Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Mananihii ya kale hayanukiHapo vip!!
Sina mengi ila kabla hizi takxtaka zingine hazijafika mbali..wajue Simba ndio timu ya kwanza Tanzania,Afrika mashariki na kati kucheza final za kombe la shirikisho mwaka 1993.
Sasa ipo hivi kipindi hicho kombe la shirikisho lilikuwa na majina tafouti tofauti kulingana na udhamini kama Ligi kuu..mara NBC,mara vodacom n.k isikuchanganye.View attachment 3245174