Nimechukua dhehebu moja moja mkuu. Bado tu hutaki kuamini.
70 ya population US ni Christians na ukija na break down yake unapata 20 % catholics na 50 protestants.
Katika hiyo 50% ya protestants 25% ni Lutheran hivyo waluteri ndio dhehebu kubwa la kikristo USA.
Ipo hivyo pia Denmark, Sweden na Norway ambapo 80% ya population ni waluteri..
Catholics hawana influence USA wala hawatakiwi kabisa kushika uongozi wa nchi.
CIA wanakwepa sana influence ya Vatican kwenye oval office.
Catholic ni dini na ni dola.
Mataifa wanayojitambua hawataki catholics na wameendelea sana.
China, Germany, Uk , Russia na wengineo wote hao super powers hawana Rais mkatoliki. Na hawataki.
Hapa tumedumaa kimaendeleo kwa kuwaendekeza hao Vatican.