Wakati Nyerere na Familia yake (Mke na Watoto wakishiriki vita ya Kagera miaka hiyo) Marais waliofuata wanashirikiana na familia zao kutufisadi

Wakati Nyerere na Familia yake (Mke na Watoto wakishiriki vita ya Kagera miaka hiyo) Marais waliofuata wanashirikiana na familia zao kutufisadi

Nimewaza sana. Katika marais waliofuata nani angeruhusu mkewe au mtoto wake ashiriki kwenye vita kwa njia moja au nyingine?

Hamna. Wanashirikiana mke na watoto/ mtoto na baba yao kutuibia mali zetu Watanzania. Kuanzisha Makampuni na kutuingiza mikataba ya Kichifu Mangungo wa Msovero.

Wananchi wa Tanzania wanabaki maskini. Pamoja na mapungufu yake kama binadamu. Nyerere alikuwa ni the best president mwenye uchungu na nchi yake na mzalendo.far more alikuwa very inteligent.

Kuja kumpata Rais aina yake tena Tanzania labda ni baada ya miaka 100.

Picha chini Mama Maria Nyerere akiongoza wanajeshi wengine. Hii ilikuwa mwaka 1979 katika ile Vita ha kumng'oa Nduli Idd Amin Dada wa Uganda Dikteta maarufu wa Afrika Mashariki.
TUMPE MUDA.

View attachment 1842324
Mkuu! Julius aliipenda kwa dhati kabisa Tanzania licha ya mapungufu yake ya kibinadamu haiwezi kuondoa ukweli kwamba Julius Kambarage alikuwa mzalendo namba moja.

Mtoto wake alifia vitani akiihami na kuipigania hii nchi tuliyo nayo leo.

Hakuanikiwa kutengeneza uchumi imara ila alifanikiwa kutengeneza social harmony ya Hali ya juu, Watanzania hatuna ubaguzi kwa sababu Nyerere alitufanya tujione wamoja na ndugu. Kenya hili jinamizi linawatesa kwa miaka nenda rudi.

Sababu Mwasisi wa taifa lao hakufanya kazi nzuri kwenye social harmony.

Yako mengi naishia hapa Niko busy
 
Mzee mwenzangu just hamia CCM tuibe maana Kodi ndio inakoenda otherwise utaishia kubishana na watoto humu wao wanajua kutukana tu then wakirudi makwao hata bili ya maji ya 5,000 wanalalamika ni kubwa sana.

Nilichogundua wengi wao wamegeuka vichaa sababu wamekata tamaa, chama Chao hakiwapi kile wanachotarajia kupata na wao hali inazidi kuwa mbaya, wamebaki kuchanganyikiwa. Na angebaki bwana yule vijana wote wangeiahia jela maana wangetukana sababu ya frustration zao na jamaa alikuwa hana uvumilivu kama wa JK na SSH. Wangeozea jela wengi sana na kupotezwa kabisa. Sasa kuna ahueni ya kijamii na kisiasa na kihaki kadhaa za binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza, kutetewa, haki ya kupata habari nk lakini hawaoni umuhimu wa kubadili strategy wanachezea sharubu ya Simba.

Kuna namna ya kuongea na mwenye Mamlaka ili akupe haki zako, hata Nyerere alikataa vurugu aliamini kwenye majadiliano ambayo yalipelekea tukapata Uhuru bila Vita. Tuna bahati tumepata kiongozi ambaye toka siku ya kwanza alitamka mwenyewe kwamba tunahitaji suluhisho la kitaifa ili kuponya majeraha yaliyotokana na uongozi uliopita sasa si watulie huku wakimkumbusha bila ya matusi na vitisho? Mbona enzi ya JK walikuwa wanaenda kujadili Ikulu na mpaka wakafanikiwa kumshawishi aanzishe mchakato wa Katiba mpya?

Sasa, kwa hii style mpya wanayotaka kuja nayo, heri utukanwe ukiwa ndani ya V8 kuliko mtu mzima unakaa kubishana na form six au undergraduates ambao wana hasira zilizoyengenezwa na CHADEMA na hawawezi kukaa kupokea ushauri nini kifanyike..

Bila chama kipya kisichokuwa na mlengo wa waliotoka CCM Yani kuwa na watu ambao walikuwa neutral muda wote, hatutaweza kutoa CCM madarakani sababu CHADEMA hawana mpango huo.
Nimevutiwa na hii sehemu

"Sasa, kwa hii style mpya wanayotaka kuja nayo, heri utukanwe ukiwa ndani ya V8 kuliko mtu mzima unakaa kubishana na form six au undergraduates ambao wana hasira zilizoyengenezwa na CHADEMA na hawawezi kukaa kupokea ushauri nini kifanyike".
 
Nimevutiwa na hii sehemu

"Sasa, kwa hii style mpya wanayotaka kuja nayo, heri utukanwe ukiwa ndani ya V8 kuliko mtu mzima unakaa kubishana na form six au undergraduates ambao wana hasira zilizoyengenezwa na CHADEMA na hawawezi kukaa kupokea ushauri nini kifanyike".
Vipi mkuu 😃
 
Hiyo picha haiimanishi Mama Maria Nyerere alishiriki vita vya Kagera hiyo picha ni kwamba mama muda mchache baada ya kuanzishwa jeshi la mgambo nayeye alipitia mafunzo ya mgambo watoto wa Nyerere walioshiriki vita vya Kagera walishiriki kwa kuwa kipindi hicho walikuwa jeshi ni namfahamu Charles Makongoro alikuwa JKT kwa mujibu wa sheria
 
Wewe mporipori ungejuaje mbinu chafu aliyocheza tuluza makalio endele kupombeka na lubisi huko
Mbona kama umepanic sheikh? Mnazi umeshajaa kichwani? Ndo unatuliza hayo makitu? Usipanic sheikh haya mambo si kama kusubiria ubwabwa na ndizi mfukoni. Elimu inahusika.
 
Nimewaza sana. Katika marais waliofuata nani angeruhusu mkewe au mtoto wake ashiriki kwenye vita kwa njia moja au nyingine?

Hamna. Wanashirikiana mke na watoto/ mtoto na baba yao kutuibia mali zetu Watanzania. Kuanzisha Makampuni na kutuingiza mikataba ya Kichifu Mangungo wa Msovero.

Wananchi wa Tanzania wanabaki maskini. Pamoja na mapungufu yake kama binadamu. Nyerere alikuwa ni the best president mwenye uchungu na nchi yake na mzalendo.far more alikuwa very inteligent.

Kuja kumpata Rais aina yake tena Tanzania labda ni baada ya miaka 100.

Picha chini Mama Maria Nyerere akiongoza wanajeshi wengine. Hii ilikuwa mwaka 1979 katika ile Vita ha kumng'oa Nduli Idd Amin Dada wa Uganda Dikteta maarufu wa Afrika Mashariki.
TUMPE MUDA.

View attachment 1842324
Halaf Kuna mibata aina ya mataga inataka kumlinganisha mwl. na vitu vya kijinga.
 
Nimewaza sana. Katika marais waliofuata nani angeruhusu mkewe au mtoto wake ashiriki kwenye vita kwa njia moja au nyingine?

Hamna. Wanashirikiana mke na watoto/ mtoto na baba yao kutuibia mali zetu Watanzania. Kuanzisha Makampuni na kutuingiza mikataba ya Kichifu Mangungo wa Msovero.

Wananchi wa Tanzania wanabaki maskini. Pamoja na mapungufu yake kama binadamu. Nyerere alikuwa ni the best president mwenye uchungu na nchi yake na mzalendo.far more alikuwa very inteligent.

Kuja kumpata Rais aina yake tena Tanzania labda ni baada ya miaka 100.

Picha chini Mama Maria Nyerere akiongoza wanajeshi wengine. Hii ilikuwa mwaka 1979 katika ile Vita ha kumng'oa Nduli Idd Amin Dada wa Uganda Dikteta maarufu wa Afrika Mashariki.
TUMPE MUDA.

View attachment 1842324

Acha uongo, mama Maria hakwenda kupigana vita na wala hakukuwa na Askari mwanamke aliyekwenda mstari wa mbele vitani, isitoshe zama za maraisi wengine hakukuwa na vita sasa unawezaje kuwalinganisha katika hali hiyo??!!.
 
Mzee mwenzangu just hamia CCM tuibe maana Kodi ndio inakoenda otherwise utaishia kubishana na watoto humu wao wanajua kutukana tu then wakirudi makwao hata bili ya maji ya 5,000 wanalalamika ni kubwa sana.

Nilichogundua wengi wao wamegeuka vichaa sababu wamekata tamaa, chama Chao hakiwapi kile wanachotarajia kupata na wao hali inazidi kuwa mbaya, wamebaki kuchanganyikiwa. Na angebaki bwana yule vijana wote wangeiahia jela maana wangetukana sababu ya frustration zao na jamaa alikuwa hana uvumilivu kama wa JK na SSH. Wangeozea jela wengi sana na kupotezwa kabisa. Sasa kuna ahueni ya kijamii na kisiasa na kihaki kadhaa za binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza, kutetewa, haki ya kupata habari nk lakini hawaoni umuhimu wa kubadili strategy wanachezea sharubu ya Simba.

Kuna namna ya kuongea na mwenye Mamlaka ili akupe haki zako, hata Nyerere alikataa vurugu aliamini kwenye majadiliano ambayo yalipelekea tukapata Uhuru bila Vita. Tuna bahati tumepata kiongozi ambaye toka siku ya kwanza alitamka mwenyewe kwamba tunahitaji suluhisho la kitaifa ili kuponya majeraha yaliyotokana na uongozi uliopita sasa si watulie huku wakimkumbusha bila ya matusi na vitisho? Mbona enzi ya JK walikuwa wanaenda kujadili Ikulu na mpaka wakafanikiwa kumshawishi aanzishe mchakato wa Katiba mpya?

Sasa, kwa hii style mpya wanayotaka kuja nayo, heri utukanwe ukiwa ndani ya V8 kuliko mtu mzima unakaa kubishana na form six au undergraduates ambao wana hasira zilizoyengenezwa na CHADEMA na hawawezi kukaa kupokea ushauri nini kifanyike..

Bila chama kipya kisichokuwa na mlengo wa waliotoka CCM Yani kuwa na watu ambao walikuwa neutral muda wote, hatutaweza kutoa CCM madarakani sababu CHADEMA hawana mpango huo.
Naomba kukubaliana na wewe %100
 
Mzee mzima unakuwa na pumba kiasi hiki. CCM bwana.
Mzee mwenzangu just hamia CCM tuibe maana Kodi ndio inakoenda otherwise utaishia kubishana na watoto humu wao wanajua kutukana tu then wakirudi makwao hata bili ya maji ya 5,000 wanalalamika ni kubwa sana.

Nilichogundua wengi wao wamegeuka vichaa sababu wamekata tamaa, chama Chao hakiwapi kile wanachotarajia kupata na wao hali inazidi kuwa mbaya, wamebaki kuchanganyikiwa. Na angebaki bwana yule vijana wote wangeiahia jela maana wangetukana sababu ya frustration zao na jamaa alikuwa hana uvumilivu kama wa JK na SSH. Wangeozea jela wengi sana na kupotezwa kabisa. Sasa kuna ahueni ya kijamii na kisiasa na kihaki kadhaa za binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza, kutetewa, haki ya kupata habari nk lakini hawaoni umuhimu wa kubadili strategy wanachezea sharubu ya Simba.

Kuna namna ya kuongea na mwenye Mamlaka ili akupe haki zako, hata Nyerere alikataa vurugu aliamini kwenye majadiliano ambayo yalipelekea tukapata Uhuru bila Vita. Tuna bahati tumepata kiongozi ambaye toka siku ya kwanza alitamka mwenyewe kwamba tunahitaji suluhisho la kitaifa ili kuponya majeraha yaliyotokana na uongozi uliopita sasa si watulie huku wakimkumbusha bila ya matusi na vitisho? Mbona enzi ya JK walikuwa wanaenda kujadili Ikulu na mpaka wakafanikiwa kumshawishi aanzishe mchakato wa Katiba mpya?

Sasa, kwa hii style mpya wanayotaka kuja nayo, heri utukanwe ukiwa ndani ya V8 kuliko mtu mzima unakaa kubishana na form six au undergraduates ambao wana hasira zilizoyengenezwa na CHADEMA na hawawezi kukaa kupokea ushauri nini kifanyike..

Bila chama kipya kisichokuwa na mlengo wa waliotoka CCM Yani kuwa na watu ambao walikuwa neutral muda wote, hatutaweza kutoa CCM madarakani sababu CHADEMA hawana mpango huo.
 
Nimewaza sana. Katika marais waliofuata nani angeruhusu mkewe au mtoto wake ashiriki kwenye vita kwa njia moja au nyingine?

Hamna. Wanashirikiana mke na watoto/ mtoto na baba yao kutuibia mali zetu Watanzania. Kuanzisha Makampuni na kutuingiza mikataba ya Kichifu Mangungo wa Msovero.

Wananchi wa Tanzania wanabaki maskini. Pamoja na mapungufu yake kama binadamu. Nyerere alikuwa ni the best president mwenye uchungu na nchi yake na mzalendo.far more alikuwa very inteligent.

Kuja kumpata Rais aina yake tena Tanzania labda ni baada ya miaka 100.

Picha chini Mama Maria Nyerere akiongoza wanajeshi wengine. Hii ilikuwa mwaka 1979 katika ile Vita ha kumng'oa Nduli Idd Amin Dada wa Uganda Dikteta maarufu wa Afrika Mashariki.
TUMPE MUDA.

View attachment 1842324
katiba mpya ndo habari ya mjini.
 
Nimewaza sana. Katika marais waliofuata nani angeruhusu mkewe au mtoto wake ashiriki kwenye vita kwa njia moja au nyingine?

Hamna. Wanashirikiana mke na watoto/ mtoto na baba yao kutuibia mali zetu Watanzania. Kuanzisha Makampuni na kutuingiza mikataba ya Kichifu Mangungo wa Msovero.

Wananchi wa Tanzania wanabaki maskini. Pamoja na mapungufu yake kama binadamu. Nyerere alikuwa ni the best president mwenye uchungu na nchi yake na mzalendo.far more alikuwa very inteligent.

Kuja kumpata Rais aina yake tena Tanzania labda ni baada ya miaka 100.

Picha chini Mama Maria Nyerere akiongoza wanajeshi wengine. Hii ilikuwa mwaka 1979 katika ile Vita ha kumng'oa Nduli Idd Amin Dada wa Uganda Dikteta maarufu wa Afrika Mashariki.
TUMPE MUDA.

View attachment 1842324
Kwanza uliza hiyo vita ya ya kagera ilikuwa na umuhimu wowote kwa maslahi ya taifa letu au ilikuwa ni maslahi binafsi?
 
Back
Top Bottom