Wakati Tanzania watawala wanatishia kufungia X, Ruto asema ataendelea kuingia space X, ndio safari imeanza

Wakati Tanzania watawala wanatishia kufungia X, Ruto asema ataendelea kuingia space X, ndio safari imeanza

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Ruto pamoja na jana kupewa makavu kule Space ila amesema ataendelea kuwepo Space ili kusikiliza raia zaidi.

FB_IMG_1720246772470.jpg

Kule watu wamemchana live kiasi kwamba ingekuwa ni kiongozi hata Mkuu wa wilaya Tanzania kachanwa vile, leo kungekuwa na jamm ya matamko na press conference zisizo kuwa na idadi kuanzia na wale wajinga wa UVCCM, wale manabii, wale waigizaji uchwara na watu wengine. Tanzania hata kumkosoa mtendaji wa kata ni dhambi sana achilia mbali mkuu wa wilaya.

Kama umefuatilia ile mjadala utakubaliana na mimi kwamba inahitajika roho ya paka kwa Raia kuwepo pale Space na kwa Tanzania hata kwa kiongozi wa kawaida kama Mkuu wa wilaya hawezi weza ule mziki, hawa wetu ni Mungu watu.

Ukiachana na hayo huku Bongo watawala wanawaza jinsi ya kuifungia X kwa sababu inatukana viongozi na viongozi wetu ni Malaika hawapaswi kutukanwa wala kukosolewa, make wakitukanwa watakufa.

Ruto katukanwa sana tena live ila still yeye ni Raisi wa Kenya.

Screenshot_20240705_161456_com.facebook.katana.jpg

Tanzania watu kama UVCCM na wale Manabii matapeli wanawaza ni lini Serikali itaifungia mtandao wa X
 
Ruto pamoja na jana kupewa makavu kule Space ila amesema ataendelea kuwepo Space ili kusikiliza raia zaidi.
View attachment 3034792

Kule watu wamemchana live kiasi kwamba ingekuwa ni Kiongozi hata Mkuu wa wilaya Tanzania kachanwa vile, leo kungekuww na jamm ya matamko na press confrance zisizo kuwa na idadi kuanzia na wale wajinga wa UVCCM, wale manabii, wale waigizaji uchwara na watu wengine.
Tanzania hata kumkosoa mtendaji wa kata ni dhambi sana achilia mbali mkuu wa wilaya.

Kama umefuatilua ile mjadala utakubaliana na mimi kwamba inahitajika roho ya paka kwa Raia kuwepo pale Space na kwa Tanzania hata kwa kiongozi wa kawaida kama Mkuu wa wilaya hawezi weza ule mziki, hawa wetu ni Mungu watu.

Ukiachana na hayo huku Bongo watawala wanawaza jinsi ya kuifungia X kwa sababu ina tukana viongozi,na viongozi wetu ni Malaika hawapaswi kutukanwa wala kukosolewa,make wakitukanwa watakufa.

Ruto katukanwa sana tena live ila still yeye ni Raisi wa Kenya.
View attachment 3034791

Tanzanua watu kama UVCCM na wale Manabii matapeli wanawaza ni lini Serikali itaifungia mtandao wa X
Anatukiza mvutano wa Kisiasa.

Nataka kujua Hadi Sasa hao Gen Z wamepata nini baada ya kuuwawa na kujeruhiwa?
 
Anatukiza mvutano wa Kisiasa.

Nataka kujua Hadi Sasa hao Gen Z wamepata nini baada ya kuuwawa na kujeruhiwa?
Matumizi mabaya ya ununuzi wa magari yamefutwa, budget ya vitafunwa imefutwa, nyongeza ya mishahara kwa vigogo imefutwa, safari na warsha za kijinga zimeondolewa na kodi kandamizi hazipo tena.
 
Recently, mitandao ya kijamii sio anasa ni uwanja wa kupashana habari
 
Matumizi mabaya ya ununuzi wa magari yamefutwa, budget ya vitafunwa imefutwa, nyongeza ya mishahara kwa vigogo imefutwa, safari na warsha za kijinga zimeondolewa na kodi kandamizi hazipo tena.
Kununua magari haijawahi kuwa matumizi mabaya hata siku Moja, Watumishi wa Umma hawataendesha baiskeli kwenda Kuhudumia Umma.

By the way wamesimamisha Kwa mwaka mmja hawajafita maana haiwezekani kufuta.

Hizo nyongeza za nishahara Kwa Vigogo sio vitu vya lazima ni wajinga ndio walifanya.

Nauliza Gen Z wamepata nini hasa baada ya kuuwawa watu zaidi ya 40 na kujeruhiwa,kutekwa na kupotea?

Yaani hayo tuu inahitaji watu wafe ndio yafanyike? Hiyo ni Nchi au imejaa. Punguani? Mbona Tzn hapa Serikali inafuta bila hata kuuza mtu mmja?
 
Hawa
Anatukiza mvutano wa Kisiasa.

Nataka kujua Hadi Sasa hao Gen Z wamepata nini baada ya kuuwawa na kujeruhiwa?
wanapigania maisha ya wakenya wenzao kwenye demand zao hakuna sehemu wanataka wapewe pesa kama mlivyo nyie mbao mna pigania matumbo yenu.
Kupunguza gharama za kuendesha Serikali, hilo limefanikiwa kwa asilimia 100. Huku Tanzania Serikali inajiendesha kwa anasa kama King Luis wa Frech Revolution.
 
Kununua magari haijawahi kuwa matumizi mabaya hata siku Moja, Watumishi wa Umma hawataendesha baiskeli kwenda Kuhudumia Umma.

By the way wamesimamisha Kwa mwaka mmja hawajafita maana haiwezekani kufuta.

Hizo nyongeza za nishahara Kwa Vigogo sio vitu vya lazima ni wajinga ndio walifanya.

Nauliza Gen Z wamepata nini hasa baada ya kuuwawa watu zaidi ya 40 na kujeruhiwa,kutekwa na kupotea?

Yaani hayo tuu inahitaji watu wafe ndio yafanyike? Hiyo ni Nchi au imejaa. Punguani? Mbona Tzn hapa Serikali inafuta bila hata kuuza mtu mmja?
Kwa akili yako hao 40 wasingekufa juzi wangeishi milele? Waisrael walipovamiwa na HAMASI wangekimbia wakaacha kupigania taifa lao kwa kuogopa kufa? kwa akili za kijinga na kipumbavu kama zako ndiyo maana taifa ni masikini na fukara kwa kuogoza kufa, kuna ajali kila siku zinamaliza watu maanake wewe sahivi hupandi gari umejifungia ndani? ujumbe ambao wamefikisha kwa Rais na Rais akawasikiliza na wakati bunge lao halina tofauti na Tulia liligoma kuwasikiliza, magari yananunuliwa ya anasa + rushwa, nchi gani ina V8 za kijinga kama Tanzania hata Japan wenyewe hawazitumii isipokuwa Rais, Jaji Mkuu na Mkuu wa majeshi, matumizi ya hovyo na ufisadi umetamalaki kila kosa. Shame on you
 
Hawa

wanapigania maisha ya wakenya wenzao kwenye demand zao hakuna sehemu wanataka wapewe pesa kama mlivyo nyie mbao mna pigania matumbo yenu.
Kupunguza gharama za kuendesha Serikali, hilo limefanikiwa kwa asilimia 100. Huku Tanzania Serikali inajiendesha kwa anasa kama King Luis wa Frech Revolution.
Na Rais amewasikiliza na kukubaliana na madai yao
 
Kununua magari haijawahi kuwa matumizi mabaya hata siku Moja, Watumishi wa Umma hawataendesha baiskeli kwenda Kuhudumia Umma.

By the way wamesimamisha Kwa mwaka mmja hawajafita maana haiwezekani kufuta.

Hizo nyongeza za nishahara Kwa Vigogo sio vitu vya lazima ni wajinga ndio walifanya.

Nauliza Gen Z wamepata nini hasa baada ya kuuwawa watu zaidi ya 40 na kujeruhiwa,kutekwa na kupotea?

Yaani hayo tuu inahitaji watu wafe ndio yafanyike? Hiyo ni Nchi au imejaa. Punguani? Mbona Tzn hapa Serikali inafuta bila hata kuuza mtu mmja?
Tunazungumzia Magari ya anasa sio magari, Unanunua magari ya anasa ilihali kuna shule hazina matundu ya vyoo au unangoja USAID wawajengee matundu ya vyoo.
 
Kununua magari haijawahi kuwa matumizi mabaya hata siku Moja, Watumishi wa Umma hawataendesha baiskeli kwenda Kuhudumia Umma.

By the way wamesimamisha Kwa mwaka mmja hawajafita maana haiwezekani kufuta.

Hizo nyongeza za nishahara Kwa Vigogo sio vitu vya lazima ni wajinga ndio walifanya.

Nauliza Gen Z wamepata nini hasa baada ya kuuwawa watu zaidi ya 40 na kujeruhiwa,kutekwa na kupotea?

Yaani hayo tuu inahitaji watu wafe ndio yafanyike? Hiyo ni Nchi au imejaa. Punguani? Mbona Tzn hapa Serikali inafuta bila hata kuuza mtu mmja?
Kule Soweto wale watoto walipgwa risasi na Makaburu unataka kusema iliwasiadia nini kupigwa risasi? We ni mjinga, hizi ndio stories mnawaelezeaga wajinga ili waingie Baridi na wajanja waendelee kuuza nchi. Wajanja wanauza nchi wajinga wanauziwa habari za Tanzania ya amani
 
Na Rais amewasikiliza na kukubaliana na madai yao
Yes, huyu ni ni wale hata wakiambiwa geuka nyuma wanageuka, huwaambii kitu kwa watawala hawa wahuni wanao fisidi nchi ilihali Raia wanateseka. Jamaa alivyo mjinga alitaka labda wale Gen Z Wapewe kazi na pesa kama wao wanavyo hongwa. Gen z wanapigania maisha ya wakenya wote.
 
Tunazungumzia Magari ya anasa sio magari, Unanunua magari ya anasa ilihali kuna shule hazina matundu ya vyoo au unangoja USAID wawajengee matundu ya vyoo.
Kinachoitwa magari ya anasa hata 200 hayafiki,magari ya ma DC yanakuaje ya anasa? Prado ni magari ya anasa? Kama ni hayo ya LC 300 ni machache sana yaani.

Binafsi mimeelewa Mpango wa Serikali kuhusu magari ambao wanafanya study ule wa Watumishi kukopeshwa wagharamie wenyewe kama Wabunge,itapunguza by half expenditures ya pesa za Umma kwenye magari,vipiri na Mafuta.
 
Kule Soweto wale watoto walipgwa risasi na Makaburu unataka kusema iliwasiadia nini kupigwa risasi? We ni mjinga, hizi ndio stories mnawaelezeaga wajinga ili waingie Baridi na wajanja waendelee kuuza nchi. Wajanja wanauza nchi wajinga wanauziwa habari za Tanzania ya amani
Soweto sio Kenya.Kutumia.mfano wa Kenya ni aibu na ujinga maana hiyo ni Nchi ya kijinga.

Vitu vidogo kama hovyo haihitaji kuuana ndio Serikali ifanye, Soweto walikuwa wanatafuta ukombozi.

Mfano hapa Tanzania Serikali ilifuta na kupunguza tozo bila hata mtu mmja kuuwawa,imepunguza by half Bajeti ya magari,imepunguza by half matumizi ya kawaida bila hata mtu kuuwawa.

Na mengine mengi itafanya bila mtu kuuwawa.Unatakiwa uwafundishe hao WaKenya utaratibu wa Tzn sio kutolewa mfano kwetu Kwa sababu ni matusi.
 
Kinachoitwa magari ya anasa hata 200 hayafiki,magari ya ma DC yanakuaje ya anasa? Prado ni magari ya anasa? Kama ni hayo ya LC 300 ni machache sana yaani.

Binafsi mimeelewa Mpango wa Serikali kuhusu magari ambao wanafanya study ule wa Watumishi kukopeshwa wagharamie wenyewe kama Wabunge,itapunguza by half expenditures ya pesa za Umma kwenye magari,vipiri na Mafuta.
Ma DC wako wangapi Tanzania hii Rc wako wangapi? RAS wako wangapi? wakurugenzi wa halimashauri wako wangapi? ukimaliza hapo sasa njoo wizarani huko. Mashirika ya Umma unakuta yanajiendesha kwa hasara ila Wakurugenzi wanatembelea gari za million 400 sasa jiulize inawezekana vipi Shirika lina hali Mbaya ila Bosi wanatembelea magari ya anasa?
 
Ma DC wako wangapi Tanzania hii Rc wako wangapi? RAS wako wangapi? wakurugenzi wa halimashauri wako wangapi? ukimaliza hapo sasa njoo wizarani huko. Mashirika ya Umma unakuta yanajiendesha kwa hasara ila Wakurugenzi wanatembelea gari za million 400 sasa jiulize inawezekana vipi Shirika lina hali Mbaya ila Bosi wanatembelea magari ya anasa?
Wako chini ya 200
 
Back
Top Bottom