Wakati Nyerere na Familia yake (Mke na Watoto wakishiriki vita ya Kagera miaka hiyo) Marais waliofuata wanashirikiana na familia zao kutufisadi

Wakati Nyerere na Familia yake (Mke na Watoto wakishiriki vita ya Kagera miaka hiyo) Marais waliofuata wanashirikiana na familia zao kutufisadi

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Nimewaza sana. Katika marais waliofuata nani angeruhusu mkewe au mtoto wake ashiriki kwenye vita kwa njia moja au nyingine?

Hamna. Wanashirikiana mke na watoto/ mtoto na baba yao kutuibia mali zetu Watanzania. Kuanzisha Makampuni na kutuingiza mikataba ya Kichifu Mangungo wa Msovero.

Wananchi wa Tanzania wanabaki maskini. Pamoja na mapungufu yake kama binadamu. Nyerere alikuwa ni the best president mwenye uchungu na nchi yake na mzalendo.far more alikuwa very inteligent.

Kuja kumpata Rais aina yake tena Tanzania labda ni baada ya miaka 100.

Picha chini Mama Maria Nyerere akiongoza wanajeshi wengine. Hii ilikuwa mwaka 1979 katika ile Vita ha kumng'oa Nduli Idd Amin Dada wa Uganda Dikteta maarufu wa Afrika Mashariki.
TUMPE MUDA.

Screenshot_20210705-150935~2.png
 
Alijua katiba ni mbovu sasa kwanini aliiacha hivyo
Kuondoka bila Kuacha utaratibu wa kumlazimisha kiongozi kuwa mzalendo kiasi chake
Imeondoa maana ya kazi yote aliyofanya
Aliachia Watanzania wakija pata uelewa mzuri waje wabadilishe. Sioni cha kumlaumu hapo.asingeweza fanya kila kiyu yeye kipindi hicho.
 
Nimewaza sana. Katika marais waliofuata nani angeruhusu mkewe au mtoto wake ashiriki kwenye vita kwa njia moja au nyingine?

Hamna. Wanashirikiana mke na watoto/ mtoto na baba yao kutuibia mali zetu Watanzania. Kuanzisha Makampuni na kutuingiza mikataba ya Kichifu Mangungo wa Msovero.

Wananchi wa Tanzania wanabaki maskini. Pamoja na mapungufu yake kama binadamu. Nyerere alikuwa ni the best president mwenye uchungu na nchi yake na mzalendo.far more alikuwa very inteligent.

Kuja kumpata Rais aina yake tena Tanzania labda ni baada ya miaka 100.

Picha chini Mama Maria Nyerere akiongoza wanajeshi wengine. Hii ilikuwa mwaka 1979 katika ile Vita ha kumng'oa Nduli Idd Amin Dada wa Uganda Dikteta maarufu wa Afrika Mashariki.
TUMPE MUDA.

View attachment 1842324
Kiukweli uzalendo iliisha wakati wa Nyerere na alikufa nao. Kwa sasa tujiunge na CCM tupige hela tu maana hata hao wapinzani naona wamekosa uelekeo, tumesapoti vya kutosha hakuna kinachobadilika.
 
Hii nchi ndugu yangu ukiyajua yanayofanyika utaumia sana. Hizi kodi tunapandishiwa kuna watu wanaenda neemeka nazo sana.
Mzee mwenzangu just hamia CCM tuibe maana Kodi ndio inakoenda otherwise utaishia kubishana na watoto humu wao wanajua kutukana tu then wakirudi makwao hata bili ya maji ya 5,000 wanalalamika ni kubwa sana.

Nilichogundua wengi wao wamegeuka vichaa sababu wamekata tamaa, chama Chao hakiwapi kile wanachotarajia kupata na wao hali inazidi kuwa mbaya, wamebaki kuchanganyikiwa. Na angebaki bwana yule vijana wote wangeiahia jela maana wangetukana sababu ya frustration zao na jamaa alikuwa hana uvumilivu kama wa JK na SSH. Wangeozea jela wengi sana na kupotezwa kabisa. Sasa kuna ahueni ya kijamii na kisiasa na kihaki kadhaa za binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza, kutetewa, haki ya kupata habari nk lakini hawaoni umuhimu wa kubadili strategy wanachezea sharubu ya Simba.

Kuna namna ya kuongea na mwenye Mamlaka ili akupe haki zako, hata Nyerere alikataa vurugu aliamini kwenye majadiliano ambayo yalipelekea tukapata Uhuru bila Vita. Tuna bahati tumepata kiongozi ambaye toka siku ya kwanza alitamka mwenyewe kwamba tunahitaji suluhisho la kitaifa ili kuponya majeraha yaliyotokana na uongozi uliopita sasa si watulie huku wakimkumbusha bila ya matusi na vitisho? Mbona enzi ya JK walikuwa wanaenda kujadili Ikulu na mpaka wakafanikiwa kumshawishi aanzishe mchakato wa Katiba mpya?

Sasa, kwa hii style mpya wanayotaka kuja nayo, heri utukanwe ukiwa ndani ya V8 kuliko mtu mzima unakaa kubishana na form six au undergraduates ambao wana hasira zilizoyengenezwa na CHADEMA na hawawezi kukaa kupokea ushauri nini kifanyike..

Bila chama kipya kisichokuwa na mlengo wa waliotoka CCM Yani kuwa na watu ambao walikuwa neutral muda wote, hatutaweza kutoa CCM madarakani sababu CHADEMA hawana mpango huo.
 
Nimewaza sana. Katika marais waliofuata nani angeruhusu mkewe au mtoto wake ashiriki kwenye vita kwa njia moja au nyingine?

Hamna. Wanashirikiana mke na watoto/ mtoto na baba yao kutuibia mali zetu Watanzania. Kuanzisha Makampuni na kutuingiza mikataba ya Kichifu Mangungo wa Msovero.

Wananchi wa Tanzania wanabaki maskini. Pamoja na mapungufu yake kama binadamu. Nyerere alikuwa ni the best president mwenye uchungu na nchi yake na mzalendo.far more alikuwa very inteligent.

Kuja kumpata Rais aina yake tena Tanzania labda ni baada ya miaka 100.

Picha chini Mama Maria Nyerere akiongoza wanajeshi wengine. Hii ilikuwa mwaka 1979 katika ile Vita ha kumng'oa Nduli Idd Amin Dada wa Uganda Dikteta maarufu wa Afrika Mashariki.
TUMPE MUDA.

View attachment 1842324
Hayati Mwl J. K. Nyerere alikuwa extra mzalendo na mwenzake Sokoine,
 
Hao makamanda walidhamiria nini kumuweka mke wa mwenzao mstari wa mbele, au walikuwa na nia ovu

Screenshot_20210705-160459_Samsung Internet.jpg
 
Nimewaza sana. Katika marais waliofuata nani angeruhusu mkewe au mtoto wake ashiriki kwenye vita kwa njia moja au nyingine?

Hamna. Wanashirikiana mke na watoto/ mtoto na baba yao kutuibia mali zetu Watanzania. Kuanzisha Makampuni na kutuingiza mikataba ya Kichifu Mangungo wa Msovero.

Wananchi wa Tanzania wanabaki maskini. Pamoja na mapungufu yake kama binadamu. Nyerere alikuwa ni the best president mwenye uchungu na nchi yake na mzalendo.far more alikuwa very inteligent.

Kuja kumpata Rais aina yake tena Tanzania labda ni baada ya miaka 100.

Picha chini Mama Maria Nyerere akiongoza wanajeshi wengine. Hii ilikuwa mwaka 1979 katika ile Vita ha kumng'oa Nduli Idd Amin Dada wa Uganda Dikteta maarufu wa Afrika Mashariki.
TUMPE MUDA.

View attachment 1842324
Anzisha vita tuone kama familia za Marais hazitashiriki
 
Nasikia Nyerere alipoteza kijana wake wa damu kabisa kwenye vita na nduli,ila mbona hata yule dikteta wa Chad amefia juzi kwenye uwanja wa mapambano na waasi
 
Back
Top Bottom