granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
Mkuu unachekesha ujue, hakuna wa kumuondoa papa madarakani ni mpaka afe au aamue mwenyewe kujiuzulu, na mwenye kanisa katoliki ni vatican, vatican ikisema imesema, hutaki ondoka. unaijua vatican wewe au unaisikiaga tu.Huyo Papa anatakiwa kuondolewa madarakani haraka maana kuezi kutetea kitu ambacho hukifanyi!!
Ni kanisa moja takatifu la mitume mkuu wanguHaha wazee wa kanisa takatifu la mitume wana hali mbaya sana,,,, bora ingekua skendo nyingine ila sio ushoga
papa kawaambia acheni ushamba, nenden na dunia ya leo ila bado tu mnashupaza shingo, maji yameshazidi unga mkuu, ni either mkubaliane na maelekezo ya vatican au muikane rc, tena papa alikuwa specific zaid kwa mapadre kuwa waache ushamba, sasa kama ruwaichi kaambiwa aache ushamba, we nani kwa mfano?upotoshaji wa mwendokasi.
Acha uongo,
mkatoliki hana muda wa kubishana wala kupambana na yeyote kuhusu hilo linalopotoshwa...
Mafundisho yao ni ya kiroho na kisaikolijia zaidi...
Ni kweli Wakatoliki tunapata shida sana kujipambanua na kauli za Pope Francis. Pope amelichafua Kanisa kubwa na kongwe duniani.Sio siri tena tangu Papa na Vatican kutoa miongozo ya kuukumbatia ushoga, kwa sasa wakatoliki wengi wameanza kupoteza furaha, amani, ujasiri na ufahari wa kujivunia ukatoliki.
Papa na Vatican walianza kutoa kauli tata za kuona ushoga (kubadili jinsia nk) sio dhambi ya kukemewa na kanisa (yaani mashoga wavumiliwe na kutambuliwa kama sehemu ya waumini ndani ya kanisa katoliki), baadaye wakaja kutoa ruhusa mashoga kuwa wadhamini wa sacramenti za kikatoliki (Ubatizo, Komunio, ndoa) na sasa ruhusa kwa mashoga kubarikiwa! Mwelekeo unaotabiriwa kufuata ni kanisa katoliki kuanza kufungisha ndoa za mashoga na hitimisho ni kanisa katoliki kuja kuruhusu kuwa na makasisi mashoga.
Wengine walijaribu kutetea Kanisa Katoliki kwa kusema Papa na Vatican wamenukuliwa vibaya, lakini kadri muda ulivyokwenda hali imezidi kuwa wazi na mbaya kiasi cha watetezi wa Katoliki kuanza kusalimu amri.
Kwa sasa ukatoliki umewekwa kapu moja na harakati za kuukuza na kuulinda ushoga duniani.
Mwaka huu huenda ndio mwaka mbaya zaidi kwa waumini wa kikatoliki katika kujivunia imani yao. Upepo bado unavuma, mawimbi bado yanaibuka na chombo kimeanza kuyumba huku safari ikiwa imeshika kasi.
Ukatoliki unaenda kufa kifo Cha mende!! Safi sana!!dhambi ya kuwaua mitume wa kristo inawatafuna .haiji Akilini makao makuu ya katoliki kuwa Roma nchi ya kishenzi iliyomuua Petro mtume mkuu wa ukristo
upotoshaji wa mwendokasi.
Acha uongo,
mkatoliki hana muda wa kubishana wala kupambana na yeyote kuhusu hilo linalopotoshwa...
Mafundisho yao ni ya kiroho na kisaikolijia zaidi
Tunakubaliana na Papa 100% kadiri alivyoelekeza sio ulivyo elewa wewe usiehusika na ambae hujaelewa...papa kawaambia acheni ushamba, nenden na dunia ya leo ila bado tu mnashupaza shingo, maji yameshazidi unga mkuu, ni either mkubaliane na maelekezo ya vatican au muikane rc, tena papa alikuwa specific zaid kwa mapadre kuwa waache ushamba, sasa kama ruwaichi kaambiwa aache ushamba, we nani kwa mfano?
zee la negativity kama kawa kama dawa π€£π€£Hamna kitu, hilo dhehebu nililipotezea muda mrefu sana baada ya kuona wanaendekeza Sheria za kanisa zaidi kuliko biblia. Inshort ni matapeli wa miaka mingi.
Labda kwa bara LA giza, ila huko kwingine walaa kanisa katoliki liko vizuri tyuuh.Hali iliyofikia kwa kanisa katoliki hii ni fedhea kubwa sana
Hali iliyofikia kwa kanisa katoliki hii ni fedhea kubwa sana
Huwezi kujuaHuyo Papa anatakiwa kuondolewa madarakani haraka maana kuezi kutetea kitu ambacho hukifanyi!!
basi sawa kama mnakubaliana na papa 100% kubariki mashoga, sisi ni akina nani tupinge, mbona ruwaichi kapinga kubariki mashoga lkn, ndo papa akamwambia aache ushamba, halafu hujasikia kuwa utekelezaji wa kubariki mashoga kanisani umeshaanza huko usa, au unijizima data?Tunakubaliana na Papa 100% kadiri alivyoelekeza sio ulivyo elewa wewe usiehusika na ambae hujaelewa...
Na wala hakuna kubabaika wala kupepesa macho kwenye hilo....
Mshamba ni ambae kaelewa kama ulivyoelewa wewe unaetamani kua kama hao wenzie unaowatetea...
Hiyo chafu fanyeni huko huko sio kanisani
πππ mkuu kwani mbinguni kuna sex hadi kuwe na ushoga. Mengine unataka kuyakuza na kuliangushia jumba bovu kanisa kwa hearsaysNa inaaminika shetani ni shoga ndiyo maana alitimuliwa mbinguni kwani Mungu havumilii ushoga. Shetani ndiye mpinga Kristo hivyo hapo kweli naona hiyo connection ya Ukatoliki na ushoga.
Comment ya kufungia uzi kabisaaa. [emoji122][emoji122][emoji122]Umepotosha kwa kiasi kikubwa, unaonekana hujasoma hata ule waraka wa Vatican, ulichofanya ni kuokoteza maneno kwa wengine na kuja kuanzisha huu uzi wako hapa, hujafanya uchunguzi wowote, sasa hiyo aibu aione nani?
- Kama hutaki mashoga wavumiliwe na kutambuliwa ndani ya Kanisa Katoliki, unataka wezi, waongo kama wewe, na wazinzi, wao pekee ndio waendelee kuvumiliwa? Kanisa Katoliki haliishi kwenye misingi ya kinafiki.
- Kwanini hutaki mashoga wapewe sakramenti kama waumini wengine? au wale wanaopewa ni watakatifu? hayupo yeyote miongoni mwao mwenye dhambi? Hapa unaonesha ulivyojaa ubinafsi, Papa yuko above your thinking capacity.
- Wapi umeona kwenye ule waraka wa Vatican pameandikwa Kanisa Katoliki litabariki mashoga? tuwekee hapa tupaone, kisha nami nitakuwekea pale palipoandikwa Kanisa Katoliki litabariki mali za mashoga, sio mashoga kama ulivyopotosha hapa.
Hii ni sawa na kubariki mali za wengine wasiojulikana tabia na matendo yao, hakuna yeyote anayejulikana kama ni mzinzi sababu hufanyia sirini, mwizi hufanyia sirini, kujaribu kuwatenga mashoga kama vile wao pekee ndio wenye dhambi ni unafiki na ubinafsi, Papa hataki huu unafiki.
Papa anajua miongoni mwetu hayupo aliyekamilika, Kanisa Katoliki pia linajua hivyo, tukianza kutazamana usoni na kutengana mwisho wa siku huko kanisani atabaki nani? injili atahubiriwa nani? hujui hata Yesu Kristu alikuja duniani ili kuwahubiria wenye dhambi wapate kuokoka?
Mna upeo mdogo sana kifikra, na thinking yenu ni ya kijima sana wakati Kanisa Katoliki lilishatoka huko.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hata mimi ambaye siyo mpinga kristu nimepata point.Madhehebu flani wanaoona ukatholiki kama upinga kristu wamepata point ππ