WAKATI UKUTA! Wacheza filamu za Kibabe wa zamani walivyo hivi sasa

WAKATI UKUTA! Wacheza filamu za Kibabe wa zamani walivyo hivi sasa

mkuu,ulikosa uhondo!itafute picha inaita "Eastern Condors" Iliyafsiliwa na Lufufu Mkandala Uone Mapigo Yanavyo pigwa!
Mkuu ulikuliwa upi utotoni?
Hiyo muvi ninayo FULL HD,hafi huwa nashangaa ilihifadhiwa vipi maana kipindi hicho cha VHS ilikuwa hauwezi kuona picha kwa ubora unaoeleweka
e828bd9603f2c3cab24e01d46c86ccf7.jpg
df978cda4621d5749210e32f6c1bf273.jpg
297bbf2f7d0efd9472a301f5dad06ae6.jpg
 
mwenye picha ya legendary Morgan Freeman akiwa kijana aweke hapa
 
Ulikuwa unaziangalia wapi hizi "muvi" wakati hamkuwa na umeme ndio sasa rea wanawaleteeni?? Au umekulia ukimbizini (nje ya ilamba)
ahahaha,mkuu nimekulia tandale beo beo,pale lingo la kuni kabla ujakifikia kituo cha daladala cha tandale chama na nimesoma msingi pale makurumla(sasa mwalimu nyerere primary school) opposite na msikiti wa mwembechai!
 
Back
Top Bottom