Wakazi: Niliwahi kulala kwenye gari miezi miwili baada ya kufukuzwa home

Mi nilifukuzwa nikaondoka na pakti mbili za mahindi makavu ya kukaanga (sio popcorn).Nikawa nalala juu ya mnara wa Voda.
 
Nakumbuka Kipindi cha Mkasi, Salama anamhoji Mimi Mars anamuuliza vipi umeshawahi kupitia msoto, yeye anashangaa anajibu "Msoto Ndio Nini?"...
 
Watu tumeondoka makwetu na mabumunda ya mama na maji unaambiwa utapata tu huko mbele, panda lift ya jirani tukaingia mtaani kuhustle.
enhee,

na wewe aliyekufukuza ni nani na aliyekupa mabumbunda ya mama ni nani, na aliyeku wish well kwamba utapata mbele ni nani, mamaako ?

sawa mgumu, tumesikia
 
Kuna yule binti kasema yeye kwao Singida ila hajawahi kufika,na hataenda hadi kuwe na uwanja wa ndege,hawezi safiri na basi.
 
Comment za watu zinaeleza sana background zao [emoji4][emoji16]
Ndipo wanamtolea hasira Wakazi wa Watu masikini!!![emoji1][emoji1][emoji1]Kila mtu ana background tofauti na sidhani km kakosea Wakazi
 
Kula wali waharage ni ishara ya life gumu?
Huyu atakuwa hajasoma shule zetu za kula Ugali Maharage mwaka kzima
 
Yaani unafukuzwa home na hela na gari, dah wakishua aisee, huyu itakua walimlazimisha amalize chakula akasusa.

BTW, alikuja na ile Bigijii yake studio.
Wakishua afu anaish STAKISHARI🤣😂
 
Mimi nilifukuzwa shule nikiwa na miaka minne na nyumbani nkafukuzwa
 
Kabla ya kujadili alichokisema, Hicho cheo cha RAPA NAMBA 2 nani kampa?
 
Ame copy na ku edit stori ya Rick Ross kwenye kitabu chake The Perfect day to Boss Up amesahau tu kusema alienda club kwenye show akapiga mtungi akamuachia rafiki yake aendeshe gari yeye akalala kushtuka washakula mzinga. 😂😂

Anyway mtoto wa mama alikuwa na 900k ya kipindi hicho ambach probably kwa sasa ni equal to 1M+
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…