Wakati Rais Ruto wa Kenya akiwataka Maafisa wa Serikali wenye Umri wa miaka 60 Kustaafu, mwingine duniani anawapa Uteuzi ili wamsaidie Kumdanganya

Wakati Rais Ruto wa Kenya akiwataka Maafisa wa Serikali wenye Umri wa miaka 60 Kustaafu, mwingine duniani anawapa Uteuzi ili wamsaidie Kumdanganya

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Rais Ruto anatakiwa aje kujifunza nchini Tanzania ambapo Maafisa wote wenye huo Umri wa miaka 60 hakuna aliyeko bado Serikakini katika Utumishi wa Umma na kwamba Waajiriwa wote Tanzania ni Vijana watupu wa kuanzia miaka 25 hadi 45 walioko huko.

Na ndiyo maana Utawala wa Rais Samia unafanya vyema katika kila Nyanja na Tanzania inepiga hatua Kubwa ya Kimaendeleo hasa Kiuchumi kiasi kwamba kuanzia mwakani nchi za Marekani, Uingereza na China zitakuja Kutukopa Fedha.

Kwani tutakuwa tumeshakuwa Tajiri kuwazidi na Kutokuwa na Wazee wa kuanzia miaka 60 Serikakini kama ambao wako wengi Serikakini nchini Kenya na ambao Rais Ruto kawachoka kwani wanasababisha tatizo la Ajira kuzidi kuwa Kubwa nchini Kenya.

Kwa wale Matomaso ( Wasioamini ) hii Taarifa ya haya Maamuzi ya Rais Ruto wa Kenya watembelee Ukurasa wa KTN News.

Imeisha hiyo.......!!
 
Yes,
Kuna wale wazee waliokuaga ant_ technology

Wazee wa analogies

Dunia Ina enda Kasi Sanaa 😊
 
Rais Ruto anatakiwa aje kujifunza nchini Tanzania ambapo Maafisa wote wenye huo Umri wa miaka 60 hakuna aliyeko bado Serikakini katika Utumishi wa Umma na kwamba Waajiriwa wote Tanzania ni Vijana watupu wa kuanzia miaka 25 hadi 45 walioko huko.

Na ndiyo maana Utawala wa Rais Samia unafanya vyema katika kila Nyanja na Tanzania inepiga hatua Kubwa ya Kimaendeleo hasa Kiuchumi kiasi kwamba kuanzia mwakani nchi za Marekani, Uingereza na China zitakuja Kutukopa Fedha.

Kwani tutakuwa tumeshakuwa Tajiri kuwazidi na Kutokuwa na Wazee wa kuanzia miaka 60 Serikakini kama ambao wako wengi Serikakini nchini Kenya na ambao Rais Ruto kawachoka kwani wanasababisha tatizo la Ajira kuzidi kuwa Kubwa nchini Kenya.

Kwa wale Matomaso ( Wasioamini ) hii Taarifa ya haya Maamuzi ya Rais Ruto wa Kenya watembelee Ukurasa wa KTN News.

Imeisha hiyo.......!!
Simple tuu hamia Kenya mkachinjane
 
Sure, Tz tumepiga hatua sana ukizingatia akili kubwa inayolingoza hili taifa kubwa mpaka kufikia mwisho wa uongoz wake 🐸
 
Hivi nini kilimfanya chura akawa kiziwi?
 
Ukishastaafu unateuliwa tena kuwa mkuu wa chuo,sijui bodi ya pamba sijui nini mpaka ufie kazini.Ila Ruto bwana
 
Back
Top Bottom