Wakati tunaambiwa: "Chapa kazi, chukua tahadhari" Hali halisi ni hii...

Wakati tunaambiwa: "Chapa kazi, chukua tahadhari" Hali halisi ni hii...

People,usijaribu ku linganisha ukimwi na covid,covid is more dangerous kwa kasi ya kusambaa na njia za kusambaa.
At least ugonjwa unaathiri zaidi wazee,vinginevyo vilio vingekua maradufu
 
Akili za ajabu hizi; kwa hiyo kwa kuwa ni asilimia moja (na sijui umejuaje kuwa ni kiasi hicho) basi hakuna haja ya kuokoa ajira zao, si ndio?
Unaokoaje ajira wakati ndege haziruki?
Mzunguko wa pwsa enwo la kariakoo tu kwa siku moja tu unaweza kulipa.mishahara yote Atc kwa mwezi
 
Unaokoaje ajira wakati ndege haziruki?
Mzunguko wa pwsa enwo la kariakoo tu kwa siku moja tu unaweza kulipa.mishahara yote Atc kwa mwezi

Ulichouliza kinatabanaisha uwezo wako wa kuelewa. Huu Uzi sio size yako.
 
Mkakati - kama mtu anaweza kuuita hivyo- wa serikali ya awamu ya tano kupambana na COVID-19 kuwaambia watu "waendelee kuchapa kazi huku wakichukua tahadhari". Binafsi ninachokiona ni kuwa serikali hii imeamua kufuata falsafa ya "do-nothing-and-the-problem-will-go-away". Kwa nini?

1. Naomba mtu anieleweshe kazi watakaoichapa waajiriwa kwenye makampuni yaliyofungwa (na yanaendelea kufungwa) kwa mfano mahoteli, shule, kampuni za utalii, mashamba ya maua, kampuni za ndege za kukodi, tour guides etc, etc,etc. Sioni (na sijasikia) serikali ikianzisha jitihada zozote kuwezesha biashara hizi ziendelee kuendeshwa ili watu wachape kazi.

2. "Chukua tahadhari" ina maana gani in practice? Ni kunawa mikono na kuvaa barakoa pekee? Senegal wametangaza kutengeneza kifaa cha kupima uwepo au la maambukizi ya coronavirus ambacho gharama yake ni sawa na Dola moja ya Kimarekani, kwa nini tusivitumie ili tuweze kupima watu wengi zaidi ili kuepusha maambukizi mengine mapya?

Hatuwezi kuishi kama kisiwa na tukafanikiwa. Lazima tushirikiane na mataifa mengine kukabiliana na janga hili, vinginevyo tutazidi kutengwa.
Baada ya kupima watu wengi, utaowakuta positive unawapeleka wapi?
 
Jiwe nchi imeshamshinda ,weird human being and an artist
 
2026 na uhakika tutagundua makaburi ya halaiki kama rwanda.

Viongozi wote waliowelwa sasa wizara ya afya ni kuficha ukweli.

Nina wasiwasi mama samia anaweza asirudi oct 2020 kwa kusema ukweli.

Pia PM sina hakika naye japo amejitahidi kuwa kimya asimwushi bosi wake.


Idd amini ilifika wakati akafuta bunge.

Maendeleo ya nini kama watu wanakufa.
Hili la kufuta bunge namuunga mkono Idd Amin,,
 
Ni propaganda kutumia usemi huu bila kutazama kwa mapana yake.

UKIMWI tunaishi nao ni kweli, ila jitihada zilizofanyika kuzuia maambukizi yake kwa kasi na madhara yaatokanayo na ugonjwa huu kwa mida wa zaidi ya miongo 3 ni kubwa mno.

Tulipoteza nguvu kazi kubwa sana Kama taifa kabla ya

Kupekeka elimu ya UKIMWI kwa watu wengi na makundi maalumu
Kupunguza unyanyapaa
Kuandaa sera na miongozo ya tiba za wagonjwa wenye UKIMWI
Kupatikana kwa dawa za kufubadha UKIMWI
Kupatikana kwa condoms
Kuandaa kwa sheria za usimamizi wa janga hili na mambo mbalimbali mtambuka .


Kwa upande wa covid-19 bado tuko mahala pagumu. Hadi Sasa

Hatuna chanjo dhidi ya COVID-19
Hatuna tiba mahususi
Hatuna huduma nzuri kwa wagonjwa critical wa Covid-19
Hatujawa na mfumo wa kisera wa kukabiliana na kuzuia maambukizi
Elimu na ushirika wa jamii ili kupambana na janga hili bado upo chini na jamii Bado haijahamua kubadilika

Ukweli ni kwamba kujifariji kwa misemo ya kuwa tujifunze kuishi na COVID-19 Kama magonjwa mengine ni sehemu ya propaganda ili kukwepa uwajibikaji




Sent using Jamii Forums mobile app

Huo ni uzushi unaotaka kuleta hapa na kuwaaminisha watu aisee. Hivi umeisoma sera ya wizara ya afya wewe?? Hujui kwamba kuna vitengo vya magonjwa ya mlipuko, yanayoambukiza na yasiyoambukiza, kurithi, n.k. n.k?? Halafu kwa hii covid19, Unawezaje kuandaa sera kwa “novel disease?”
Wakati mwingine turuhusu tu akili zetu kuchambua mambo kabla ya kuleta ujuaji. Dunia nzima inahangaika kujua na kujifunza kuhusu huu ugonjwa halafu mtu unakuja kusema hakuna sera nzuri, ooh elimu ya kutosha haipo, sijui ni na nini, khaa. Ugonjwa una miezi 4 tu tangu kuripotiwa duniani hata kinga haijapatikana achilia mbali dawa halafu leo mtu unataka sera, mpuuzi kabisa.
Katika kipindi hiki ambacho kila mtaalamu anahangaika kupata suluhisho la tatizo hili, hata hiyo elimu unaifikishaje wakati bado ugonjwa haujaeleweka vizuri? Mwanzo tuliambiwa ni pneumonia, sasa hivi wamegundua ni inflammation and clotting sasa hata hiyo elimu unaitoaje wakati uncertainities ni nyingi hivii. Tuwe tunapunguza mihemko na ushawishi wa wanasiasa jamani. Mambo ya kitaalam yaachwe kwa wataalam kuhangaika nayo vinginevyo tunawatia uchizi hata wataalam nao wanakumbwa na kisulisuli hichi cha siasa matokeo yake wanashindwa kufanya mambo yao kwa usahihi. Mfano tu, vifaa tiba vya kibinadamu kutoa majibu kwa hata mimea, wanyama wengine na oil za mashine!! Haya ni matokeo ya kuleta ujuaji kusikohitajika ujuaji.
Tusitake kufanya mambo kwa mkumbo na kufata upepo au ushawishi kisa tu mkubwa fulani kasema.
Ni lazima ifike mahali turuhusu akili zetu kuhoji na kutafakari mambo kwa kina, kuiga sio kubaya lakini iga jambo lenye manufaa kwako baada ya kujiridhisha kuwa linafaa kuigwa
 
Mkakati - kama mtu anaweza kuuita hivyo- wa serikali ya awamu ya tano kupambana na COVID-19 kuwaambia watu "waendelee kuchapa kazi huku wakichukua tahadhari". Binafsi ninachokiona ni kuwa serikali hii imeamua kufuata falsafa ya "do-nothing-and-the-problem-will-go-away". Kwa nini?

1. Naomba mtu anieleweshe kazi watakaoichapa waajiriwa kwenye makampuni yaliyofungwa (na yanaendelea kufungwa) kwa mfano mahoteli, shule, kampuni za utalii, mashamba ya maua, kampuni za ndege za kukodi, tour guides etc, etc,etc. Sioni (na sijasikia) serikali ikianzisha jitihada zozote kuwezesha biashara hizi ziendelee kuendeshwa ili watu wachape kazi.

2. "Chukua tahadhari" ina maana gani in practice? Ni kunawa mikono na kuvaa barakoa pekee? Senegal wametangaza kutengeneza kifaa cha kupima uwepo au la maambukizi ya coronavirus ambacho gharama yake ni sawa na Dola moja ya Kimarekani, kwa nini tusivitumie ili tuweze kupima watu wengi zaidi ili kuepusha maambukizi mengine mapya?

Hatuwezi kuishi kama kisiwa na tukafanikiwa. Lazima tushirikiane na mataifa mengine kukabiliana na janga hili, vinginevyo tutazidi kutengwa.

Sasa hao unaotaka kushirikiana nao si ndio wamesababisha hilo (makampuni kufungwa, shule, nk) halafu unakujaje kuilaumu serikali hapa?? Nadharia ya lockdown unaijua imetoka wapi?? Why are you shifting blames?
Halafu kupima watu wengi hakuepushi maambukizi bali wape elimu zaidi ya kujikinga na kuwakinga wengine haijalishi awe hajaambukizwa ama kaambukizwa. Mtu mwingine akishajijua ana maambukizi ndio kwanza atafanya makusudi kuwaambukiza wengine, ushahidi upo na hata video clips nyingi tumeziona hadi Ulaya hukoo
Mwisho wewe maoni yako ulitaka iweje kwani??
 
Mkuu huu mchezo hauhitaji hasira

Kujifungia Ndani hakumalizi corona, ni swala la muda tu kila Nchi itajiachia

Watajiachia/wanajiachia baada ya kucontrol maambukizi, angalia sasa hivi wanavyoishi kwa nidhamu, wewe umejiachia lakini umekuwa unatengwa kwa sababu umekuwa kitovu cha maambukizi katika ukanda wenu, ndugu ni kweli huoni kama kuna tatizo?
 
Corona haiwezi kuisha leo wala kesho, sikiliza wanasayansi Wewe kamanda

Hao waliojifungia watarudi wataikuta corona
Watajiachia/wanajiachia baada ya kucontrol maambukizi, angalia sasa hivi wanavyoishi kwa nidhamu, wewe umejiachia lakini umekuwa unatengwa kwa sababu umekuwa kitovu cha maambukizi katika ukanda wenu, ndugu ni kweli huoni kama kuna tatizo?
 
sasa akiwaruhusu kulala atapata wapi pesa ya kuwalipa miishahara? ………..kodi atakosa bana kubwa. Bora punda afe mzigo ufike………………
 
Tumpongeze
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Kuiondoa COVID 19, Lazima Utajiuliza Maswali Mengi Sana Kaiondoa Vp?
 
Nijambo la kushangaza mtu anasema Tanzania haipo ukiangalia Rwanda hali tete ukiangalia Burundi hali tete ukiangalia kenya hali tete sasa mipaka hii yote hakuna hata mmoja umefungwa alafu mtu anakuja na ngojera et Tanzania sara zimezuia covid yaan watu tunaoona wanaondoka ghafla ukichunguza kiundani ni covid.
 
Back
Top Bottom