmba.” Aliniambia.

“ Huyo mganga atakuwa na kchaaa! Inawezekana vipi mimi nikazuia wewe kushika mmba? Mwli wakwako wewe na mumeo Alex, mimi naingiaje hapo! Tafadhali shem naomba usinletee nuksi usiku huu! Tafadhali sana aiseeeee.” Nilmwambia. Pasipokusubir jbu lake niliondoka nikamwacha kaduwaaa.

Moja kwa moja nilenda lodge ! Nlichukuwa chumba na kujipumzisha. Akili yangu ilikuwa na mengi yasiyokuwa na majibu. Nilianza kuchanganykwa na kuogopa pia. Ktendo cha watoto wachang’aa kulia ndani kwangu, pia shutuma za Alex zilinchosha.

Nlijlaza ktandani, hakuchukua muda nilpitwa na usingizi.

……………………….

Majira ya saaa tisa usiku nilishtulwa usingzini na mlio wa simu yangu. Baada ya kujtoamawenge ya usingizi niliipokea na kuiweka sikioni.

“ Brooo vipi?” Nlimjibu nkwa bado kwenye usngizi mzito.

“ Safiiii..upo sawa?” Aliniulza.

“ Kiasi nipo sawa brooo! Kwanza naomba nikuulze kitu.” Nlmwambia nkwa najiweka sawa kitandani.

“ Niulize.”

“ Hiv hizi kondomu na manii wewe unaenda kuzifanyia nini?”

“ Dogo hilo tumeshaongea! Wewe fanya kazi na achana na maswal maswali.”

“ Broo sikuulizi tu! Nakuuliza kwasababu! Kuna mambo yametokea hapa yananichanganya sana aiseee. Hata sielew nifanye nini.”

“ Mambo gan hayo?’

“ Usiku wa leo nlkuwa nasikia sauti za watoto wachanga kwenye salama, na pia walinishika miguu na kuniuliza nawapeleka wapi? Kama haitoshi nmekutana pia na jrani yangu mmoja ananishutumu eti mimi ndio chanzo cha wao kutopata watoto.” Nlmwambia.

Ajabu kaka badala ya kusikitika aliangua kicheko.

Kama mwendawazmu alcheka kwa nguvu sana.

“ Usicheke kaka! Ujue hadi nyumban nmetoroka! Hapa saizi nipo lodge.”

“ Unasemaje? Umetoroka nyumbani! Hebu nenda harakaaaa…haraka sana nenda ..hutakiwi kuwa mbal na pale..” Aliniambia. Alintoa wasiwas na kunipa moyo! Kinyonge nlikubal. Usku ule ule niljweka sawa na kuelekea nyumbani.

Nikiwa mita kadhaa nifike! Jcho langu la kushoto lilianza kucheza kwa nguvu sana. Na mara zote jicho lilpocheza kuna jambo llitokea.

Kwa hofu kwanza nilisimama.

Kumbukumbu ya tukio la nyuma ilinijia. Nilikumbuka wale watoto wachanga walvyonishka miguu! Nlikumbuka sauti yao ya kilio.

“ Sitakiwi kwenda huku.” Nilijiambia na kugeuza pale pale.

“ Lakin hapana! Ntakikimbia chumba changu hadi lini?” Nlijiulza tena. Liwalo na liwe. Nilijiambia. Nilijipa ujasiri na kwenda! kadri nilvyokuwa nasogea, jcho langu la kushoto llizid kucheza. Tena lilcheza kwa nguvu sana.

“ Nini hiki?” Nilijiuliza na kupuuzia. Nilipiga hatua kuelekea nyumban! Kadri nilivyosogea nyumban, ndivyo jicho langu llivyozidi kucheza. Dakka kadhaa mbele nlfika. Lakini nilichokiona sikukitegemea.

SITASAHAU NILIVYOFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILIZOTUMIKA 05

“ Nini hiki?” Nilijiuliza na kupuuzia. Nilipiga hatua kuelekea nyumban! Kadri nilivyosogea nyumban, ndivyo jicho langu llivyozidi kucheza. Dakka kadhaa mbele nlfika. Lakini nilichokiona sikukitegemea.

Nje ya mlango wangu niliwakuta mwenyekiti wa mtaaa akiwa na polisi

“ Richard habari?” Alinisalimia mwenyekiti baada ya kuniona.

“ Safi.” Nilimjibu huku nikiwa makini kuisoma sura yake.

“ Unatoka wap usiku wote huuu?”

“Kwan kuna amri ya kutotoka nje usiku? hii nchi huru mwenyekiti.”

“ Ni kweli, ila Sasa Hawa askari wamepata taarifa sio nzuri kuhusiana na wewe! Wao kama maafisa usalama wamekuja kujridhisha kama walichosikia ni kweli au lah?’ Aliniambia mwenyekiti. Askari aliyekaa mkono wa kulia pale pale alitoa karatasi na kunionyesha.

“ Hiki nini?’ Nilimuuliza.

“ Ni search warrant.”

“ Mmmh! kwani nyie mmesikia nini?’

“ Tumesikia unanunua kondomu zilizotumika! Tumekuja kujiridhisha kama ni kweli au lah?’

“ Kwani kununua kondomu ni kosa?’

“ Biashara zote zinataratibu zake! Kuna swala la leseni na kodi! Lakini pia kila biashara ni lazima mamlaka iijue.” Aliniambia yule polisi.

“ Kusema ukweli hii biashara sio yangu! Mimi nimeambiwa tu ninunue.” Nilijitetea.

“ Aliyekuambia ununue nani? Na alikuambia anazitaka salama kwa ajili ya nini?”

“ Ni kaka yangu! Ila hajaniambia anazitaka kwa ajli ya nini?’

“ Kaka yako?” Aliuliza mwenyekiti kwa mshangao.

“ Ndio ni kaka.”

“ Yupi Elgius au?”

“ Ndio ni huyo huyo.”

“ Ahahahaha..ahahahahaha.ahahahahaha.” Mwenyekiti alianza kucheka kwa nguvu. Kicheko chake kilitufanya wote pale tumuangalie yeye. Wale askari na mimi wote tulishangaaaa. Mwenyekiti alicheka kwa muda mrefu sana.

“ Unacheka nini tena?” Askari walimuuliza.

“ Mtanisamehe ndugu zangu.. unajua alivyomtaja kaka yake kanifanya nikumbuke mambo ya zaman sana. Kaka yake huyu bwana ni mtu wa ajabu sana aiseeee.” Aliongea mwenyekiti.

“ Tuachane na hayo mwenyekiti. Tufanye jambo lililotuleta hapa.” ALiongea yule askar. Waliniamba nipo chini ya ulinzi kwa kufanya biashara isiyo halali na kuhatarisha afya ya jamii. Nikiwa sielew nifanye nini, mmoja wa wale askari alitoa pingu na kunifunga.

“ Kwann mnanifanyia hvi lakini? Kosa langu nini?” Niliwaulza nikiwa kwenye hamaki.

“ Ni…..” Kabla sijaongea nilichotaka kuongea tena. Askari alinipiga mdomoni, kwa nguvu alinisukuma nikaanguka chini. Gafla yule askar na mwenzake walinibeba msobe msobe na kuniondoa eneo lile.

Ilikuwa kama ndoto hivi.

“ Tafadhal naomba tuongeee..hili swala linazungumzika…nawaomba sanaaaa…nawaombaaaa..” Niliongea kwa uchungu.

Walinishusha.

Niliwaomba wanipe ruhusa niongee na kaka.

Walikubalii.

Nilimpigia simu kaka na kumueleza kila kitu. Kaka kwa dharau alisema niwape laki moja moja waondoke.

“ Aaaah! uoni nitaongeza kosa la rushwa?” Nilimuuliza.

“ Hao askari njaa zinawasumbua..hakuna jambo lingine zaidi ya njaaa tu.” Aliniambia. Kishingo upande nilikubal. Nilielekea ndani kuchukua hela, lakin nkiwa mlangoni kumbukumbu yak lo cha watoto wachanga ilinijia.

Nilijitutumua na kuingia hivyo hivyo, ni kama masikio niliweka pamba.Bahati nzuri ndani hakukuwa na le sauti, nlimulka chumba chote klikuwa sawa tu! Hakukuwa na watoto wachanga wala sauto yao. Nilchukua laki nne cash na kutoka nje, bila woga kila mmoja nilimpa laki moja.

Ajabu, wote walipokea na kuanza kutabasamu.

“ Akikusumbua mtu yeyote tuambie.” Waliniambia wale askari na kuondoka. Waliniacha nimeduwaaa.

“ Inamaana muda wote huu walichokuwa wanataka ni pesa?” Nilijiuliza. Nlirudi ndani na kumweleza kaka kilichotokea. ALiniambia nisijali , muda ule ule alinitumia tena milion kumi nyngne. ALnitaka asubuhi sana nizunguke kwenye lodge zote.

…………………..

Asubuhi ya siku ya pili, kama tulivyokubaliana na kaka, nilijihimia kwenye nyumba za kulala wageni! Lakini kitu cha kushangaza, lodge zote nilizopita nilikosa kondomu zilizotumka. Nilizunguka mji mzima pasipo kupata chochote.

Haikuwa kawaida.

“ Inamaana usiku wa kuamkia leo hakuna watu waliofanya mapenzi kwenye lodge zote hizi?” Nilijuliza pasipo majibu. Nilirud nyumban na kumpigia kaka.

Kama ilivyokuwa kwangu naye alishangaaaa. Haikuwa kawaida.

“ Mdogo wangu kuna jambo halipo kawaida, ila tutajua tu, kwasasa naomba wafundishe vijana hapo mtaani kufanya mapenz kwakutumia mende. Kisha salama zao nunua.” ALiniamba.

Nilikubaliana nae.

Kwa siri sana niliwaita baadhi ya vijana waliowahi kuniletea salama na kuwaeleza chakufanya.

“ Najua muda wote hamuwezi kuwa na wapenzi wenu! Sasa nina mbinu kabambe ya nyie kufanya mapenz na salama kuniletea mimi.” Niliwaeleza. Pasipo aibu nlitoa salama moja na kumweka mende kisha nikamvaaa, kama ilivyokuwa kawaida, mende alivyokuwa anahangaika kutoka miguu yake ilichezea kichwa cha nanilu yangu, hali iliyopelekea nijisikie vzuri na mwishoe nifike mshindo.

Vijana wote waliduwaaa.

Nilimpa mmoja salama na kumweka Mende, alivaaa .

Kama ilivyokuwa kwangu, mende alivyotaka kutoka, yule kijana alianza kupiga kelele za raha, lakini ajabu akiwa anakaribia kwenye kilele cha raha alianguka chini mzima mzima…………..

Nini kitatokea? Tukutane kesho saa 12 jioni kwenye muendelezo mwingine.

SITASAHAU NILIVYOFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILZOTUMKA 06

Kama ilivyokuwa kwangu, Mende alivyotaka kutoka, yule kijana alianza kupiga kelele za raha, lakini ajabu akiwa anakariba kwenye kilele cha raha, alianguka chini mzima mzima na kutulia tuli.

“ Ndi..” Moyo wangu ulidunda kwa hofu.

Wote tuliokuwa pale macho yalitutoka kwa mshangao.

“ Daudi…Daudi…” Nilimwita nikiwa namtikisa yule kijana.

Hakuzinduka.

“ Mende kamnga’ata naniliue yake ndio maana kazimia.” ALiongea kijana mwngine aitwae Ayubu.

“ Sio kweli.” Niliwaaamba huku nikiwa namtikisa tikisa Daudi. Licha ya juhudi kubwa za kumtikisa, Daudi hakuzinduka, wenzake walianza kunilaumu na kunitaka nimpeleke hospitali.

Niliwakatalia.

“ We jamaaa mchawi! Umeleta mende wako wa kichawi kamng’ata jamaaaa…” Waliongea mengi kunishutumu.

Kuthibitisha kuwa Mende hajamng’ata. Nilimvua ile salama, lakin ile nimeishika naniliua yake na kuitoa salama, Daudi alizinduka.

“ upo sawa?” Nilimuuliza.

“ Nipo sawa. Naomba salama nyingine na Mende! Sijawahi kusika raha kama niliyoisikia leo. Nataka nifanye tena..nataka…” ALiniambia Daudi. Nilimkatalia kata kata. Kwa utaratibu nilimuuliza kilichopelekea azimie ni nini.

“ Nikiwa kwenye raha sana uwa nazimia.”

“ Kwahiyo kuzimia kwako hakuna uhusiano na mende?”

“ Ndio! Tatizo ni raha ilizidi kupita maelezo.” ALituambia.

Kimoyo moyo nilimshukuru MUNGU, niliwataka watoke na kila mmoja akafanye nyumban kwake na kuniletea salama ilyotumika.

Waliondoka na kuniacha peke yangu.

……………………………..

Nikiwa peke yangu chumbani nilimkumbuka kaka, pia nilimkumbuka mwenyekit alvyokuwa anacheka baada ya kumwambia aliyenituma kununua zile salama ni kaka.

“ Kwanni mwenyekiti alicheka baada ya kumwambia ni kaka?” Nilijiuliza.

“ Mmmmh! hivi ni kwanini kaka anazitaka salama zilizotumika?” Nilijiuliza tena na tena.

Akili yangu haraka sana ikaanza kukumbuka baadhi ya matendo ya kaka, nilikumbuka maisha yake ya nyuma.

“ Hivi kaka yako ni mchawi! Anawezaje kufanya hivi?” Nililikumbuka hili swali ambalo niliulzwa na mwanafunzi mwenzangu wakati tukiwa shule. Swali hil hakuniulza yeye tu, wengi waliniulza, na hiii ilitokana na uwezo mkubwa wa kaka darasani. Maisha yake yote ya shule kaka alikuwa mtoro sana, lakini licha ya hivyo mara zote alikuwa wa kwanza kwenye mitihani.

Hata kwenye mitihani yake ya form four na form six alikuwa wa kwanza kitaifa licha ya kuwa mtoro sana shuleni.

“ Mmmmh! hivi kaka aliwezaje kufanya yale yote? Alwezaje kufaulu vizuri vile wakat alkuwa mtoro? Na mbaya zaidi hata nyumbani sikuwa namuona akisoma?” Nilijiuliza.

“ Mmmmh!” Nlijikuta nimeguna tena?”

“ Na hizi salama za nini? hivi hataniingiza kwenye matatizo huyu mtu?” Nilijiuliza. Hofu ilianza kuniingia moyoni. Baada ya kufikiria sana niliamua kumpigia baba kumuomba ushauri.

“ Unasemaje?” Baba alniuliza kwa mshangao.

“ Ndo hivyo baba, kaka kanipa hio kazi ya kununua salama. Tena ananilipa vizuri sana. Shda n kuwa nina wasiwasi. Sijui hizi salama ni za nini yeye?”

“ Kwa hilo lazima uwe na wasiwasi. Na ni vyema umeniuliza, chakufanya kwasasa acha kufanya hio kaz. Usinunue salama nyingne kwanza mpaka utakapojua hizo salama za nini.”

“ Sasa nitajuaje na yeye hatak kuniambia?”

“ Tutajua tu, kaka yako alivyofka likizo kaacha note book yake anayoandka mambo yake. Kwenye hii note book kuna kla ktu kinachomuhusu yeye, bla shaka hata maelezo kuhusu hizo salama yatakuwepo maana hakuna ktu kaka yako anakifanya bila kuandika kwenye note book.” ALnambia baba.

“Basi Kesho asubuhi nakuja.” Nilimwambia.

………………………..

Asubuhi sana siku ya pili nilsafr kuelekea iringa, baba na mama walihamia iringa baada ya baba kustaafu kazi, walikuwa wakiishi kihesa.

Majira ya saa tisa mchana nlifika.

“ Karibu.’ Alnkaribsha baba ndani.

“ Ahsante.” Nilijibu na kumtaka baba anipe note book ya kaka.

Alinipa.

Haraka niliifungua.

STASAHAU NILIVYOFANYA KAZ YA KUNUNUA SALAMA ZILIZOTUMIKA 07

Haraka niliifungua.

“ Mmmmh” Niliguna pasipokutarajia.

“ Vipi?” Baba aliniuliza.

“ Hamna kitu humu! Note book imechorwa chorwa tu vitu vsivyo eleweka, pia inamaneno yasiyoeleweka.

“ Hayo maneno ndio mipango na mambo ya kaka yako! Kila kitu unachokiona humo ndan kinamaana yake! Yeye mwenyewe alinambia kuwa kla jambo lake uwa analiandika humo!”

“ Kwa hali hii siwezi kujua kitu! Siwezi kabisaaaaa.”

“ Mimi nilijua wewe utajua kwakuwa ni msomi, kama umeshindwa kuelewa basi hio kaz acha. Usiendeleee kununua salama utaingia matatizoni!”

“ Lakn mshahara anaonipa ni mkubwa sana. Ni vyema nikaifanya.”

“ Usiharibu maisha yako kisa mshahara. Kaka yako sio mtu wa kuaminika. Mbaya zadi yeye hayupo hapa.” Alinambia baba. Licha ya hayo aliniambia mengne mengi yalyobadil kabsa akli yangu.

Nilimuelewa.

…………………

Siku ya pili mapema sana nilmpigia kaka na kumpa taarifa juu ya kuacha kazi.

Hakunisumbua.

ALiniamba kwakuwa nimeamua mwenyewe sio shida. Alnieleza jion ya siku ile kuna mtu atakuja kuchukua mzgo wote wa salama nlizonunua.

Nlpanda basi kurudi nyumbani.

Majira ya saa kumi jion nilifika, ajabu, nje ya chumba changu nlwakuta watu wawili nisiowafahamu kabisa.

“ Richard mambo vipi?” Walinisalimia.

“ Salama .” Niliwajibu.

“ Tumetumwa na kaka yako utupe mzigo.”

“ Sawa.”Niliwajibu. Moyoni nilkuwa na furaha ya kuondokana na harufu ya kondomu mle ndani. Nlfungua mlango wa chumba changu na kuingia ndani. Ajabu, barazani nilipoziweka salama palikuwa patupu.

Nilishtuka.

Akli yangu ilifanya kaz haraka nikahisi uenda niliziweka chumbani! Haraka nilwahi chumbani! Looh! Nako kulikuwa patupu. Mafurushi ya salama zilizotumika hayakuwepo. Nlrudi tena barazan hapakuwa na kitu.

“ Shenzi.” Nilitamka kwa hasira huku nikitoka nje.

“ Vipi?” Wale jamaa waliniuliza.

“ Vip? Mnaniuliza mimi tena ? Yaani mmechukua furushi zote za salama halafu saizi mnaniulza mim vpi tena? Acheni ujinga nyie watu. .” Nliwaambia. Wale watu waliangaliana kana kwamba hawajui ninachoongea.

“Sikia rich! Sisi tumepigiwa simu na kaka yako tuje kuchukua mzigo, na tumefika hapa tumekaa nje pasipokungia ndani, bila shaka hata kufuri la chumba chako umeliona lilivyo. Tupe salama tuondoke. Usitufanye wajinga.”

“ Ndani hakuna salama! Na kwenye mji huu hakuna anayeztaka salama zaid ya kaka, nyie aliowatuma ndo mmezchukua.” Niliwambia. Pale pale niliibonya bonya simu yangu na kumpiga kaka watsup call.

Alipokea.

Bila kufcha kwa hasira zote nilimweleza kilchotokea. Nlimlaumu kwa kuwaamba watu wake waje wazichukue salama paspokunipa taarifa. Kaka alkataa kata kata,lakin licha ya kukataaa Aliniambia kitu kilichonifanya nifikirie sana.

Nilikata simu na kukaa chini.

“ Haionekna kama kaka ndiye aliyechukua hz salama.” Nilijiambia. Nikijiambia hivyo nilikumbuka baadhi ya maneno ya kaka.

“ Kuna watu inaonekana wanataka salama kama sisi! Wao ndio waliochukua, unakumbuka siku ya pili ulizunguka lodge zote na ukakosa salama had nikakufundishs kuwafanya watu wafanye mapeniz na mende? Na kutoka sku ile had leo ukasanyaji wa salama umeuonaje? Si unaona sio mzuri?” Nilkumbuka maswali ambayo kaka aliniuliza.

“ Kweli! inaonekana kuna watu wengine wanazitaka hzi salama! Bila shaka wao ndio waliozichukua.” Niliwaza.

Nilmpigia tena kaka.

“ Nimekuelewa kaka! Inaonekana kuna watu wengine pia wanazitaka hizi salama. Acha niwatafute kwanza.”

“ Sawa! ukishawapata hakksha unapata na mzigo wangu wa salama. Ukishanikabdhi huo mzgo wangu ndio uache kazi.” ALiniamba kaka. Nilikubaliana nae. Niliwataka wale watu walotumwa waondoke Niliingia ndan nikabadilsha nguo ksha nikatoka nje. Nikiwa mlangoni, kwa mbele yangu nilimuona hamisi. Kijana nilyemfundisha kufanya mapenz kwakutuma mende.

“ Hamis umeniletea salama?” Nilimuuliza.

“ Achana na mmi wewe.” ALnjibu kfup na kuondoka.

Nlishangaaa,

Hii ilinipa maswal zaidi, ilinfanya niwafate vijana wengne pale mtaani, lakini ajabu kama ilvyokuwa kwa hamisi nao wote walkataa kuniuzia salama.

“ kuna jambo halpo sawa hapa! gafla bin vuu wanalodge wote hawatak kuniuzia salama, ksha hata vijana niliowafundisha kufanya mapenz na mende nao hawatak kuniuzia?” Nlijiuliza.

“ Nitajua ..nitajua kila kitu.” Nilijiambia. Moja kwa moja nilielekea kwenye lodge niliyonunua salama mara ya kwaza kabisa. Nlimkuta yule bnti aliyeniuzia salama. Nilimsalimia na kumueleza lengo lake.

“ Hatuuz salama hapa.” ALiniambia kifupi.

“ Usinifanyie hivyo dada! Au kuna mtu mwingine ananunua kwa be ya juu? Sema, mimi nitakulipa zaid ya huyo mtu.”:

“ mlinzi..mlinz……” Yule dada badala ya kumjbu alimuita mlinzi. Kweeeh! Kwa kas mlangi ulisukumwa akaingia mzee mmoja akiwa na sare za mgambo.

“ Mtoe huyu mtu nje haraka..” ALimwambia. Nae mlinzi pasipokushangaa alinshika mkono tukaongozana had nje, hayo yakfanya kichwa changu kiliwaka moto kuwaza nn kinachoendelea. Nilkuwa kwenye giza zito.

Sikuwa na namna, kinyonge sana nlipiga hatua kuondoka eneo lile!Nikiwa mita mbili kutoka kwenye geti la ile lodge mlnzi aliniita.

Nilienda.

“ wewe ndo yule kjana ulyekuwa unanunua salama?” Aliniuliza.

“ Kwanini unaniulza hvyo?”

“ Kwasababu huyu dada alnamba ukija niskuruhusu kuingia ndani! Na kama ukiinga nikutoe. Bila shaka ni wewe.” Aliniambia.

Sikumjibu! Nilimtazama tu.

“ Sasa sikia! Ujue kwa umri wangu huu nimeona vtu vngi sana, na ninajua mengi! Hv unajua kwanni anakataa kukuuzia salama?”
 
Back
Top Bottom