lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,601
- 2,058
Acha ujinga wewe, hiko kikokotoo alikipinga na video zipo wazi kuwa wakae chini wakakibadilisheRAIS WENU MAGUFULI NA WABUNGE WENU NDIO WALIOPITISHA HIYO SHERIA
Una roho nzuri. Umemshauri vyema.Hiyo milioni 10 anunue pikipiki 2 ambazo ni almost 6m awe analetewa hesabu hiyo nne ndiyo akahangaike kutafuta shamba ambalo halitazidi 1m aanze kilimo mdogomdogo ataweza kuwa na uzee mwema kidogo
Ila mbunge anapata stahiki zake siku ya kuvunja bunge.Mm najuta sana, mkataba umeisha toka mwaka jana May, nafutalia pesa zangu lakin bilabila unaambiwa mpk miaka 55-60 wakati hata 40 sijafika mamaeeeeh
Tatizo letu watanzania wengi tunadhani KILIMO ni rahisi, eti mtu umezeeka umestaafu ndio unatafuta shamba, kimsingi unatafuta kifo, hapa jf ukiigia jukwaa la kilimo ndio utaona baadhi changamoto za kilimo, ukitaka kulima anza kabla hujastaafuMkombozi ni shamba tu! Maana yake shamba la bei poa, kinyumba cha gharama nafuu sana wenyewe wanaita SLOPE , weka solar .
Fuga kuku wa kienyeji, kipindi cha kilimo Lima kwa utaalam, mambo mengine muombe Mungu.
Dah hii ni aibu ya nchiHela ya kila mwezi (pension) unaipata kwa miaka 12 tu kisha inakoma.
Hongera kwa kujiongeza. Tanzania pagumu kwa wengi na neema kwa wachache at the cost of many.
Unajua, kikokotoo ni PIGO la ghafla toka serikalini, kutoka kutegemea 55,000,000/= halafu unakuja pata 10,000,000/= . Usipotuliza akili, usipopata faraja toka watu wako wa karibu haswa familia !! UTACHIZIKA/ STROKE itakunyemelea.Tatizo letu watanzania wengi tunadhani KILIMO ni rahisi, eti mtu umezeeka umestaafu ndio unatafuta shamba, kimsingi unatafuta kifo, hapa jf ukiigia jukwaa la kilimo ndio utaona baadhi changamoto za kilimo, ukitaka kulima anza kabla hujastaafu
hali ni tete wacha watumishi wakomeshwe wanaikumbatia sana ccm,juzi mwalimu wa secondary mwandamizi kastaafu kaambulia milion 33 alitegemea 80,huku wakimuahidi kalaki 4 kila mweziMara nyingi tunajiona tuko salama, tunafikiri mabadiliko, kanuni, sheria za kigandamizi zinazofanywa na watawala hazituhusu sisi hasa hawa watumishi wa uma; watu wa magereza, wanajeshi, maaskari police, watumishi wa almashauri, walimu, mahakimu n.k.
Hutashangaa kusikia kada hizi zikikemea wanaopinga kikokotoo kipya, hutashangaa kusikia wakiwapinga na kuwabeza wanaotaka katiba mpya, hutashangaa wakiwabeza wanaowauliza watawala dhalimu maswali magumu na ya msingi kuhusu kubinafsishwa kwa bandari zetu zote na baadhi ya misitu na hifadhi za wanyama. Kinyume utawasikia wakisema hao wana wivu, hawa ni wapinga serikali, hawa hawana akili, wametumwa na mabeberu, hakika watatuhalibia amani na upendo wa nchi yetu
Sasa leo yamemkuta aliyekuwa mtumishi wa Magereza ndugu Shamte (56) staff Surgent alipojikuta akiambulia kiinua mgongo (malipo ya pension ya kustaafu) cha shilingi 21 millioni badala ya shilingi 55 millioni aliyotarajia baada ya kuitumikia serikali kwa miaka zaidi ya 33.Mstaafu huyo aliyasema hayo baada ya kutembelea ofisi za Magazeti ya mwananchi juzi.
"Najiona mfungwa mtarajiwa baada ya kubakia na shillingi 10 millioni kwani shillingi 10 millioni nyingine zimekatwa baada ya kuwa nilikopa chama cha ushirika wa Akiba na Mikopo cha watumishi wa Jeshi la Magereza" alitoa masikitiko yake bwana Shamte akitumia mfano wa mateso ya watu aliokuwa akiwachunga kila siku wakati akifanya kazi gerezani, kwani anajua machungu ya kuwa mfungwa. "Nilitegemea nikanunue shamba la kulima mazao niweze kujisitili baada ya kustaafu sasa haiwezekani, sioni mbele maisha yatakuwaje" bwana Shamte akitoa sentensi kuashiria kukata tamaa ya maisha
"Wewe ndugu, utaratibu wa malipo ya pensheni halipi CGP, waziri husika au katibu mkuu, utalipwa kulingana na michango yako" hayo ndiyo majibu ya kifupi na kukatisha tamaa aliyopewa mtumishi mstaafu ndugu Shamte kutoka kwa wakuu wake baada ya kupata ujumbe wa kiasi atakacholipwa.
Swali la kujiuliza ni, je ? tuko akina Shamte wangapi? akina shamte ambao tunakubali kila kitu watawala wanachopitisha kwa manufaa yao, akina shamte tunaokuwa wa kwanza kuwanyooshea vidole wale wachache wenye akili timamu na uthubutu wa kuhoji haya mabadiliko dhalimu kwa niaba na manufaa yetu, utasikia hawana akili hao, utasikia wamechanganyikiwa hao, nakwambia utasikia wametumwa na wazungu , mabeberu. Wengi wetu tunafikili madhara ya sheria dhalimu , mabadiliko kandamizi haya hayatuhusu sisi, yanawahusu wale tu wanaolalamika.
Hakika bwana shamte amekumbuka shuka wakati kunakucha , amekumbuka jinsi alivyokuwa akiwadharau waliokuwa wakipinga kikokotoo kipya na pengine alishiriki kuwahadhibu walipopelekwa gerezani alikokuwa akifanya kazi, hakika alimalizia kwa kutubu na kusema "Wakati watu wanalia kuhusu kikokotoo nilikuwa naona kawaida,sasa nimeona ukali wake.
Swali la msingi ni, Je...? wewe na mimi tumejifunza nini katika kisa mkasa hiki cha mstaafu Shamte?
hatari sanaSerikali ya Ccm inatamani tufe
cha kushangaza vijana wanauana sasa hivi kwenye mitandao kuhusu ajira ya polisiIla bongo nyoko sana yaani ufaye kazi 33 years tyen unalipwa usd 9000 ndio pension...iseee
Anza immediately ndani ya miaka miwili baada ya kuajiriwaTatizo letu watanzania wengi tunadhani KILIMO ni rahisi, eti mtu umezeeka umestaafu ndio unatafuta shamba, kimsingi unatafuta kifo, hapa jf ukiigia jukwaa la kilimo ndio utaona baadhi changamoto za kilimo, ukitaka kulima anza kabla hujastaafu
Pension ya kila mwezi ndio kitu gani mkuu?Kwani Askari magereza hawapati Ile pension ya kila mwezi baada ya hizo hela za mkupuo?
Maisha ya askari walio chini ya wizara ya mambo ya ndani ni magumu haswa. Huyu Ssgt amewawakilisha wengi ambao wengi wao hawawezi kuongea kutokana na utumishi wao.Hivi bro.. ukiona mtu mzima anatoa machozi usifikiri masihala, je unajua huyu jamaa alikuwa akipokea mshahara wa shilingi ngapi? je unajua ana watoto na wategemezi wangapi? umemsikia akisema alitegemea hela hii ya mkupuo anunue ka-shamba na kuanza kulima, kwa hiyo inawezekana hana nyumba hata kasehemu ka kujihifadhi.....je hako kaposho ka asilimia ngapi sijui ya average ya mishahara yake ya nyuma kila mwezi katatosha. kumbuka hata hako ka 10 millioni anasema kuna msururu wa wadai wanakasubilia na kenyewe.
Baada ya kustaafu kuna ile hela mkupuo, siju niite ya kikokotoo inayolalamikiwa, lakini kuna pesa unapata kila mwezi, wanadai ni robo ya mshahara wako wa mwisho, nimewahi kusikia kuwa Askari Wana utaratibu tofauti, sasa ndio maana nikauliza, kuna wadau wakanishambulia, ndo nikawa mpole!!!Pension ya kila mwezi ndio kitu gani mkuu?
Ni vyema kuuliza kwanza kabla ya kutoa maelezo kama vile Jambo unalifahamu vizuri. Hapa ukumbuni wapo watu wenye uwelewa na kada mbalimbali mkuu. Usijari lakini utaelezewa na kuelewa hapahapaBaada ya kustaafu kuna ile hela mkupuo, siju niite ya kikokotoo inayolalamikiwa, lakini kuna pesa unapata kila mwezi, wanadai ni robo ya mshahara wako wa mwisho, nimewahi kusikia kuwa Askari Wana utaratibu tofauti, sasa ndio maana nikauliza, kuna wadau wakanishambulia, ndo nikawa mpole!!!
Hao wa majeshi ni wapuuzi sana....hata watumishi wa kawaida sisi wanatudharau.....hata mkilalamika katika vikao tu vya gambe ndio wanaenda kutuchoma hovyo sana hao.....Mara nyingi tunajiona tuko salama, tunafikiri mabadiliko, kanuni, sheria za kigandamizi zinazofanywa na watawala hazituhusu sisi hasa hawa watumishi wa uma; watu wa magereza, wanajeshi, maaskari police, watumishi wa almashauri, walimu, mahakimu n.k.
Hutashangaa kusikia kada hizi zikikemea wanaopinga kikokotoo kipya, hutashangaa kusikia wakiwapinga na kuwabeza wanaotaka katiba mpya, hutashangaa wakiwabeza wanaowauliza watawala dhalimu maswali magumu na ya msingi kuhusu kubinafsishwa kwa bandari zetu zote na baadhi ya misitu na hifadhi za wanyama. Kinyume utawasikia wakisema hao wana wivu, hawa ni wapinga serikali, hawa hawana akili, wametumwa na mabeberu, hakika watatuhalibia amani na upendo wa nchi yetu
Sasa leo yamemkuta aliyekuwa mtumishi wa Magereza ndugu Shamte (56) staff Surgent alipojikuta akiambulia kiinua mgongo (malipo ya pension ya kustaafu) cha shilingi 21 millioni badala ya shilingi 55 millioni aliyotarajia baada ya kuitumikia serikali kwa miaka zaidi ya 33.Mstaafu huyo aliyasema hayo baada ya kutembelea ofisi za Magazeti ya mwananchi juzi.
"Najiona mfungwa mtarajiwa baada ya kubakia na shillingi 10 millioni kwani shillingi 10 millioni nyingine zimekatwa baada ya kuwa nilikopa chama cha ushirika wa Akiba na Mikopo cha watumishi wa Jeshi la Magereza" alitoa masikitiko yake bwana Shamte akitumia mfano wa mateso ya watu aliokuwa akiwachunga kila siku wakati akifanya kazi gerezani, kwani anajua machungu ya kuwa mfungwa. "Nilitegemea nikanunue shamba la kulima mazao niweze kujisitili baada ya kustaafu sasa haiwezekani, sioni mbele maisha yatakuwaje" bwana Shamte akitoa sentensi kuashiria kukata tamaa ya maisha
"Wewe ndugu, utaratibu wa malipo ya pensheni halipi CGP, waziri husika au katibu mkuu, utalipwa kulingana na michango yako" hayo ndiyo majibu ya kifupi na kukatisha tamaa aliyopewa mtumishi mstaafu ndugu Shamte kutoka kwa wakuu wake baada ya kupata ujumbe wa kiasi atakacholipwa.
Swali la kujiuliza ni, je ? tuko akina Shamte wangapi? akina shamte ambao tunakubali kila kitu watawala wanachopitisha kwa manufaa yao, akina shamte tunaokuwa wa kwanza kuwanyooshea vidole wale wachache wenye akili timamu na uthubutu wa kuhoji haya mabadiliko dhalimu kwa niaba na manufaa yetu, utasikia hawana akili hao, utasikia wamechanganyikiwa hao, nakwambia utasikia wametumwa na wazungu , mabeberu. Wengi wetu tunafikili madhara ya sheria dhalimu , mabadiliko kandamizi haya hayatuhusu sisi, yanawahusu wale tu wanaolalamika.
Hakika bwana shamte amekumbuka shuka wakati kunakucha , amekumbuka jinsi alivyokuwa akiwadharau waliokuwa wakipinga kikokotoo kipya na pengine alishiriki kuwahadhibu walipopelekwa gerezani alikokuwa akifanya kazi, hakika alimalizia kwa kutubu na kusema "Wakati watu wanalia kuhusu kikokotoo nilikuwa naona kawaida,sasa nimeona ukali wake.
Swali la msingi ni, Je...? wewe na mimi tumejifunza nini katika kisa mkasa hiki cha mstaafu Shamte?
Boda hawahawa!?? Au Kuna wengine wa kutengeneza kama roboti Eunice!?? ....Hiyo milioni 10 anunue pikipiki 2 ambazo ni almost 6m awe analetewa hesabu hiyo nne ndiyo akahangaike kutafuta shamba ambalo halitazidi 1m aanze kilimo mdogomdogo ataweza kuwa na uzee mwema kidogo
Kwa KUMBUKUMBU zangu ..... Pensheni ya kila mwezi ni 67% ya mshahara aliostaafia AMBAPO pia Kwa awali alikuwa apokee 75% ya mshahara aliostaafia ..Sasa unajua mshahara wa sajent wa Magereza !??Naskia Kuna pension ya Kila mwezi je pia nayo hapati?