Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Hayo ni maamuzi ya wapiga kura.Na wale wa ndiyooooooo kwa kila kitu ndo WA kuwachagua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni maamuzi ya wapiga kura.Na wale wa ndiyooooooo kwa kila kitu ndo WA kuwachagua?
Ni pesa za tetemeko au rambi rambi za wahanga wa tetemeko?Hata Buhaya watampa kura nyingi tu. Pesa za tetemeko zimeboresha shule ya sekondari imekuwa ya kisasa na kuna meli zipo ziwa Victoria zinafanya kazi nzuri.
Watu wa Dar hatuna sababu ya msingi ya kumkataa Magufuli, tuna sababu ya kuwakataa wabunge wanaokwenda bungeni kuvaa vitambaa midomoni na kutoka nje ya ukumbi wakiwa wameshachukua posho ya siku.
Vyovyote iwavyo ila ukweli ni kuwa pesa zilikwenda kujenga miundo mbinu yenye kurahisisha maisha ya wahanga wa tetemeko.Ni pesa za tetemeko au rambi rambi za wahanga wa tetemeko?
Nakubali wanaoenda kupiga kura ni dizaini za hao hapo chini.Hao wanadar wenye mbwembwe za usomi siku zote kwenye masuala ya uchaguzi hawasumbui.
Siku zote wapo wasomi wengi wenye kutafakari mambo kwa kina na wapo wale wasomi wa Bar wazee wa pinga pinga na mara nyingi hawa huwa hawaendi hata kupiga kura.
Je kama tetemeko lisingetokea hizo shule zisingeboreshwa? Ufisadi mpaka kwenye hela za rambi rambi! CCM wanaweza kushinda tu kiharamu kama walivyozoea...wezi wakubwa!Wewe ndio unaendekeza akili mbovu. Kila siku kipindi hiki cha kampeni zinatajwa idadi ya shule zilizokarabatiwa ambazo zilishageuka magofu na ni nyingi.
Elewa hoja ya mtu kabla hujadandia treni kwa mbele.
Na pesa za wastaafu wanaokaa miaka ya kutosha hawajalipwa pesa zao sijui hua zinapelekwa wapi.Vyovyote iwavyo ila ukweli ni kuwa pesa zilikwenda kujenga miundo mbinu yenye kurahisisha maisha ya wahanga wa tetemeko.
Kwahiyo bila tetemeko Serikali isingeweza kujenga miundombinu bali kutumia rambi rambi ndiyo ikawa suluhu.Sasa kwanini ata rambi rambi za misiba zisiwe zinatozwa kodi au kupelekwa Serikali?Vyovyote iwavyo ila ukweli ni kuwa pesa zilikwenda kujenga miundo mbinu yenye kurahisisha maisha ya wahanga wa tetemeko.
Jomba utakuwa na mtindio wa ubongo!Hata Buhaya watampa kura nyingi tu. Pesa za tetemeko zimeboresha shule ya sekondari imekuwa ya kisasa na kuna meli zipo ziwa Victoria zinafanya kazi nzuri.
Watu wa Dar hatuna sababu ya msingi ya kumkataa Magufuli, tuna sababu ya kuwakataa wabunge wanaokwenda bungeni kuvaa vitambaa midomoni na kutoka nje ya ukumbi wakiwa wameshachukua posho ya siku.
Na huyo kwao ni Mbinga sio Dar. Tarehe 28 wapiga kelele wengi wa humu ndani wataamka na pombe kichwani na ni vigumu kwao kupiga kura.Nakubali wanaoenda kupiga kura ni dizaini za hao hapo chini.View attachment 1596522
Sio kweli kwamba serikali imesubiri tetemeko ili ijenge miundombinu.Kwahiyo bila tetemeko Serikali isingeweza kujenga miundombinu bali kutumia rambi rambi ndiyo ikawa suluhu.Sasa kwanini ata rambi rambi za misiba zisiwe zinatozwa kodi au kupelekwa Serikali?
Wewe ndio kichaa kabisa mwenye kitanda Mirembe.Jomba utakuwa na mtindio wa ubongo!
Hakika wala hujakosea mkuu.Na huyo kwao ni Mbinga sio Dar. Tarehe 28 wapiga kelele wengi wa humu ndani wataamka na pombe kichwani na ni vigumu kwao kupiga kura.
Wale unaowaona wamesimama juani wakati mgombea yupo kivulini ndio wapiga kura wenyewe.
Msemaji wa jiji.Hata Buhaya watampa kura nyingi tu. Pesa za tetemeko zimeboresha shule ya sekondari imekuwa ya kisasa na kuna meli zipo ziwa Victoria zinafanya kazi nzuri.
Watu wa Dar hatuna sababu ya msingi ya kumkataa Magufuli, tuna sababu ya kuwakataa wabunge wanaokwenda bungeni kuvaa vitambaa midomoni na kutoka nje ya ukumbi wakiwa wameshachukua posho ya siku.
Acheni huu UPUMBAVU mnatutajia madaraja kwani watu wanakula madaraja?Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.
Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiluliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..
Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .
Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.
1.SGR(Railway)
2.Mbezi Stand
3.Ubungo FlyOver
4.Kinyerezi
5.The Port
6.Airport
Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..
Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Ila pesa za rambi rambi kwa wahanga wa tetemeko zimetumika kujenga na kukarabati miundombinu....sasa unabadilisha maneno aaah...Sio kweli kwamba serikali imesubiri tetemeko ili ijenge miundombinu.
Muulize Jaffo atakupa taarifa zote za mashule, zahanati na vituo vya afya vilivyojengwa ndani ya hii miaka mitano.
Wagombea wa CCM huwa wanatuambia Tuache Kutegemea Kuajiriwa Na Serikali, Tujitegemee Na Tujiajiri Wenyewe!! Wakati Wao Wanatuomba Kura Ili Tuwape Ajira Waajiriwe Na wananchi.
TUSAIDIANE MAWAZO HAPA VIJANA WENZANGU, HAWA WATU ZIMO KWELI VICHWANI MWAO ?
Zilitumiwa kwa ajili ya wahanga wa tetemeko tatizo nchi yetu siku hizi inakubaliana na siasa za kipuuzi za kutunga uongo wa mitandaoni na watu wakaja kuuamini kama ndio ukweli.Ila pesa za rambi rambi kwa wahanga wa tetemeko zimetumika kujenga na kukarabati miundombinu....sasa unabadilisha maneno aaah...
Bukoba tunajitambua hatuwezi kumchagua huyo mjinga aliyemuuaa AkwilinaZilitumiwa kwa ajili ya wahanga wa tetemeko tatizo nchi yetu siku hizi inakubaliana na siasa za kipuuzi za kutunga uongo wa mitandaoni na watu wakaja kuuamini kama ndio ukweli.
Tuna aina ya media zenye watu wepesi sana.