Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,106
- 6,678
Alafu iran wanakwambia waliiona toka inatokea ujeruman na kuingia middle EastHahahaa ile drone ya gharama kuliko zote na isiyoonekana na rada yoyote haikuchukua hata sekunde tano kwenye anga ya iran. Ilikuwa ni aibu kubwa sana kwa marekani
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app