Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
For a nation that depends largely on tourism, utashugulikia aje watu wa chini pekee bila kuipa kipau mbele national carrier yenu ambao inatumika kuleta watalii nchini????Kwa watanzania tulio wengi, kipaumbele chetu cha kwanza hakikuwa ndege...!! Raia hawana madawa hospital, hatuna maji safi na salama ya kunywa, miundombinu mibovu, hatuna umeme wa uhakika, vijana hawana Ajira, mikopo ya vyuo vikuu bado ni vichomi, unga sasa ni Tsh. 1500 kwa kilo( Gharama za maisha kupanda), ..!! Kama serikali hii inajari watu wa chini na ndio tulio wengi, ingeshughulikia vipaumbele hivi kwanza.
hakuna!!!! leta sourcesKama hauna resources lazima kimbilio lako litakuwa investors. Lakini hapo hapo utakuwa Tanzania inapata investors kuliko EAC wote.
soma hapa bwana The 10 most attractive nations in Africa for investorsKama hauna resources lazima kimbilio lako litakuwa investors. Lakini hapo hapo utakuwa Tanzania inapata investors kuliko EAC wote.
You might be an attractive investment destination but not many investors bringing their cash to invest. Tanzania still leads and investors are still coming to invest more than Kenya. In fact twice than Kenyasoma hapa bwana The 10 most attractive nations in Africa for investors
South Africa is followed by Morocco, Egypt, Kenya, Mauritius, Ghana, Botswana, Tunisia and Rwanda. Ivory Coast closes the top ten index processed to provide different answers depending on the investorโs priorities, which wish to operate in complex and fragmented African markets.
You might be an attractive investment destination but not many investors bringing their cash to invest. Tanzania still leads and investors are still coming to invest more than Kenya. In fact twice than Kenya
Sina haja ya kuweka link all the information iko Google.
Its a dream don't worry, go back to sleep. Zzzzzzzzz hahaOooh Booooy!!!
r u living in Mars?? isnt Nairobi the home to Google HQs, Coca Cola Africa, IBM, AVIC Internatonal, etc???????? MK254 come and see a fool hereYou might be an attractive investment destination but not many investors bringing their cash to invest. Tanzania still leads and investors are still coming to invest more than Kenya. In fact twice than Kenya
Sina haja ya kuweka link all the information iko Google.
Kenya : Nairobi City ranked among top 20 successful cities globally ...Its a dream don't worry, go back to sleep. Zzzzzzzzz haha
You know, I always said here many times before wakenya walio hapa JF economics yenu inaogopesha. You might have all those world household names, Google and the rest, lakini ask yourself this, how much money have they brought in? Will you compare that with amount of money is needed to do gas exploration? Will you compare with money needed to do gold exploration? Do you know how many hotels have been build in Tanzania for the past ten years? What about investment on agro business, construction business. You might have an investment climate with all bells and whistles, but the amount of cash brought in isn't enough to compare with others. Unaelewa? soma below extract uelewe I need to start my Christmas now.r u living in Mars?? isnt Nairobi the home to Google HQs, Coca Cola Africa, IBM, AVIC Internatonal, etc???????? MK254 come and see a fool here
Duh! Mi kuna kitu kinanistaajabisha hapa, nani bongolala sasa kama mtu mzima bado anaamini migogoro ktk nchi ni laana ishukayo kutoka sjui kwa Mungu au shetani kama si kushindwa kwa akili ya kujitawala. Tz iko hivyo si kwa neema bali siasa na filosofi zake nzuri, ziigeni.South sudan is a troubled nation kama somalia and u know it...lets face it...tanzania is practically paradise no corruption, a lot of natural resources, beaches, wildlife, mountains, rainfall etc lakini level yenye mko joo...it really brings a lot of questions?
Sio tunajitenga, tuna wengi wenye faida kwetu wa kuungana nao kifaida. Opportunities kwetu si kwa East Africa tu. Halafu kila wkt tunawaambia maendeleo kwetu si pesa wala vitu, ni ya watu, haswa ktk kujitambua.regional integration is the way to go...just see how the EU has benefited countries like Portugal.....ila nyie mwafikiria mkijitenga mtafika mahali...doo! MTASHANGAA!!! ata rais kupanda ndege anaogopa wakati Rwanda ina make steps forward nyie bado mwapigana na media
Ndo kile tuwaambiacho kila wakati, kwetu cha muhimu zaidi ni maendeleo ya watu si ya vitu. Mwl. alishawahi kusema yale magofu ya akina Farao yaliitwa maendeleo kwa wkt wake, ila yaliwanufaishaje watu wa kipindi hicho?Kwa watanzania tulio wengi, kipaumbele chetu cha kwanza hakikuwa ndege...!! Raia hawana madawa hospital, hatuna maji safi na salama ya kunywa, miundombinu mibovu, hatuna umeme wa uhakika, vijana hawana Ajira, mikopo ya vyuo vikuu bado ni vichomi, unga sasa ni Tsh. 1500 kwa kilo( Gharama za maisha kupanda), ..!! Kama serikali hii inajari watu wa chini na ndio tulio wengi, ingeshughulikia vipaumbele hivi kwanza.
Hata uchumi wa kutegemea wawekezaji wa nje haikuwa sera yetu tukufu, sisi tuna sera ya ujamaa na kujitegemea, hatuna wajomba nje huko. Airplane zilitakiwa ziundwe hapa kwa tekinolojia yetu wenyewe, sisi sio walaji tu, 1985 TATC ilianza kulifikiria kulizalisha NYUMBU la mwanzo. Hayo ndo maendeleo, unaendelea kiuchumi, siasa, jamii, tamaduni hata kitekinolojia na vyote ni kwa kujitegemea na kwa umoja wa kitaifa si kinchi.there is a need for those planes....FDI Foreign direct investment, that's why Rwanda is now attracting investors like nobody's business..
Sa mkenya ni mwingereza? Ndani ya UK wanaozungumza kingereza fasaha (RP) au Queen language ni 3% nini mkenya hapo? Elimu huna duniani hakuna lugha yenyee umaana zaidi ya nyingine labda kama ulitaka useme umuhimu. Hili ni kwa dhana ya lugha tena kishule.sihitaji ujinga wenu uo...kiswahili ndio nini sasa wee???๐๐๐๐๐ wakenya twaongea lugha za maana bana wacha upumbavu wewe.... wee wajua kiingereza??? ama broken english tu ndo wajua
Huijui Tz wewe, sekta ya utalii ni kadude kadogo sana, tukiipandisha ni kwa kujiongezea kipato tu, sisi tunaweza tegemea kilimo tena cha maindi tu tukawauzia wakenya na uchumi ukasonga tu. Wtz wengi wamejiari ktk sekta ya kilimo, kwahiyo hata kabla ya mibombadia hii irrigation scheme ingefaa sana kwa maendeleo ya watu wetu, kenya ni soko la uwakika kwa mazao ya chakula ya watz.. tena litadumu hadi kiama.For a nation that depends largely on tourism, utashugulikia aje watu wa chini pekee bila kuipa kipau mbele national carrier yenu ambao inatumika kuleta watalii nchini????
Unajua kinachowavutia? Mojawapo ni sheria zitakazoilinda mitaji yao, hapo lazima waajiriwa wauishi utumwa. Kuna kiwanda kinaitwa mazava Morogoro, ni cha nguo, wakenya ndo wanaoyamudu madudu yao. Nadhani ni njaa zao tu. Uwekezaji kama huu ni kheri usiwepo, jamaa hawanunui malighafi hata moja walichokifuata ni vijakazi masikini tu.soma hapa bwana The 10 most attractive nations in Africa for investors
South Africa is followed by Morocco, Egypt, Kenya, Mauritius, Ghana, Botswana, Tunisia and Rwanda. Ivory Coast closes the top ten index processed to provide different answers depending on the investorโs priorities, which wish to operate in complex and fragmented African markets.
Bwana mdogo bado una mawazo ya kizamani sana.Muulize M254,anajua vichochoro vya Dar atakuambia jinsi Tanzania inavyokimbia.Nyinyi bado mnalala.. No one will wake you up
Pilipili usiyo ila yakuwashia nini?kenya na rwanda wanadevelop kwa speed na faster sana tanzania everyday wanathink kununua ndege za old model, old fashion mabombaradier
shame on u magufuli
Naona amegusa panapo takiwa kweli sindano imeingia vizuriwewe unajua kinachosemwa katika uzi huu kweli??? mbona unakaa bongolala hushiki ata 1+1