Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunasema Dp World apewe tuletewe na vitanda.Pole yake sana, na wanaolala bandarini wasemeje...
enhee,Watu tumeondoka makwetu na mabumunda ya mama na maji unaambiwa utapata tu huko mbele, panda lift ya jirani tukaingia mtaani kuhustle.
Ndipo wanamtolea hasira Wakazi wa Watu masikini!!![emoji1][emoji1][emoji1]Kila mtu ana background tofauti na sidhani km kakosea WakaziComment za watu zinaeleza sana background zao [emoji4][emoji16]
Wakishua afu anaish STAKISHARI🤣😂Yaani unafukuzwa home na hela na gari, dah wakishua aisee, huyu itakua walimlazimisha amalize chakula akasusa.
BTW, alikuja na ile Bigijii yake studio.
Kabla ya kujadili alichokisema, Hicho cheo cha RAPA NAMBA 2 nani kampa?View attachment 2712878
Wakazi
Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao.
Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir Saleh.
" Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4, baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo nilichofanya nilichukua gari ya home, nikalilia kwa maza akanipa Kama laki 9 then nikaamsha, kwa miezi miwili mfululizo nilikuwa nalala kwenye gari nashindia wali maharage mtaani, life ilikuwa tafu Sana.
Nashangaa madogo kwenye game wanajifanya Wana street cred halafu hawajawahi hata kuishi nje ya maskani kwa wiki moja,nawashangaa Sana".
Wakuu yapi maoni yenu.
Ame copy na ku edit stori ya Rick Ross kwenye kitabu chake The Perfect day to Boss Up amesahau tu kusema alienda club kwenye show akapiga mtungi akamuachia rafiki yake aendeshe gari yeye akalala kushtuka washakula mzinga. 😂😂Liongo hilo jamaa. Anataka kuiga story za mastaa wa Marekani kusema kuwa wamelala kwenye gari.
Kibongo bongo haiingii akilini ulale ndani ya gari huku ukiwa na laki 9 mfukoni.
Halafu mzazi gani kibongo bongo anakufukuza na anakupa na gari kabisa.
Lingetafuta uongo mwingine ili aonekane kapigika sio huo uongo wa maigizo yasio na uhalisia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji120]Mimi nilikuwa silali