Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

upotoshaji wa mwendokasi.
Acha uongo,

mkatoliki hana muda wa kubishana wala kupambana na yeyote kuhusu hilo linalopotoshwa...

Mafundisho yao ni ya kiroho na kisaikolijia zaidi...
Idiot unabishana na ukweli? Muda so mrefu waumini mtaanza kutatuliwa marinda kenge ninyi
 
Sijamaliza kusoma huu uchafu ila nimepigia mstari wewe ni shoga uliyekubuhu
 
Kwa hiyo huwezi kunionesha kosa la Papa unategemea kuambiwa na vyombo vya magharibi?!

Mnaona sifa kushikiwa akili, im not scared na thinking ya wajinga wa sampuli yako.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kisa la Papa ni kusema mapadri na maaskofu wawabariki mashoga.

Shoga endelea kushangilia
 
Papa mwenyewe anatakiwa atolewe mahari wahuni waweke ndani.
 
Mi na shukuru Mungu kuendelea kudhuhirisha kuwa hakuna dini iliyosahihi na yenye uwezo wa kupeleka Mtu kwa Mungu isipokua Imani na matendo mema ayafanyayo kwa kufuata mafunzo ya Yesu Kristo.
Ni Muda sasa wakatoriki wamekua wakijivunia Sana kanisa na sio Yesu Kristo aliemsingi wa Imani ya kristo. Wamekua tayari kutetea mapokeo yalio nje ya Neno kwa kigezo kuwa wao ni dini bora duniani.
Huu ndio muda watambue dini ni utaratibu tu unaokusaidia kujua Mungu ila haukupi uhakika wa kukufikisha kwake kama wewe binafsi hufanyi bidii ya kujua unaemwamini.
 
Na yalitokea hivi hivi kwa Anglikana, sijui iliiishia wapi
 
Yesu hakubariki dhambi bali alikua anawaombea wenye dhambi waache dhambi zao , wamgeukie Mungu wa kweli. Ndio maana, alipopelekewa Mama mzinzi na watu waliotaka kumuua kwa mawe( kwa mujibu wa utamaduni wao wa wakati ule) , biblia inasema, aliwageukia makutano akawaambia, yeye asiye na dhambi na awe wa kwanza kumrushia jiwe mama yule( Mzinzi). Wale watu walipotawanyika, Yesu alimwambia yule mama Mzinzi " ENENDA USITENDE DHAMBI TENA". Mdhambi yeyote aliyekutana na Yesu hakubaki the same. Sasa Papa yeye anataka muungano wa mashoga( couple) ubarikiwe. Hii ni kinyume na Mafundisho ya Yesu.

@To serve and to love
 
Muislam kawa Mkristo tena?hawa wanaochinja watu hawafuatiafundisho ya Yesu.Nyie pambaneni na dini yenu ya kwetu wakristo mtuachie mwamuzi ni Mungu
 
Vipi na mabwabwa walikuwepo parukiani kwako ili padri abariki mali zao?
Ama Padri alitoa tangazo la kuwaalika mabwabwa waje Parukiani kujumuika na wakatoliki wenzao?
Unaamini haya maneno yako yatanifanya nisimuamini Mungu muumba mbingunna dunia,Yesu Kristo,Roho Mtakatifu na Kanisa Moja Katoliki takatifu la mitume?La hasha.
Wakosefu wote wanakaribishwa kanisani ili wapate kutubu wakiwemo mabwabwa,wezi,wazinzi,wasengenyaji na hata wale wasiomuamini Mungu kama waislam
 
Hujashtuka kuwa hujapata hata like Moja? Kanisa katoliki haliwezi kuwa takatifu hata siku Moja!! Na kwa sasa kwa sababu umewakubari wanaofirana subiri jehanamu tu!! Hamna kitu hapo!!
Ukinionesha wakatoliki watano waliosilimu baada ya hili tamko la Papa nasilimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…