Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Kwenye hoja zinazogusa maslahi ya wananchi ficha upumbavuKwa hiyo Serikali inaendeshwa na Taasisi za kidini?
Hata kama mkataba ungekuwa haufai jambo ambalo halipo. Ni precedent mbaya sana kwa Serikali kuonekana inaendeshwa na Taasisi za kidini.
Hilo halipo na halitakuja kutokea duniani. Hakuna Taasisi yenye nguvu kuliko Serikali.
Haijatokea na haitakuja kutokea Duniani.
Hizo sifa mnawapa kwa sababu stori zenu za vijiweni tu.
Kuna maslahi ya wananchi zaidi ya kutaka Bandari ifanye kazi kwa ufanisi ili nchi ipate mapato mengi na kuweza kuwahudumia wananchi ipasavyo?Kwenye hoja zinazogusa maslahi ya wananchi ficha upumbavu
Umeamua kujifurahisha. Labda kama imejitengenezea dunia yake ya matope huko kwao.Vatican inatawala dunia
Issue imefika pabaya, punguzeni nguvu za kwenda mbele, pozeni kwanza then mtafute mbinu mpya, be wise guysMantiki ya hoja yangu ni kwamba hakuna Serikali duniani inayoendeshwa na matamko ya taasisi za kidini.
Never. Na hii ni kwenye muktadha wa Serikali za nchi zinazojitanabaisha sio za kidini.
Mfano uliotoa wa IRAN sio sahihi. Iran ni Islamic Republic of Iran.
Wao wana Baraza la Kidini tena la Kiislamu ambalo ni sehemu ya Uongozi wa nchi
Barakala kaa kwa kutulia sindano ya moto ikuingie.Kwa hiyo Serikali inaendeshwa na Taasisi za kidini?
Hata kama mkataba ungekuwa haufai jambo ambalo halipo. Ni precedent mbaya sana kwa Serikali kuonekana inaendeshwa na Taasisi za kidini.
Hilo halipo na halitakuja kutokea duniani. Hakuna Taasisi yenye nguvu kuliko Serikali.
Haijatokea na haitakuja kutokea Duniani.
Hizo sifa mnawapa kwa sababu stori zenu za vijiweni tu.
Wapi umeona matumizi ya nguvu?Issue imefika pabaya, punguzeni nguvu za kwenda mbele, pozeni kwanza then mtafute mbinu mpya, be wise guys
Mwendawazimu pekee ndiye anaeweza kubali uchafu wa dp worldKwa akili hiyo lazima upinge mkataba wa dp world
Sindano iko wapi?Barakala kaa kwa kutulia sindano ya moto ikuingie.
Ni maoni Yako ngoja niyaheshimuNaamini mkataba hauna shida.
Wenye akili timamu pekee ndo tunaikubali DP WorldMwendawazimu pekee ndiye anaeweza kubali uchafu wa dp world
Ukweli mchungu ila ndiyo dawa kunywa hivyo hivyoUmeamua kujifurahisha. Labda kama imejitengenezea dunia yake ya matope huko kwao.
Hao walishafuturishwa na kujengewa msikiti na DP World. Hawatoongea chochote kinyume na Taiwan la DP World ili kulipa fadhira.Bakwata
Ni kweli Serikali haiendeshwi na Taasisi za kidini lakini Taasisi za kidini zina nguvu kubwa na mizizi imara iliyojichimbia chini kuliko Serikali ,Hata hivyo mara nyingi Taasisi za kidini hujizuia kutumia nguvu zao kuingilia utendaji wa Serikali ili kuiruhusu Serikali kutimiza majukumu yake sawa na Katiba husika.Serikali inashauriwa sana kuzingatia maoni rasmi ya taasisi hizi yanayohusu utendaji kazi wake.Kupuuza maoni ya taasisi hizi mara nyingi uweza kuambatana na matokeo hasi na yasiyotegemewa kwa serikali husika.Kwa hiyo Serikali inaendeshwa na Taasisi za kidini?
Hata kama mkataba ungekuwa haufai jambo ambalo halipo. Ni precedent mbaya sana kwa Serikali kuonekana inaendeshwa na Taasisi za kidini.
Hilo halipo na halitakuja kutokea duniani. Hakuna Taasisi yenye nguvu kuliko Serikali.
Haijatokea na haitakuja kutokea Duniani.
Hizo sifa mnawapa kwa sababu stori zenu za vijiweni tu.
Kwa hiyo Serikali inaendeshwa na Taasisi za kidini?
Hata kama mkataba ungekuwa haufai jambo ambalo halipo. Ni precedent mbaya sana kwa Serikali kuonekana inaendeshwa na Taasisi za kidini.
Hilo halipo na halitakuja kutokea duniani. Hakuna Taasisi yenye nguvu kuliko Serikali.
Haijatokea na haitakuja kutokea Duniani.
Hizo sifa mnawapa kwa sababu stori zenu za vijiweni tu.
Kitendo cha serekali kufanyia kazi mapendekezo ya kanisa Hakimaanishi kwamba serekali ni royal kwa kanisa. Kama mkataba hauna shida na no kwa manufaa ya Wananchi, kuna Haja gani ya kulazimisha ikiwa wananchi wenyewe hawautaki?Kwa hiyo Serikali inaendeshwa na Taasisi za kidini?
Hata kama mkataba ungekuwa haufai jambo ambalo halipo. Ni precedent mbaya sana kwa Serikali kuonekana inaendeshwa na Taasisi za kidini.
Hilo halipo na halitakuja kutokea duniani. Hakuna Taasisi yenye nguvu kuliko Serikali.
Haijatokea na haitakuja kutokea Duniani.
Hizo sifa mnawapa kwa sababu stori zenu za vijiweni tu.
Pole, uliambiwa utapewa cheo gani pale DPW!?Kwa hiyo Serikali inaendeshwa na Taasisi za kidini?
Hata kama mkataba ungekuwa haufai jambo ambalo halipo. Ni precedent mbaya sana kwa Serikali kuonekana inaendeshwa na Taasisi za kidini.
Hilo halipo na halitakuja kutokea duniani. Hakuna Taasisi yenye nguvu kuliko Serikali.
Haijatokea na haitakuja kutokea Duniani.
Hizo sifa mnawapa kwa sababu stori zenu za vijiweni tu.
Tena wengi na wabaya!Utakuwa na wadudu kichwani.
Wewe na wenzio mna agenda za siri kuelekea 2025, lakini kama kweli mnamtakia mema Mama yetu kipenzi aliyetufungua minyororo ya utumwa ya awamu ya 5 mwambieni ukweli. Msitumie udhaifu wake wa upole uliopitiliza kumwangamiza.Sala za watu hazitawaacha salama.Hapana ijiendeshe yenyewe na kina Slaa wapo ndani bila dhamana kwa kesi ya Uhaini. Waibadili chochote tuwaone.