Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
Ndugu zangu,
Tutambue kuwa wapinzani wasiofunzwa na Magufuli watafunzwa na watanzania kwenye sanduku la kura.
Wakati wapinzani wakianza kampeni kabla ya wakati kwa kisingizio kuwa hakuna sheria wala kanuni inayokataza huku wakitukana na kubeza serikali ya awamu ya tano kuwa haijafanya kitu, sasa rasmi Tanzania yaongoza Afrika katika usambazaji wa umeme vijijini.
Sote tunatambua umuhimu wa nishati ya umeme kwa maendeleo ya nchi
Hongera JPM
Hongera serikali
Hongera CCM
2020 kura kwa John
Tutambue kuwa wapinzani wasiofunzwa na Magufuli watafunzwa na watanzania kwenye sanduku la kura.
Wakati wapinzani wakianza kampeni kabla ya wakati kwa kisingizio kuwa hakuna sheria wala kanuni inayokataza huku wakitukana na kubeza serikali ya awamu ya tano kuwa haijafanya kitu, sasa rasmi Tanzania yaongoza Afrika katika usambazaji wa umeme vijijini.
Sote tunatambua umuhimu wa nishati ya umeme kwa maendeleo ya nchi
Hongera JPM
Hongera serikali
Hongera CCM
2020 kura kwa John