GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Meneja Patrick Rweymamu
2. Mratibu Abbas
3. Kipa Aishi Manula
4. Beki Shomary Kapombe
5. Beki Pascal Wawa
6. Nahodha John Boko
7. Kocha Selemani Matola
Ninaotaka wabakie tu katika Benchi la Ufundi ni Mfia Timu Kocha wa Viungo na Kocha wa Makipa ambaye nimehakikishiwa na Mtu wa ndani kabisa kuwa ameshasema mno kuwa Golini awe anakaa Beno Kakolanya ila hana Nguvu kwakuwa Kipa Aishi Manula anapendwa na Wakubwa huku wengine akila nao 10% za Posho na Mshahara wake.
Simba SC kwa sasa Ina Nuksi nyingi tu.
Cc: Frank Wanjiru
2. Mratibu Abbas
3. Kipa Aishi Manula
4. Beki Shomary Kapombe
5. Beki Pascal Wawa
6. Nahodha John Boko
7. Kocha Selemani Matola
Ninaotaka wabakie tu katika Benchi la Ufundi ni Mfia Timu Kocha wa Viungo na Kocha wa Makipa ambaye nimehakikishiwa na Mtu wa ndani kabisa kuwa ameshasema mno kuwa Golini awe anakaa Beno Kakolanya ila hana Nguvu kwakuwa Kipa Aishi Manula anapendwa na Wakubwa huku wengine akila nao 10% za Posho na Mshahara wake.
Simba SC kwa sasa Ina Nuksi nyingi tu.
Cc: Frank Wanjiru