Wakati wengine wanalala.. Rwanda waliamka na kuanza kazi

Rwanda watu hamuijui, kule unaruhusiwa kusema kitu kizuri tuu ndio maana unaona watu qanajua mambo mazuri tuu. nenda jisahau kama hutarudi bila kichwa. kule hakuna Uhuru kama huu wa kushinda jamiiforum.
 
Wivu utakuua sio itakuua. Kiswahili kibovu kelele nyingi mbisi kabisa. Chukua kamusi usome mbisi ni nini?!
If you have understood the meaning, why are you showing us your ignorance... '' miss know everything right ''
 
It's not a dream. It's just that i have never seen somebody so lethargic and silly
Tatizo wakenya mungu aliwaongeza "gene" kwenye DNA zenu ya kutaka kushinda kwenye kila kitu. Na msipo shinda mnapata homa kali ya kushindwa.

Haya, pata Panadol mbili mara tatu kwa siku, kwa siku tatu .... Maumivu yakizidi muone daktari.
 
Tatizo wakenya mungu aliwaongeza "gene" kwenye DNA zenu ya kutaka kushinda kwenye kila kitu. Na msipo shinda mnapata homa kali ya kushindwa.

Haya, pata Panadol mbili mara tatu kwa siku, kwa siku tatu .... Maumivu yakizidi muone daktari.

Asante kwa Mungu kwa kutuongezea gene. Thankyou God.
 
Mnaoamini katika maendeleo ya vitu sawa.
Niletee picha za makazi ya watu wa Rwanda hasa vijijini ndio nitakuelewa.
 
Tatizo wakenya mungu aliwaongeza "gene" kwenye DNA zenu ya kutaka kushinda kwenye kila kitu. Na msipo shinda mnapata homa kali ya kushindwa.

Haya, pata Panadol mbili mara tatu kwa siku, kwa siku tatu .... Maumivu yakizidi muone daktari.
[emoji23] [emoji23] pharmicists wamekataa na dawa, madaktari wamesusia kazi. Haina tofauti na kuishi msituni.
 
Ndege zenyewe za mkopo alafu wanachonga madomo hapa. Wamebaki kujazana tu huku
 
And what he forgets that, most of Kenyans are poor. Gap between rich and poor ni kubwa. Wengi wamekimbilia huku. Subiri titakapo anza kuwafukuza kurudi huko
 
Kumbe wasiwasi wenu ni sisi kujitenga. Mnajua mtaumia
 
And what he forgets that, most of Kenyans are poor. Gap between rich and poor ni kubwa. Wengi wamekimbilia huku. Subiri titakapo anza kuwafukuza kurudi huko
hakuna mtu amekimbilia kwenu kaka wacha ignorance...kenya is haboring the most refugees in the whole of Africa
 
Sio tunajitenga, tuna wengi wenye faida kwetu wa kuungana nao kifaida. Opportunities kwetu si kwa East Africa tu. Halafu kila wkt tunawaambia maendeleo kwetu si pesa wala vitu, ni ya watu, haswa ktk kujitambua.
Muulize hapo alipo ana nini. Maisha ya Watanzania huwezi linganisha na wakenya. Kenya maisha shida
 
Ndio maana walipofunga mipaka chakula kisiende nje walianza kutapatapa. Na tunakoelekea bei tutakuwa tunapanga sisi.

Kwa kuongezea soko la vitoewo kutoka nje limezuiwa. Viwanda vya nyama kenya pigo tayari
 
Mmekosa bomba la mafuta mkalia kishenzi. Na bado huo ni mwanzo.
 
Pwahahahaa... Midanganyika kweli wako stressed...... Johana amewatenda... Nasikia hamjasafiri kwenda bara.... mtakula tu bata manzense
 
Hata hao Rwanda na Kenya pia walianza mdogomdogo kama tulivoanza cc, na usilazimishe maendeleo yaje kwa mwaka mmoja- na hiki ndo kinafikia mahala tunakuwa walalamishi na wakati huo hatufanyi kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…