Wakati Urusi ikizalisha drone 4,000 kwa siku, kwanini Tanzania tusitengeneze drone moja moja kwa kila mwaka?

Wakati Urusi ikizalisha drone 4,000 kwa siku, kwanini Tanzania tusitengeneze drone moja moja kwa kila mwaka?

Ni
Kwanza hatuna wabunifu na lingine ni kama watu wameridhika na maisha waliyonayo hata matajiri wakubwa ndio hao wanaotengeneza juice na kuingia top 10
Angalia Top 10 ya US sasa ni mwendo wa technology tu

Tunafurahi soda tu
Serikali badala ya kuwekeza kwa vijana wakajifunze nje wanawachora tu
Uwezo wa kuziomba Serikali zingine kuwapokea watoto wetu zipo nyingi sana Kama Rais anataka
Na Mabalozi sijui kazi huwa zipi
Kweli kabisa mkuu, wengu naona wame base kqenye vyakula na vinywaji ila technology hapana, ila mbona naona kwenye technology kama gile kuna mziki mnene mpaka ikufanikishe kuwa richest?
 
Kwanza hatuna wabunifu na lingine ni kama watu wameridhika na maisha waliyonayo hata matajiri wakubwa ndio hao wanaotengeneza juice na kuingia top 10
Angalia Top 10 ya US sasa ni mwendo wa technology tu

Tunafurahi soda tu
Serikali badala ya kuwekeza kwa vijana wakajifunze nje wanawachora tu
Uwezo wa kuziomba Serikali zingine kuwapokea watoto wetu zipo nyingi sana Kama Rais anataka
Na Mabalozi sijui kazi huwa zipi
Tatizo hii nchi miongozo mingi. Mtu unaweza kuwa mbunifu kazini lakini utasikia Hilo lipo kwenye muongozo?
 
Ni

Kweli kabisa mkuu, wengu naona wame base kqenye vyakula na vinywaji ila technology hapana, ila mbona naona kwenye technology kama gile kuna mziki mnene mpaka ikufanikishe kuwa richest?
Mkuu kwa matajiri sio kitu kwa mfano kama kufungua kiwanda cha simu kwa mgongo wa kampuni kubwa
Kuna vitu vingi sana tunaagiza kutoka nje na kuhangaika na ulipaji kwa dollars
Ila hatuna cha kupeleka nje na hii ndio inatufanya tuwe nyuma
Tunajisifia madini lakini maduka makubwa kwenye miji mikubwa duniani ya dhahabu imeshikiliwa na wahindi na almasi Wayahudi

Sisi hata duka moja NY au London hatuna
Kina Kaizer walikuwa wanatangazwa ila tuliishia kumuona anafungua shule

Hizo ndio akili zetu umepewa B sijui ngapi unakimbia unafungua shule kweli tena ya kukariri

Hapo angeweza kufanya makubwa ila ndio hivyo tena
 
Defence bajet yetu ndogo,
M naona bora tuwekeze kwenye elimu, afya, ustawi wa jamii kuliko kuanza kushindana kutengeneza masilaha kama NK na Iran
Lakini drone so kwaajili ya vita pekee
 
Shida ni kama Taifa halijui lina Taka Nini tupo tupo tu nchi watu wanaongezeka tuna mipango mingi ila ipo kwenye mikaratasi tu hatuna wazalendo na wengi wameridhika na maisha
 
Russia imedai inatengeneza drone 4000 kwa siku. Hii ni kutokana na silaha nyingi kutumika kwene vita ya Ukraine.

Ushauri kwa serikali.

Hii nchi mbaka sasa sijui inatengeneza nini. Pamoja na kuongezeka kwa changamoto za kiusalama bado kama nchi haijaweza au haina uelekeo wa kuboresha uzalishaji wa silaha hivo uhakika wa taifa hili miaka 50 ijao kua hamna.

Changamoto kama ugaidi mipakani, msumbiji, al shababu wakitokea kenya na somalia, ADF kutoka CONGO, M23 kutoka rwanda na bila kusahau ugaidi wa ndani kama Kibiti, mapango ya Amboni na ule ulitokea Mwanza.

Kupakana na nchi maaduni ambazo zinatumika na wamagharibi kuvamia nchi kupora malighafi kama Uganda na rwanda na sasa hivi Kenya imeongezeka.

Kwanini nchi isianze kuzalisha hata drone moja kwa mwaka.miaka kadhaa hatuwezi kua kama tulivyo.

Niwakumbushe tu:
  • Drone za iran na uturuki zilibadili vita ya Tigray dhidi ya ethiopia. Ethiopia ilikua ishazidiwa.
  • Drone zilibadili vita Azebajan na Amernia.
  • Drone hizo hizo ziliwazidia russia na kuwazuia kufika kivu.
  • Drone Drone drone

Drone: Ndege sizizo na rubani


View: https://x.com/sambendett/status/1818302307903398220

Zipo kibao tuu zinaundwa hapa kwetu na nyingi zinatumika ku spray dawa na kupiga picha.

Hizo za vita ni za kazi gani?
 
Mkuu kwa matajiri sio kitu kwa mfano kama kufungua kiwanda cha simu kwa mgongo wa kampuni kubwa
Kuna vitu vingi sana tunaagiza kutoka nje na kuhangaika na ulipaji kwa dollars
Ila hatuna cha kupeleka nje na hii ndio inatufanya tuwe nyuma
Tunajisifia madini lakini maduka makubwa kwenye miji mikubwa duniani ya dhahabu imeshikiliwa na wahindi na almasi Wayahudi

Sisi hata duka moja NY au London hatuna
Kina Kaizer walikuwa wanatangazwa ila tuliishia kumuona anafungua shule

Hizo ndio akili zetu umepewa B sijui ngapi unakimbia unafungua shule kweli tena ya kukariri

Hapo angeweza kufanya makubwa ila ndio hivyo tena
Hapo sawa mkuu, kumbe inawezekana? Duuh sisi ndio tumelala, au tunaogopa kupigwa ban na mataifa yanayotuuzia bidhaa zao kwasababu tutawaharibia masoko?
 
Shida ni kama Taifa halijui lina Taka Nini tupo tupo tu nchi watu wanaongezeka tuna mipango mingi ila ipo kwenye mikaratasi tu hatuna wazalendo na wengi wameridhika na maisha
Viongozi hawaelewi labda lakini malengo ya nchi yyte ni kuweza kujitosheleza kwenye nyanja zote
 
Hilo ndio tatizo
Ila kama una idea zako na ukazifanyia kazi mwenyewe nani atakusumbua
Kwa mfano ukatengeneza kitu kwa wingi
Wabunifu dunian kote wanategemea support ya kiuchumi lakini pia sera nzuri kusikuwepo na sheria pingamizi au zuizi
 
Hapo sawa mkuu, kumbe inawezekana? Duuh sisi ndio tumelala, au tunaogopa kupigwa ban na mataifa yanayotuuzia bidhaa zao kwasababu tutawaharibia masoko?
Ni woga wetu na serikali isiyotaka kufungua milango
Kila ukitaka kufanya kitu utaambiwa upite ofisi zaidi ya 10 na zote utazungushwa mpaka ukome na kuachana nayo

Bashe alisema lazima ofisi zote ziwe under one roof sijui kama iliqezekana enzi za Magu

Sisi ukiritimba ndio unatufanya tuwe nyuma
 
Nadhani ifike hatua kulipo na job description ya viongozi!
Serious nimekutana na balozi ,mwenyekiti hata na diwani wako empty kabisa na ufikiri wao hauendani na mahitaji ya nchi inayoendelea
 
Back
Top Bottom