Mosha Bahati
Member
- Feb 21, 2013
- 78
- 89
Unaokoaje ajira wakati ndege haziruki?Akili za ajabu hizi; kwa hiyo kwa kuwa ni asilimia moja (na sijui umejuaje kuwa ni kiasi hicho) basi hakuna haja ya kuokoa ajira zao, si ndio?
Unaokoaje ajira wakati ndege haziruki?
Mzunguko wa pwsa enwo la kariakoo tu kwa siku moja tu unaweza kulipa.mishahara yote Atc kwa mwezi
Baada ya kupima watu wengi, utaowakuta positive unawapeleka wapi?Mkakati - kama mtu anaweza kuuita hivyo- wa serikali ya awamu ya tano kupambana na COVID-19 kuwaambia watu "waendelee kuchapa kazi huku wakichukua tahadhari". Binafsi ninachokiona ni kuwa serikali hii imeamua kufuata falsafa ya "do-nothing-and-the-problem-will-go-away". Kwa nini?
1. Naomba mtu anieleweshe kazi watakaoichapa waajiriwa kwenye makampuni yaliyofungwa (na yanaendelea kufungwa) kwa mfano mahoteli, shule, kampuni za utalii, mashamba ya maua, kampuni za ndege za kukodi, tour guides etc, etc,etc. Sioni (na sijasikia) serikali ikianzisha jitihada zozote kuwezesha biashara hizi ziendelee kuendeshwa ili watu wachape kazi.
2. "Chukua tahadhari" ina maana gani in practice? Ni kunawa mikono na kuvaa barakoa pekee? Senegal wametangaza kutengeneza kifaa cha kupima uwepo au la maambukizi ya coronavirus ambacho gharama yake ni sawa na Dola moja ya Kimarekani, kwa nini tusivitumie ili tuweze kupima watu wengi zaidi ili kuepusha maambukizi mengine mapya?
Hatuwezi kuishi kama kisiwa na tukafanikiwa. Lazima tushirikiane na mataifa mengine kukabiliana na janga hili, vinginevyo tutazidi kutengwa.
Ni wewe unayejenga matofali.Huu Ugonjwa Tunaweza Kuishi Nao Kama Ukimwi
Hivyo Ndugu Zangu Tuache Kutishana Tuchape Kazi
Hili la kufuta bunge namuunga mkono Idd Amin,,2026 na uhakika tutagundua makaburi ya halaiki kama rwanda.
Viongozi wote waliowelwa sasa wizara ya afya ni kuficha ukweli.
Nina wasiwasi mama samia anaweza asirudi oct 2020 kwa kusema ukweli.
Pia PM sina hakika naye japo amejitahidi kuwa kimya asimwushi bosi wake.
Idd amini ilifika wakati akafuta bunge.
Maendeleo ya nini kama watu wanakufa.
Ni propaganda kutumia usemi huu bila kutazama kwa mapana yake.
UKIMWI tunaishi nao ni kweli, ila jitihada zilizofanyika kuzuia maambukizi yake kwa kasi na madhara yaatokanayo na ugonjwa huu kwa mida wa zaidi ya miongo 3 ni kubwa mno.
Tulipoteza nguvu kazi kubwa sana Kama taifa kabla ya
Kupekeka elimu ya UKIMWI kwa watu wengi na makundi maalumu
Kupunguza unyanyapaa
Kuandaa sera na miongozo ya tiba za wagonjwa wenye UKIMWI
Kupatikana kwa dawa za kufubadha UKIMWI
Kupatikana kwa condoms
Kuandaa kwa sheria za usimamizi wa janga hili na mambo mbalimbali mtambuka .
Kwa upande wa covid-19 bado tuko mahala pagumu. Hadi Sasa
Hatuna chanjo dhidi ya COVID-19
Hatuna tiba mahususi
Hatuna huduma nzuri kwa wagonjwa critical wa Covid-19
Hatujawa na mfumo wa kisera wa kukabiliana na kuzuia maambukizi
Elimu na ushirika wa jamii ili kupambana na janga hili bado upo chini na jamii Bado haijahamua kubadilika
Ukweli ni kwamba kujifariji kwa misemo ya kuwa tujifunze kuishi na COVID-19 Kama magonjwa mengine ni sehemu ya propaganda ili kukwepa uwajibikaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndo hapo,tuwape tu miezi miwili watawafungulia watu wao kimya kimya wakiwa na aibu. Unawafungia watu kwani huu ugonjwa umesema utaisha lini?Mkuu huu mchezo hauhitaji hasira
Kujifungia Ndani hakumalizi corona, ni swala la muda tu kila Nchi itajiachia
Nyie si mnataka watu wajifungie sasa hapo mnataga ajira ziokolewe kivipi wakati mnataka na ajira nyingine zife?Akili za ajabu hizi; kwa hiyo kwa kuwa ni asilimia moja (na sijui umejuaje kuwa ni kiasi hicho) basi hakuna haja ya kuokoa ajira zao, si ndio?
Mkakati - kama mtu anaweza kuuita hivyo- wa serikali ya awamu ya tano kupambana na COVID-19 kuwaambia watu "waendelee kuchapa kazi huku wakichukua tahadhari". Binafsi ninachokiona ni kuwa serikali hii imeamua kufuata falsafa ya "do-nothing-and-the-problem-will-go-away". Kwa nini?
1. Naomba mtu anieleweshe kazi watakaoichapa waajiriwa kwenye makampuni yaliyofungwa (na yanaendelea kufungwa) kwa mfano mahoteli, shule, kampuni za utalii, mashamba ya maua, kampuni za ndege za kukodi, tour guides etc, etc,etc. Sioni (na sijasikia) serikali ikianzisha jitihada zozote kuwezesha biashara hizi ziendelee kuendeshwa ili watu wachape kazi.
2. "Chukua tahadhari" ina maana gani in practice? Ni kunawa mikono na kuvaa barakoa pekee? Senegal wametangaza kutengeneza kifaa cha kupima uwepo au la maambukizi ya coronavirus ambacho gharama yake ni sawa na Dola moja ya Kimarekani, kwa nini tusivitumie ili tuweze kupima watu wengi zaidi ili kuepusha maambukizi mengine mapya?
Hatuwezi kuishi kama kisiwa na tukafanikiwa. Lazima tushirikiane na mataifa mengine kukabiliana na janga hili, vinginevyo tutazidi kutengwa.
Mkuu huu mchezo hauhitaji hasira
Kujifungia Ndani hakumalizi corona, ni swala la muda tu kila Nchi itajiachia
Watajiachia/wanajiachia baada ya kucontrol maambukizi, angalia sasa hivi wanavyoishi kwa nidhamu, wewe umejiachia lakini umekuwa unatengwa kwa sababu umekuwa kitovu cha maambukizi katika ukanda wenu, ndugu ni kweli huoni kama kuna tatizo?
Hujanielewa, pole.Corona haiwezi kuisha leo wala kesho, sikiliza wanasayansi Wewe kamanda
Hao waliojifungia watarudi wataikuta corona