Wakazi: Niliwahi kulala kwenye gari miezi miwili baada ya kufukuzwa home

Wakazi: Niliwahi kulala kwenye gari miezi miwili baada ya kufukuzwa home

Jamaa yaan umeondoka home na lak 9 in two Month equivalent to 15k per day na huku una gari la baba,na bado unaeeza kuomba hela kwa ndgu na jamaa ,alaf unajifanya kuwa umelala njee ya home,daah wakishua bhana,wenzako ndio wamepga msoto wa kutoshaa
Huyo jamaa wakati wa interview alikuwa sawa kweli?
 
Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao.

Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir Saleh.

" Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4 ,baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo nilichofanya nilichukua gari ya home, nikalilia kwa maza akanipa Kama laki 9 then nikaamsha, kwa miezi miwili mfululizo nilikuwa nalala kwenye gari nashindia wali maharage mtaani, life ilikuwa tafu Sana.

Nashangaa madogo kwenye game wanajifanya Wana street cred halafu hawajawahi hata kuishi nje ya maskani kwa wiki moja,nawashangaa Sana".
Wakuu yapi maoni yenu.
Wakazi bwana, eti mshua kazingua, kalilia maza kapewa gari la nyumbani na laki tisa, akaona maisha tough.

Anajua hiyo laki tisa watu walikuwa wanaitafuta mwaka mzima hawaipati, na hawana gari wala nyumba!
 
Jamaa yaan umeondoka home na lak 9 in two Month equivalent to 15k per day na huku una gari la baba,na bado unaeeza kuomba hela kwa ndgu na jamaa ,alaf unajifanya kuwa umelala njee ya home,daah wakishua bhana,wenzako ndio wamepga msoto wa kutoshaa
Ndo hapo, Ay, konde boy, marioo, dogo janja, mond, sugu, makini, baba tunda wasemeje sijui?
 

Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao.

Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir Saleh.

" Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4, baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo nilichofanya nilichukua gari ya home, nikalilia kwa maza akanipa Kama laki 9 then nikaamsha, kwa miezi miwili mfululizo nilikuwa nalala kwenye gari nashindia wali maharage mtaani, life ilikuwa tafu Sana.

Nashangaa madogo kwenye game wanajifanya Wana street cred halafu hawajawahi hata kuishi nje ya maskani kwa wiki moja,nawashangaa Sana".

Wakuu yapi maoni yenu.
Rapa namba 2 mujibu wa nani?
 

Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao.

Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir Saleh.

" Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4, baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo nilichofanya nilichukua gari ya home, nikalilia kwa maza akanipa Kama laki 9 then nikaamsha, kwa miezi miwili mfululizo nilikuwa nalala kwenye gari nashindia wali maharage mtaani, life ilikuwa tafu Sana.

Nashangaa madogo kwenye game wanajifanya Wana street cred halafu hawajawahi hata kuishi nje ya maskani kwa wiki moja,nawashangaa Sana".

Wakuu yapi maoni yenu.

Ujinga huu, na mjinga ndo anaamini huu ujinga.
 

Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao.

Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir Saleh.

" Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4, baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo nilichofanya nilichukua gari ya home, nikalilia kwa maza akanipa Kama laki 9 then nikaamsha, kwa miezi miwili mfululizo nilikuwa nalala kwenye gari nashindia wali maharage mtaani, life ilikuwa tafu Sana.

Nashangaa madogo kwenye game wanajifanya Wana street cred halafu hawajawahi hata kuishi nje ya maskani kwa wiki moja,nawashangaa Sana".

Wakuu yapi maoni yenu.
Saa ndio nini. Amepewa laki 9 na gari juu kaondoka nalo.
Watu wanaondoka hata mia mbovu hawana.
Huyu ni sawa na watoto wa kishua wanaosema wameteseka sana kwa kunywa chai ya rangi. Si bora yeye alikuwa analala kwa gari. Watu wanalala stand tu daily
 
Ni sawa na Donald Trump, eti nimefanya kila kitu mimi mwenyewe. Babaangu alinipa dola milioni moja tu. And I was like what?
Yani kibongo bongo utoke nyumbani ukiwa umepewa 2.5B halafu useme kila kitu umefanya mwenyewe. Yani kupewa 2.5B ni sawa sawa ushakula handicap ya 5+ dhidi ya maisha. Yani mnaanza game na maisha wewe ukiwa na goli 5 maisha 0.

Hata uwe kilaza kiasi gani ku generate hela ukiwa na hilo fuba its just a matter of decision tu. Mambo ya kufanya kwa 10-20M yapo mengi mno which is just a peanut kwenye huo mtonyo.

Kuna room kubwa ya trial and error na uwezekano wa kulost ni minimalistic sana.
 
Jamaa yaan umeondoka home na lak 9 in two Month equivalent to 15k per day na huku una gari la baba,na bado unaeeza kuomba hela kwa ndgu na jamaa ,alaf unajifanya kuwa umelala njee ya home,daah wakishua bhana,wenzako ndio wamepga msoto wa kutoshaa
Hajui kuwa kwa wenzake maisha hayo ndio mtu katoboa hivyo
 
Liongo hilo jamaa. Anataka kuiga story za mastaa wa marekani kusema kuwa wamelala kwenye gari.
Kibongo bongo haiingii akilini ulale ndani ya gari huku ukiwa na laki 9 mfukoni.

Halafu mzazi gani kibongo bongo anakufukuza na anakupa na gari kabisa.

Lingetafuta uongo mwingine ili aonekane kapigika sio huo uongo wa maigizo yasio na uhalisia.
Tena llinasema wakati huo limemaliza form 4. Yan likapewa 900k na gari juu! huu ni uongo usio fanana na kweli!

Anyways, alitaka tujue kuwa yeye ni wa kishua.
 
Back
Top Bottom