Wakati 'tukihangaika' Kumsifu sana Mayele kwa Goli lake la 'Kawaida' mno huko Redioni, tusijisahaulishe na 'Takwimu' hii

Wakati 'tukihangaika' Kumsifu sana Mayele kwa Goli lake la 'Kawaida' mno huko Redioni, tusijisahaulishe na 'Takwimu' hii

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kibu Denis

Mechi 7
Magoli 4

Fiston Mayele


Mechi 10
Magoli 3

Nawatakieni 'Upuuzi' mwema katika Kumsifu 'Kishabiki' Fiston Mayele huko katika Redio zenu ambazo GSM wanatoa 'Asante' kwa Watangazaji na Wachambuzi ambao Kutwa huwa wanaisifu ( wanaipamba ) tu Yanga SC hata kama kwa mara ya Pili jana imebebwa tena na Mwamuzi ( Referee ) kwa 'Kuzawadiwa' Penati.

Kwangu Mimi GENTAMYCINE bado sijaona Magoli mazuri kama lile moja la Msimu uliopita lililofungwa na Beki Mohammed Hussein Tshabalala Mkoani kwa kupiga Muwa ( Shuti ) ambalo Kwanza liligonga Mwamba wa juu, ukagonga wa pembeni na kujaa Nyavuni.

Lingine ni la Juzi la Mshambuliaji Kibu Denis ambapo alipiga Muwa ( Shuti ) ambalo Kwanza lilijaa mno Mguuni, ukaenda vizuri na ukajaa ipasavyo Nyavuni. Na aliupiga akiwa mbali kidogo na ni Goli ambalo hata IMF au WB wanaweza Kukupa Mkopo wa Riba nafuu.

Nina Mdogo wangu huku Mtaani ( Uswahilini ) Kwetu anafunga mara kwa mara haya Magoli kama alilofunga jana Fiston Mayele halafu wala haringi ila anahangaika sana kutaka Kufunga Magoli kama hilo la Mohammed Hussein Tshabalala na Kibu Denis ila anashindwa kwa kusema kuwa ni Magoli magumu na yanahitaji Akili Kubwa sana Kuyafunga.
 
Kibu Denis

Mechi 7
Magoli 4

Fiston Mayele


Mechi 10
Magoli 3

Nawatakieni 'Upuuzi' mwema katika Kumsifu 'Kishabiki' Fiston Mayele huko katika Redio zenu ambazo GSM wanatoa 'Asante' kwa Watangazaji na Wachambuzi ambao Kutwa huwa wanaisifu ( wanaipamba ) tu Yanga SC hata kama kwa mara ya Pili jana imebebwa tena na Mwamuzi ( Referee ) kwa 'Kuzawadiwa' Penati.

Kwangu Mimi GENTAMYCINE bado sijaona Magoli mazuri kama lile moja la Msimu uliopita lililofungwa na Beki Mohammed Hussein Tshabalala Mkoani kwa kupiga Muwa ( Shuti ) ambalo Kwanza liligonga Mwamba wa juu, ukagonga wa pembeni na kujaa Nyavuni.

Lingine ni la Juzi la Mshambuliaji Kibu Denis ambapo alipiga Muwa ( Shuti ) ambalo Kwanza lilijaa mno Mguuni, ukaenda vizuri na ukajaa ipasavyo Nyavuni. Na aliupiga akiwa mbali kidogo na ni Goli ambalo hata IMF au WB wanaweza Kukupa Mkopo wa Riba nafuu.

Nina Mdogo wangu huku Mtaani ( Uswahilini ) Kwetu anafunga mara kwa mara haya Magoli kama alilofunga jana Fiston Mayele halafu wala haringi ila anahangaika sana kutaka Kufunga Magoli kama hilo la Mohammed Hussein Tshabalala na Kibu Denis ila anashindwa kwa kusema kuwa ni Magoli magumu na yanahitaji Akili Kubwa sana Kuyafunga.
Yaani umshindanishe mayele na kina kibu na shabalala?
Yuleni straika wa timu ya taifa ya drc taifa lililo na kiwango bora zaidi yetu
 
Huwezi mfananisha Mayele na upuuzi
Enzi zangu nikicheza UMISETA na hata Ligi Daraja la Tatu na Mashindano ya 'Kisela' ya Mtaani nimeyafunga mno Magoli kama hili alilolibahatisha Jana Fiston Mayele.

Hutaki au huamini Koroga Sumu ya Panya au ya Kuulia Kunguni unywe Ufe kabisa na utupunguzie Upuuzi duniani. Na kama Mayele ni mzuri mbona katika 'Kariakoo Derby' hii ya Juzi iliyoishia kwa Suluhu ( Goalless Draw ) hakulifunga hilo Goli?
 
Nakuna mtu hapa alikujibuni vizuri sana....na hapa namnukuu...
Inawezekana kabisa kocha wa simba akiambiwa achague straika mmoja toka yanga kwa sasa lazima atam point Mayele....lakini kocha wa yanga akiambiwa achague straika mmoja toka simba inawezekana kabisa huenda asimchague Kibu...
Mwisho wa kunukuu.
 
Yaani umshindanishe mayele na kina kibu na shabalala?
Yuleni straika wa timu ya taifa ya drc taifa lililo na kiwango bora zaidi yetu
Fiston Mayele amekuwa Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Congo DR lini katika Kumbukumbu zako wakati kama tu Djuma Shaaban mnayemsifu akiitwa huwa anaishia tu Kuchoma Mahindi benchini?
 
Nakuna mtu hapa alikujibuni vizuri sana....na hapa namnukuu...
Inawezekana kabisa kocha wa simba akiambiwa achague straika mmoja toka yanga kwa sasa lazima atam point Mayele....lakini kocha wa yanga akiambiwa achague straika mmoja toka simba inawezekana kabisa huenda asimchague Kibu...
Mwisho wa kunukuu.
Umetumia vigezo gani ? Pale Yanga mastraiker mlionao ni wakawaida sana (Makambo & Mayele), ndomaana hâta magoli mengi ya Yanga msimu huu yanafungwa na Viungo.
 
Nakuna mtu hapa alikujibuni vizuri sana....na hapa namnukuu...
Inawezekana kabisa kocha wa simba akiambiwa achague straika mmoja toka yanga kwa sasa lazima atam point Mayele....lakini kocha wa yanga akiambiwa achague straika mmoja toka simba inawezekana kabisa huenda asimchague Kibu...
Mwisho wa kunukuu.
Huyo atakuwa ni 'Taahira' Mwenzako tu.
 
Enzi zangu nikicheza UMISETA na hata Ligi Daraja la Tatu na Mashindano ya 'Kisela' ya Mtaani nimeyafunga mno Magoli kama hili alilolibahatisha Jana Fiston Mayele.

Hutaki au huamini Koroga Sumu ya Panya au ya Kuulia Kunguni unywe Ufe kabisa na utupunguzie Upuuzi duniani. Na kama Mayele ni mzuri mbona katika 'Kariakoo Derby' hii ya Juzi iliyoishia kwa Suluhu ( Goalless Draw ) hakulifunga hilo Goli?
Hahaha hili swali la mwisho lirudishe kwa kibu kwani hakuwepo kwenye derby mbona hakufunga

kwA nini wawaza mayele tu, alafu kwA nini derby ya juzi ile ya ngao mbona husemei na wote walikuwepo mayele na kibu

Alafu mayele Ana goli 4 na nusu maana lile goli la jana si goli Moja kumbuka

Mayele kafanya tunaona magoli ya ulaya bongo tena kwa tsh. 5, 000-20,000 magoli haya anafunga rooney, ibra kadabra sasa hayo ya tshabalala kama butua nani Ana haja nayo.
 
Umetumia vigezo gani ? Pale Yanga mastraiker mlionao ni wakawaida sana (Makambo & Mayele), ndomaana hâta magoli mengi ya Yanga msimu huu yanafungwa na Viungo.
Unawajibu Kisomi na Kiakili zaidi Mkuu ila sijui kama Mashabiki wa Yanga SC ambao hata aliyekuwa Kocha wao Mkuu Luc Eymael ( Raia wa Ubelgiji ) alinukuliwa na ipo YouTube akisema ni Nyani, Mbwa na Sokwe kama watakuelewa.

Na ili uamini angalia hata Majibu yao tu.
 
Yaani umshindanishe mayele na kina kibu na shabalala?
Yuleni straika wa timu ya taifa ya drc taifa lililo na kiwango bora zaidi yetu
Tye! Tye! Tye! Hivi ni wewe? Mi nikajua labda najibizana na mtu wa mpira! Kumbe ni yule fundi wa michezo ya Kabwili ! Huku umevamia fani. Tangu lini mayere kajumuishwa timu ya taifa drc kongo?Tye!Tye!Tye!!
 
Kibu Denis

Mechi 7
Magoli 4

Fiston Mayele


Mechi 10
Magoli 3

Nawatakieni 'Upuuzi' mwema katika Kumsifu 'Kishabiki' Fiston Mayele huko katika Redio zenu ambazo GSM wanatoa 'Asante' kwa Watangazaji na Wachambuzi ambao Kutwa huwa wanaisifu ( wanaipamba ) tu Yanga SC hata kama kwa mara ya Pili jana imebebwa tena na Mwamuzi ( Referee ) kwa 'Kuzawadiwa' Penati.

Kwangu Mimi GENTAMYCINE bado sijaona Magoli mazuri kama lile moja la Msimu uliopita lililofungwa na Beki Mohammed Hussein Tshabalala Mkoani kwa kupiga Muwa ( Shuti ) ambalo Kwanza liligonga Mwamba wa juu, ukagonga wa pembeni na kujaa Nyavuni.

Lingine ni la Juzi la Mshambuliaji Kibu Denis ambapo alipiga Muwa ( Shuti ) ambalo Kwanza lilijaa mno Mguuni, ukaenda vizuri na ukajaa ipasavyo Nyavuni. Na aliupiga akiwa mbali kidogo na ni Goli ambalo hata IMF au WB wanaweza Kukupa Mkopo wa Riba nafuu.

Nina Mdogo wangu huku Mtaani ( Uswahilini ) Kwetu anafunga mara kwa mara haya Magoli kama alilofunga jana Fiston Mayele halafu wala haringi ila anahangaika sana kutaka Kufunga Magoli kama hilo la Mohammed Hussein Tshabalala na Kibu Denis ila anashindwa kwa kusema kuwa ni Magoli magumu na yanahitaji Akili Kubwa sana Kuyafunga.
Ndio madhara ya kukopi na kupaste vitu bila kutumia akili yako. Tokea jana kabla hata Mayele hakucheza mechi yake ya 10 kwenye ligi kuu mlipost kuwa kacheza mechi 10 ana magoli 3. Cha ajabu jana Mayele kacheza mechi yake ya 10 kafunga goli lakini bado mmekazania goli tatu. Wivu ukizidi unaenda kwenye kuwa wachawi.
 
Unawajibu Kisomi na Kiakili zaidi Mkuu ila sijui kama Mashabiki wa Yanga SC ambao hata aliyekuwa Kocha wao Mkuu Luc Eymael ( Raia wa Ubelgiji ) alinukuliwa na ipo YouTube akisema ni Nyani, Mbwa na Sokwe kama watakuelewa.

Na ili uamini angalia hata Majibu yao tu.
Mkuu , hawa watu walijampa akili wakifikiri wanajampa vijampo . Akili zilipeperushwa na upepo . Hakuna namna ya kuwasaidia .Nikuachana nao tu.
 
Kibu Denis

Mechi 7
Magoli 4

Fiston Mayele


Mechi 10
Magoli 3

Nawatakieni 'Upuuzi' mwema katika Kumsifu 'Kishabiki' Fiston Mayele huko katika Redio zenu ambazo GSM wanatoa 'Asante' kwa Watangazaji na Wachambuzi ambao Kutwa huwa wanaisifu ( wanaipamba ) tu Yanga SC hata kama kwa mara ya Pili jana imebebwa tena na Mwamuzi ( Referee ) kwa 'Kuzawadiwa' Penati.

Kwangu Mimi GENTAMYCINE bado sijaona Magoli mazuri kama lile moja la Msimu uliopita lililofungwa na Beki Mohammed Hussein Tshabalala Mkoani kwa kupiga Muwa ( Shuti ) ambalo Kwanza liligonga Mwamba wa juu, ukagonga wa pembeni na kujaa Nyavuni.

Lingine ni la Juzi la Mshambuliaji Kibu Denis ambapo alipiga Muwa ( Shuti ) ambalo Kwanza lilijaa mno Mguuni, ukaenda vizuri na ukajaa ipasavyo Nyavuni. Na aliupiga akiwa mbali kidogo na ni Goli ambalo hata IMF au WB wanaweza Kukupa Mkopo wa Riba nafuu.

Nina Mdogo wangu huku Mtaani ( Uswahilini ) Kwetu anafunga mara kwa mara haya Magoli kama alilofunga jana Fiston Mayele halafu wala haringi ila anahangaika sana kutaka Kufunga Magoli kama hilo la Mohammed Hussein Tshabalala na Kibu Denis ila anashindwa kwa kusema kuwa ni Magoli magumu na yanahitaji Akili Kubwa sana Kuyafunga.
Hujui mpira
 
Back
Top Bottom