Mananihii ya kale hayanukiHapo vip!!
Sina mengi ila kabla hizi takxtaka zingine hazijafika mbali..wajue Simba ndio timu ya kwanza Tanzania,Afrika mashariki na kati kucheza final za kombe la shirikisho mwaka 1993.
Sasa ipo hivi kipindi hicho kombe la shirikisho lilikuwa na majina tafouti tofauti kulingana na udhamini kama Ligi kuu..mara NBC,mara vodacom n.k isikuchanganye.View attachment 3245174
Hoja nzuri. Hapa gongowazi watapinga.Kwa hiyo ligi ya mabingwa ikibadilishwa jina ubingwa wa Al ahly wote aliowahi kupata unafutwa.
Acha kujitekenya. Wakati kombe la dunia linaanza unajua mdhamini alikuwa ni nani na ni nchi ngapi zilikuwa zinashiriki? Lakini rekodi ya nchi zilizochukua ubingwa wakati ule bado hadi leo zinasomeka kuwa zilichukua kombe la dunia wakati kuna nchi chache tu ndio zilishiriki.Kipindi hicho Lili kuwa bonaza na mdhamini wa hilo bonaza alikuwa Abiola Sasa hivi ndio shilikisho kweli
Sasa chezeni fainali na mwaka huu kama nyinyi ni vidume
MWanzo makombe yalikua matatu, na baadae yakaja kua mawili. Sioni likizungumziwa hiliAcha kujitekenya. Wakati kombe la dunia linaanza unajua mdhamini alikuwa ni nani na ni nchi ngapi zilikuwa zinashiriki? Lakini rekodi ya nchi zilizochukua ubingwa wakati ule bado hadi leo zinasomeka kuwa zilichukua kombe la dunia wakati kuna nchi chache tu ndio zilishiriki.
Udhamini, muundo au mabadiliko ya kuendesha michuano fulani haibadilishi historia kwa timu zilizoshiriki. Hiyo ni fact
WAJINGA WANAZIDI KUWA WENGI SANA TANZANIA.Hapo vip!!
Sina mengi ila kabla hizi takxtaka zingine hazijafika mbali..wajue Simba ndio timu ya kwanza Tanzania,Afrika mashariki na kati kucheza final za kombe la shirikisho mwaka 1993.
Sasa ipo hivi kipindi hicho kombe la shirikisho lilikuwa na majina tafouti tofauti kulingana na udhamini kama Ligi kuu..mara NBC,mara vodacom n.k isikuchanganye.View attachment 3245174
Eti nenda website..brainlessWAJINGA WANAZIDI KUWA WENGI SANA TANZANIA.
NENDA WEBSITE YA CAF USOME VIZURI HALAFU UJE HAPA UANDIKE UPYA
Ndyo mwenye ubongo wake mzuri, kuliko kutuandkia ambavyo vina ubongo wa kwako, fanya marejeo, EWE MSOMI MWENYE UBONGO!Eti nenda website..brainless
na wewe unahesabu nini licha ya kombe kubadilishwa?Hoja nzuri. Hapa gongowazi watapinga.
Hata champions league ya ulaya tunayoiona leo haina miaka mingi tangu ianzishwe ila Real Madrid anahesabiwa vikombe vyake vyote hata kabla haijabadilishwa na kuita Champions League.
Wabongo huwa tunachambua mambo kwa kuangalia ushabiki sio facts. Simba ndio timu ya kwanza kufika fainali za kombe la shirikisho Afrika.
Ubishi wa ngomani mmakonde lazima amdondoshe mngoni.Hoja nzuri. Hapa gongowazi watapinga.
Hata champions league ya ulaya tunayoiona leo haina miaka mingi tangu ianzishwe ila Real Madrid anahesabiwa vikombe vyake vyote hata kabla haijabadilishwa na kuita Champions League.
Wabongo huwa tunachambua mambo kwa kuangalia ushabiki sio facts. Simba ndio timu ya kwanza kufika fainali za kombe la shirikisho Afrika.
Simba imefika fainalina wewe unahesabu nini licha ya kombe kubadilishwa?
Angalia usije kutuambia kuwa Uruguay haikuwahi Kuwa Bingwa wa Kombe La Dunia kwa kuwa michuano ilikuwa na timu 13 tu.Kipindi hicho Lili kuwa bonaza na mdhamini wa hilo bonaza alikuwa Abiola Sasa hivi ndio shilikisho kweli
Sasa chezeni fainali na mwaka huu kama nyinyi ni vidume
Watu wa Yanga huwa hawana akili. Leo hii ukiwauliza Yanga ana makombe mangapi ya Ligi Kuu watahesabu yote aliyotwaa hata wakati ule Inaitwa "Ligi Daraja la Kwanza". Ila Kwa Simba wanapinga kuwa ile fainali haikuwa ya Shirikisho.Hoja nzuri. Hapa gongowazi watapinga.
Hata champions league ya ulaya tunayoiona leo haina miaka mingi tangu ianzishwe ila Real Madrid anahesabiwa vikombe vyake vyote hata kabla haijabadilishwa na kuita Champions League.
Wabongo huwa tunachambua mambo kwa kuangalia ushabiki sio facts. Simba ndio timu ya kwanza kufika fainali za kombe la shirikisho Afrika.
Data na evidence vikiwepo manake kila mtu hujioneaKusema ukweli kwa kutumia data na evidence nikutumia nguvu?anayetumia nguvu ni mtu anayebishana na ukweli..
Data na evidence vikiwepo manake kila mtu hujionea
Kuanzishia uzi ndo tunapoona nguvu inatumika sasa
princess ariana mnaleta mada na post za upotoshaji halafu mkiletewa evidence na facts mnakimbilia kudai mtu anatumia nguvu. Mnataka mjinafasi kwa uongo. Muone kama huyu mwezio. Mnatakiwa mtulipe, inawezekana tunawalaumu bure kumbe hamjui hata mambo mnayoongelea.Abiola alipo uwawa na Rais wa Nigeria Samy Abacha na kombe lenyewe likafa.
Asa tuwalipe nini jamani wana Mthimbazii mbona mnatuuzia kesi 😆princess ariana mnaleta mada na post za upotoshaji halafu mkiletewa evidence na facts mnakimbilia kudai mtu anatumia nguvu. Mnataka mjinafasi kwa uongo. Muone kama huyu mwezio. Mnatakiwa mtulipe, inawezekana tunawalaumu bure kumbe hamjui hata mambo mnayoongelea.
UPOTOSHAJI ALERT:
View attachment 3246426