Uchaguzi 2020 Wakazi wa Dar es Salaam kweli na nyie mtamnyima Magufuli kura?

Uchaguzi 2020 Wakazi wa Dar es Salaam kweli na nyie mtamnyima Magufuli kura?

Hata Buhaya watampa kura nyingi tu. Pesa za tetemeko zimeboresha shule ya sekondari imekuwa ya kisasa na kuna meli zipo ziwa Victoria zinafanya kazi nzuri.

Watu wa Dar hatuna sababu ya msingi ya kumkataa Magufuli, tuna sababu ya kuwakataa wabunge wanaokwenda bungeni kuvaa vitambaa midomoni na kutoka nje ya ukumbi wakiwa wameshachukua posho ya siku.
Ni pesa za tetemeko au rambi rambi za wahanga wa tetemeko?
 
Hao wanadar wenye mbwembwe za usomi siku zote kwenye masuala ya uchaguzi hawasumbui.

Siku zote wapo wasomi wengi wenye kutafakari mambo kwa kina na wapo wale wasomi wa Bar wazee wa pinga pinga na mara nyingi hawa huwa hawaendi hata kupiga kura.
Nakubali wanaoenda kupiga kura ni dizaini za hao hapo chini.
Ej-7oLPWkAAz5wY.jpg
 
Wewe ndio unaendekeza akili mbovu. Kila siku kipindi hiki cha kampeni zinatajwa idadi ya shule zilizokarabatiwa ambazo zilishageuka magofu na ni nyingi.

Elewa hoja ya mtu kabla hujadandia treni kwa mbele.
Je kama tetemeko lisingetokea hizo shule zisingeboreshwa? Ufisadi mpaka kwenye hela za rambi rambi! CCM wanaweza kushinda tu kiharamu kama walivyozoea...wezi wakubwa!
 
Vyovyote iwavyo ila ukweli ni kuwa pesa zilikwenda kujenga miundo mbinu yenye kurahisisha maisha ya wahanga wa tetemeko.
Na pesa za wastaafu wanaokaa miaka ya kutosha hawajalipwa pesa zao sijui hua zinapelekwa wapi.

Na kiongozi mkuu anasema yeye ni kiongozi wa wanyonge sijui hua anamaanisha wanyonge wa dizaini gani?
 
Vyovyote iwavyo ila ukweli ni kuwa pesa zilikwenda kujenga miundo mbinu yenye kurahisisha maisha ya wahanga wa tetemeko.
Kwahiyo bila tetemeko Serikali isingeweza kujenga miundombinu bali kutumia rambi rambi ndiyo ikawa suluhu.Sasa kwanini ata rambi rambi za misiba zisiwe zinatozwa kodi au kupelekwa Serikali?
 
Hata Buhaya watampa kura nyingi tu. Pesa za tetemeko zimeboresha shule ya sekondari imekuwa ya kisasa na kuna meli zipo ziwa Victoria zinafanya kazi nzuri.

Watu wa Dar hatuna sababu ya msingi ya kumkataa Magufuli, tuna sababu ya kuwakataa wabunge wanaokwenda bungeni kuvaa vitambaa midomoni na kutoka nje ya ukumbi wakiwa wameshachukua posho ya siku.
Jomba utakuwa na mtindio wa ubongo!
 
Kwahiyo bila tetemeko Serikali isingeweza kujenga miundombinu bali kutumia rambi rambi ndiyo ikawa suluhu.Sasa kwanini ata rambi rambi za misiba zisiwe zinatozwa kodi au kupelekwa Serikali?
Sio kweli kwamba serikali imesubiri tetemeko ili ijenge miundombinu.

Muulize Jaffo atakupa taarifa zote za mashule, zahanati na vituo vya afya vilivyojengwa ndani ya hii miaka mitano.
 
Na huyo kwao ni Mbinga sio Dar. Tarehe 28 wapiga kelele wengi wa humu ndani wataamka na pombe kichwani na ni vigumu kwao kupiga kura.

Wale unaowaona wamesimama juani wakati mgombea yupo kivulini ndio wapiga kura wenyewe.
Hakika wala hujakosea mkuu.
Screenshot_2020-10-08-23-57-29-1.jpg
 
Hata Buhaya watampa kura nyingi tu. Pesa za tetemeko zimeboresha shule ya sekondari imekuwa ya kisasa na kuna meli zipo ziwa Victoria zinafanya kazi nzuri.

Watu wa Dar hatuna sababu ya msingi ya kumkataa Magufuli, tuna sababu ya kuwakataa wabunge wanaokwenda bungeni kuvaa vitambaa midomoni na kutoka nje ya ukumbi wakiwa wameshachukua posho ya siku.
Msemaji wa jiji.
 
Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.

Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiluliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..

Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .

Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.

1.SGR(Railway)
2.Mbezi Stand
3.Ubungo FlyOver
4.Kinyerezi
5.The Port
6.Airport

Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..

Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Acheni huu UPUMBAVU mnatutajia madaraja kwani watu wanakula madaraja?
 
Sio kweli kwamba serikali imesubiri tetemeko ili ijenge miundombinu.

Muulize Jaffo atakupa taarifa zote za mashule, zahanati na vituo vya afya vilivyojengwa ndani ya hii miaka mitano.
Ila pesa za rambi rambi kwa wahanga wa tetemeko zimetumika kujenga na kukarabati miundombinu....sasa unabadilisha maneno aaah...
 
Hao
Wagombea wa CCM huwa wanatuambia Tuache Kutegemea Kuajiriwa Na Serikali, Tujitegemee Na Tujiajiri Wenyewe!! Wakati Wao Wanatuomba Kura Ili Tuwape Ajira Waajiriwe Na wananchi.

TUSAIDIANE MAWAZO HAPA VIJANA WENZANGU, HAWA WATU ZIMO KWELI VICHWANI MWAO ?
Hawana tofauti na motivational speakers usihangaike nao hao watakupoteza tu.​
 
Ila pesa za rambi rambi kwa wahanga wa tetemeko zimetumika kujenga na kukarabati miundombinu....sasa unabadilisha maneno aaah...
Zilitumiwa kwa ajili ya wahanga wa tetemeko tatizo nchi yetu siku hizi inakubaliana na siasa za kipuuzi za kutunga uongo wa mitandaoni na watu wakaja kuuamini kama ndio ukweli.

Tuna aina ya media zenye watu wepesi sana.
 
Zilitumiwa kwa ajili ya wahanga wa tetemeko tatizo nchi yetu siku hizi inakubaliana na siasa za kipuuzi za kutunga uongo wa mitandaoni na watu wakaja kuuamini kama ndio ukweli.

Tuna aina ya media zenye watu wepesi sana.
Bukoba tunajitambua hatuwezi kumchagua huyo mjinga aliyemuuaa Akwilina
 
Back
Top Bottom