Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
😅😅😅😅Yaani hapo kasota sanaMwenzako ame hustle kwa kuteseka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅😅Yaani hapo kasota sanaMwenzako ame hustle kwa kuteseka sana
Wakazi nilijuaga ni mtu wa maana kwa stori hizi tu zinaonesha hana cha kusimulia watuMToto wa tajiri akishindia mihogo wiki nzima atasimulia hadi wajukuu
Huyo jamaa wakati wa interview alikuwa sawa kweli?Jamaa yaan umeondoka home na lak 9 in two Month equivalent to 15k per day na huku una gari la baba,na bado unaeeza kuomba hela kwa ndgu na jamaa ,alaf unajifanya kuwa umelala njee ya home,daah wakishua bhana,wenzako ndio wamepga msoto wa kutoshaa
Akina Sabaya hawa. Wangepata madaraka hawa si ajabu Nchi inaendelea kuwa maskini.Dah watu tume lala nje, mixer kuto kula siku 3🤒.
👉Halafu ye kapewa laki 9 na bado ana lalamika 🤒
Wakazi bwana, eti mshua kazingua, kalilia maza kapewa gari la nyumbani na laki tisa, akaona maisha tough.Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao.
Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir Saleh.
" Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4 ,baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo nilichofanya nilichukua gari ya home, nikalilia kwa maza akanipa Kama laki 9 then nikaamsha, kwa miezi miwili mfululizo nilikuwa nalala kwenye gari nashindia wali maharage mtaani, life ilikuwa tafu Sana.
Nashangaa madogo kwenye game wanajifanya Wana street cred halafu hawajawahi hata kuishi nje ya maskani kwa wiki moja,nawashangaa Sana".
Wakuu yapi maoni yenu.
Anatafuta atention tu.Wakazi nilijuaga ni mtu wa maana kwa stori hizi tu zinaonesha hana cha kusimulia watu
Ndo hapo, Ay, konde boy, marioo, dogo janja, mond, sugu, makini, baba tunda wasemeje sijui?Jamaa yaan umeondoka home na lak 9 in two Month equivalent to 15k per day na huku una gari la baba,na bado unaeeza kuomba hela kwa ndgu na jamaa ,alaf unajifanya kuwa umelala njee ya home,daah wakishua bhana,wenzako ndio wamepga msoto wa kutoshaa
Rapa namba 2 mujibu wa nani?View attachment 2712878
Wakazi
Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao.
Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir Saleh.
" Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4, baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo nilichofanya nilichukua gari ya home, nikalilia kwa maza akanipa Kama laki 9 then nikaamsha, kwa miezi miwili mfululizo nilikuwa nalala kwenye gari nashindia wali maharage mtaani, life ilikuwa tafu Sana.
Nashangaa madogo kwenye game wanajifanya Wana street cred halafu hawajawahi hata kuishi nje ya maskani kwa wiki moja,nawashangaa Sana".
Wakuu yapi maoni yenu.
Dah watu tume lala nje, mixer kuto kula siku 3[emoji855].
[emoji117]Halafu ye kapewa laki 9 na bado ana lalamika [emoji855]
View attachment 2712878
Wakazi
Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao.
Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir Saleh.
" Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4, baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo nilichofanya nilichukua gari ya home, nikalilia kwa maza akanipa Kama laki 9 then nikaamsha, kwa miezi miwili mfululizo nilikuwa nalala kwenye gari nashindia wali maharage mtaani, life ilikuwa tafu Sana.
Nashangaa madogo kwenye game wanajifanya Wana street cred halafu hawajawahi hata kuishi nje ya maskani kwa wiki moja,nawashangaa Sana".
Wakuu yapi maoni yenu.
Huyo nae ni mjinga sana.
Aahaaaaa,shikamoo mkuuBora yeye mm nililala juu ya mti
Saa ndio nini. Amepewa laki 9 na gari juu kaondoka nalo.View attachment 2712878
Wakazi
Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao.
Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir Saleh.
" Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4, baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo nilichofanya nilichukua gari ya home, nikalilia kwa maza akanipa Kama laki 9 then nikaamsha, kwa miezi miwili mfululizo nilikuwa nalala kwenye gari nashindia wali maharage mtaani, life ilikuwa tafu Sana.
Nashangaa madogo kwenye game wanajifanya Wana street cred halafu hawajawahi hata kuishi nje ya maskani kwa wiki moja,nawashangaa Sana".
Wakuu yapi maoni yenu.
Yani kibongo bongo utoke nyumbani ukiwa umepewa 2.5B halafu useme kila kitu umefanya mwenyewe. Yani kupewa 2.5B ni sawa sawa ushakula handicap ya 5+ dhidi ya maisha. Yani mnaanza game na maisha wewe ukiwa na goli 5 maisha 0.Ni sawa na Donald Trump, eti nimefanya kila kitu mimi mwenyewe. Babaangu alinipa dola milioni moja tu. And I was like what?
Hajui kuwa kwa wenzake maisha hayo ndio mtu katoboa hivyoJamaa yaan umeondoka home na lak 9 in two Month equivalent to 15k per day na huku una gari la baba,na bado unaeeza kuomba hela kwa ndgu na jamaa ,alaf unajifanya kuwa umelala njee ya home,daah wakishua bhana,wenzako ndio wamepga msoto wa kutoshaa
Tena llinasema wakati huo limemaliza form 4. Yan likapewa 900k na gari juu! huu ni uongo usio fanana na kweli!Liongo hilo jamaa. Anataka kuiga story za mastaa wa marekani kusema kuwa wamelala kwenye gari.
Kibongo bongo haiingii akilini ulale ndani ya gari huku ukiwa na laki 9 mfukoni.
Halafu mzazi gani kibongo bongo anakufukuza na anakupa na gari kabisa.
Lingetafuta uongo mwingine ili aonekane kapigika sio huo uongo wa maigizo yasio na uhalisia.