Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,077
- 8,828
Yana mpeleka chaka halafu kwenye kikao cha wajumbe yamkate jina.Wewe na wenzio mna agenda za siri kuelekea 2025, lakini kama kweli mnamtakia mema Mama yetu kipenzi aliyetufungua minyororo ya utumwa ya awamu ya 5 mwambieni ukweli. Msitumie udhaifu wake wa upole uliopitiliza kumwangamiza.Sala za watu hazitawaacha salama.
Wapumbavu pekee ndio hawaoni kasoro ya huo Mkataba wa DP, wakiongozwa na mkuu wa Mhimili wa Bunge Spika Tulia Ackson.Dalili ya mvua ni mawingu, unaweza ukapuuzia mawingu lakini manyunyu yakianza hupaswi tena kuyapuuzia maana mvua ikishashika kasi huna tena ujanja, ni kuloa tu.
Wasomi waliokosoa mkataba wa bandari kupewa DP world huenda yalikuwa ni mawingu tu, vyama vya siasa (hususani CHADEMA) na wanaharakati walipoingia na kukaa mstari wa mbele kupinga mkataba wa bandari hiyo ilikuwa ni manyunyu ya mvua, na sasa kanisa katoliki kupitia baraza la maaskofu (TEC) wamekuja na mvua kamili ya mashambulizi kuupinga huo mkataba wa bandari.
Kwa wale tunaoweza kuona mbali, muda sio mrefu walutheri (KKKT) watakuja na tamko la kuuzika huo mkataba wa bandari kabla ya mwamvuli wa waprotestant (CCT) kuja na tamko na mwishoni mwamvuli wa wapentekoste (PCT) watagongelea msumari zaidi kuuzika huu mkataba. Safari hii usishangae hadi wasabato kuingia frontline na matamko ya kuupinga huu mkataba.
Kwa kifupi sana, Kanisa hapa Tanzania limejipanga kuleta full scale ya mashambulizi dhidi ya serikali ya mama Samia kuhusu huu mkataba wa bandari na hii ni kutokana na makosa ya kiufundi ya CCM na wapiga debe wa serikali kulazimisha hili suala lionekane linapingwa kwa mlengo wa kidini ili kuwazima wakosoaji. Sasa wakosoaji wameamua kuja na mlango ule ule ambao watawala wameutengenza.
Ushauri wangu kwa mama Samia na serikali yake ni kusoma alama za nyakati tu na kuachana haraka na huu mkataba wa bandari. Huu mziki wa kanisa ni mnene mnoo, wamejipanga vizuri mnoo na wana nguvu ya kupitiliza. Wakati ni ukuta, ukishindana nao utaumia, wakati sahihi wa kuachana na mkataba wa bandari na Dp world ni sasa. Mama Samia tunakupenda sana na tunakutakia mema.
Jadili hoja Siyo taasisi za dini.Kwa hiyo Serikali inaendeshwa na Taasisi za kidini?
Hata kama mkataba ungekuwa haufai jambo ambalo halipo. Ni precedent mbaya sana kwa Serikali kuonekana inaendeshwa na Taasisi za kidini.
Hilo halipo na halitakuja kutokea duniani. Hakuna Taasisi yenye nguvu kuliko Serikali.
Haijatokea na haitakuja kutokea Duniani.
Hizo sifa mnawapa kwa sababu stori zenu za vijiweni tu.
Wapi imesemwa Bandari zimetolewa bure?Jadili hoja Siyo taasisi za dini.
Hizo taasisi zinaendeshwa na Watanzania.
Au viongozi wa dini hawatakiwi kushiriki ktk mijadala ya mustakabadhi wanchi yao. Kwani wao wanaishi kisiwani au ktk dunia ya peke yao?
Kwako mkataba unfaaeee! Unakufaa wewe na mke na watoto wako.
Bandari zetu hazitatolewa bure! Umangungo ulishapita! Kauzeni Ile ya Zanzibar!
Mangungo ataonaje shida ya huu mkataba.Naamini mkataba hauna shida.
Mangungo ataonaje shida ya huu mkataba.Naamini mkataba hauna shida.
TEC ni takataka gani nchi hii, nchi hii haiongozwi na vikundi vya kibaguzi km hivyo, hao wanajulikana rais akiwa muislam hawatulizagi vitako vyao, ni mwendo wa nyaraka. Rais awapuuze hao wapumbavu wachumia tumbo. Bunge limepitisha mkataba ndio wawakilishi wa wananchi. Mahakama kuu imebarikik mkataba kuwa ni safi, sasa wajitokeze kundi fulani kwa mrengo wa kibaguzi eti rais aachane na mkataba, wao ni kina nani. Nchi hii ina viongozi wapambane na shughuli zao za dini waiache serikali ipamabane na mipango yake iwahudumie watanzania. Hao ni washenzi fulani tu wanaoangalia maslahi yao ya kushibisha matumbo yao. Hakuna kanisa linalijenga miundo mbinu yoyote, iwe ni barabara, reli, maji, shule hata hospitali zenyewe serilaki ndio inawalipia mishahara watumishi wa hospitali zaoDalili ya mvua ni mawingu, unaweza ukapuuzia mawingu lakini manyunyu yakianza hupaswi tena kuyapuuzia maana mvua ikishashika kasi huna tena ujanja, ni kuloa tu.
Wasomi waliokosoa mkataba wa bandari kupewa DP world huenda yalikuwa ni mawingu tu, vyama vya siasa (hususani CHADEMA) na wanaharakati walipoingia na kukaa mstari wa mbele kupinga mkataba wa bandari hiyo ilikuwa ni manyunyu ya mvua, na sasa kanisa katoliki kupitia baraza la maaskofu (TEC) wamekuja na mvua kamili ya mashambulizi kuupinga huo mkataba wa bandari.
Kwa wale tunaoweza kuona mbali, muda sio mrefu walutheri (KKKT) watakuja na tamko la kuuzika huo mkataba wa bandari kabla ya mwamvuli wa waprotestant (CCT) kuja na tamko na mwishoni mwamvuli wa wapentekoste (PCT) watagongelea msumari zaidi kuuzika huu mkataba. Safari hii usishangae hadi wasabato kuingia frontline na matamko ya kuupinga huu mkataba.
Kwa kifupi sana, Kanisa hapa Tanzania limejipanga kuleta full scale ya mashambulizi dhidi ya serikali ya mama Samia kuhusu huu mkataba wa bandari na hii ni kutokana na makosa ya kiufundi ya CCM na wapiga debe wa serikali kulazimisha hili suala lionekane linapingwa kwa mlengo wa kidini ili kuwazima wakosoaji. Sasa wakosoaji wameamua kuja na mlango ule ule ambao watawala wameutengenza.
Ushauri wangu kwa mama Samia na serikali yake ni kusoma alama za nyakati tu na kuachana haraka na huu mkataba wa bandari. Huu mziki wa kanisa ni mnene mnoo, wamejipanga vizuri mnoo na wana nguvu ya kupitiliza. Wakati ni ukuta, ukishindana nao utaumia, wakati sahihi wa kuachana na mkataba wa bandari na Dp world ni sasa. Mama Samia tunakupenda sana na tunakutakia mema.
Kiongozi wewe unaamini ule mkataba una shida au hauna shida?
bunge na mahakama wameshatoa maamuzi yao, hizo takataka zingine za kupuuzwaduh, serikali na dini zote ni watu... labda tukuulize katika nchi hii kuna mwanasiasa alipata urais bila kuwaomba viongozi wa dini wamuamini?
Unasema halipo unajua mapinduzi ya kiislam ya IRAN kati ya rais wa IRAN na Ayatolah nani mkuu wa nchi?
Acha upumbavu jomba. Binafsi sipingi uwekezaji wa DUBAI PORT WORLD lakini kulingana na suala hili lilipofikia serikali iachane nalo.
The lost
we una nzi wa mavi wale wanaokaa chooniUtakuwa na wadudu kichwani.
nawe kaufiche huo wa kwako matakoni. mnafiki mkubwa kuna maslahi makubwa km serikali kuwekeza ili kupata pesa. ila imeshapita hiyo sijui kwani mnaendelea kupiga keleleKwenye hoja zinazogusa maslahi ya wananchi ficha upumbavu
Washauri wa mama ni akina nape ,samia anawaona kama ndo kinga yakeDalili ya mvua ni mawingu, unaweza ukapuuzia mawingu lakini manyunyu yakianza hupaswi tena kuyapuuzia maana mvua ikishashika kasi huna tena ujanja, ni kuloa tu.
Wasomi waliokosoa mkataba wa bandari kupewa DP world huenda yalikuwa ni mawingu tu, vyama vya siasa (hususani CHADEMA) na wanaharakati walipoingia na kukaa mstari wa mbele kupinga mkataba wa bandari hiyo ilikuwa ni manyunyu ya mvua, na sasa kanisa katoliki kupitia baraza la maaskofu (TEC) wamekuja na mvua kamili ya mashambulizi kuupinga huo mkataba wa bandari.
Kwa wale tunaoweza kuona mbali, muda sio mrefu walutheri (KKKT) watakuja na tamko la kuuzika huo mkataba wa bandari kabla ya mwamvuli wa waprotestant (CCT) kuja na tamko na mwishoni mwamvuli wa wapentekoste (PCT) watagongelea msumari zaidi kuuzika huu mkataba. Safari hii usishangae hadi wasabato kuingia frontline na matamko ya kuupinga huu mkataba.
Kwa kifupi sana, Kanisa hapa Tanzania limejipanga kuleta full scale ya mashambulizi dhidi ya serikali ya mama Samia kuhusu huu mkataba wa bandari na hii ni kutokana na makosa ya kiufundi ya CCM na wapiga debe wa serikali kulazimisha hili suala lionekane linapingwa kwa mlengo wa kidini ili kuwazima wakosoaji. Sasa wakosoaji wameamua kuja na mlango ule ule ambao watawala wameutengenza.
Ushauri wangu kwa mama Samia na serikali yake ni kusoma alama za nyakati tu na kuachana haraka na huu mkataba wa bandari. Huu mziki wa kanisa ni mnene mnoo, wamejipanga vizuri mnoo na wana nguvu ya kupitiliza. Wakati ni ukuta, ukishindana nao utaumia, wakati sahihi wa kuachana na mkataba wa bandari na Dp world ni sasa. Mama Samia tunakupenda sana na tunakutakia mema.
Ukweli mtupu,Mungu akubariki.Kwa kuwa wew unataka bandari wachukue DP WORLD wachukue bandari za Tanganyika,kwa hiyo hutaki kabsa viongozi wa dini wasioafiki vipengele katika huo mkataba ambao ni Watanzania( Watanganyika) kutumia majukwaa yao kama raia wengine kueleza maini yao? YAAAANI KATIKA HILI ULITAKA WANYAMAZE KIMYAAA WASISEME CHOCHOTE AU?
Siyo tu kuachana nao, aondoke kabisa madarakaniDalili ya mvua ni mawingu, unaweza ukapuuzia mawingu lakini manyunyu yakianza hupaswi tena kuyapuuzia maana mvua ikishashika kasi huna tena ujanja, ni kuloa tu.
Wasomi waliokosoa mkataba wa bandari kupewa DP world huenda yalikuwa ni mawingu tu, vyama vya siasa (hususani CHADEMA) na wanaharakati walipoingia na kukaa mstari wa mbele kupinga mkataba wa bandari hiyo ilikuwa ni manyunyu ya mvua, na sasa kanisa katoliki kupitia baraza la maaskofu (TEC) wamekuja na mvua kamili ya mashambulizi kuupinga huo mkataba wa bandari.
Kwa wale tunaoweza kuona mbali, muda sio mrefu walutheri (KKKT) watakuja na tamko la kuuzika huo mkataba wa bandari kabla ya mwamvuli wa waprotestant (CCT) kuja na tamko na mwishoni mwamvuli wa wapentekoste (PCT) watagongelea msumari zaidi kuuzika huu mkataba. Safari hii usishangae hadi wasabato kuingia frontline na matamko ya kuupinga huu mkataba.
Kwa kifupi sana, Kanisa hapa Tanzania limejipanga kuleta full scale ya mashambulizi dhidi ya serikali ya mama Samia kuhusu huu mkataba wa bandari na hii ni kutokana na makosa ya kiufundi ya CCM na wapiga debe wa serikali kulazimisha hili suala lionekane linapingwa kwa mlengo wa kidini ili kuwazima wakosoaji. Sasa wakosoaji wameamua kuja na mlango ule ule ambao watawala wameutengenza.
Ushauri wangu kwa mama Samia na serikali yake ni kusoma alama za nyakati tu na kuachana haraka na huu mkataba wa bandari. Huu mziki wa kanisa ni mnene mnoo, wamejipanga vizuri mnoo na wana nguvu ya kupitiliza. Wakati ni ukuta, ukishindana nao utaumia, wakati sahihi wa kuachana na mkataba wa bandari na Dp world ni sasa. Mama Samia tunakupenda sana na tunakutakia mema.
Mbona we mbishi sana aisee?Huu mkataba wa DP World unahusu Bandari zote za Tanzania yaani Tanzania Visiwani na Tanzania Bara au ni bandari za Tanzania bara peke yake zikiongozwa na Bandari ya Dar es Salaam?Wapi imesemwa DP World watachukua Bandari za Tanganyika? Niwekee hapa hicho kifungu cha mkataba kinachosema hayo
AmenUkweli mtupu,Mungu akubariki.