Wakatoliki (TEC) wameanza, huenda wakafuata waprotestant (CCT), wapentekoste(PCT) na wasabato. Rais Samia nakushauri achana na DP world!

Wakatoliki (TEC) wameanza, huenda wakafuata waprotestant (CCT), wapentekoste(PCT) na wasabato. Rais Samia nakushauri achana na DP world!

Mantiki ya hoja yangu ni kwamba hakuna Serikali duniani inayoendeshwa na matamko ya taasisi za kidini. Never. Na hii ni kwenye muktadha wa Serikali za nchi zinazojitanabaisha sio za kidini.

Mfano uliotoa wa IRAN sio sahihi. Iran ni Islamic Republic of Iran. Wao wana Baraza la Kidini tena la Kiislamu ambalo ni sehemu ya Uongozi wa nchi
Kwa kuwa wew unataka bandari wachukue DP WORLD wachukue bandari za Tanganyika,kwa hiyo hutaki kabsa viongozi wa dini wasioafiki vipengele katika huo mkataba ambao ni Watanzania( Watanganyika) kutumia majukwaa yao kama raia wengine kueleza maini yao? YAAAANI KATIKA HILI ULITAKA WANYAMAZE KIMYAAA WASISEME CHOCHOTE AU?
 
Kwa kuwa wew unataka bandari wachukue DP WORLD wachukue bandari za Tanganyika,kwa hiyo hutaki kabsa viongozi wa dini wasioafiki vipengele katika huo mkataba ambao ni Watanzania( Watanganyika) kutumia majukwaa yao kama raia wengine kueleza maini yao? YAAAANI KATIKA HILI ULITAKA WANYAMAZE KIMYAAA WASISEME CHOCHOTE AU?
Wapi imesemwa DP World watachukua Bandari za Tanganyika? Niwekee hapa hicho kifungu cha mkataba kinachosema hayo
 
Kwa hiyo Serikali inaendeshwa na Taasisi za kidini?

Hata kama mkataba ungekuwa haufai jambo ambalo halipo. Ni precedent mbaya sana kwa Serikali kuonekana inaendeshwa na Taasisi za kidini.

Hilo halipo na halitakuja kutokea duniani. Hakuna Taasisi yenye nguvu kuliko Serikali.

Haijatokea na haitakuja kutokea Duniani.

Hizo sifa mnawapa kwa sababu stori zenu za vijiweni tu.
Huelewi Kitu
Sasa hiyo Serikali inaendeshwa na Maroboti au binadamu?? Na kama ni Binadamu jua kuwa want IMANI YA DINI FULANI.
NA IMANI INANGUVU SANA
 
Huelewi Kitu
Sasa hiyo Serikali inaendeshwa na Maroboti au binadamu?? Na kama ni Binadamu jua kuwa want IMANI YA DINI FULANI.
NA IMANI INANGUVU SANA
Kwa hiyo wanaongoza Serikali kwa imani zao za kidini? Mpuuzi kabisa wewe!!
 
Kwa hiyo Serikali inaendeshwa na Taasisi za kidini?

Hata kama mkataba ungekuwa haufai jambo ambalo halipo. Ni precedent mbaya sana kwa Serikali kuonekana inaendeshwa na Taasisi za kidini.

Hilo halipo na halitakuja kutokea duniani. Hakuna Taasisi yenye nguvu kuliko Serikali.

Haijatokea na haitakuja kutokea Duniani.

Hizo sifa mnawapa kwa sababu stori zenu za vijiweni tu.
Sawa ostadh
 
Dalili ya mvua ni mawingu, unaweza ukapuuzia mawingu lakini manyunyu yakianza hupaswi tena kuyapuuzia maana mvua ikishashika kasi huna tena ujanja, ni kuloa tu.

Wasomi waliokosoa mkataba wa bandari kupewa DP world huenda yalikuwa ni mawingu tu, vyama vya siasa (hususani CHADEMA) na wanaharakati walipoingia na kukaa mstari wa mbele kupinga mkataba wa bandari hiyo ilikuwa ni manyunyu ya mvua, na sasa kanisa katoliki kupitia baraza la maaskofu (TEC) wamekuja na mvua kamili ya mashambulizi kuupinga huo mkataba wa bandari.

Kwa wale tunaoweza kuona mbali, muda sio mrefu walutheri (KKKT) watakuja na tamko la kuuzika huo mkataba wa bandari kabla ya mwamvuli wa waprotestant (CCT) kuja na tamko na mwishoni mwamvuli wa wapentekoste (PCT) watagongelea msumari zaidi kuuzika huu mkataba. Safari hii usishangae hadi wasabato kuingia frontline na matamko ya kuupinga huu mkataba.

Kwa kifupi sana, Kanisa hapa Tanzania limejipanga kuleta full scale ya mashambulizi dhidi ya serikali ya mama Samia kuhusu huu mkataba wa bandari na hii ni kutokana na makosa ya kiufundi ya CCM na wapiga debe wa serikali kulazimisha hili suala lionekane linapingwa kwa mlengo wa kidini ili kuwazima wakosoaji. Sasa wakosoaji wameamua kuja na mlango ule ule ambao watawala wameutengenza.

Ushauri wangu kwa mama Samia na serikali yake ni kusoma alama za nyakati tu na kuachana haraka na huu mkataba wa bandari. Huu mziki wa kanisa ni mnene mnoo, wamejipanga vizuri mnoo na wana nguvu ya kupitiliza. Wakati ni ukuta, ukishindana nao utaumia, wakati sahihi wa kuachana na mkataba wa bandari na Dp world ni sasa. Mama Samia tunakupenda sana na tunakutakia mema.
Asa mkuu hela yao tushakula!
 
Dalili ya mvua ni mawingu, unaweza ukapuuzia mawingu lakini manyunyu yakianza hupaswi tena kuyapuuzia maana mvua ikishashika kasi huna tena ujanja, ni kuloa tu.

Wasomi waliokosoa mkataba wa bandari kupewa DP world huenda yalikuwa ni mawingu tu, vyama vya siasa (hususani CHADEMA) na wanaharakati walipoingia na kukaa mstari wa mbele kupinga mkataba wa bandari hiyo ilikuwa ni manyunyu ya mvua, na sasa kanisa katoliki kupitia baraza la maaskofu (TEC) wamekuja na mvua kamili ya mashambulizi kuupinga huo mkataba wa bandari.

Kwa wale tunaoweza kuona mbali, muda sio mrefu walutheri (KKKT) watakuja na tamko la kuuzika huo mkataba wa bandari kabla ya mwamvuli wa waprotestant (CCT) kuja na tamko na mwishoni mwamvuli wa wapentekoste (PCT) watagongelea msumari zaidi kuuzika huu mkataba. Safari hii usishangae hadi wasabato kuingia frontline na matamko ya kuupinga huu mkataba.

Kwa kifupi sana, Kanisa hapa Tanzania limejipanga kuleta full scale ya mashambulizi dhidi ya serikali ya mama Samia kuhusu huu mkataba wa bandari na hii ni kutokana na makosa ya kiufundi ya CCM na wapiga debe wa serikali kulazimisha hili suala lionekane linapingwa kwa mlengo wa kidini ili kuwazima wakosoaji. Sasa wakosoaji wameamua kuja na mlango ule ule ambao watawala wameutengenza.

Ushauri wangu kwa mama Samia na serikali yake ni kusoma alama za nyakati tu na kuachana haraka na huu mkataba wa bandari. Huu mziki wa kanisa ni mnene mnoo, wamejipanga vizuri mnoo na wana nguvu ya kupitiliza. Wakati ni ukuta, ukishindana nao utaumia, wakati sahihi wa kuachana na mkataba wa bandari na Dp world ni sasa. Mama Samia tunakupenda sana na tunakutakia mema.
kutokana na makosa ya kiufundi ya CCM na wapiga debe wa serikali kulazimisha hili suala lionekane linapingwa kwa mlengo wa kidini ili kuwazima wakosoaji. Sasa wakosoaji wameamua kuja na mlango ule ule ambao watawala wameutengenza.[emoji419][emoji375]
 
Akina Mwaipopo wamemponza Samia. Watu tulikuw tunaenda vizuri kwa kujadili vifungu kwa vifungu mara kaibuka mtu anayejiita Sheikh Mwaipopo akatema upupu wake. Matokeo yake umma ukagawanyika katika mafungu ya kidini.

Pamoja na upupu wa Mwaipopo, huu mkataba ni mbovu, unatupeleka kuwa tegemezi kwa waarabu, na hauwezi kutujengea capacity ili tulingane nao hao waarabu kwenye kuendesha bandari zetu au kuwazidi.

TUNATAKA KUJITEGEMEA!
 
Kwa hiyo Serikali inaendeshwa na Taasisi za kidini?

Hata kama mkataba ungekuwa haufai jambo ambalo halipo. Ni precedent mbaya sana kwa Serikali kuonekana inaendeshwa na Taasisi za kidini.

Hilo halipo na halitakuja kutokea duniani. Hakuna Taasisi yenye nguvu kuliko Serikali.

Haijatokea na haitakuja kutokea Duniani.

Hizo sifa mnawapa kwa sababu stori zenu za vijiweni tu.
kutokana na makosa ya kiufundi ya CCM na wapiga debe wa serikali kulazimisha hili suala lionekane linapingwa kwa mlengo wa kidini ili kuwazima wakosoaji. Sasa wakosoaji wameamua kuja na mlango ule ule ambao watawala wameutengenza.
 
Wasabato watoe kabisa kwenye siasa, hatuchanganyi imani yetu na siasa hata kidogo.

Tutakuwa frontie huku mtaani.
 
Back
Top Bottom