Wakati najiuza niliwafanyisha watu mapenzi na fisi bila ya wao kujua

Wakati najiuza niliwafanyisha watu mapenzi na fisi bila ya wao kujua

WAKATI NAJIUZA NILIWAFANYISHA WATU MAPENZI NA FISI BILA YA WAO KUJUA 10

“ Ulienda wapi lucy? Mbona umenitesa sana..nilikuacha chumbani, kwanini uliondoka?”Aliniuliza.

‘ Uuuu..aaaaa…” Nilishikwa na kigugumizi.

“ Unayemuulizia sio mwanajeshi wala nini! ni kibaka tu wa hapa mtaani.” ALiniambia muuza chipsi.

“ Ulikuwa unamuulizia nani?” ALiniuliza shaban.

Sikumjibu.

Shaban alinishika mkono tukasogea pembeni. Maumivu ikulu kwangu bado yalikuwa makali sana. Nilisogea pembeni nikiwa nachechemea.

“ Naomba niambie..ulikuwa wapi?” Aliniulza.

“ Nilipoteaa.. ulivyotoka nami nilitoka kukufata..bahati mbaya nikapoteaa.” Nilimwambia nikiwa namsogelea.

“ Toka muda ule nilikuwa nakutafuta pasipo mfanikio. Tena sijala toka muda ule.” Niimwambia. Shaban alimsogelea muuza chipi na kuagiza chipsi. Nusu saa mbele zilikuwa tayari.

“ Twende..” ALiniambia.

Nilimfata.

‘ Eeeeh! Mbona unachechemeaaa.. umefanya nini?” ALiniuliza.

“ mguu tu unauma.” Nilimdanganya.

Tuliendelea na safari.

Tukiwa tunakaribia, kwa mbele nilimuona anord akiwa na mwanamke mwingine.

“ Aaaah!’ Nilishangaaa.

Moyoni nilikumbuka maneno ya muuza chipsi na jinsi alivyocheka baada ya kumwambia kuhusu anord. Akili yangu ilifanya kazi haraka nikagundua nilikuwa nimeingizwa mkenge. Nilitamani kumvamia na kumuuliza sababu ya kunifanyia vile nilishindwa. Nilijikaza tukapishana nae.

Mbaya zaidi tukiwa tunapishana, anord ni kama hakuwa ananiona hivi! Alikuwa bize na mwanamke wake.

“ Unamwona yule jamaaa..’ Shaban aliniambia.

‘ Ndio.”

“ Yule jamaa anaitwa anord! Anakaa chumba cha pili kutoka changu. Nazani unakumbuka nilikutambulisha.”

“ Ndio nakumbukaa.”

“ Basii kaaa nae mbali..hafai hata kidogo..juzi juzi tu hapa alifumwa na mke wa hamisi.. tena alikuwa anamdanganya yeye ni mwanajeshi..” ALiniambia shaban. Niligeuka kumwangalia tena Anord moyo wangu ukiwa unauma sana.

Tulifika nyumbani.

Kwa muda mchache niliokuwa na shabani niligundua Shaban alikuwa na upendo sana, aliniweka zile chipsi nikala kisha akaniwekea maji bafuni nikaenda kuoga. Baada ya kuoga na kila ktu kuwa fresh tuliipanda kitandani kulala.

Lakini ile tumelala tu, shaban alinikumbatia kwa nyuma.

Alinionesha salama.

“ Muda ule ulikataa kwakuwa sikuwa na salama… nimenunua hizi hapa..” ALiniambia.

Mmmmh.

Nilijikuta nimeguna moyoni! Maumivu kwenye maungo yangu bado yalikuwa makali sana. Kidonda kilikuwa kibichi kabisa. Nikiwa nawaza nimjibu vipi, Shaban alinifunua shuka, haraka haraka alinishika kiuno na kuivuta nguo yangu ya ndani.

Nakuja
 
WAKATI NAJIUZA NILIWAFANYISHA WATU MAPENZI NA FISI BILA YA WAO KUJUA 10

“ Ulienda wapi lucy? Mbona umenitesa sana..nilikuacha chumbani, kwanini uliondoka?”Aliniuliza.

‘ Uuuu..aaaaa…” Nilishikwa na kigugumizi.

“ Unayemuulizia sio mwanajeshi wala nini! ni kibaka tu wa hapa mtaani.” ALiniambia muuza chipsi.

“ Ulikuwa unamuulizia nani?” ALiniuliza shaban.

Sikumjibu.

Shaban alinishika mkono tukasogea pembeni. Maumivu ikulu kwangu bado yalikuwa makali sana. Nilisogea pembeni nikiwa nachechemea.

“ Naomba niambie..ulikuwa wapi?” Aliniulza.

“ Nilipoteaa.. ulivyotoka nami nilitoka kukufata..bahati mbaya nikapoteaa.” Nilimwambia nikiwa namsogelea.

“ Toka muda ule nilikuwa nakutafuta pasipo mfanikio. Tena sijala toka muda ule.” Niimwambia. Shaban alimsogelea muuza chipi na kuagiza chipsi. Nusu saa mbele zilikuwa tayari.

“ Twende..” ALiniambia.

Nilimfata.

‘ Eeeeh! Mbona unachechemeaaa.. umefanya nini?” ALiniuliza.

“ mguu tu unauma.” Nilimdanganya.

Tuliendelea na safari.

Tukiwa tunakaribia, kwa mbele nilimuona anord akiwa na mwanamke mwingine.

“ Aaaah!’ Nilishangaaa.

Moyoni nilikumbuka maneno ya muuza chipsi na jinsi alivyocheka baada ya kumwambia kuhusu anord. Akili yangu ilifanya kazi haraka nikagundua nilikuwa nimeingizwa mkenge. Nilitamani kumvamia na kumuuliza sababu ya kunifanyia vile nilishindwa. Nilijikaza tukapishana nae.

Mbaya zaidi tukiwa tunapishana, anord ni kama hakuwa ananiona hivi! Alikuwa bize na mwanamke wake.

“ Unamwona yule jamaaa..’ Shaban aliniambia.

‘ Ndio.”

“ Yule jamaa anaitwa anord! Anakaa chumba cha pili kutoka changu. Nazani unakumbuka nilikutambulisha.”

“ Ndio nakumbukaa.”

“ Basii kaaa nae mbali..hafai hata kidogo..juzi juzi tu hapa alifumwa na mke wa hamisi.. tena alikuwa anamdanganya yeye ni mwanajeshi..” ALiniambia shaban. Niligeuka kumwangalia tena Anord moyo wangu ukiwa unauma sana.

Tulifika nyumbani.

Kwa muda mchache niliokuwa na shabani niligundua Shaban alikuwa na upendo sana, aliniweka zile chipsi nikala kisha akaniwekea maji bafuni nikaenda kuoga. Baada ya kuoga na kila ktu kuwa fresh tuliipanda kitandani kulala.

Lakini ile tumelala tu, shaban alinikumbatia kwa nyuma.

Alinionesha salama.

“ Muda ule ulikataa kwakuwa sikuwa na salama… nimenunua hizi hapa..” ALiniambia.

Mmmmh.

Nilijikuta nimeguna moyoni! Maumivu kwenye maungo yangu bado yalikuwa makali sana. Kidonda kilikuwa kibichi kabisa. Nikiwa nawaza nimjibu vipi, Shaban alinifunua shuka, haraka haraka alinishika kiuno na kuivuta nguo yangu ya ndani.

Nakuja
Anord ni Ng'wanacheshi
 
WAKATI NAJIUZA NILIWAFANYISHA WATU MAPENZI NA FISI BILA YA WAO KUJUA 11

Nilijikuta nimeguna moyoni! Maumivu kwenye maungo yangu bado yalikuwa makali sana. Kidonda kilikuwa kibichi kabisa. Nikiwa nawaza nimjibu vipi, Shaban alinifunua shuka, haraka haraka alinishika kiuno na kuivuta nguo yangu ya ndani.

“ Su..su…biri…” Nilimwambia huku nikimzuia.

“ Kuna nini?”

“ Sipo vizuri baby! Naomba tufanye siku nyingine.”

“ Lakini hali yangu sio nzuri! Unanisaidiaje?” ALiniuliza akiwa anaonesha maungo yake. Yalikuwa yamesimama isivyo kawaida.

Nilimweleza sina chakumsaidia. Nilimwomba alale nikikaa sawa tutafanya, Shabana hakukubali. ALiniambia kama kwa njia ya kawaida inashindikana basi tutumie njia nyingine. Sikuwa najua hio njia nyingine ni njia gani.

Nilimuomba anieleze.

Shaban baada ya kunieleza kwa maneno alinieleza kwa vitendo. Alimchukua jongoo wake na kuniwekea mdomoni. ALinitaka nimnyonye hadi pale atakapofika mwisho.

Nilishindwa.

Kwanza nilijiskiia kichefu chefu na kutaka kutapika.

“ Usinifanyie hivyo tafadhali! Mbona naniliu yangu safi tu! Tena nimetoka kuifanyia usafi sasa hivi.” ALiiniambia.

“ Siwezi…siwezi kabisaaaa.” Nilimwambia. Kishingo upande shaban alikubali. ALishuka kitandani na kuelekea chooni. Nikiwa nimejifunika shuka. Nilimsikia akigumia peke yake chooni kama vile Anord alivyokuwa anagumia wakati ananiingia.

Dakika kadhaa mbele alitoka chooni akiwa safi kabisa. Boxer yake mbele haikutuna kama alivyokuwa anaenda.

“ Kwa ajili yako leo nimejichua. Nimeona bora nifanye hivyo kuliko kukulazimisha kufanya mapenzi.” Aliniambia. Nilimshukuru kwa uvumilivu wake tukalala.

…………….

Asubuhi sana, Shaban aliniamsha na kunikabidhi elfu 20 ya matumizi. ALinitaka ninunue mahitaji ya chakula na niweze kukiandaaa . Alinieleza yeye atakula kwenye mihangiko yake, ila jioni atakula pale.

Nilimshukuru.

Alchukua begi lake na kuelekea nje.

Lakini kabla hajatoka alighairi na kurudi tena.

‘ Lucy huko nyuma mimi nilikuwa na mke! Niliachana nae kwakuwa aliikuwa na tabia za ajabu ajabu. Kifupi hakuwa mwaminifu, mimi na uaminifu ni kila kitu. Sitaki kabisa kuish na mwanamke ambaye nashare na watu wengi.” Aliniambia.

“ Nimekuelewa..”

‘ Endelea kujitunzaaa kama ulivyokuwa unajitunza. Siku nitakayosikia unaicheat hapo hapo tutaachana. Sitaki kabisa huo ujinga.” Aliniambia. ALinieleza mengi na kunipa maonyo kadha wa kadha kuhusu majiran zake kiisha akaondoka.

……………………….

Nusu saa baada ya kuondoka nilitoka nje, swala la kupika sikulipenda. Hivyo niliienda kwa wauza chakula waliokuwa upande wa nyuma wa nyumba tuliyokuwa tunakaaa. Niliagiza chapat na supu ya kuku.

Nikiwa nakula, nilitwa na bint wa Baba mwenye nyumba.

“ Baba anasema uende sasa hiv anataka kuondoka.” ALniamba yule bintii.

“ Sawa.” Nilimjibu. Nlkunywa ile supu fasta fasta ksha nikaelekea kwa baba mwenye nyumba. Wapangaj tuliikuwa tunakaa mabandani, wao walikuwa wanakaa nyumba kubwa. Nilibisha hod niikaruhusiwa kuinga ndani.

Barazan nilimkuta baba mwenye nyumba pamoja na mkewe, niliwasalimia kisha nikakaaa.

“ Samahani binti kwakukusumbua. Wewe ni mke wa Shabani si ndio?” ALiniuliza.

“ Ndio.” Nilmjibu.

“ Ok sawa! nmeikuta hapa kutaka kukueleza mambo mawil matatu ya msingi! Kwenye hi nyumba yangu kumekuwa na shda sana kwa wapangaj wangu kuish na wake zao. Yaani mtu akileta mke haichukui wiki anafumaniwa.”

“ Anafumaniwa?”

“ Ndio! Kuna tabia ya wapangaj kutongoza wake wa wenzao. Hivyo nakuomba kuwa makini, hasa kuwa makin na anord, tabia yake sio nzur kabisa, anaweza kukutongoza na kuharibu ndoa yako.” Alinambia.

Mama mwenye nyumba alidakia.

“ Kipndi cha nyuma, shabn alikuwa anaish na mke wake hapa. Lakni kuna sku alimfumania na anord akamfukuza.” Alnambia. Walinipa maonyo mengi na kunitaka nishi kimaadili. Nilkubal. Nlwashukuru kwa wosia wao na kurudi chumban kwangu.

………………

Saa mbili usku, mume wangu shaban alirudi. ALnitaka nijandae tutoke out. Aliniambia anataka kunipeleka sehemu nzuri tuweze kuenjoy. Nilkubali. Niliingia bafun kujiandaaa , yeye altoka nje na kuelekea dukani.

Dakika kumi na tano mbele wakati mimi natoka bafuni, shaban alikuwa anaingia ndani, muonekano wake ulikuwa tofauti na wakati anatoka .

“ Upo sawa?” Nilimuuliiza. Badala ya kunijibu, Shaban alinipiga kibao cha nguvu kisha akanivua kanga yangu haraka haraka haraka na kunitanua miguu yangu.

Gusa link kupata full story[emoji3060][emoji1370][emoji1370]


Ahsnate [emoji120]
 
WAKATI NAJIUZA NILIWAFANYISHA WATU MAPENZI NA FISI BILA YA WAO KUJUA 12

“ Upo sawa?” Nilimuuliiza. Badala ya kunijibu, Shaban alinipiga kibao cha nguvu kisha akanivua kanga yangu haraka haraka haraka na kunitanua miguu yangu.

“ paaaaaaa..” Alinipiga kibao kiunoni.

Aljishika usoni na kusogea pembeni kisha akawa analia.

‘ Shaban kuna nini?” Nilimuuliza nikiwa namshika, lakini katika hali ya ajabu sana. ALisukuma na kunitaka nisimguse kabisa.

Nilimsogelea tena na kumshika. ALinsukuma na akaniambia kwa hasira kubwa nirudi nyuma. ALinieleza hataki huhusiano wowte na mimi hivyo nikae nae mbali. Niliduwaaa. Sikuwa najua shida iko wapi.

Shaban kama mtoto aligumia kwa kilio. ALisimama na kukaaa. Alienda mbele na kurudi nyuma. ALifanya hiki kisha akafanya kile. Hakuwa sawa hata kidogo. Ni kama aliikuwa kachanganyikiwa hvi, sekunde kadhaa mbele alianza kushika vitu na kuvitupa ovyo ovyo mle ndani.

Alipiga kelele kama mwenda wazimu na kujishika kichwa.

“ Lucy….lucy….wewe ndio wakunifanyia hivi ?” Aliniuliza kisha akaendelea kulia.

Niliduwaaa.

Gafla bin vuu alinishika mzima mzima, na kunivutia nje. Sikuwa na nguo, hivyo nilipambana nae. SIkuwa tayari kutolewa nje pasipo nguo. Nilimshika vizuri kisha mguu wangu nikauweka mlangoni. ALinivuta na kunivuta pasipo mfanikio.

‘ ngooo..ngooooo..’ MLango uligongwa.

Shaban hakufungua, aliyegonga mlango aliusukuma na kuingia ndani. ALikuwa ni baba mwenye nyumba.

“ Shaban unafanya nini?” ALmuuliza. Haraka haraka nilijifunika kanga kujisitiri.

“ Kanifanyia uhuni sana huyu mwanamke…”

“ Maisha ndivyo yalivyo! Hakuna ambae hakosei.. kama unaamua kuishi na mwanamke ishi nae na mvumilie kwa mapungufu yake.”

“ Hapana. Kwa alichofanya siwezi mvumilia. Namuomba aondokee..”

‘ Nimefanya nini?”

“ Usiniulize hilo tafadhali. Moyo wangu unauma kila nikifikiria.. tafadhali sana..kaaaa mbali na mimi.”

“ Siondoki mpaka uniambie tatizo langu..”

“ Uuuuuuh!” ALihema shaban. Alinigeukia kwa jicho kali sana na kuniambia nilichofanya na anord. Niliduwaaa. Nilishindwa kujitetea. Aliniambia amejua kila kitu. Pia alinieleza wakati tunafanya anord alirekod video ambayo imezagaaa mtaani.

Niliichoka.

Shabn alinifungulia mlango na kunitaka niondoke. Sikuwa na namna. Nilichukua kibegi changu na kuelekea nje. Lakini nikiwa mlangoni alinifata tena. ALinipa laki moja akaniambia itanisaidia kwa siku kadhaaa kuanza maisha upya. Nilimshukuru na kuondoka.

……………..

Nilirudi kule kule tulikokuwa tunakaa na mama.

Wiki moja mbele hela nilyopewa iliisha. Nilinunua box la salama na kuliweka chumbani kwangu kisha nikaanza kazi ya kujiuza. Kama walivyokuwa makahaba wengine, nami nilijipodoa na kukaaa mlangoni kusubiri wateja.

Nikiwa nimekaa pale, walikuja wamasai wawili wakiwa wameshika viatu vya kimasai na vitu vingine vya urembo.

“ Habari rafiki..” Walinsalimia.

“ Safi..” Niliwajibu.

“ Sisi iko na elfu 40 taka wote iingia wewe kwa pamojaaaa…wezekana hio?” Waliniuliza.

“ Inawezekana.” Niliwajibu mawazo yangu yakiwa kwenye hela yao.

Gusa link kupata mwendelezo chap
[emoji3060][emoji1370][emoji1370]


Ahsnate [emoji120]
 
Back
Top Bottom