Wakati Uingereza wanashinikiza Waziri Mkuu wao ajiuzulu, sisi hapa Tanzani, Polisi anamchoma sindano mfanyabiashara na kumuua tumekaa kimya!

Wakati Uingereza wanashinikiza Waziri Mkuu wao ajiuzulu, sisi hapa Tanzani, Polisi anamchoma sindano mfanyabiashara na kumuua tumekaa kimya!

Athari za mwendazake ndo hizi, na kama mwendazake amgetawala nchi miaka aliyotaka wengi wangeuawa na kudhalilishawa vibaya mno...kina makonda na huyo gaidi mwenzake Sabaya wangefanya watakayo dhidi ya binadamu na hakuna wa kuhoji.

Sirro sijui bado anafanya nini ofisini muda huu...kazi ilishamshida muda tu.
Wew hata jamaa yako jogoo akishindwa kupanda mtungi utamsingizia mwenda zake!

Utahira wenu unataka kumsingizia jiwe!

Mbona lisu alilalama sana kwamba andamaneni mkajificha uvunguni mwa vitanda vyenu?
 
Sisi tupo enzi za ujima !! Africa ni bara la hovyo kabisa.

Karne ya 21 tunafanya mambo ambayo Ulaya waliyafanya karne ya 13...same!!
Kwa sababu ya jiwe?
 
Huwezi kula ugali toka udogo wako Hadi utu uzima utegemee kuwa na akili nakwambia ni ndoto

Hata viongozi tulionao sisi nao umeme mdogo kichwani, kiongozi unatukanwa ila unaomba msamaha mwenyewe pumbavu sana

Kifupi tz wenye akili timamu kama itafanyika sensa hawawezi fika 100

Kuna mpumbavu mmoja humu nimewahi changia udhaifu wa kada flani akanifata kwA box la siri kunipiga mikwara nikacheka sana.

Ugali upigwe marufuku, umetudumaza akili walahi
Katika wale 100, lazima yupo Tundu Lisu na Freeman Mbowe, na wengine wachache. Sisi wengine wote, ujasiri hakuna kabisa.

Kama Mungu angenipa nafasi kama aliyopewa Mfalme Suleiman, ningemwomba , Mungu atujalie ujasiri ili tuitetee nchi yetu ili kusiwepo na mtu wa kuiweka chini ya mamlaka ya Shetani.
 
Hakuna kiongozi wa kudai stimulate ubongo, MTKILA hayupo. LISU yupo mbali.
Jaribu kuimagine lile tukio la yule Askari wa US aliyemwua George Floyd, jinsi wamerekani walivyoshinikiza lile tukio Marekani nzima kwa maandamano.....

Hatimaye yule Askari akafungwa jela.

Hapa TZ yetu tunakuwa na taarifa kuwa kuna Polisi kamchoma sindano ya sumu mfanyibiashara wa madini hadi kumwuua na maiti yake imetupwa Baharini, tunaendelea kukaa kimya!
 
Ni jambo la kushangaza Sana, wakati wananchi wa Uingereza wakiandamana na kushinikiza Waziri Mkuu wao, Boris Johnson, ajiuzulu kwa ajili tu ya wafanyakazi wa Ikulu walifanya karamu wakati wa corona, hapa kwetu nchini, imedaiwa kuwa Askari Polisi amemchoma sindano ya sumu, mfanyibiashara, wa madini Musa Hamisi na kumwuua na maiti yake kuitosa Baharini na wakampora fedha yake shilingi milioni 60!

Ni tukio la kinyama mno na halifikiriki kuwa lingeweza kutekelezwa na watanzania wenzetu.

Wakati huko Uingereza wananchi wa huko wanafanya maandamano makubwa ya kumshinikiza Waziri wao mkuu ajiuzulu mara moja kutokana na kitendo hicho cha wafanyakazi wake wa Ikulu kuandaa karamu wakati wa corona.

Sisi watanzania tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida, wala hatustuki, utadhani kuwa hakuna tukio kubwa lililotokea hapa nchini!

Najiuliza hivi watanzania tumelogwa na nani, ambaye ametufanya tusijielewe na kuchukua hatua mara moja?
kwani ndugu wanasemaje? Si wameridhika mkuu .
 
Umasikini,, Ubinafsi, Ujinga na Uwoga...

Watanzania tumekuzwa hvo toka shule,,, ukihoji shule unaonekana umekaidi unafukuzwa,,,,, hata majumbani tunakuzwa kutohoji lolote... sisi ni ndio tu..

Bado tuna safari ndefu sana kama taifa.... Tunasukuma gari tukiwa tumepanda ndani yake..

-mwisho wa kunukuu-
 
kwani ndugu wanasemaje? Si wameridhika mkuu .
Hakuna cha kuridhika, ila mkwara unaopigwa na Jeshi la Polisi, kuwa ukiandamana, utakutwa na kipigo cha mbwa koko, ndiko kunakotufanya watanzania tuwe waoga kiasi hiki cha kupindukia
 
Sio kila kitu ni maandamano,haya tuandamane kwa lipi A. Askari kwa nn ameua? B. Kwa nn mtu amekufa kwa sindano. C. Kwa nn askari hajatiwa nguvuni?.
 
Jaribu kuimagine lile tukio la yule Askari wa US aliyemwua George Floyd, jinsi wamerekani walivyoshinikiza lile tukio Marekani nzima kwa maandamano.....

Hatimaye yule Askari akafungwa jela.

Hapa TZ yetu tunakuwa na taarifa kuwa kuna Polisi kamchoma sindano ya sumu mfanyibiashara wa madini hadi kumwuua na maiti yake imetupwa Baharini, tunaendelea kukaa kimya!
Wamarekani waliandamani kwa sababu kuu ni ubaguzi wa matukio ya aina ile. Tabia ya watu kama Trump ndio ilipelekea hata wahusika kutotaka kushughulikia kwa sababu tu black lad ndiye aliyeuwawa
 
Milioni 60 au 33?
Ni jambo la kushangaza Sana, wakati wananchi wa Uingereza wakiandamana na kushinikiza Waziri Mkuu wao, Boris Johnson, ajiuzulu kwa ajili tu ya wafanyakazi wa Ikulu walifanya karamu wakati wa corona, hapa kwetu nchini, imedaiwa kuwa Askari Polisi amemchoma sindano ya sumu, mfanyibiashara, wa madini Musa Hamisi na kumwuua na maiti yake kuitosa Baharini na wakampora fedha yake shilingi milioni 60!

Ni tukio la kinyama mno na halifikiriki kuwa lingeweza kutekelezwa na watanzania wenzetu.

Wakati huko Uingereza wananchi wa huko wanafanya maandamano makubwa ya kumshinikiza Waziri wao mkuu ajiuzulu mara moja kutokana na kitendo hicho cha wafanyakazi wake wa Ikulu kuandaa karamu wakati wa corona.

Sisi watanzania tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida, wala hatustuki, utadhani kuwa hakuna tukio kubwa lililotokea hapa nchini!

Najiuliza hivi watanzania tumelogwa na nani, ambaye ametufanya tusijielewe na kuchukua hatua mara moja?
 
Huu ni utamaduni wa nchi yoyote iliyokuwa ya kijamaa, na hata nchi za kidini. Katika nchi hizi, nchi huwa ya raisi na raia in wapangaji au wapita njia. Nchi zote zilizopitia siasa ya ujamaa RAIA wake ni waoga.
 
Ni jambo la kushangaza Sana, wakati wananchi wa Uingereza wakiandamana na kushinikiza Waziri Mkuu wao, Boris Johnson, ajiuzulu kwa ajili tu ya wafanyakazi wa Ikulu walifanya karamu wakati wa corona, hapa kwetu nchini, imedaiwa kuwa Askari Polisi amemchoma sindano ya sumu, mfanyibiashara, wa madini Musa Hamisi na kumwuua na maiti yake kuitosa Baharini na wakampora fedha yake shilingi milioni 60!

Ni tukio la kinyama mno na halifikiriki kuwa lingeweza kutekelezwa na watanzania wenzetu.

Wakati huko Uingereza wananchi wa huko wanafanya maandamano makubwa ya kumshinikiza Waziri wao mkuu ajiuzulu mara moja kutokana na kitendo hicho cha wafanyakazi wake wa Ikulu kuandaa karamu wakati wa corona.

Sisi watanzania tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida, wala hatustuki, utadhani kuwa hakuna tukio kubwa lililotokea hapa nchini!

Najiuliza hivi watanzania tumelogwa na nani, ambaye ametufanya tusijielewe na kuchukua hatua mara moja?
 
Nasikia zamani wakubwa wetu waliwahi kula kitu inaitwa Bulga nadhani hii kitu ndio imeendelea kuathili kizaz hata kizazi
 
Watanzania hatujarogwa wala sio mazezeta ila nyerere alishatuweka wazi mapema sana, tuna maadui watatu tu
1. Umaskini
2. Ujinga
3. Maradhi

Tukifuta umaskini watu hawatauana kwa tamaa ya pesa (kama wapo wanaofanya hivyo)

Tukifuta ujinga ujinga watu watakuwa weledi katika nafasi zao kwa kila mmoja

Tukidhibiti maradhi watu watakuwa na afya nkema ya kuutumia weledi kufanya shughuli halali za kujenga taifa

Tatizo ni pale tunaposhindwa kupambana na hwa maadui badala yake maadui zetu tunadhni ni watanzania wenzetu, hapo ndipo tunachanganya mambo na kufikia hapa tulipo, kila kukicha kulalamika
 
Huu ni utamaduni wa nchi yoyote iliyokuwa ya kijamaa, na hata nchi za kidini. Katika nchi hizi, nchi huwa ya raisi na raia in wapangaji au wapita njia. Nchi zote zilizopitia siasa ya ujamaa RAIA wake ni waoga.
Ni kosa kubwa kuifanya nchi, kuwa ni mali ya Rais🥺
 
Back
Top Bottom