Wakazi: Niliwahi kulala kwenye gari miezi miwili baada ya kufukuzwa home

Wakazi: Niliwahi kulala kwenye gari miezi miwili baada ya kufukuzwa home

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
1691599552785.png

Wakazi

Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao.

Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir Saleh.

" Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4, baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo nilichofanya nilichukua gari ya home, nikalilia kwa maza akanipa Kama laki 9 then nikaamsha, kwa miezi miwili mfululizo nilikuwa nalala kwenye gari nashindia wali maharage mtaani, life ilikuwa tafu Sana.

Nashangaa madogo kwenye game wanajifanya Wana street cred halafu hawajawahi hata kuishi nje ya maskani kwa wiki moja,nawashangaa Sana".

Wakuu yapi maoni yenu.
 
Liongo hilo jamaa. Anataka kuiga story za mastaa wa Marekani kusema kuwa wamelala kwenye gari.

Kibongo bongo haiingii akilini ulale ndani ya gari huku ukiwa na laki 9 mfukoni.

Halafu mzazi gani kibongo bongo anakufukuza na anakupa na gari kabisa.

Lingetafuta uongo mwingine ili aonekane kapigika sio huo uongo wa maigizo yasio na uhalisia.
 
Huyo mtoto wa mama tu na cheö cha rapa no mbili katoa wapi?

Watu tumeondoka makwetu na mabumunda ya mama na maji unaambiwa utapata tu huko mbele, panda lift ya jirani tukaingia mtaani kuhustle.

Hiyo gari mi sijui hata usukani uko wapi enzi hizo naona linaendaga tu.

Nilikua bado mdogo sana.
ye laki tisa na gari aisee bado anajiona mgumu.

Na usikute bado yuko kwao huyu,
Aisee.
 
Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao.
Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir Saleh.
" Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4 ,baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo nilichofanya nilichukua gari ya home, nikalilia kwa maza akanipa Kama laki 9 then nikaamsha, kwa miezi miwili mfululizo nilikuwa nalala kwenye gari nashindia wali maharage mtaani, life ilikuwa tafu Sana. Nashangaa madogo kwenye game wanajifanya Wana street cred halafu hawajawahi hata kuishi nje ya maskani kwa wiki moja,nawashangaa Sana".
Wakuu yapi maoni yenu.
Huyu fala matako sana, yaani unafukuzwa home, unapewa laki 9, unaondoka na gari, unashindia wali Maharagwe halafu anasemaa...anyways, acha nikubaliane naye, maana kila mtu kwa level yake, tatizo linabaki kuwa tatizo. Maana ndiyo linampatia bad experience, ndiyo linam challenge, ndiyo linamfanya aiine dunia chungu, ndiyo analopigana kwa nguvu zote kuindokana nalo, ndiyo linalomfanya ajihisi dunia imemtenga.
Tatizo litabaki kuwa tatizo, ni dogo kwako, kwa mwingine ni kubwa au ni kubwa kwako, lakini kwa mwingine ndiyo hobby.
 
Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4 ,baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo nilichofanya nilichukua gari ya home, nikalilia kwa maza akanipa Kama laki 9 then nikaamsha, kwa miezi miwili mfululizo nilikuwa nalala kwenye gari nashindia wali maharage mtaani, life ilikuwa tafu Sana.
Kama hamnaga vya kuongea bora mkae kimya.

Vijana wa kitanzania wengi ni Oya oya sana.

Yaani unaondoka nyumbani na gari? Plus Laki 9 cash? Then unaenda media kulalamika eti ulipata msoto?

Khaa!!!

Nimeboreka sana na hii stori yako kama ni ya kweli.

Harafu vijana wanawasikiliza watu kama hawa ndio wawe Role model wao??😅😅😅
Mungu awabariki sana.

Hatimaye Prof J Mungu amemponya.

Mtu wa Haki amtumainiye Bwana.

[emoji848][emoji1241]
 
Kama hamnaga vya kuongea bora mkae kimya.

Vijana wa kitanzania wengi ni Oya oya sana.

Yaani unaondoka nyumbani na gari? Plus Laki 9 cash? Then unaenda media kulalamika eti ulipata msoto?

Khaa!!!

Nimeboreka sana na hii stori yako kama ni ya kweli.

Harafu vijana wanawasikiliza watu kama hawa ndio wawe Role model wao??😅😅😅
Mwenzako ame 'hustle' kwa 'kuteseka sana'.
 
Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao.

Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir Saleh.

" Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4 ,baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo nilichofanya nilichukua gari ya home, nikalilia kwa maza akanipa Kama laki 9 then nikaamsha, kwa miezi miwili mfululizo nilikuwa nalala kwenye gari nashindia wali maharage mtaani, life ilikuwa tafu Sana.

Nashangaa madogo kwenye game wanajifanya Wana street cred halafu hawajawahi hata kuishi nje ya maskani kwa wiki moja,nawashangaa Sana".
Wakuu yapi maoni yenu.
MToto wa tajiri akishindia mihogo wiki nzima atasimulia hadi wajukuu
 
Back
Top Bottom