Valuhwanoswela
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 1,229
- 1,125
SGR ilianza wakati wa JK, kila kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SGR ilianza wakati wa JK, kila kitu.
Sisi wananchi wa Jimbo la uchaguzi KAWE, kata ya Msasani ambayo in mitaa ya Masaki, Oyster Bay, Makangira, Bonde la Mpunga na Mikoroshoni, kura zetu tutampa Tundu Lissu kwa kiti Cha Uraisi, huyu ni CHADEMA. Ubunge tutampa Halima Mdee a.k.a Mama Lao, Mama la chuma cha pua kutoka CHADEMA. Na ubunge tutampa Luca Neghesti, mume wa Nancy Sumari, wa CCM.Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.
Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiluliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..
Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .
Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.
1.SGR(Railway)
2.Mbezi Stand
3.Ubungo FlyOver
4.Kinyerezi
5.The Port
6.Airport
Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..
Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Mnapopokea misaada yao mnawaita wafadhili.Rais ni John Pombe Joseph Magufuli. Huyu ni Mzalendo namba moja, mzaliwa wa Chato. Yule mwingine wakala wa beberu, mwenyeji wa Ubelgiji.
SGR siyo ya Magufuli ni ya Jumuiya ya Afrika Mashariki pamoja na ile iliyoanzia Mombasa ambayo kwa Kenya karibu ikamilike lakini upande wetu imecheleweshwa na Magufuli kwa kutoamua haraka kuanza ujenzi. Nchi nne za Jumuiya zilipoona Tanzania na Burundi zinasuasua kuanza, ziliamua kuanza ujenzi peke yao na kuanzisha Umoja wao wa: "Coalition of the Willing" maana yake: "Umoja wa Waliotayari". Mradi huo ni toka wakati JK ikiwa ni pamoja na barabara ya Arusha Bypass ambayo imekamilika na Arusha - Voi ambayo Jiwe la Msingi limekwisha wekwa miaka kadhaa sasa na Kenyatta na Magufuli mpenda kuweka mawe ya msingi lakini utekelezaji hakuna. Barabara nyingine muhimu ya Jumuiya ambayo Jiwe la Msingi limewekwa lakini bado kuanza ni ile ya Tanga mpaka Bagamoyo kupitia Pangani ambayo ikikamilika itaunganisha Mombasa na Dar es Salaam bila kupitia Korogwe na Chalinze kama sasa. Wakazi wa Dar wafurahie madege tu.Miradi hiyo yote siyo yake isipokuwa SGR tu. Ni miradi ya JK. Hana chake Dar.
Dar inataka haki, uhuru na maendeleo pia.
Naona vibaraka wa mabeberu kutwa MNA quote mabeberu wanachosema
Uzalendo ni ku quote “Mungu Oyee”.Naona vibaraka wa mabeberu kutwa MNA quote mabeberu wanachosema
Hawana ugali ndanu ya nyumba fly over haitasaidiaWana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.
Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiluliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..
Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .
Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.
1.SGR(Railway)
2.Mbezi Stand
3.Ubungo FlyOver
4.Kinyerezi
5.The Port
6.Airport
Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..
Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Hilo ndo linaloenda kutokea hiyo 2810.mateso yote waliyopata wapinzani kwa miaka mitano ilikuwa ni kulipiza,maana 2015 alipigwa na zezeta Ngoyai kura nyingi tu.Lubuva akafanya yake.Magufuli hategemei kura za wananchi, kura zake za ushindi zipo Jamana Printers.
Wewe ndio unaendekeza akili mbovu. Kila siku kipindi hiki cha kampeni zinatajwa idadi ya shule zilizokarabatiwa ambazo zilishageuka magofu na ni nyingi.Duh! Je hii nayo ni sera ya CCM? Kwamba kama wananchi wanataka shule zao ziboreshwe wasubiri tetemeko liwakumbe, kama wanataka miundo mbinu iboreshwe wasubiri tetemeko liwakumbe...Hizi ni akili za wapi?
Wewe endelea kujidanganya kila kukicha hakuna wa kuibadilisha akili yako.Magufuli hategemei kura za wananchi, kura zake za ushindi zipo Jamana Printers.
Na wale wa ndiyooooooo kwa kila kitu ndo WA kuwachagua?Hata Buhaya watampa kura nyingi tu. Pesa za tetemeko zimeboresha shule ya sekondari imekuwa ya kisasa na kuna meli zipo ziwa Victoria zinafanya kazi nzuri.
Watu wa Dar hatuna sababu ya msingi ya kumkataa Magufuli, tuna sababu ya kuwakataa wabunge wanaokwenda bungeni kuvaa vitambaa midomoni na kutoka nje ya ukumbi wakiwa wameshachukua posho ya siku.
Hao wanadar wenye mbwembwe za usomi siku zote kwenye masuala ya uchaguzi hawasumbui.Mkuu zile pesa ndio lilikuwa lengo lake?
Alafu si vizuri kuwaongelea wakazi wa Dar wote kuwa tutampigia kura jiwe wakati hapa ndio kitovu cha wasomi, waelewa wa mambo yanavyoenda. Kingine ukisema hivyo manaake ni kuwa wanaDar wote tunakubaliana na uminywaji wa uhuru na haki za binadamu, kwamba tulifurahia makonda alivyoingia na askari wa usalama wa taifa pale Clouds Tv wakiwa na silaha za kivita, tunakubaliana na kupotea kwa Ben Saanane na vile viroba vya maiti kwenye fukwe za bahari ya Hindi Dar..
Wanadar hawadanganyiki na uboreshwaji wa miundombinu kwasababu huo ni wajibu wa serikali maana inatumia pesa zetu. Tar 28 ni siku nzito na kila mtu ana jambo lake