JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Reli hiyo iliyojengwa kati ya Mwaka 1968 hadi 1975 kutoka Kapiri Mposhi (Zambia) hadi Dar es Salaam (Tanzania) ina urefu wa Kilometa 1860.
Siku ya kuwakumbuka watendaji mbalimbali walipopoteza maisha katika ujenzi wa reli hiyo huadhimishwa Aprili 1 ya kila mwaka.
Picha: Mtandao