Uchaguzi 2020 Wakazi wa Dar es Salaam kweli na nyie mtamnyima Magufuli kura?

Uchaguzi 2020 Wakazi wa Dar es Salaam kweli na nyie mtamnyima Magufuli kura?

Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.

Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiluliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..

Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .

Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.

1. SGR(Railway)
2. Mbezi Stand
3. Ubungo FlyOver
4. Kinyerezi
5. The Port
6. Airport

Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..

Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Ashukuriwe Mungu kwa kutuumbia Utashi wa kupima "Mema" na "Mabaya" vinginevyo sijui ingekuwaje.
 
Tarehe 28 Wana dar es salaam tuna jambo letu ...tumefokewa sana miaka 5 hii
 
Tunaweza kuwa na sababu za msingi za kutoipigia kura Ccm au Magufuli ila tatizo linakuja pale tunapokosa sababu za msingi kwenye kuchagua chama mbadala wa ccm,wengi tumechagua chama fulani sababu tu muda mwingi kinaisema ccm na kupingana na serikali.
 
Ni Tundu Lissu 2020 - 2025
1602402501319.png
 
Huo mji uusemao una watumishi hawajaonja nyongeza ya mshahara kwa miaka 5, kuna wastaafu hawajalipwa mafao mwaka wa 2 sasa tangu wamestaafu ! Je hayo yote ni chini ya serikali ipi? Usiwapangie!
 
Katika mikoa iliyoathirika na serikali ya awamu ya tano ni Dar es salaam. Kuhamisha makao makuu ya nchi kwenda Dodoma ni pigo la historia kwa wakazi wa Dar es salaam. Balozi zote zitaamua Dodoma,ikulu Dodoma,wizara zote Dodoma, mashirika ya kimataifa Dodoma, mashirika ya umma Dodoma,wafanyakazi wote Dodoma,uwanja wa ndege wa msalato Dodoma. Sasa akawadanganya kuondoa foleni dar kwa kujenga flyover,sio kweli kwanza foleni dar haitakuwepo kwani serikali inaondoka kwenda Dodoma. Kwa mantiki hiyo uchumi wa dar ikifika mwaka 2025 wananchi wengi watakuwa omba omba kwani miradi yao mingi itakuwa imekufa au haipo tena.
Magufuli amehamishiwa makao makuu Dodoma kwa makusudi kwa kutambua kuwa watu wengi waliiba fedha serikalini awamu zilizopita na kuwekeza Dar,Sasa walioiba washindwe kuwekeza Dodoma na miradi iliyopo dar ife. Kwa kifupi Dar hali itakuwa mbaya sana .tunadanganywa dar itakuwa jiji la biashara biashara ipi itajwe? Utawala huu utaacha historia dar kuweni nao makini sana.
Mkuu kuna watu kama Young fagson hawanauwezo wa kuona mbali. Anaweza akakupinga hapa pasipo kuwa na hoja😂
 
Katika mikoa iliyoathirika na serikali ya awamu ya tano ni Dar es salaam. Kuhamisha makao makuu ya nchi kwenda Dodoma ni pigo la historia kwa wakazi wa Dar es salaam. Balozi zote zitaamua Dodoma,ikulu Dodoma,wizara zote Dodoma, mashirika ya kimataifa Dodoma, mashirika ya umma Dodoma,wafanyakazi wote Dodoma,uwanja wa ndege wa msalato Dodoma. Sasa akawadanganya kuondoa foleni dar kwa kujenga flyover,sio kweli kwanza foleni dar haitakuwepo kwani serikali inaondoka kwenda Dodoma. Kwa mantiki hiyo uchumi wa dar ikifika mwaka 2025 wananchi wengi watakuwa omba omba kwani miradi yao mingi itakuwa imekufa au haipo tena.
Magufuli amehamishiwa makao makuu Dodoma kwa makusudi kwa kutambua kuwa watu wengi waliiba fedha serikalini awamu zilizopita na kuwekeza Dar,Sasa walioiba washindwe kuwekeza Dodoma na miradi iliyopo dar ife. Kwa kifupi Dar hali itakuwa mbaya sana .tunadanganywa dar itakuwa jiji la biashara biashara ipi itajwe? Utawala huu utaacha historia dar kuweni nao makini sana.
Makao Makuu ya USA kua Washington Dc, hakujawahi kuathiri ukuaji wa miji km NY or Miami.

Kuhamishwa kwa Makao Makuu ya Nigeria kutoka Lagos kwenda Abuja hakukuwahi kuathiri ukuaji wa Mji wa Logos.

Kuhamishiwa kwa Makao Makuu ya Ivory Cost kutoka Abidjan kwenda Yamassoukro hakujawahi kuuua mji wa Abidjan. Infact mpaka leo watu wengi wanajua capital city ya Ivory Cost ni Abdjani.

Brazil relocated their capital city from
Rio de Jeneiro to Brasilia.

Russia relocated from Moscow to St. Petersburg.

Malyasia from Kuala Lumpa to Putrajaya.

Mifano ni mingi ikiwemo inchi nyingine zenye plan ya kuhamisha makao makuu ya inchi zao ikiwemo Indonesia.

To cut the story short...hii hoja yako ya kuiua Dodoma kwa kuhamisha serikali Dodoma ni hoja mfu. Idadi ya wafanyazi walio hama ni ndogo sana compared to the population iliyobaki Dar.
 
Basi hana chake. Miradi wake ni uwanja wa ndege Chattle ambao umejengwa na shemeji yake (Mayanga Construction).
SGR siyo ya Magufuli ni ya Jumuiya ya Afrika Mashariki pamoja na ile iliyoanzia Mombasa ambayo kwa Kenya karibu ikamilike lakini upande wetu imecheleweshwa na Magufuli kwa kutoamua haraka kuanza ujenzi. Nchi nne za Jumuiya zilipoona Tanzania na Burundi zinasuasua kuanza, ziliamua kuanza ujenzi peke yao na kuanzisha Umoja wao wa: "Coalition of the Willing" maana yake: "Umoja wa Waliotayari". Mradi huo ni toka wakati JK ikiwa ni pamoja na barabara ya Arusha Bypass ambayo imekamilika na Arusha - Voi ambayo Jiwe la Msingi limekwisha wekwa miaka kadhaa sasa na Kenyatta na Magufuli mpenda kuweka mawe ya msingi lakini utekelezaji hakuna. Barabara nyingine muhimu ya Jumuiya ambayo Jiwe la Msingi limewekwa lakini bado kuanza ni ile ya Tanga mpaka Bagamoyo kupitia Pangani ambayo ikikamilika itaunganisha Mombasa na Dar es Salaam bila kupitia Korogwe na Chalinze kama sasa. Wakazi wa Dar wafurahie madege tu.
 
Uzembe wako Mkuu ndo umasikini wako.
Kama unafikili kuna Serikali itakuja ikupe maendeleo. Kama JK mlimsifia kwa pesa kuwepo, kwanini hamkutajilika wote.
Kijana pambana kutafuta furusa. Siyo kujakulalamika mtandaoni mda wote, upo twitter, Facebook, Instagram. Pote upo.
Ukitaka kumjuwa mbwa anaukali gani mfunue mkia sijawahi kuwa mzembe hata siku moja ilakilicho niweka maskini niutawala huu nilikuwa namiliki vipe 2 naengeine zake 2 uvuvi halali kabisa shughuli zauvuvi zinafanyika mbali sana na fukwe tunaenda kuvua dagaa wakigoma kwenye kina chamaji mengi isitoshe tunakata leseni ya uvuvi lakini walikuja hao waliotumwa kutokomeza uvuvi haram walitutaka tuwaonyeshe vyavu tunazo tumia iliwazipime tukatekeleza walipo ziona walisema zipo sawa ila tunataka pesa kama hakuna pesa tunazichoma kweliwalichoma nakuziteka engeine zetu mpaka sasa wanazo hapa mimi ni ccm lakini tokahapo niliumizwa sana nimepata moyokusikia lisu yupotayari kutulipa ndio maana namuombea dua mungu amuwekee wepesi aamina
 
Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.

Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiluliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..

Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .

Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.

1. SGR(Railway)
2. Mbezi Stand
3. Ubungo FlyOver
4. Kinyerezi
5. The Port
6. Airport

Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..

Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Tunampa kura kwa kishindo hata yeye anajua hilo!
 
Bora nimuongezee idadi ya kura mjomba hasheem
 
Uzembe wako Mkuu ndo umasikini wako.
Kama unafikili kuna Serikali itakuja ikupe maendeleo. Kama JK mlimsifia kwa pesa kuwepo, kwanini hamkutajilika wote.
Kijana pambana kutafuta furusa. Siyo kujakulalamika mtandaoni mda wote, upo twitter, Facebook, Instagram. Pote upo.
Kuniita mzembe hakuniondolei machungu wala hakunikatazi kupaza sautiyangu nakuonyesha nimechukizwa nautawala huu namini tupowengi tulioumizwa lakini utasemea wapi angalau nitoehapa yamoyoni watutufarijiane sikukatishana tamaa wakati ninamaumivu makali
 
Kwa bahati nzuri ninaishi maeneo matatu Tanzania.
Kote nimeona mabadiliko sio ya jiwe la msingi halafu hationi mwisho wake bali tunakuja kuona uzinduzi rasm.
Tunaoshinda mitandaoni kwa siku hatuzidi 100K.hivyo hizi danganya danganya zenu uchwara hazifiki popote,kati ya hiyo 100K.ni 3 K ndio ya ninyi wadanganyifu.
5 tena kwa JPM tuone uzinduzi wa miradi mikubwa nyie leteni mawazo kama ni mazuri yatatekelezwa.
Kama habari ya kwenye mitandao haina wasomaji wengi au haina madhara kwann wanapoguswa kunako wanakanusha haraka na hii sio kwa tz karibu dunian kote, mitandao kwa sasa ni kichomi kwa utawala wowote ule usiidharau.
 
Tangu uchangie masaa 16 yaliyopita umepata like1 tu, maanake hoja yako ya kumuunga mkono magu haipendwi na watanzania.

Apo waweza kuuona uungwaji mkono kwa Lisu ni wa kiasi,
endelea kumshabikia hasokubalika
Rais ni John Pombe Joseph Magufuli. Huyu ni Mzalendo namba moja, mzaliwa wa Chato. Yule mwingine wakala wa beberu, mwenyeji wa Ubelgiji.
 
Makao Makuu ya USA kua Washington Dc, hakujawahi kuathiri ukuaji wa miji km NY or Miami.

Kuhamishwa kwa Makao Makuu ya Nigeria kutoka Lagos kwenda Abuja hakukuwahi kuathiri ukuaji wa Mji wa Logos.

Kuhamishiwa kwa Makao Makuu ya Ivory Cost kutoka Abidjan kwenda Yamassoukro hakujawahi kuuua mji wa Abidjan. Infact mpaka leo watu wengi wanajua capital city ya Ivory Cost ni Abdjani.

Brazil relocated their capital city from
Rio de Jeneiro to Brasilia.

Russia relocated from Moscow vto St. Petersburg.

Malyasia from Kuala Lumpa to Putrajaya.

Mifano ni mingi ikiwemo inchi nyingine zenye plan ya kuhamisha makao makuu ya inchi zao ikiwemo Indonesia.

To cut the story short...hii hoja yako ya kuiua Dodoma kwa kuhamisha serikali Dodoma ni hoja mfu. Idadi ya wafanyazi walio hama ni ndogo sana compared to the population iliyobaki Dar.
Uchumi wa nchi ilizozitaji unafanana na hapa bongo? Dar kuna uchumi gani kama sio udalali na ujanja wa mjini watu kuishi. Lagos unailinganishwa na dar? Dar ni uswahilini mkuu. Hata kenya haitakaa udhibiti kuhamisha makao makuu kutoka Nairobi.
 
Back
Top Bottom