Wakati USAID Ikipotea, Tutegemee Vifo na Maambukizi Mapya ya HIV makubwa haijawahi tokea, Tusipochukua hatua ;it is really a timing Bomb!

Wakati USAID Ikipotea, Tutegemee Vifo na Maambukizi Mapya ya HIV makubwa haijawahi tokea, Tusipochukua hatua ;it is really a timing Bomb!

Hakuna atakayefanya kosa kuzuia arvs. Maana hasara ya marekani ni kubwa kuliko afrika. Kuzuia kwa misaada ya ARVs ni kuizika AIDs Afrika. Huu ndo mwisho wa ukimwi. Wachague wao sasa. Wasitishe misaada wa kuusaidia ukimwi uendeleww kuishi ama wautelekeze ukimwi ufie huku afrika. Kumbuka ARVs ipo kwa kuunusuru ukimwi. Siyo kunusuru binadamu
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
 
to summise kuna pointi za kushika hata hivyo

meneno ni mengi na hakuna lelote lile zaidi ya madharau.

What is the whole point? Kushauri? Kuzodoa? Kusengenya?

Majangili ya Mitandaoni yamepata ya kusema 🤏🤏🤏🐦🧠
 
huo si ndio ukimwi wenyewe babu?
Upungufu wa kinga sio kula madonge ambayo hujui yametoka wapi,
We ongeza kinga ya mwili wako naturally hayo magonjwa nyemelezi yataondoka yenyewe
Shida wabongo hawajui ABC za kuongeza kinga hofu yao inawakimbiza kwa ARV

"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
 
hujawahi kuhudhuria semina za masuala ya ukimwi kisha ukaondoka na posho bahashani na yale makabrasha yaliyoandikwa msaada toka kwa watu wa marekani?
Sasa wabadilishe mafunzo yalipiwe, yeyote atakaye mafunzo na alipe yeye binafsi, au alipiwe na mwajiri wake.
Hii habari inajulikana ni kama biblia sio ngeni, ukitaka kujifunza zipo njia za kutosha, internet au vipeperushi, hizo pesa za USAID zifanye kazi za maana.
 
Na maambukizi yataongezeka pia sababu mwenye Vvu asipotumia dawa uwezekano wa kuambukiza unaongezeka.
 
Leo nitajikita kwenye kupotea kwa misaada ya HIV/AIDS tu , tuna watanzania zaidi ya millioni na nusu wanachukua na kupata dawa za HIV/IADS bure kutoka kwenye shirika la USAID, hawa watanzania wanapata vipimo vya serostatus na viral loads kila mwezi kupima maendeleo yao bure kutoka kwenye shirika la USAID, wale wenye maambukizI mapya wanagundulika mapema na wanapata vipimo na kuanza kutumia dawa bure kutoka kenye shirika la USAID, Wagonjwa wa HIV/AIDS wanapata cancelling na usaidizi wa lishe bora pamoja na njia za uzazi salama na za kujikinga kuambukiza wengine bure kutoka katika shirika la USAID. Condom za bei rahisi, virahinishi vyote vinapatika kwa bei subsdized kutoka shirika la USAID.

Sasa sayansi ya tiba inasema seroconvergence inakuwa kubwa mara zaidi ya hamsini (50-80%) mtu akiacha kutumia dawa za chronic illness mfano Kansa au za HIV/AIDS. Ebu tujikite kwenye HIV/AIDS; maana yake wale wadudu waliokuwa wamebakia kwenye sanctuary places wanaibuka kwa nguvu mpya na kasi ya ajabu, sio tu kwenye kuzaliana bali kumutate na kushambulia sehemu zote muhimu za mwili, maini, figo,damu moyo, mapafu, ngozi kwa speed ya ajabu, Mara nyingi hawa wagonjwa hawachukui muda kufariki ni bora wasingeanza dawa, it is non stopable battle of new serocovergence.

Kibaya zaidi, mbali ya virulence potential ya hawa virus wa hawa wagonjwa kuwa kubwa bali infectivity potential yao ni balaa, hapo nyuma uliweza kujamiiana na mtu wa HIV mara zaidi ya 10 bila maambukizi kwa sababu alikuwa yuko kwenye tiba (undetectable viral load); viral load yake ilikuwa very low, na infectivity power ya virus ilikuwa almost negligible.Sasa tutegemee infection rate (incidence) ya HIV kupanda zaidi ya mara 50, unategemea nini kuhusu maambukizi mapya;kumbuka jamii yetu tunaendelea kula bata bila kinga kama kawa, hatujui hawa watu wako kwenye seroconvergence tena wengi wao wamenawili kuliko sisi kajamba nani kutokana na protein za kwenye dawa hizo. Nakuambia hatujawahi kuencounter kitu kama hiki tangia ugonjwa wa HIV ugundulike.

Kumbuka tulijishahau mpaka ikafika sehemu tukaona ukijipaka mafuta ya nazi ni kinga tosha ,hakuna haja ya condom, na kwa sababu watu walikuwa hawahambukizwi hata wakigundua wametumia mafuta ya nazi kwa HIV patients tukaconclude huhusiano (association) ya protective effect ya mafuta ya nazi na kuambukizwa HIV.tukaona mafuta ni kinga bora;sasa jichanganye kwaseroconvergence patient ndipo utakiona cha mtema kuni,hata ukijimwagia kachupa kazima, yale majimaji yake tu (fluids na serum) yanakuwa na virus mamilioni, Hatukujua ni kwa sababu ya depreeved HIV Viral load baada ya dawa na si mafuta. Hapo sijahusisha Madenda zembe tuliyokuwa tukipigana, sasa oral na oesophagial candidiasis zitakuwa kibao, madonda ya mdomoni kibao, ole wako, ukiingiza ulimi tu....tayari. Yaani ni hatari.

Sasa cha ajabu watunga sera wanasubili disaster itokee, vifo vipangane mahospitalini , new infection rate ifikie zaidi ya 30 % ina maana ratio iwe 1.3 kati ya wagonjwa na wazima, it will be too late my friend na ndipo tushtuke, nakuambia itakua too late. Juzi nilikuwa najiuliza hivi hawa wazungu walipangakwa makusudi yaani "tuwadekeze kwa dawa za bure hawa waafrika, then tu- stop ghafla bila wao kujiandaa, wapukutike na kuambukizana kwa kasi ya ajabu ,hapo tutakuwa tumefikia lengo letu la depopulizing afrika" . Kama ndivyo ilivyokuwa basi watakuwa wamefanikiwa kwa asilima zaidi ya 110%. Na kwa sababu sisi tunaendekeza ngono sana sana tena sana sana na hatuko serious kenye kujikinga na hatujui kuchukua hatua haraka za kulinda jamii yetu, mfano si unaona mpaka sasa ni hatua gani imechukuliwa zaidi ya maneno ya kisiasa.

Nilitegemea nini sasa kwa watunga sera wetu kwenye hili Janga la kitaifa?

1) Kwanza wangefunds na kutoa new emergence strategic plan ya upatikanaji wa dawa na vipimo vya HIV/AIDS kwa uhakika na urahisi kwa wagonjwa wote.

2) Pili nilitegemea wangefund na kutoa new emergence strategic plans za uwezeshaji wa upimaji wa HIV/AIDS kwa uhakika na uharaka.

3) Tatu, tena muhimu zaidi nilitegemea kwa sababu tajwa paragrahy ya 1 na 2 hapo juu kuhusu uwezekano wa maambukizi mapya ya kasi ya umeme tulitegemea watenge fedha na kutengeneza new emergence HIV/AIDS health education , health promotion and prevention strategic plan ambayo iko tailored to the emerging situation

Kwangu mimi hii ya emergence HIV/AIDS health education ,health promotion and prevention strategic plan ambayo iko tailored to the emerging unique situation should be the first priority na ingeanza kuanzia January 2025,it is an emergence because it touches the corner stone of public health initiaves (emergence preparedness & prevention ). Kwa nini nasema hivyo? nitakueleza? kaa mkao wa kula tu husiwe mbishi, kwani humu jamii forum kila mtu ana PhD ya kila fani, mimi sielewagi comments zetu, kumbuka hii ni sayansi ya public health & health management. Jamani situation tunayoenda kukabiliana nayo hahijawahi kutokea duniani kote ,watu wengi , nchi nyingi kustop ghafla dawa za HIV/AIDS (mass stoppage of medication) na kusababisha mass viral load multiplication, viral mutation na infectivity rate (incidence) kuongezeka. Hii inahitaji another approaches of health education and health promotion ikitarget hizo arms tatu unique zinazotokea baada ya mtu kuacha dawa. It should not be business as usual.

Itabidi turudi kwenye drawing board, tuache mipango ya ku-copy and ku-paste kwani hii ni unique situation has never happened in the past kwenye upande wa HIV/AIDS. Turudi kule kama mwanzo kutumia multiple media (news letters, radios, TVs, community dilogies, targeted health education mostly to patients themselves na hawa ni muhimu kwani ndio yatakuwa mabomb ya kulipulia watu. SOCIAL BEHAVIOUR CHANGES approaches targetting ku-raise community education and awareness, hasa ya nini kimetokea na kinachotokea, nini kifanyike wakati wa sex na mtu aliyeacha dawa, nini kifanyike kwa aliyeacha dawa, nini kifanyike ukijikuta umejichanganya na mtu aliyeacha dawa, ni vitu gani muhimu vya kuzingatia wakati unadeal na hawa watu walioacha dawa. Lakini provision ya public assurance, serikali yao inafanya nini kukabiliana na hili janga ili kutoleta mshtuko wa kijamii, ni bora upate mshtuko wa mtu mmoja mmoja na si mshtuko wa jamii.hiyo ni hatari. Je wewe unasemaje kuhusu hatari iliyo mbele yetu.toa maoni yako.....
Watunge sera zipi wakati wapo na kusujudia mama mama kazi iendelee yaani mambo muhimu yamepigwa nje
 
Hawa ndio watanzania wanavyofikiri. Aliyekuwa anakupa dawa kasema anasitisha, anayetakiwa kukupa dawa kanyamaza kimya, halafu wewe unasema dawa zitapatikana tu. Hujasoma paragraph za mwisho muandishi ameeleza ili zipatikane na tusiwe na madhara ni mambo gani watunga sera wafanye. Bila hivyo it is just a matter of time. Time will
 
Hawa ndio watanzania wanavyofikiri. Aliyekuwa anakupa dawa kasema anasitisha, anayetakiwa kukupa dawa kanyamaza kimya, halafu wewe unasema dawa zitapatikana tu. Hujasoma paragraph za mwisho muandishi ameeleza ili zipatikane na tusiwe na madhara ni mambo gani watunga sera wafanye. Bila hivyo it is just a matter of time. Time will tell
Hakuna lolote litakalo tokea haupo ground unaleta pye pye pye nyingi umeona tangazo la wizara?
 
Ndio basiiii, ndio basi tena.... Kwa sauti ya Mbosso!

 
Leo nitajikita kwenye kupotea kwa misaada ya HIV/AIDS tu , tuna watanzania zaidi ya millioni na nusu wanachukua na kupata dawa za HIV/IADS bure kutoka kwenye shirika la USAID, hawa watanzania wanapata vipimo vya serostatus na viral loads kila mwezi kupima maendeleo yao bure kutoka kwenye shirika la USAID, wale wenye maambukizI mapya wanagundulika mapema na wanapata vipimo na kuanza kutumia dawa bure kutoka kenye shirika la USAID, Wagonjwa wa HIV/AIDS wanapata cancelling na usaidizi wa lishe bora pamoja na njia za uzazi salama na za kujikinga kuambukiza wengine bure kutoka katika shirika la USAID. Condom za bei rahisi, virahinishi vyote vinapatika kwa bei subsdized kutoka shirika la USAID.

Sasa sayansi ya tiba inasema seroconvergence inakuwa kubwa mara zaidi ya hamsini (50-80%) mtu akiacha kutumia dawa za chronic illness mfano Kansa au za HIV/AIDS. Ebu tujikite kwenye HIV/AIDS; maana yake wale wadudu waliokuwa wamebakia kwenye sanctuary places wanaibuka kwa nguvu mpya na kasi ya ajabu, sio tu kwenye kuzaliana bali kumutate na kushambulia sehemu zote muhimu za mwili, maini, figo,damu moyo, mapafu, ngozi kwa speed ya ajabu, Mara nyingi hawa wagonjwa hawachukui muda kufariki ni bora wasingeanza dawa, it is non stopable battle of new serocovergence.

Kibaya zaidi, mbali ya virulence potential ya hawa virus wa hawa wagonjwa kuwa kubwa bali infectivity potential yao ni balaa, hapo nyuma uliweza kujamiiana na mtu wa HIV mara zaidi ya 10 bila maambukizi kwa sababu alikuwa yuko kwenye tiba (undetectable viral load); viral load yake ilikuwa very low, na infectivity power ya virus ilikuwa almost negligible.Sasa tutegemee infection rate (incidence) ya HIV kupanda zaidi ya mara 50, unategemea nini kuhusu maambukizi mapya;kumbuka jamii yetu tunaendelea kula bata bila kinga kama kawa, hatujui hawa watu wako kwenye seroconvergence tena wengi wao wamenawili kuliko sisi kajamba nani kutokana na protein za kwenye dawa hizo. Nakuambia hatujawahi kuencounter kitu kama hiki tangia ugonjwa wa HIV ugundulike.

Kumbuka tulijishahau mpaka ikafika sehemu tukaona ukijipaka mafuta ya nazi ni kinga tosha ,hakuna haja ya condom, na kwa sababu watu walikuwa hawahambukizwi hata wakigundua wametumia mafuta ya nazi kwa HIV patients tukaconclude huhusiano (association) ya protective effect ya mafuta ya nazi na kuambukizwa HIV.tukaona mafuta ni kinga bora;sasa jichanganye kwaseroconvergence patient ndipo utakiona cha mtema kuni,hata ukijimwagia kachupa kazima, yale majimaji yake tu (fluids na serum) yanakuwa na virus mamilioni, Hatukujua ni kwa sababu ya depreeved HIV Viral load baada ya dawa na si mafuta. Hapo sijahusisha Madenda zembe tuliyokuwa tukipigana, sasa oral na oesophagial candidiasis zitakuwa kibao, madonda ya mdomoni kibao, ole wako, ukiingiza ulimi tu....tayari. Yaani ni hatari.

Sasa cha ajabu watunga sera wanasubili disaster itokee, vifo vipangane mahospitalini , new infection rate ifikie zaidi ya 30 % ina maana ratio iwe 1.3 kati ya wagonjwa na wazima, it will be too late my friend na ndipo tushtuke, nakuambia itakua too late. Juzi nilikuwa najiuliza hivi hawa wazungu walipangakwa makusudi yaani "tuwadekeze kwa dawa za bure hawa waafrika, then tu- stop ghafla bila wao kujiandaa, wapukutike na kuambukizana kwa kasi ya ajabu ,hapo tutakuwa tumefikia lengo letu la depopulizing afrika" . Kama ndivyo ilivyokuwa basi watakuwa wamefanikiwa kwa asilima zaidi ya 110%. Na kwa sababu sisi tunaendekeza ngono sana sana tena sana sana na hatuko serious kenye kujikinga na hatujui kuchukua hatua haraka za kulinda jamii yetu, mfano si unaona mpaka sasa ni hatua gani imechukuliwa zaidi ya maneno ya kisiasa.

Nilitegemea nini sasa kwa watunga sera wetu kwenye hili Janga la kitaifa?

1) Kwanza wangefunds na kutoa new emergence strategic plan ya upatikanaji wa dawa na vipimo vya HIV/AIDS kwa uhakika na urahisi kwa wagonjwa wote.

2) Pili nilitegemea wangefund na kutoa new emergence strategic plans za uwezeshaji wa upimaji wa HIV/AIDS kwa uhakika na uharaka.

3) Tatu, tena muhimu zaidi nilitegemea kwa sababu tajwa paragrahy ya 1 na 2 hapo juu kuhusu uwezekano wa maambukizi mapya ya kasi ya umeme tulitegemea watenge fedha na kutengeneza new emergence HIV/AIDS health education , health promotion and prevention strategic plan ambayo iko tailored to the emerging situation

Kwangu mimi hii ya emergence HIV/AIDS health education ,health promotion and prevention strategic plan ambayo iko tailored to the emerging unique situation should be the first priority na ingeanza kuanzia January 2025,it is an emergence because it touches the corner stone of public health initiaves (emergence preparedness & prevention ). Kwa nini nasema hivyo? nitakueleza? kaa mkao wa kula tu husiwe mbishi, kwani humu jamii forum kila mtu ana PhD ya kila fani, mimi sielewagi comments zetu, kumbuka hii ni sayansi ya public health & health management. Jamani situation tunayoenda kukabiliana nayo hahijawahi kutokea duniani kote ,watu wengi , nchi nyingi kustop ghafla dawa za HIV/AIDS (mass stoppage of medication) na kusababisha mass viral load multiplication, viral mutation na infectivity rate (incidence) kuongezeka. Hii inahitaji another approaches of health education and health promotion ikitarget hizo arms tatu unique zinazotokea baada ya mtu kuacha dawa. It should not be business as usual.

Itabidi turudi kwenye drawing board, tuache mipango ya ku-copy and ku-paste kwani hii ni unique situation has never happened in the past kwenye upande wa HIV/AIDS. Turudi kule kama mwanzo kutumia multiple media (news letters, radios, TVs, community dilogies, targeted health education mostly to patients themselves na hawa ni muhimu kwani ndio yatakuwa mabomb ya kulipulia watu. SOCIAL BEHAVIOUR CHANGES approaches targetting ku-raise community education and awareness, hasa ya nini kimetokea na kinachotokea, nini kifanyike wakati wa sex na mtu aliyeacha dawa, nini kifanyike kwa aliyeacha dawa, nini kifanyike ukijikuta umejichanganya na mtu aliyeacha dawa, ni vitu gani muhimu vya kuzingatia wakati unadeal na hawa watu walioacha dawa. Lakini provision ya public assurance, serikali yao inafanya nini kukabiliana na hili janga ili kutoleta mshtuko wa kijamii, ni bora upate mshtuko wa mtu mmoja mmoja na si mshtuko wa jamii.hiyo ni hatari. Je wewe unasemaje kuhusu hatari iliyo mbele yetu.toa maoni yako.....
Trump na amalizwe mapema tuu
 
Kabisa nakwambia mkuu Pesa kuipitishia kwa hivi vi Local NGO ni janga na ni matumizi mabaya ya pesa za walengwa..kuna urasimu mkubwa mno kule wanatafuna pesa vibaya mno wakurugenzi na wahasibu ndo hawafai kabisa wanavunja activities na posho za wafanyakazi na volunteers wao pesa wanakula wao,mbaya zaidi budget inafichwa haiwekwi wazi ili wapige pesa vizuri..ukihoji tu kazi huna..LOCAL NGO NI SUMU SUMU SUMU MNO

Kuna wakati watu wanafanya mambo kama hawaonekani.

Ila wanaonekana na wanayofanya yanajulikana.

Wizi mtupu kwenye hizi fedha za wafadhili wa maendeleo
 
Elimu izidi kutolewa serikali ibebe jukumu la kutoa elimu tahdhari kwa jamii ili kuilinda na maambukizi mapya

Serikali itoe wigo kwa wataalamu wetu wa ndani kusupport tafiti kwa tiba mbadala na wataalamu wetu ili wapate matokeo chanya juu ya Tiba au ahueni kwa gonjwa hili.
Safi kabisa, nakubaliana na maoni na mapendekezo.Suala si kwamba eti serikali itashughulikia, suala ni lini itaanza na itaanza vipi?
 
to summise kuna pointi za kushika hata hivyo

meneno ni mengi na hakuna lelote lile zaidi ya madharau.

What is the whole point? Kushauri? Kuzodoa? Kusengenya?

Majangili ya Mitandaoni yamepata ya kusema 🤏🤏🤏🐦🧠
Wewe wasema, Ebu rudia kusoma andiko

Paragraph ya kwanza imeelezea kitu kilichotokea mpaka tuwe na hofu ya dawa za HIV/AIDS toka USAID kupotea hivyo kuleta hofu ya wagonjwa kukosa dawa, paragraph ya pili imesummarize madhara ya kuacha kutumia dawa upande wa seroconvergence, paragraph ya nne na tano imeeleza hatari ya kuwa na seroconvergence patients kwenye population ambayo tabia zetu are not risk conseous, paragraph ya sita imepangilia ushauri kwa watunga sera katika hatua tatu muhimu hasa nini kifanyike, paragraph ya mwisho imeefafanua baadhi ya ushauri tajwa hapo juu

Sasa sema ni wapi kuna kusodoa na kusengenya. Unajua watanzania wengi ukisema ukweli kwa lugha plain watakwambia umezodoa, umesengenya,umedharau. Ukimwambia mkubwa ukweli wa wazi kwamba kakosea,utasikia eti umemdharau.Ifike mahali tukubali ukweli hata kama ni mchungu
 
Ndio basiiii, ndio basi tena.... Kwa sauti ya Mbosso!

View attachment 3228842
Bora umetuonyesha, humu kuna watu wabishi kama nini.Sasa wote mmekwishaonyeshwa kinachotokea. Hivi tutaendelea kuwa mazuzu mpaka lini. Proactiveness is an inborn trait the same as lazzyness. Sisi kwetu uvivu wa kufikili na kutenda ni inborn trait,kibaya tumejaliwa na ubishi,basi combination hizo mbili zinatisha hatari
 
Dawa zikipigwa pin, mataifa yatajaa majonzi kila uchwao, na vituo vya afya vinaweza kuelemewa, nguvu kazi zitapukutika sana. Wao wanatazama kwa taswira ya juu tu may be hawakuwahi kuwa mashuhuda enzi zile Ukimwi ni Ukimwi haswa..

Isitoshe enzi hizi namba imeongezeka kupita kiasi
Ndiyo maana nakwambia hutu tutoto hatukuwahi kushuhudia mtu mzima mwenye mwili na nguvu zake anapukutika anabaki mifupa na ngozi!!!
 
Mungu Wabariki Wazungu
Unakuta mtu na kanzu yake kuukuu na baragashia iliyochanika anakwambia Wamarekani ni Makafir huku kila siku akimeza ARV zinazotelewa na hao Makafir.. kwa namna moja au nyingine uhai wake unategemea ufadhili wa Makafir..
 
Back
Top Bottom