Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
- Thread starter
-
- #61
Acha ujinga kijanaWatu waliopotea na waliompiga Lissu bunduki ndio wamesambaza umeme. Sisi tumichoka ccm, kiwake tu wote tuingie barabarani. Ajira zipo kwa wana ccm tu ni kuteuwana tu kila kukicha. Sasa kiwake then tuone je sisi na njaa zetu tutakuwana cha kupoteza?
Lakini ukipost kibonzo ili ufurahi na wenzako unalamba jela. Umeme unaenda kuutumia selo.Ndugu zangu,
Tutambue kuwa wapinzani wasiofunzwa na Magufuli watafunzwa na watanzania kwenye sanduku la kura.
Wakati wapinzani wakianza kampeni kabla ya wakati kwa kisingizio kuwa hakuna sheria wala kanuni inayokataza huku wakitukana na kubeza serikali ya awamu ya tano kuwa haijafanya kitu, sasa rasmi Tanzania yaongoza Afrika katika usambazaji wa umeme vijijini.
Sote tunatambua umuhimu wa nishati ya umeme kwa maendeleo ya nchi
Hongera JPM
Hongera serikali
Hongera CCM
2020 kura kwa John
NOTHINGPascal, kuunga mkono hoja kwa wote wapenda maendeleo ni jambo la busara. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, mzee Magufuli chini ya CCM ametuheshimisha Sana watanzania. Huyu ni muhimu aungwe mkono kwa maslahi mapana ya nchi yetu
Kwanini ilikuwa haina umeme mpaka sasa ?Ndugu zangu,
Tutambue kuwa wapinzani wasiofunzwa na Magufuli watafunzwa na watanzania kwenye sanduku la kura.
Wakati wapinzani wakianza kampeni kabla ya wakati kwa kisingizio kuwa hakuna sheria wala kanuni inayokataza huku wakitukana na kubeza serikali ya awamu ya tano kuwa haijafanya kitu, sasa rasmi Tanzania yaongoza Afrika katika usambazaji wa umeme vijijini.
Sote tunatambua umuhimu wa nishati ya umeme kwa maendeleo ya nchi
Hongera JPM
Hongera serikali
Hongera CCM
2020 kura kwa John
Katizame karatasi uliyonunulia luku na utagundua ya kuwa kuna asilimia unakatwa kwa ajili ya REA.Wanasiasa wanashindwa hata kutushukuru tunaochangia kila kukicha.Ndugu zangu,
Tutambue kuwa wapinzani wasiofunzwa na Magufuli watafunzwa na watanzania kwenye sanduku la kura.
Wakati wapinzani wakianza kampeni kabla ya wakati kwa kisingizio kuwa hakuna sheria wala kanuni inayokataza huku wakitukana na kubeza serikali ya awamu ya tano kuwa haijafanya kitu, sasa rasmi Tanzania yaongoza Afrika katika usambazaji wa umeme vijijini.
Sote tunatambua umuhimu wa nishati ya umeme kwa maendeleo ya nchi
Hongera JPM
Hongera serikali
Hongera CCM
2020 kura kwa John
Hata corona walisema haipo.Ndugu zangu,
Tutambue kuwa wapinzani wasiofunzwa na Magufuli watafunzwa na watanzania kwenye sanduku la kura.
Wakati wapinzani wakianza kampeni kabla ya wakati kwa kisingizio kuwa hakuna sheria wala kanuni inayokataza huku wakitukana na kubeza serikali ya awamu ya tano kuwa haijafanya kitu, sasa rasmi Tanzania yaongoza Afrika katika usambazaji wa umeme vijijini.
Sote tunatambua umuhimu wa nishati ya umeme kwa maendeleo ya nchi
Hongera JPM
Hongera serikali
Hongera CCM
2020 kura kwa John
Unafikiri CCM wanapeleka umeme vijijini kwa michango ya wanachama? ni kodi zetu tena REA ilibidi iwe imefika kila mahali kwa kodi tunayokatwa kwenye kila unit ya umeme, kodi za magari bandarini, petrol etc etc.. Uvurugaji wa uchaguzi ZNZ 2015 ndio ulileta yote haya na nadhani unajua nani alivuruga uchaguzi ZNZ!Ndugu zangu,
Tutambue kuwa wapinzani wasiofunzwa na Magufuli watafunzwa na watanzania kwenye sanduku la kura.
Wakati wapinzani wakianza kampeni kabla ya wakati kwa kisingizio kuwa hakuna sheria wala kanuni inayokataza huku wakitukana na kubeza serikali ya awamu ya tano kuwa haijafanya kitu, sasa rasmi Tanzania yaongoza Afrika katika usambazaji wa umeme vijijini.
Sote tunatambua umuhimu wa nishati ya umeme kwa maendeleo ya nchi
Hongera JPM
Hongera serikali
Hongera CCM
2020 kura kwa John
Sio issue ya kuamini, nimeona kwa macho, kijijini kizima kimeunganishwa umeme, hadi nyumba ya tope na nyasi, imefungiwa umeme!.Nawe kabisa unaamini kwamba tunaongoza Africa kwa usambazaji umeme!?
Hivyo Ni Moja ya vijiji Elfu tatu vilivyobakiWewe unaishi Dar, njoo mikoa Kanda ya ziwa ili useme umeme umeenea kila kijiji. Hapa bukombe Jimbo la mh. Doto biteko Kijiji Cha nampalahala tuko gizani tangu Uhuru, huko geita mjini Kijiji kinachopakana au kuelekea eneo la kukuruma wanakochimba dhahabu hata nguzo za umeme hawazijui.
Maeneo ya bisolwa Kona nyangwale wanaona nguzo zinapia na umeme Ila Hakuna transformer. Huku katavi na simiyu usiseme. Mallya unaishi dar kuwa mpole. Niulize waziri wa nishati kwao ni Geita Ila geita vijiji na maeneo mengi hayana umeme na Kama ipo umepita tu wananchi wanahesabu nguzo tu.
Karibu Sana mkuuNimerekebisha
Asante mkuu
Wataumia sanaHaya mambo kuna watu hawayataki kabisa kuyasikia.
Tajeni hayo matusi msiwe mnapotosha. Ukweli unauma hamtaki kusikia mnakuja eti fyoko fyoko anatukana. Tunajua anayoongea hamtaki myasikie.Jamaa yenu Lissu kama karukwa na akili kutoka kutukana vyombo vya ulinzi na usalama jageuka huko Morogoro kuvisifia kwa kulinda amani ta Tanzania. Na kaonesha jinsi ambavyo kawa tapeli wa kisiasa anawapaja polisi mafuta kwa mgongo wa chupa.
Nasema hivi kada? Tajeni hayo matusi anayowatukana tukiri hapa kweli haya Ni matusi. Tunatambua ule ukweli anaousema lisu ndo kitu hamtaki mkisikie.Hilo ni tofauti na matusi.
Chema chajiuza kibaya chajitembeza. Msiwafanye Watanzania hamnazo. Wana macho. Wanaona.Ndugu zangu,
Tutambue kuwa wapinzani wasiofunzwa na Magufuli watafunzwa na watanzania kwenye sanduku la kura.
Wakati wapinzani wakianza kampeni kabla ya wakati kwa kisingizio kuwa hakuna sheria wala kanuni inayokataza huku wakitukana na kubeza serikali ya awamu ya tano kuwa haijafanya kitu, sasa rasmi Tanzania yaongoza Afrika katika usambazaji wa umeme vijijini.
Sote tunatambua umuhimu wa nishati ya umeme kwa maendeleo ya nchi
Hongera JPM
Hongera serikali
Hongera CCM
2020 kura kwa John
Mbona unaongea hewa tupu? Tupo data zenye mashiko, hii taarifa yako ni kwa mujibu wa chombo gani kilichofanya utafiti huo? Wananchi hatuna fursa ya kujua hali ikoje Moroco, S.A, Ghana, Misri nk. Binafsi kwangu ni kama hujasema chochote.Ndugu zangu,
Tutambue kuwa wapinzani wasiofunzwa na Magufuli watafunzwa na watanzania kwenye sanduku la kura.
Wakati wapinzani wakianza kampeni kabla ya wakati kwa kisingizio kuwa hakuna sheria wala kanuni inayokataza huku wakitukana na kubeza serikali ya awamu ya tano kuwa haijafanya kitu, sasa rasmi Tanzania yaongoza Afrika katika usambazaji wa umeme vijijini.
Sote tunatambua umuhimu wa nishati ya umeme kwa maendeleo ya nchi
Hongera JPM
Hongera serikali
Hongera CCM
2020 kura kwa John
Weka data! Watu wanaweka ushuhuda vijijini kwao huko umeme hakuna halafu ww unasifia uboya tu. Nenda Maneromango, Msanga Ngongere,Kibuta, Matombo vijijini, Ikwiriri vijijini nk kote huko hakuna umeme. Ulishawagi kufika Kwazuru Natal vijijini South Afrika na umeona hali yake ilivyo?Usinilishe maneno bwashee. Nimesema tunaongoza, means tunafanya vizuri.
Umeme kwa Tanzania nzima wanaonufaika ni asilimia 25 tu ya watu wote. Acheni uwongo....Yaani ninyi mmewashinda South Africa, Kenya, Uganda, Botswana, Mauritius, Seychelles nk. Ebu muwe mnaona aibu. Propaganda za uongo usio na akili. Mnajipa moyo bure na kujidanganya kwa uwongo.Ndugu zangu,
Tutambue kuwa wapinzani wasiofunzwa na Magufuli watafunzwa na watanzania kwenye sanduku la kura.
Wakati wapinzani wakianza kampeni kabla ya wakati kwa kisingizio kuwa hakuna sheria wala kanuni inayokataza huku wakitukana na kubeza serikali ya awamu ya tano kuwa haijafanya kitu, sasa rasmi Tanzania yaongoza Afrika katika usambazaji wa umeme vijijini.
Sote tunatambua umuhimu wa nishati ya umeme kwa maendeleo ya nchi
Hongera JPM
Hongera serikali
Hongera CCM
2020 kura kwa John